Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Personal name ya Mungu mwenyezi ni ALLAH kwa lugha ya Kiarabu na YAHVH kwa lugha ya Jews.

Haya nipe maana ya jina mungu Kwa lugha ya kiarabu, kama personal name ya mungu wao ni Allah.

God In Different Languages
  • GERMAN. Answer. GOTT.
  • FRENCH. Answer. DIEU.
  • ROMANIAN. Answer. DUMNEZEU.
  • GREEK. Answer. THEOS.
  • JAMAICA. Answer. JAH ('J' for short)
  • ARABIC. Answer. ALLAH.
  • FARSI. Answer. KHODA.
  • PORTUGUESE. Answer. DEUS.
 
Naomba kama kweli ni mjuvi kama unavyojinasibu utoke kwenye GENERAL UENDE KWENYE SPECIF....

Lakini pia NAKUSHANGAA UNAVYOITOA BIBILIA KUTOKA MANENO YA MUNGU KUWA MASIMULIZI YA WATU KAMA YALIVYOWATOKEA... JE UNATAKA KUWEKA KWENYE MIZANIA MASIMULIZI YA WATU NA MANENO YA MOLA MLEZI AKIELEZEA JINSI ALIVYOWAANGAMIZA WALIOMKADHIBISHA AU ALIVYOWANUSURU WALIOMWAMINI
KAMA IBRAHIMU DHIDI YA KUCHOMWA MOTO, NUHU DHIDI YA GHARIKA AU MUSSA DHIDI YA FIRAUNI AU YESU DHIDI YA KUSULUBIWA? lakini Mola Mlezi haishii kusimulia tu BASI ANATOA BISHARA KWA YETU ATAKAYECHUKUA NJIA YA KUNDI LOLOTE KATI YA HAYO YALIYO PITA BASI AJUE KABISA NDIVYO YATAKAVYOKUWA MAFIKIO YAKE SAWA NA HAO WALIOPITA....

Lakini TOFAUTI na visa na matukio ya waliopita MOLA MLEZI AMEELEZA MAADA MBALIMBALI KWENYE QUR'AN KAMA;
1. Embryology rejea SURATUL muuminun aya za mwanzo

2. Akaelezea uumbaji wa mbingu na ardhi, mabadiliko ya usiku na mchana kama ishara ya uwepo wake...

3. Akaelezea masuala ya sheria kama MARRIAGE yupi na yupi wanaweza kuoana na yupi na yupi hawawezi kuoana, akaelezea masuala ya mirathi wanaopasa kurithi mpaka na viwango vyao,

4. Ameelezea masuala ya biashara na vilivyokatazwa katika biashara..

5. Ameelezea hali ya siku ya HUKUMU na watakavyokuwa watu siku hiyo....

6. Ameeleza juu ya HUKUMU ya vitu ZAKA NA MAKUNDI YANAYOPASWA KUPEWA HIYO ZAKA TOFAUTI NA BIBILIA AMBAYO HUWEZI KUPATA MGAWANYO HUO NA MATOKEO YAKE ZAKA NI YA VIONGOZI PEKEE...

7. Kwenye QUR'AN MOLA MLEZI Ameonya juu ya tabia mbaya kama UNAFIQ na mafikio yao, upunguzaji wa mizani katika mauziano, Uchawi n.k LAKINI HUWEZI KUKUTA VITU HIVYO WITH CLARITY AND CONSISTENT kwenye BIBLE...

8. Ameelezea mitume waliopita, mitihani walioipata kutoka kwa watu wao, yakini yao kwa Mola Mlezi na jinsi alivyowaokoa na MADHILA LAKINI PIA ANATOA BIDHARA KWETU SISI... Je unataka KUWEKA KWENYE MIZANI NA BIBILIA AMBAYO ndani anasimuliwa Mitume kwa uovu kama IFUATAVYO:
1. Abraham anatuhumiwa uzinzi
2. Nuhu anatuhumia Ulevi [Alcoholism]
3. Luti anatuhumia kuzini na binti zake
4. Daudi kuzini na mke wa kamanda wake na kumuua mwenye mke..

Uhalisia wa mambo hata tungechukua sample za matukio na kuyalinganisha kama yalivyosimuliwa na vyanzo vyote viwili utagundua kimoja hakiko consistent wala facts based na kingine simulizi ziko very clear, consistent and facts based...

1. Mfano nikikuambia lete simulizi ya Yusuf Alayhim Salam kama ilivyosimuliwa kwenye bibilia na kwenye Qur'an utaona utofauti


2. Malezi ya Maria mama wa Yesu, baba yake, mama yake, mlezi wake baada ya kufa kwa wazazi wake Mtume wa Allah Zakariah, miujiza yake kama kupokea chakula kutoka peponi/mbinguni, kuzaliwa kwa Yahaya, kuzaliwa kwa Yesu, miujiza ya Yesu kuwasemeza watu akiwa KICHANGA yako very clear, consistent na facts based kuliko unavyoweza kuyapata kwenye bibilia.

3. Matukio kama vijana wa pangoni na miujiza ya muda waliokuja pangoni, idadi yao na mbwa wao angalia kwenye BIBILIA na JINSI YALIVYO KWENYE QUR'AN ni mbingu na ardhi...

LAKINI PIA MPANGILIO WA MANENO YA BIBILIA NA QUR'AN:
1. Bibilia inajumuisha records za matendo na maneno ya Yesu pamoja na Maneno ya watu wengine KAMA MTUME PAULO ambyo sii maneno ya Yesu wala ya MUNGU lakini QUR'AN NI MANENO YA MOLA MLEZI KILA SURA INAANZA KWA JINA LAKE NA NANI MOLA MLEZI ANATUZUNGUMZISHA SISI WANAADAM


Note: USISOMA SURA YA 53 [NAJM] Mola Mlezi anaeleza haya HAYAKUWA NI MASIMULIZI YA MUHAMMAD ila ni WAHAY utokao Kwake YEYE


Nimechoka ngoja nifanye majukumu MENGINE
Ungemuelewa vzt mtoa mada wala usingekuja na maelezo ya quran.Anakuambia hao manabii wote ni wayahudi,na waliosimulia ni wayahudi wenyewe wakielezea mila,dini,na tamaduni zao wakimueleza MUNGU wao anayeitwa YAHWEH.Na Quran ina mungu wake wa kiarabu anayeitwa Allah na mtum3 wake Muhammad ambaye ni mwarabu. Anasimulia habari za taifa lingine na MUNGU wao(YAHWEH) zinazotofautiana sanaa.Cha kushangaza zaidi anasema yale yamekosewa ila yake ndiyo sahihi!Yaani habari za ukoo wa wayahudi na MUNGU wao uzijue wewe zaidi kuliko wao!
*Muhammad alikurupuka tu.Eti tukitaka kujua historia ya wayahudi tumuulize mwarabu!
 
Naomba kama kweli ni mjuvi kama unavyojinasibu utoke kwenye GENERAL UENDE KWENYE SPECIF....

Lakini pia NAKUSHANGAA UNAVYOITOA BIBILIA KUTOKA MANENO YA MUNGU KUWA MASIMULIZI YA WATU KAMA YALIVYOWATOKEA... JE UNATAKA KUWEKA KWENYE MIZANIA MASIMULIZI YA WATU NA MANENO YA MOLA MLEZI AKIELEZEA JINSI ALIVYOWAANGAMIZA WALIOMKADHIBISHA AU ALIVYOWANUSURU WALIOMWAMINI
KAMA IBRAHIMU DHIDI YA KUCHOMWA MOTO, NUHU DHIDI YA GHARIKA AU MUSSA DHIDI YA FIRAUNI AU YESU DHIDI YA KUSULUBIWA? lakini Mola Mlezi haishii kusimulia tu BASI ANATOA BISHARA KWA YETU ATAKAYECHUKUA NJIA YA KUNDI LOLOTE KATI YA HAYO YALIYO PITA BASI AJUE KABISA NDIVYO YATAKAVYOKUWA MAFIKIO YAKE SAWA NA HAO WALIOPITA....

Lakini TOFAUTI na visa na matukio ya waliopita MOLA MLEZI AMEELEZA MAADA MBALIMBALI KWENYE QUR'AN KAMA;
1. Embryology rejea SURATUL muuminun aya za mwanzo

2. Akaelezea uumbaji wa mbingu na ardhi, mabadiliko ya usiku na mchana kama ishara ya uwepo wake...

3. Akaelezea masuala ya sheria kama MARRIAGE yupi na yupi wanaweza kuoana na yupi na yupi hawawezi kuoana, akaelezea masuala ya mirathi wanaopasa kurithi mpaka na viwango vyao,

4. Ameelezea masuala ya biashara na vilivyokatazwa katika biashara..

5. Ameelezea hali ya siku ya HUKUMU na watakavyokuwa watu siku hiyo....

6. Ameeleza juu ya HUKUMU ya vitu ZAKA NA MAKUNDI YANAYOPASWA KUPEWA HIYO ZAKA TOFAUTI NA BIBILIA AMBAYO HUWEZI KUPATA MGAWANYO HUO NA MATOKEO YAKE ZAKA NI YA VIONGOZI PEKEE...

7. Kwenye QUR'AN MOLA MLEZI Ameonya juu ya tabia mbaya kama UNAFIQ na mafikio yao, upunguzaji wa mizani katika mauziano, Uchawi n.k LAKINI HUWEZI KUKUTA VITU HIVYO WITH CLARITY AND CONSISTENT kwenye BIBLE...

8. Ameelezea mitume waliopita, mitihani walioipata kutoka kwa watu wao, yakini yao kwa Mola Mlezi na jinsi alivyowaokoa na MADHILA LAKINI PIA ANATOA BIDHARA KWETU SISI... Je unataka KUWEKA KWENYE MIZANI NA BIBILIA AMBAYO ndani anasimuliwa Mitume kwa uovu kama IFUATAVYO:
1. Abraham anatuhumiwa uzinzi
2. Nuhu anatuhumia Ulevi [Alcoholism]
3. Luti anatuhumia kuzini na binti zake
4. Daudi kuzini na mke wa kamanda wake na kumuua mwenye mke..

Uhalisia wa mambo hata tungechukua sample za matukio na kuyalinganisha kama yalivyosimuliwa na vyanzo vyote viwili utagundua kimoja hakiko consistent wala facts based na kingine simulizi ziko very clear, consistent and facts based...

1. Mfano nikikuambia lete simulizi ya Yusuf Alayhim Salam kama ilivyosimuliwa kwenye bibilia na kwenye Qur'an utaona utofauti


2. Malezi ya Maria mama wa Yesu, baba yake, mama yake, mlezi wake baada ya kufa kwa wazazi wake Mtume wa Allah Zakariah, miujiza yake kama kupokea chakula kutoka peponi/mbinguni, kuzaliwa kwa Yahaya, kuzaliwa kwa Yesu, miujiza ya Yesu kuwasemeza watu akiwa KICHANGA yako very clear, consistent na facts based kuliko unavyoweza kuyapata kwenye bibilia.

3. Matukio kama vijana wa pangoni na miujiza ya muda waliokuja pangoni, idadi yao na mbwa wao angalia kwenye BIBILIA na JINSI YALIVYO KWENYE QUR'AN ni mbingu na ardhi...

LAKINI PIA MPANGILIO WA MANENO YA BIBILIA NA QUR'AN:
1. Bibilia inajumuisha records za matendo na maneno ya Yesu pamoja na Maneno ya watu wengine KAMA MTUME PAULO ambyo sii maneno ya Yesu wala ya MUNGU lakini QUR'AN NI MANENO YA MOLA MLEZI KILA SURA INAANZA KWA JINA LAKE NA NANI MOLA MLEZI ANATUZUNGUMZISHA SISI WANAADAM


Note: USISOMA SURA YA 53 [NAJM] Mola Mlezi anaeleza haya HAYAKUWA NI MASIMULIZI YA MUHAMMAD ila ni WAHAY utokao Kwake YEYE


Nimechoka ngoja nifanye majukumu MENGINE
Ili Quran iwe kitabu cha kweli ni lazima ilete torati,injili,na zaburi original ili tuone hayo yaliyomo humo kama yanarandana na Quran.Vinginevyo itabaki kuwa hivi;MUNGU wa biblia ni tofauti kabisa na wa quran.
 
ILI IONEKANE UNASEMA KWELI... HEBU NJOO TUTHIBITISHIE HATA JINA "BIBLIA" KAMA LIPO POPOTE LILIPOANDIKWA NDANI YA BIBLIA.. ACHANA NA COVER...
Kwa nondo alizotoa jamaa hapo unadhani anastahili kujibiwa hivi!
 
Kitu kuwa sawa baina ya Quran na Biblia ni kawaida kumbuka Quran imekuja ku update hivyo vitabu baada ya kuwa corrupted.

Hivyo si jambo la ajabu kitu ambacho kipo corrupted kuwa na mambo mengine sahihi na mengine sio sahihi.

Nitakupa mfano kwenye Quran Aya zote zinazomhusu Yusuf zinamtambulisha kiongozi wa Egpty kama Mfalme, na Aya zote zinazomhusu Musa zinamtambulisha kiongozi wa Egpty kama pharaoh. Ila kwenye Bible kipindi cha Yusuf ama Musa kote anaitwa pharaoh.

Gunduzi za karibuni baada ya watu ku decipher ancient Egpty language zinaonesha Pharaoh ni cheo cha kidini, kipindi cha Yusuf mfalme alitoka Syria na alikuwa na miungu yake tofauti na Ya Egpty na aliikataa miungu ya Egpty hivyo hakuwa Pharaoh.

So kihistoria Quran ipo sahihi mfalme wa Egpty kipindi cha Yusuf hakuwa Pharaoh, pharaoh alikuwa kipindi cha Musa, hivyo unaona hapa Quran ime correct kosa la Bible.

Si hii tu kuna Story nyingi sana za Nyuma ambazo tech ya sasa ime prove Quran ipo sahihi na Bible haijaelezea, ukipata Muda pia pitia Story ya Ibrahim na miungu ya watu wake kama Moon, sun na Venus, Quran ipo specific kabisa waliabudi Venus, kitu ambacho Tafiti za sasa zinakubali.
Yaani utafiti ufanywe na mwarabu,halafu ukosoe Quran!Ili tuamini hadithi za Quran;chukua mwili wa mnayemwita Firauni pale misri,chimbeni shimo hadharani,mfukieni,halafu kaburi lilindwe na wanajeshi wa magharibi huku CCTV camera zikiwa on 24:7 tukifuatilia live ardhi ikimtema.Uone kama kutakuwa na uislam dunianj
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Defensive mechanism cha kwanza we hujui chochote upo tu..ukienda kweny forex utakuta kitabu kinaitwa candle bible...turejee kweny maana ya biblia na je biblia ilishushwa au aliandika na Paulo na watu wa Italy.


Bible ni mkusanyiko means vitabu vilikusanywa na sio sehemu ya kitabu cha mungu ila walikusanya vitabu kwa kubadilisha kwa maana iyo hata mimi naweza kukusanya vitabu vya chemistry ,physics na biology kikawa kitabu kimoja nikaita "science bible

Hatubishani wala hatueleti maongezi mengi maana Aya za qur an huzitaki basi tutumie common sense na upeo wa akili.

Mimi nakuambia bible sio kitabu cha mungu kwa asilimia 100 kabisa ..

Ntakuonyesha series ya vitabu kama vitabu kama torat ,zabur ,injili na qur an .hivyo ni vitabu vya mwenyewe mungu.

Ndo maana qur an imekuja kusadifu yaliyopita ..je izo habari za huko nyuma walijuaje kupitia bible kama mtoa mada anavyosema kwamba walikuwepo wakati yanatendeka [emoji23][emoji23][emoji23]hao mitume zama zao zilipita kwa kipind fulani ambacho ni ngumu kwa mtu kuona mitume yote katika zama zote tangu Adam.


Vitabu vimeshushwa kuleta muendeleo ndo maana Kuna mitume mingi walishushwa kutokana na zama ...

Ntakupa baadhi ya hints biblia imeandikwa kupotosha sio kitabu cha mungu ..ndani ya biblia hakuna neno ukristo ni dini, hakuna sehemu kwamba yesu ni mungu ,Kuna sehemu mungu kaitwa mpumbavu
Naona unarukaruka tu.Kwamba imekuja kukamilisha yaliyotangulia.Si ndo amekuambia utuoneshe torati,zaburi na injili zilizo sahihi ambàzo Muhammad amekuja kuzikamilisha.Hizo bla bla ndo zinazozidi kutuaminisha kuwa Muhammad ni muongo.Unawezaje kusema torati,zaburi na injili zimetiwa mikono wakati original huna?tutakuamini vipi?
 
Yaani utafiti ufanywe na mwarabu,halafu ukosoe Quran!Ili tuamini hadithi za Quran;chukua mwili wa mnayemwita Firauni pale misri,chimbeni shimo hadharani,mfukieni,halafu kaburi lilindwe na wanajeshi wa magharibi huku CCTV camera zikiwa on 24:7 tukifuatilia live ardhi ikimtema.Uone kama kutakuwa na uislam dunianj
kwanza usibadilike badilike na id mpya , unaogopa kitu gani ??
 
Ili Quran iwe kitabu cha kweli ni lazima ilete torati,injili,na zaburi original ili tuone hayo yaliyomo humo kama yanarandana na Quran.Vinginevyo itabaki kuwa hivi;MUNGU wa biblia ni tofauti kabisa na wa quran.


Uchambuzi wa fasihi za kisasa, kwa mujibu wa Profesa Richard Friedman, unaashiria kuwa vile vitabu vitano vya Musa ni mchanganyiko wa Kiebrania wa kuanzia karne ya tisa, nane, saba na sita B.C. (Kabla ya kuzaliwa Kristo).

Kwa hiyo, Musa aliyeishi karne ya kumi na tatu B.C., alikuwa yu mbali mno na Kiebrania cha Biblia hata kuliko alivyokuwa mbali Shakespeare na Kingereza cha leo

Richard Elliot Friedman ni profesa wa chuo Kikuu cha California huko San Diego.

Amepata Udaktari wa Biblia ya Kiyahudi huko Chuo Kikuu cha Harvard, naye ni mtunzi wa kazi yenye mabishano ya, Nani Aliyeandika Biblia.
 
Naona unarukaruka tu.Kwamba imekuja kukamilisha yaliyotangulia.Si ndo amekuambia utuoneshe torati,zaburi na injili zilizo sahihi ambàzo Muhammad amekuja kuzikamilisha.Hizo bla bla ndo zinazozidi kutuaminisha kuwa Muhammad ni muongo.Unawezaje kusema torati,zaburi na injili zimetiwa mikono wakati original huna?tutakuamini vipi?
Sasa unataka kusema torat iliandika Aya inayosema "upumbavu wa mungu" una akili kweli?
 
Naona unarukaruka tu.Kwamba imekuja kukamilisha yaliyotangulia.Si ndo amekuambia utuoneshe torati,zaburi na injili zilizo sahihi ambàzo Muhammad amekuja kuzikamilisha.Hizo bla bla ndo zinazozidi kutuaminisha kuwa Muhammad ni muongo.Unawezaje kusema torati,zaburi na injili zimetiwa mikono wakati original huna?tutakuamini vipi?


Forgeries* in the Bible



bullet
Matthew 6:13: The Lord's Prayer traditionally ends: "For thine is the kingdom, and the power, and the glory, for ever. Amen." This seems to have been absent from the original writings. 6
bullet
Matthew 17:21 is a duplicate of Mark 9:29. It was apparently added by a copyist in order to make Matthew agree with Mark. But Mark 9:29 also contains a forgery*; this makes Matthew 17:21 a type of double-layered forgery*. 5
bullet
John 7:53 to 8:11: One of the most famous forgeries* in the Bible is the well-known story of the woman observed in adultery. It was apparently written and inserted after John 7:52 by an unknown author, perhaps in the 5th century CE. This story is often referred to as an "orphan story" because it is a type of floating text which has appeared after John 7:36, John 7:52, John 21:25, and Luke 21:38 in various manuscripts. Some scholars believe that the story may have had its origins in oral traditions about Jesus.

It is a pity that the status of verses John 8:1-11 are not certain. If they were known to be a reliable description of Jesus' ministry, they would have given a clear indication of Jesus' stance on the death penalty.

bullet
Mark 9:29: Jesus comments that a certain type of indwelling demon can only be exorcised through "prayer and fasting" (KJV) This is also found in the Rheims New Testament. But the word "fasting" did not appear in the oldest manuscripts. 5 Many new English translations have dropped the word.

bullet
Mark 16:9-20: The original version of Mark ended rather abruptly at the end of Verse 8. Verses 9 to 20, which are shown in most translations of the Bible, were added later by an unknown forger*. The verses were based on portions of Luke, John and other sources.

bullet
Luke 3:22: This passage describes Jesus' baptism by John the Baptist. According to Justin Martyr, the original version of this verse has God speaking the words: "You are my son, today have I begotten thee." Justin Martyr, Clement of Alexandria, Augustine, and other ancient Christian authorities also quoted it this way. 1 The implication is that Jesus was first recognized by God as his son at the time of baptism. But a forger* altered the words to read: "You are my son, whom I love." The altered passage conformed more to the evolving Christian belief that Jesus was the son of God at his birth, (as described in Luke and Matthew) or before the beginning of creation (as in John), and not at his baptism.

bullet
John 5:3-4: These verses describe how "a great multitude" of disabled people stayed by the water. From time to time an angel arrived, and stirred the waters. The first person who stepped in was cured. This passage seems strange. The process would not be at all just, because the blind could not see the waters being stirred, and the less mobile of the disabled would have no chance of a cure. Part of Verse 3 and all of Verse 4 are missing from the oldest manuscripts of John. 3 It appears to be a piece of free-floating magical text that someone added to John.

bullet
John 21: There is general agreement among liberal and mainline Biblical scholars that the original version of the Gospel of John ended at the end of John 20. John 21 appears to either be an afterthought of the author(s) of John, or a later addition by a forger*. Most scholars believe that the latter occurred. 4

bullet
1 Corinthians 14:34-35: This is a curious passage. It appears to prohibit all talking by women during services. But it contradicts verse 11:5, in which St. Paul states that women can actively pray and prophesy during services. It is obvious to some theologians that verses 14:33b to 36 are a later addition, added by an unknown counterfeiter* with little talent at forgery.*

Bible scholar, Hans Conzelmann, comments on these three and a half verses: "Moreover, there are peculiarities of linguistic usage, and of thought. [within them]." 2 If they are removed, then Verse 33a merges well with Verse 37 in a seamless transition.

Since they were a later forgery*, they do not fulfill the basic requirement to be considered inerrant: they were not in the original manuscript written by Paul. This is a very important passage, because much many denominations opposition to female ordination is based on these verses.

bullet
Revelation 1:11: The phrase "Saying, I am Alpha and Omega, the first and the last: and," which is found in the King James Version was not in the original Greek texts. It is also found in the New King James Version (NKJV) and in the 21st Century King James Version (KJ21) The latter are basically re-writes of the original KJV. Modern English, is used, but the translators seem to have made little or no effort to correct errors. The Alpha/Omega phrase

"... is not found in virtually any ancient texts, nor is it mentioned, even as a footnote, in any modern translation or in Bruce Metzger's definitive 'A Textual Commentary' on the Greek New Testament, Second Edition (New York: United Bible Societies, 1994..." 7
 
Haya nipe maana ya jina mungu Kwa lugha ya kiarabu, kama personal name ya mungu wao ni Allah.

God In Different Languages
  • GERMAN. Answer. GOTT.
  • FRENCH. Answer. DIEU.
  • ROMANIAN. Answer. DUMNEZEU.
  • GREEK. Answer. THEOS.
  • JAMAICA. Answer. JAH ('J' for short)
  • ARABIC. Answer. ALLAH.
  • FARSI. Answer. KHODA.
  • PORTUGUESE. Answer. DEUS.


A note concerning forged and counterfeit writings:​


We are using these terms with reference to today's value systems. For example, if someone wrote in 1999 an essay in the form of an encyclical by Pope John XXIII, and attempted to pass it off as an unknown work of the Pope, then we would consider it a forgery or counterfeit. If someone write today a speech in the style of George Washington and tried to publish it as if it were written by the first President, we would also consider it a forgery.


But things were a little different in the 1st and 2nd century CE. It was quite an accepted practice at that time for followers of a great philosopher or religious thinker to write material which emulated their leader. They passed it off as if that leader wrote it. This was not considered unethical at the time. We use the term forger and counterfeiter in this essay to emphasize that the passages were written by person or persons unknown. It does not necessarily indicate that the passages are any less valid than other texts in the Bible. The term means simply that the passages were added to the writings of the original author(s) by an unknown person.


There were about 40 gospels, large numbers of epistles, and even a few books on the style of Revelation that were considered religious texts by various movements within the early Christian church. When some of these were selected to form the official canon of the Christian Scriptures (New Testament), the main criteria was whether the book appeared to be written by an apostle or someone very close to an apostle. The canon was regarded as inerrant and as inspired by God. It still is by most conservative Christians. Liberal theologians have reached a consensus that many books in the New Testament were not written by the authors that they claim to be written by. This puts their legitimacy in question. We also know that unknown persons later inserted their own writings into some books.


Some of the books that liberal theologians believe were written by authors different from the ones indicated by the Bible itself are:



bullet
Genesis, Exodus, Leviticus, Numbers and Deuteronomy (a.k.a. The Pentateuch, the 5 Books of Moses, the Books of the Law, the Law, the Torah). These state in numerous places that they were written by Moses. Most conservative Christians accept this statement. But mainline and liberal theologians have long accepted the "Documentary Hypothesis" which asserts that the Pentateuch was written by a group of four authors, from various locations in Palestine, over a period of centuries. Each wrote with the goal of promoting his/her own religious views. A fifth individual cut and pasted the original documents in to the present Pentateuch.

bullet
The authors of the gospels claim to have been eyewitnesses of Jesus' ministry. Yet most liberal theologians believe that the gospels were written during the approximate interval 66 to 110 CE by anonymous writers who had only second-hand or third-hand knowledge about Jesus, and who incorporated oral material that had materialized after Jesus' death.

bullet
The text of various Pauline epistles state that they were written by Paul. However, liberal theologians believe that Ephesians, 2 Thessalonians, 1 & 2 Timothy and Titus were written by persons unknown, mostly in the 2nd century, many decades after Paul's death.
bullet
Other epistles of unknown authorship, according to religious liberals, are Hebrews, James, 2 Peter, 1, 2 & 3 John, and Jude.

bullet
Religious liberals have concluded that Revelation was written by an unknown author - perhaps a Jewish Christian whose primary language was Aramaic.


Related essays:



horizontal rule


References used:​


The following information sources were used to prepare and update the above essay. The hyperlinks are not necessarily still active today.


  1. Adrian Swindler, "The Flat Earth: Still an Embarrassment to Biblical Inerrantists," at: http://www.infidels.org/
  2. 1 Corinthians 14:33: http://www.bibletexts.com/versecom/
  3. Bruce Metzger, "Textual Commentary of the Greek New Testament, Second Edition," United Bible Societies, New York NY, (1993). Available at: Commentary
  4. John, Chapter 21: http://www.bibletexts.com/
  5. Mark, 9:29: http://www.bibletexts.com/
  6. Matthew 6:13: http://www.bibletexts.com/
  7. Revelation 1:11: http://www.bibletexts.com/

horizontal rule
 
Yahweh means “ I am who I am
God's Name Is Almost Always Translated Lord In The English Bible. But the Hebrew would be pronounced something like “Yahweh,” and is built on the word for “I am.”

Kutoka 3:13
Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n’nani? Niwaambie nini?

Kutoka 3:14
Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO, amenituma kwenu.

Exodus 3:14​

14 God said to Moses, “I am who I am.[a] This is what you are to say to the Israelites: ‘I am(A) has sent me to you.’”

Unajua lakini maana ya Personal name?
Umepata wapi hiyo kwamba 'I am who I am" kuwa ni tafsiri ya neno Yehova? Hilo la kwanza, pili kama Yehova ndio jina la hasa lenyewe la Mungu imekuaje kwamba toka Adam huko lisijulikane jina la Mungu ila lije kujulikana wakati wa Musa, ni miaka mingapi watu imepita hapo bila jina la Mungu kujulikana? Tatu kama hilo ndio jina la halisi la Mungu kwanini lisitumike kama na matokeo kutumika au kutafsirika neno "Bwana"? Ukiangalia hiyo Kutoka 3:15 utaona halijatumika hilo Yehova.
 
Ili Quran iwe kitabu cha kweli ni lazima ilete torati,injili,na zaburi original ili tuone hayo yaliyomo humo kama yanarandana na Quran.Vinginevyo itabaki kuwa hivi;MUNGU wa biblia ni tofauti kabisa na wa quran.
Ni kweli Mungu wa Biblia ni TOFAUTI KABISA NA MUNGU WA QUR'AN KWA HOJA ZIFUATAZO;

1. Mungu wa Qur'an ni Mungu moja asiye na Mshirika katika UUNGU WAKE wakati Mungu wa Biblia ni Mungu katika nafsi TATU.

2. Mungu wa Qur'an ni Mungu ambaye yupo karibu zaidi kwa WAJA wake na hahitaji daraja kati yake na WAJA wake kumfikia katika kuomba haja zao WAKATI Mungu wa Biblia ni lazima iwe kupitia YESU KROSTO...


3. MUNGU wa Qur'an ndiyo huyo aliyeshusha Zaburi, Torati, Injili na Furqan kama miongozo kwa wanadamu katika maisha yao ya duniani na baada yake...
 
Haya nipe maana ya jina mungu Kwa lugha ya kiarabu, kama personal name ya mungu wao ni Allah.

God In Different Languages
  • GERMAN. Answer. GOTT.
  • FRENCH. Answer. DIEU.
  • ROMANIAN. Answer. DUMNEZEU.
  • GREEK. Answer. THEOS.
  • JAMAICA. Answer. JAH ('J' for short)
  • ARABIC. Answer. ALLAH.
  • FARSI. Answer. KHODA.
  • PORTUGUESE. Answer. DEUS.


One thing that many non-Hebrew speaking Jews and Christians mistake about is the name of GOD Almighty in the Bible. "Yahweh" in Hebrew means "The LORD" or the "The GOD". It is not a name. Let us look at the following quotations from Christian and Jewish resources:

"Judaism teaches that while God's name exists in written form, it is too holy to be pronounced. The result has been that, over the last 2000 years, the correct pronunciation has been lost." (Mankind's Search for GOD, p. 225).

Here we clearly see that the pronunciation for the original name for GOD Almighty had been lost, and the Jews have no idea what the exact pronunciation is from their Holy Scriptures and resources.

"About 3,500 years ago, God spoke to Moses, saying: 'Thus shall you speak to the Israelites: The LORD [Hebrew: YHWH], the God of your fathers, the God of Abraham, the God of Isaac, and the God of Jacob, has sent me to you: This shall be My name forever, this My appellation for all eternity.' (Exodus 3:15; Psalm 135:13)" (Mankind's Search for GOD, p.225).

"....the four Hebrew consonants YHWH (Yahweh) that in their Latinized form have come to be known over the centuries in English as JEHOVAH." (Mankind's Search for GOD, p.225).

So the word "YHWH" or "Yahweh" or "Jehovah" is not the ORIGINAL name, but the appellation (title) for the Almighty GOD.

This is perfectly fine, because Jews, Christians and Muslims (Isaiah 56:5: Muslim is the future believers' name. Sons and daughters titles will be "no more") call on to GOD Almighty as "The LORD" or "The GOD", which means "Yahweh" or "Jehovah" in Hebrew and "Al-Rab" in Arabic. "Al-Rab" in Arabic and "Yahweh" in Hebrew and the other translations in all other languages are indeed GOD Almighty's title. But they are NOT His original Name!

Let us look at what Exodus 3:15 and Psalm 135:13 from the NIV Bible say:

"God also said to Moses, "Say to the Israelites, `The LORD [Notice that they didn't write Jehovah. "The LORD" in only a title], the God of your fathers--the God of Abraham, the God of Isaac and the God of Jacob--has sent me to you.' This is my name forever, the name by which I am to be remembered from generation to generation. (From the NIV Bible, Exodus 3:15)"

"Your name, O LORD, endures forever, your renown, O LORD, through all generations. (From the NIV Bible, Psalm 135:13)"

So as we clearly see from the above Verses from the NIV Bible, the original name for GOD Almighty is not "Yahweh".

The title "The LORD" is only a title and a nick name (if you will) that we give to GOD Almighty. But "Yahweh" is definitely NOT THE ORIGINAL NAME for GOD Almighty.

"Allah" on the other hand is a name. It is the name of GOD Almighty
 
Umepata wapi hiyo kwamba 'I am who I am" kuwa ni tafsiri ya neno Yehova? Hilo la kwanza, pili kama Yehova ndio jina la hasa lenyewe la Mungu imekuaje kwamba toka Adam huko lisijulikane jina la Mungu ila lije kujulikana wakati wa Musa, ni miaka mingapi watu imepita hapo bila jina la Mungu kujulikana? Tatu kama hilo ndio jina la halisi la Mungu kwanini lisitumike kama na matokeo kutumika au kutafsirika neno "Bwana"? Ukiangalia hiyo Kutoka 3:15 utaona halijatumika hilo Yehova.

Ndio maana nikakuambia kwenye mambo ya maandiko ya Dini wewe bado mchanga mno.

Soma amri kumi za Mungu hapa utaelewa Kwa nini Jina la mungu halitajwi tajwi.
Kutoka 20:7
Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.

Hiyo ni amri ya tatu Kati ya zile 10 zilizokuwa kwenye mbao aliyopewa Musa.

Jina la mungu nitakatifu hivyo ni kosa kulitajataja, ndio maana jina linalotumika mara Kwa mara ni Cheo chake ambacho ni Mungu lakini jina lake halitajwi tajwi.
 
Haya nipe maana ya jina mungu Kwa lugha ya kiarabu, kama personal name ya mungu wao ni Allah.

God In Different Languages
  • GERMAN. Answer. GOTT.
  • FRENCH. Answer. DIEU.
  • ROMANIAN. Answer. DUMNEZEU.
  • GREEK. Answer. THEOS.
  • JAMAICA. Answer. JAH ('J' for short)
  • ARABIC. Answer. ALLAH.
  • FARSI. Answer. KHODA.
  • PORTUGUESE. Answer. DEUS.

How can a title beginning with "the" be a name?

Beside the crystal clear proofs above about Yahweh or Jehovah being just a title or "appellation" (Exodus 3:15) for GOD Almighty, I would like to raise this simple question, and simple common sense test:

How can any title that begins with "the" be a name?

If I call you "the man", as it is a common slang for a person to be called that here in the US, would that really make your name "the man"?

A Christian just recently told me that in Hebrew, Yahweh not only means "The LORD" or the "The GOD", but it also means "The Eternal" (according to the New Dictionary of the Bible). That's all perfect with me.

The Eternal, Yahweh or Jehovah, means "Al-Samad" in Arabic. Allah Almighty called Himself "Al-Samad" in the Noble Quran (Noble Verse 112:2). I am willing to address Allah Almighty from now on by the "Al-Samad" title (Yahweh in Hebrew) and not by "Allah Almighty" (His Holy Name) if that's going to make Christians understand Islam and embrace it!

How difficult is it to comprehend that a title beginning with "the" can never be a name! Let alone being an original name!
 
Ni kweli Mungu wa Biblia ni TOFAUTI KABISA NA MUNGU WA QUR'AN KWA HOJA ZIFUATAZO;

1. Mungu wa Qur'an ni Mungu moja asiye na Mshirika katika UUNGU WAKE wakati Mungu wa Biblia ni Mungu katika nafsi TATU.

2. Mungu wa Qur'an ni Mungu ambaye yupo karibu zaidi kwa WAJA wake na hahitaji daraja kati yake na WAJA wake kumfikia katika kuomba haja zao WAKATI Mungu wa Biblia ni lazima iwe kupitia YESU KROSTO...


3. MUNGU wa Qur'an ndiyo huyo aliyeshusha Zaburi, Torati, Injili na Furqan kama miongozo kwa wanadamu katika maisha yao ya duniani na baada yake...

1. Mungu WA Biblia sio Mungu WA utatu. Na Hana mshirika.
Acha kusema uongo.
Tupe andiko au Aya yoyote kwenye Biblia inayothibitisha maneno yako.
Kumbukumbu la Torati 32:39
Fahamu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu,


2. Mungu WA Biblia, Yehova yupo karibu
Isaya 55:6
Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu
;

Kuweka watu au viumbe ambao wapo katikati haimaanishi kuwa yupo Mbali. Kwa no HAO viongozi au viumbe aliowaweka wanafanya Kwa amri yake.
Yeye ndiye aliyeagiza.

3. Mungu WA Quran hajawahi kushusha Torati, injili, na zaburi na hatakuja kuishusha kwani :vitabu hivyo vimeshushwa na Yehova Mungu wa Wayahudi, na viliandikwa na Wayahudi.

Soma maandiko haya, anayetajwa hapa ni Mungu Yehova, anazungumza na waisrael na wala sio jamii nyingine yoyote; Allah ni mungu wa waarabu.

Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;

Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Kutoka 6:6
Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa;

Kutoka 6:7
nami nitawatwaeni kuwa watu wangu, nitakuwa Mungu kwenu; nanyi mtajua ya kuwa mimi ni YEHOVA, Mungu wenu, niwatoaye mtoke chini ya mizigo ya Wamisri.

Kutoka 6:8
Nami nitawaleta hata nchi ile ambayo naliinua mkono wangu, niwape Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo; nitawapa iwe urithi wenu; Mimi ni YEHOVA.


mwisho Acha uongo...

Kitu pekee ungesema kuweka Sawa maneno yako ungesema Allah kaiba maandiko ya Yehova ungeeleweka
 
1. Mungu WA Biblia sio Mungu WA utatu. Na Hana mshirika.
Acha kusema uongo.
Tupe andiko au Aya yoyote kwenye Biblia inayothibitisha maneno yako.
Kumbukumbu la Torati 32:39
Fahamu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu,

2. Mungu WA Biblia, Yehova yupo karibu
Isaya 55:6
Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu;

Kuweka watu au viumbe ambao wapo katikati haimaanishi kuwa yupo Mbali. Kwa no HAO viongozi au viumbe aliowaweka wanafanya Kwa amri yake.
Yeye ndiye aliyeagiza.

3. Mungu WA Quran hajawahi kushusha Torati, injili, na zaburi na hatakuja kuishusha kwani :vitabu hivyo vimeshushwa na Yehova Mungu wa Wayahudi, na viliandikwa na Wayahudi.

Soma maandiko haya, anayetajwa hapa ni Mungu Yehova, anazungumza na waisrael na wala sio jamii nyingine yoyote; Allah ni mungu wa waarabu.

Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;

Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Kutoka 6:6
Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa;

Kutoka 6:7
nami nitawatwaeni kuwa watu wangu, nitakuwa Mungu kwenu; nanyi mtajua ya kuwa mimi ni YEHOVA, Mungu wenu, niwatoaye mtoke chini ya mizigo ya Wamisri.

Kutoka 6:8
Nami nitawaleta hata nchi ile ambayo naliinua mkono wangu, niwape Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo; nitawapa iwe urithi wenu; Mimi ni YEHOVA.


mwisho Acha uongo...

Kitu pekee ungesema kuweka Sawa maneno yako ungesema Allah kaiba maandiko ya Yehova ungeeleweka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mungu wa Wayahudi!!!!!!!

Mungu wa WAARABU!!!!!


"Kumbukumbu la Torati 32:39
Fahamu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu,"

kama ndivyo Basi Mungu huyu ambaye ni Mola Mlezi wa Walimwengu wote NI TOFAUTI NA YULE MOJA KATIKA NAFSI TATU


LAKINI PIA INTERCESSION ya kuomba KWA JINA LA YESU hii ni SHIRKI kwani unamfanya YESU kuwa daraja wakati Mungu Moja ambaye hana MSHIRIKA katika UUNGU wake sii kwa Malaika aliyekurubishwa wala NABII aliyetumwa ameweka WAZI kuwa yupo karibu na WAJA wake na wamwombe moja kwa moja NAYE atawajibu
 
1. Mungu WA Biblia sio Mungu WA utatu. Na Hana mshirika.
Acha kusema uongo.
Tupe andiko au Aya yoyote kwenye Biblia inayothibitisha maneno yako.
Kumbukumbu la Torati 32:39
Fahamu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu,

2. Mungu WA Biblia, Yehova yupo karibu
Isaya 55:6
Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu;

Kuweka watu au viumbe ambao wapo katikati haimaanishi kuwa yupo Mbali. Kwa no HAO viongozi au viumbe aliowaweka wanafanya Kwa amri yake.
Yeye ndiye aliyeagiza.

3. Mungu WA Quran hajawahi kushusha Torati, injili, na zaburi na hatakuja kuishusha kwani :vitabu hivyo vimeshushwa na Yehova Mungu wa Wayahudi, na viliandikwa na Wayahudi.

Soma maandiko haya, anayetajwa hapa ni Mungu Yehova, anazungumza na waisrael na wala sio jamii nyingine yoyote; Allah ni mungu wa waarabu.

Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;

Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Kutoka 6:6
Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa;

Kutoka 6:7
nami nitawatwaeni kuwa watu wangu, nitakuwa Mungu kwenu; nanyi mtajua ya kuwa mimi ni YEHOVA, Mungu wenu, niwatoaye mtoke chini ya mizigo ya Wamisri.

Kutoka 6:8
Nami nitawaleta hata nchi ile ambayo naliinua mkono wangu, niwape Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo; nitawapa iwe urithi wenu; Mimi ni YEHOVA.


mwisho Acha uongo...

Kitu pekee ungesema kuweka Sawa maneno yako ungesema Allah kaiba maandiko ya Yehova ungeeleweka



Some clues that Moses didn't write the Pentateuch, according to liberal theologians:​



As mentioned elsewhere in this website, many Christian and Jewish conservatives believe that Moses is the sole author of the Pentateuch and that he was inspired directly by God to write text that is free of error. Other theologians have claimed that there is some internal evidences in the Bible that these conclusions are invalid:

  • Theologians were prompted to develop the Documentary Hypothesis as a result of observing the presence of doublets in the Pentateuch. These are pairs of stories which occur in two separate locations in the text. The doublets generally do not agree fully; there are usually minor differences between the stories. R.E. Friedman, in his 1997 book "Who Wrote the Bible?" lists a number of them:
    • Two creation stories in Genesis.
    • Two descriptions of the Abrahamic covenant.
    • Two stories of the naming of Isaac.
    • Two instances where Abraham deceived a king by introducing his wife Sarah as his sister.
    • Two stories of Jacob traveling to Mesopotamia
    • Two stories of a revelation at Beth-el to Jacob.
    • Two accounts of God changing Jacob's name to Israel
    • Two instances where Moses extracted water from two different rocks at two different locations called Meribah.

    • It is difficult to account for so many doublets -- most containing slight discrepancies -- if all five books were written over a short interval of time by Moses or by any other single individual. Liberal theologians reasoned that a much more logical explanation is that the books were written by multiple authors who lived long after the events described. That would have allowed the oral tradition to be passed from generation to generation in different areas of the land so that they had a chance to deviate from each other before being written down. In a few cases, triplets have been found in the Pentateuch where the same accounts appears three times. 10
  • Genesis 7:15: In the story of the Flood, these verses have Noah collecting two of each species of animals -- one male and one female . Genesis 7:2-3 specifies 7 pairs of clean animals and birds and 1 pair of unclean animals.
  • Genesis 7:11 describes water coming from the heavens and from below the ground to generate the worldwide flood. However, Genesis 7:4 describes all of the water falling as rain.
  • Genesis 7:11, 7:17, 7:24 and 8:3 specify different intervals for the flood duration which have no apparent resolution. 11
  • Genesis 11:31 This describes Abraham as living in the city Ur, and associates that location with the Chaldeans. Archaeological evidence indicates that the Chaldeans did not exist as a tribe at the time of Abraham; they rose to power much later, during the 1st millennium BCE.
  • Genesis 14:14: This verse refers to Abram pursuing some surviving kings of Sodom and Gomorrah to the city of Dan. However, that place name did not exist until a long time after Moses' death. Other locations are also identified in the Pentateuch by names that were invented long after the death of Moses.
  • Genesis 22:14: The verse states: "And Abraham called the name of that place Jehovahjireh: as it is said to this day..." There are many verses in the Torah that state that something has lasted "to this day". That appears to have been written by a writer who composed the passages long after the events described, and long after Moses' death.
  • Genesis 36 contained a list of Edomite kings which included some monarchs who were in power after Moses' death. R.E. Friedman wrote: "In the eleventh century, Isaac ibn Yashush, a Jewish court physician of a ruler in Muslim Spain, pointed out that a list of Edomite kings that appears in Genesis 36 named kings who lived long after Moses was dead. Ibn Yashush suggested that the list was written by someone who lived after Moses. The response to his conclusion was that he was called "Isaac the blunderer." History has proven him to be correct, at least as viewed by most mainline and liberal theologians. 9
  • Exodus 33:7 describes Moses entering the Tabernacle. Yet, the Tabernacle had not yet been built; its subsequent construction is described in Exodus 35.
  • Numbers 12:3: This verse states "Now the man Moses was very humble, more than all men who were on the face of the earth." (NKJ) If Moses were that humble, it is unlikely that he would have described himself in these glowing terms.
  • Numbers 25:1 which describes the rebellion at Peor referred to Moabite women; Numbers 25:6 14 refers to Midianites.
  • Deuteronomy 34:5-9: These verses describe the death, burial, age at death, physical condition at death, and mourning period for Moses. It is difficult for an individual to describe events at and after his or her death. Some have suggested that this portion of the Pentateuch (and only this portion) was written later by Joshua. However, R.E. Friedman wrote:
"...in the sixteenth century, Carlstadt, a contemporary of Luther, commented that the account of Moses' death is written in the same style as texts that precede it. This makes it difficult to claim that Joshua or anyone else merely added a few lines to an otherwise Mosaic manuscript." 9
  • Deuteronomy 34:10 This states "There has never been another prophet like Moses..." (NLT) This sounds like a passage written long after Moses' death. Enough time would have had to pass for many other prophets to have arisen, to passed from the scene, and to have been evaluated.
 
Back
Top Bottom