Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Kuna mmama mmoja ni mwalimu alikua mwenyekiti wa jumuia yangu naye alinishawishi sana kuingia huko mpaka akaitisha mkutano na mtu alomuingiza kunishawishi jamaa alipoanza kusema ananiunganisha na mimi niwaunge watu watano nikasema hii ni Network Marketing nikaishia kusema sawa mkuu tutawasiliana. Kwa sababu ya heshima niliyonayo kwake niliishia kukaa kimya.Mrejesho huu hapa ameniambia niache unafiki [emoji23]
View attachment 2383167
View attachment 2383171
Jamaa kajianika vizuri mno. Huyu akichukiliwa maelezo ataeleza hao jamaa wapo wapi na pesa zinarudi.
Nimepitia tena akaunt ya Kalynda naona wanafuta posts zao kuondoa ushahidi
Mimi Green card tu naona ni Utapeli wa Wamarekani ndio sembuse hizi kekundu keupe unanipataje?
Kuna tapeli juzi nimemkimbiza humu ati anajifanya wakala wa ajira Qatar, anajuwa wabongo walivyo na shida ya ajira atawajaza, akajifanya eti kuna kiingilio cha ofisini, kudadeki.
Nawapa hesabu rahisi 20,000 × 20,000/= ni schilling ngapi? Ni million 400 cash hiyo unasema nayo unawaacha walio register kusubiri ajira, ukitowa kodi ya ofisi miezi 6 na vidampa kama wanne uliowapa ajira za muda na pocket money za viherehere wa serikali wanaokuja kuhojihoji yani toptop hukosi million 300 kwa muda mfupi tu huyo unasepa na kijiji unachaguwa ukaishi wapi na pesa za mazezeta.
Mjini mipangoJionee mwenyewe video ya mtu aliyeenda ofisini kwao 😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 , Mkome ubishi!
"Walisema Jumatatu tar 10 saa mbili watakuwa ofisini lakini mpaka sasa hivi saa nne hamna mtu, tumeliwa! Vibali vyao vipo lakini kuna fenicha tu ambazo si za kwao, mpangishaji aliwapangisha jengo likiwa na kila kitu ikiwemo laptops, na mpangishaji anawadai pia kodi ya miezi miwili hawajalipa!"
Nusu ya Watanzania ni chini ya Miaka 18Mimi nasema wazi, sensa ya watu na makazi inaweza kuonyesha labda tuko 70mil lakini kwa hakika pengine nusu ya hawa 70mil ni "misukule". Yaani watu wapo wanaishi lakini akili zao zinaongozwa na wengine.
Hii nchi hata maendeleo tuliyo nayo leo hayaakisi rasilimali tulizonazo sababu ya hawa "misukule". Hawana uwezo wa kufikiri, kuchanganua wala kuhoji kitu zaidi ya kuamini kila wanaloambiwa.
Mtaji wa Wanasiasa na matapeli ni uwepo wa watu kama hawa. Mbaya zaidi wapo kwa idadi kubwa sana kiasi cha kuathiri mambo mbalimbali muhimu ya kijamii. Leo watatapeliwa na hao Kalyinda sijui, next time wakija wengine still watajiunga.
Yaani wakiambiwa tu kua sisi sio kama wale wakaonyeshwa vyeti vya ku download Brela basi washaingia mkenge. Wao ni wale wakiumwa na nyoka hata wakimuona nyoka mwengine (sio jani hata) hawashtuki kabisa.
Sure haina uhusiano hata kidogo.I guess unajua hii account haina uhusiano wowote na serikali.
Mshauri wa serikali ni nani exactly (mwenye hiyo acc) maana watendaji wote wa serikali ni washauri wa serikali ikiwemo mawaziri na wabunge.
Na hata ukishinda kama Bongo huna michongo ya maana na unatoka familia maskini bado consular anaweza kukunyowa Ndio ninapoona hata Wamarekani nao wanazinguwa vile vile na green card rotary yao.Kwanza green card ni bure. Pili GC ni worldwide. Tatu Kuna watu kadhaa wameshinda GC na wapo USA rn na wengine wapo humu humu JF. Changamoto ya GC ni kwamba ni bahati nasibu Kuna 50,000 slots only kwa waombaji wote worldwide so you can see ambavyo ni mbinde kushinda.
Umekosea, ulipaswa kumjuza n kumpa mifano ya dhahiri, huenda angeelewa akaepuka hili.Kuna mmama mmoja ni mwalimu alikua mwenyekiti wa jumuia yangu naye alinishawishi sana kuingia huko mpaka akaitisha mkutano na mtu alomuingiza kunishawishi jamaa alipoanza kusema ananiunganisha na mimi niwaunge watu watano nikasema hii ni Network Marketing nikaishia kusema sawa mkuu tutawasiliana. Kwa sababu ya heshima niliyonayo kwake niliishia kukaa kimya.
Baada ya kama wiki tatu akanambia ameweka 1M kila siku anapokea 54k nikamwambia hongera. Sasa toka juzi sijaonana naye nasubiri Jmos tutakutana kwenye jumuia nimuulize kama miamala bado inasoma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha ukikutana naye mzuge kuwa umeshatafakari vya kutosha unataka kujiunga.Kuna mmama mmoja ni mwalimu alikua mwenyekiti wa jumuia yangu naye alinishawishi sana kuingia huko mpaka akaitisha mkutano na mtu alomuingiza kunishawishi jamaa alipoanza kusema ananiunganisha na mimi niwaunge watu watano nikasema hii ni Network Marketing nikaishia kusema sawa mkuu tutawasiliana. Kwa sababu ya heshima niliyonayo kwake niliishia kukaa kimya.
Baada ya kama wiki tatu akanambia ameweka 1M kila siku anapokea 54k nikamwambia hongera. Sasa toka juzi sijaonana naye nasubiri Jmos tutakutana kwenye jumuia nimuulize kama miamala bado inasoma?
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅Alio wachaga wengi wamepigwa
Na hata ukishinda kama Bongo huna michongo ya maana na unatoka familia maskini bado consular anaweza kukunyowa Ndio ninapoona hata Wamarekani nao wanazinguwa vile vile na green card rotary yao.
Niliwahi kushauri, Tanzania tuwe na mfumo wetu, kura za kuchaguwa Rais zisipigwe kwa kigezo cha Uraia au kutimiza miaka 18, inabidi na sisi tutengeze mfumo wetu wa college vote kama za Marekani ili Rais achaguliwe na wachache na mikoa yenye watu wajinga kama Morogoro na Tabora ipewe nafasi chache zaidi za kura za Urais.Mimi nasema wazi, sensa ya watu na makazi inaweza kuonyesha labda tuko 70mil lakini kwa hakika pengine nusu ya hawa 70mil ni "misukule". Yaani watu wapo wanaishi lakini akili zao zinaongozwa na wengine.
Hii nchi hata maendeleo tuliyo nayo leo hayaakisi rasilimali tulizonazo sababu ya hawa "misukule". Hawana uwezo wa kufikiri, kuchanganua wala kuhoji kitu zaidi ya kuamini kila wanaloambiwa.
Mtaji wa Wanasiasa na matapeli ni uwepo wa watu kama hawa. Mbaya zaidi wapo kwa idadi kubwa sana kiasi cha kuathiri mambo mbalimbali muhimu ya kijamii. Leo watatapeliwa na hao Kalyinda sijui, next time wakija wengine still watajiunga.
Yaani wakiambiwa tu kua sisi sio kama wale wakaonyeshwa vyeti vya ku download Brela basi washaingia mkenge. Wao ni wale wakiumwa na nyoka hata wakimuona nyoka mwengine (sio jani hata) hawashtuki kabisa.
Mkuu ilikua ni ngumu kufanya hivyo kwa sababu yeye aliniita ili nionane na mtu aliyemhamasisha na huyo mtu ni mdogo wake ambaye kwetu ni kama uncle. Huyo jamaa alikua tayari keshawapa semina walimu kibao na wengi wakiendelea kujiunga. Hivi unamuelemishaje kwa situation kama hiyo? Mimi nilimjibu ngoja niendelee kujipanga tutawasilianaUmekosea, ulipaswa kumjuza n kumpa mifano ya dhahiri, huenda angeelewa akaepuka hili.
Una hatia kwenye hili mzee. So hapo unasubiri muonane umcheke ama umpe pole ya kinafiki, ulichukua hatua gani kumsaidia?
Kabisa wajinga na wapenda Kitonga..Wajinga ndio waliwao.
hapa kwenye dini tuache tu, ila matatizo ya ki afya, kukata tamaa, fedha huwafanya watu wajaribu bahati zao kwenye diniNdio mana nasema wajinga ni wengi. Tena kwenye dini ndio kabisa sijui kwann tumekosa maarifa, leo hii you can imagine Masanja na Mc pilipili nao ni mabishop eti wana wafuasi kibao🤣🤣🤣
Hivi hata kama kukata tamaa ndio uambiwe kuna nyumba za kudownload? Au kuna pesa za kudownload? Au eti unaweza kudownload gari? Jamani jamani tutumie hata hizi akili ndogo tulizonazo.hapa kwenye dini tuache tu, ila matatizo ya ki afya, kukata tamaa, fedha huwafanya watu wajaribu bahati zao kwenye dini
na badala ya kutatua tatizo wanaongeza tatizo
Mkuu una changamoto ya kifikra?Na hata ukishinda kama Bongo huna michongo ya maana na unatoka familia maskini bado consular anaweza kukunyowa Ndio ninapoona hata Wamarekani nao wanazinguwa vile vile na green card rotary yao.