Nimeshajibu hapo, suala kwamba nilichojibu ni uongo ni tofauti na kwamba sijajibu.Ni uongo Allah hajawahi kuwa mungu wa wayahudi
Alafu Kuna verse ata moja Allah anasema nilijulikana kwao kama Jehovah?
Mimi sio wa kujibu hoja kwa sasa ila nitakujibu pindi utakpokuwa na uelewa juu ya Quran, hata hao waarabu sio kwamba wanaijua vyema QuranJibu hoja , unatoroka kizembe
Nimemalizana na wewe kama unayo hoja nyingine karibu.[emoji23][emoji23][emoji23] Nenda kasome big bang, nani alikwambia big bang mbingu na ardhi [emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu Allah anasema walikufuru hawakuona kwani walikuwepo [emoji23][emoji23][emoji23] Allah kila akiongea anaongea pumba
وَجَاهِدُوا فِي اللَّهِ حَقَّ جِهَادِهِ ۚ هُوَ اجْتَبَاكُمْ وَمَا جَعَلَ عَلَيْكُمْ فِي الدِّينِ مِنْ حَرَجٍ ۚ مِّلَّةَ أَبِيكُمْ إِبْرَاهِيمَ ۚ هُوَ سَمَّاكُمُ الْمُسْلِمِينَ مِن قَبْلُ وَفِي هَـٰذَا لِيَكُونَ الرَّسُولُ شَهِيدًا عَلَيْكُمْ وَتَكُونُوا شُهَدَاءَ عَلَى النَّاسِ ۚ فَأَقِيمُوا الصَّلَاةَ وَآتُوا الزَّكَاةَ وَاعْتَصِمُوا بِاللَّهِ هُوَ مَوْلَاكُمْ ۖ فَنِعْمَ الْمَوْلَىٰ وَنِعْمَ النَّصِيرُNamaanisha Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo alisha wahi kujitambulisha kwa Muhammadi.?
Naomba Aya.
Hapo ndipo Allah alipojitambulisha kwa Muhammadi sio ?وَجَاهِدُوا فِي اللَّهِ حَقَّ جِهَادِهِ ۚ هُوَ اجْتَبَاكُمْ وَمَا جَعَلَ عَلَيْكُمْ فِي الدِّينِ مِنْ حَرَجٍ ۚ مِّلَّةَ أَبِيكُمْ إِبْرَاهِيمَ ۚ هُوَ سَمَّاكُمُ الْمُسْلِمِينَ مِن قَبْلُ وَفِي هَـٰذَا لِيَكُونَ الرَّسُولُ شَهِيدًا عَلَيْكُمْ وَتَكُونُوا شُهَدَاءَ عَلَى النَّاسِ ۚ فَأَقِيمُوا الصَّلَاةَ وَآتُوا الزَّكَاةَ وَاعْتَصِمُوا بِاللَّهِ هُوَ مَوْلَاكُمْ ۖ فَنِعْمَ الْمَوْلَىٰ وَنِعْمَ النَّصِيرُ
(AL -HAJJ - 78)
Na fanyeni juhudi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kama inavyo stahiki jihadi yake. Yeye amekuteueni. Wala hakuweka juu yenu mambo mazito katika Dini. Nayo ni mila ya baba yenu Ibrahim. Yeye (Mwenyezi Mungu) alikuiteni Waislamu tangu zamani, na katika hii (Qur'ani) pia, ili awe Mtume shahidi juu yenu, na nyinyi muwe mashahidi kwa watu. Basi shikeni Sala na toeni Zaka na shikamaneni na Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye Mlinzi wenu, Mlinzi bora kabisa, na Msaidizi bora kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
سَبَّحَ لِلَّهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۖ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُHivi Allah ailiwahi kujitambulisha kwa Muhammadi ?
Kama Yehova alivyo Jitambulisha kwa Ibrahimu na Musa ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama sio, Muhammadi alijuaje kuwa huyo anaye mwita Allah ndiye Mungu Muumba kila kitu?
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Au japo kumwuliza tu kama alivyomwuliza Musa kwamba yeye ni nani?
Kutoka 3:13 Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n'nani? Niwaambie nini?
[emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimemaliza,hata ingekuwa kajitambulisha kwa barua bado ni utambulisho tu.Hapo ndipo Allah alipojitambulisha kwa Muhammadi sio ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani Ana kwa Ana kama Musa.
Kwamba kabla ya Musa watu hawakumjua Mungu wa kweli ni nani hadi alipokuja Musa na kuuliza jina la Mungu?Mtume Muhammadi hadi anauawa kwa sumu na Mke Safiya aliyempora siku hiyo hiyo kwa kumwua mme wake.
Hajawahi kumjua Allah ni nani.
Kusema mwenyezi Mungu aliwaambia Wayahudi hiki na hiki sio kujua anaye ongea hivyo ni nani.
Hata mimi naweza kusema kwa kusikia au kusoma mahali fulani.
Allah hajawahi kujulikana hadi hii leo kuwa ni nani.
Ni hatari sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] Nenda kasome big bang, nani alikwambia big bang mbingu na ardhi [emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu Allah anasema walikufuru hawakuona kwani walikuwepo [emoji23][emoji23][emoji23] Allah kila akiongea anaongea pumba
Vichekesho hivi ukitaka kuvipata,we mbonyeze Che Mittoga.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba kabla ya Musa watu hawakumjua Mungu wa kweli ni nani hadi alipokuja Musa na kuuliza jina la Mungu?
Huyo anayesimulia hayo ni naniسَبَّحَ لِلَّهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۖ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ
(AL -H'ADIID - 1)
Kinamsabihi kumtakasa Mwenyezi Mungu kila kiliomo ndani ya mbingu na ardhi. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
لَهُ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۖ يُحْيِي وَيُمِيتُ ۖ وَهُوَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ
(AL -H'ADIID - 2)
Yeye ndiye Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Anahuisha na anafisha. Na Yeye ni Mwenye uweza wa kila kitu.
هُوَ الْأَوَّلُ وَالْآخِرُ وَالظَّاهِرُ وَالْبَاطِنُ ۖ وَهُوَ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمٌ
(AL -H'ADIID - 3)
Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho, naye ndiye wa Dhaahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu.
هُوَ الَّذِي خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ ۚ يَعْلَمُ مَا يَلِجُ فِي الْأَرْضِ وَمَا يَخْرُجُ مِنْهَا وَمَا يَنزِلُ مِنَ السَّمَاءِ وَمَا يَعْرُجُ فِيهَا ۖ وَهُوَ مَعَكُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ ۚ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ
(AL -H'ADIID - 4)
Yeye ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita; kisha akakaa vyema juu ya enzi. Anayajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo toka humo, na yanayo teremka kutoka mbinguni, na yanayo panda humo. Naye yu pamoja nanyi popote mlipo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyaona mnayo yatenda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
aweza kuiba kivipi? ikiwa umeseme kila jamii inamungu wao namambo yao? kwahio mungu anaona mambo yake hayatoshi anaiba yamiungu wengine/wenzake?
Kuhusu kutoa wapi nishajibu ila wewe tu umeshikilia Qur'an imeiba kwenye biblia, ila nishajibu kwamba Qur'an ni maneno ya Mungu mwenyewe wa mwenye vitabu vya Taurat Zabur Injili na Qur'an na hivyo Qur'an haijakopy waka kuiba kwenye Biblia bali ni Mungu mwenyewe ndio kahadithia hivyo visa.
Vitu ambavyo havi make sense kuwa na mungu wa kabila na wa jamii fulani. Tofautisha watu kuamini na kuleta maana ya hicho wanachokiamini, kuna miungu mingi tu zaidi hiyo ya jamii na makabila sijui mataifa ndio maana nasema zote ni imani tu ila imani zengine hazileti maana kabisa. Kwamba wewe ni mgogo basi una mungu wako wa kigogo na una mungu wako wa kiafrika.
Udini unakusaidia nini?Kwani kwako ili kitu kisaidie kinatakiwa kiweje na kifanye nini?
"Nasi" Ya Wingi Na Sio Mimi.Huyu anaye Jiita NASI ni nani ?
Aliye mtuma Muhammadi huku Mungu akiwa shahidi ?
Anaye ogopa walinzi Vimondo ?
Ambaye anasema hawezi kushindana na Mwenyezi Mungu?
Ambaye hakujitambulisha kule pangoni na kumkaba mtume hadi akaugua homa?
Ambaye ni Adui wa Jibliri
Surah An-Nisaa-Ayat 79
مَّآ أَصَابَكَ مِنۡ حَسَنَةٖ فَمِنَ ٱللَّهِۖ وَمَآ أَصَابَكَ مِن سَيِّئَةٖ فَمِن نَّفۡسِكَۚ وَأَرۡسَلۡنَٰكَ لِلنَّاسِ رَسُولٗاۚ وَكَفَىٰ بِٱللَّهِ شَهِيدٗا
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.
Surah Al-Djini Ayah 8
وَأَنَّا لَمَسۡنَا ٱلسَّمَآءَ فَوَجَدۡنَٰهَا مُلِئَتۡ حَرَسٗا شَدِيدٗا وَشُهُبٗا
Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.
Surah Al-Djini Ayah 12
وَأَنَّا ظَنَنَّآ أَن لَّن نُّعۡجِزَ ٱللَّهَ فِي ٱلۡأَرۡضِ وَلَن نُّعۡجِزَهُۥ هَرَبٗا
Nasi tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.
Surah Al-Baqarat Ayah 97
وَلَتَجِدَنَّهُمۡ أَحۡرَصَ ٱلنَّاسِ عَلَىٰ حَيَوٰةٖ وَمِنَ ٱلَّذِينَ أَشۡرَكُواْۚ يَوَدُّ أَحَدُهُمۡ لَوۡ يُعَمَّرُ أَلۡفَ سَنَةٖ وَمَا هُوَ بِمُزَحۡزِحِهِۦ مِنَ ٱلۡعَذَابِ أَن يُعَمَّرَۗ وَٱللَّهُ بَصِيرُۢ بِمَا يَعۡمَلُونَ
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Naomba kumjua huyu anaye jiita "Nasi" tafadhalini.