Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Ndugu; ukisoma kuanzia aya ya 30 ya sura hiyo tutaona ya kwamba damu kuletwa duniani ilikuwa ni mpamgo wa mungu na sio laana.

(AL - BAQARA - 30)
Na pale Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi), wakasema: Utaweka humo atakaye fanya uharibifu humo na kumwaga damu, hali sisi tunakutakasa kwa sifa zako na tunakutaja kwa utakatifu wako? Akasema: Hakika Mimi nayajua msiyo yajua.
Mpaka sasa hujajibu adamu alifanya Nini?

Allah alivyosema tokeni ni mpango au adhabu?
 
12 Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi;

Hayo ni mafunzo ambayo Paulo amejaribu kufunza katika barua zake. Lakini imani aliyofunza Paulo ya Dhambi ya Asili ya kurithiwa inapingwa na vifungu vingine kutokana na Biblia.

Katika Kumbukumbu la Torati, kwa mfano (na hicho ni katika vitabu vitano vinavyohisabiwa kuwa ndiyo Torati inayoaminiwa na Mayahudi na Wakristo) Musa anasema:

Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuwawe kwa ajili ya baba zao; kila mtu na auawe kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.

Kumbukumbu 24.16

Hali kadhaalika tunasoma neno la Mungu katika kitabu cha Yeremia:

Siku zile, hawatasema tena, Baba za watu wamekula zabibu kali, na meno ya watoto wao yametiwa ganzi. Bali kila mtu atakufa kwa sababu ya uovu wake mwenyewe; kila mtu alaye zabibu kali, meno yake yatatiwa ganzi.
Yeremia 31.29-30

Tena Neno la Mungu linaendelea kusema katika kitabu cha Ezekieli kwa uwazi zaidi:

Lakini ninyi mwasema, Kwani yule mwana asiuchukue uovu wa baba yake? Yule mwana atakapofanya yaliyo halali na haki, na kuzishika amri zangu na kuzitenda, hakika ataishi. Roho itendayo dhambi, ndiyo itayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe; haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.
Ezekieli 18.19-20



Ni wazi kabisa kuwa nadhariya ya Paulo ya dhambi ya asili ya kurithiwa inagongana na neno la Mungu kama lilivyo katika Biblia. Na haya yametajwa na Mwenyezi Mungu katika Qur'ani:


Katika Injili pia upo ushahidi ya kuwa Yesu mwenyewe anapinga hiyo nadhariya ya imani ya Dhambi ya Asili, yaani wanaadamu wamerithi dhambi aliyotenda Adam:

Hata (yesu) alipokuwa akipita alimwona mtu, kipofu tangu kuzaliwa. Wanafunzi wake wakamwuliza wakisema, Rabi, ni yupi aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata azaliwe kipofu? Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi, wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake.

Yohana 9.1-3

Kinyume na mafunzo ya Kanisa linalojiita kwa jina lake, ya kwamba watoto wote waliozaliwa wamezaliwa katika dhambi, mwenyewe Yesu Kristo anathibitisha kuwa watoto hawana dhambi.

Tunaona hayo zaidi katika maneno haya yaliyotajwa katika Injili ya Mathayo:

Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao, akasema, Amin, nawaambia, Msipoongoka na kuwa kama vitoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.

Mathayo 18.2-3
 
Rudi ujibu maswali yangu ,
Koran ni kama ka kipeperushi hakana majibu ya maswali
Niliwauliza ndugu zako mpaka Leo hakuna jibu wametoa

Koran imeiba fisa vya wayahudi
Unakuta Kuna character anaitwa yakub Muhammad anasimulia mara ghafla anakuwa Israel na wala atuambii ilikuwaje akawa Israel na Israel maana yake nini?
Hiyo si shida ya Quran. Ni shida yako wenye.

Bahati mbaya mi si mwanahistoria. Lkn kama unataka maarifa uliza Kyle quota utapata majibu.

Mimi nawaona yesu na muhamad lengo lao halikuwa wao kusoma historia. Bali kuandika historia.

Kazi ilikuwa ni kumake it happen.

Tatizo letu sisi tunachukua dini kama kujua historia. Tuko ktk kundi la what's happen;

Mimi Uislam wangu ni ile wa make it happen. Na nasoma historia kujua jinsi gani walifanikiwa na gn hawakufanikiwa.

Kwa yesu ingawa hakufanikiwa kuwa khalifa kushika dola lkn alikukubali matokea ikiwemo kuwa tayari hata kudulubiwa.

Muhammad alifanikiwa kuwa kiongozi. Sasa Mimi na wewe tujiulize. Tuko tayari kuuondoa utawala uliopo wa kipagani. Pili tuko tayari kusalimu amri au kusulubiwa.

Au tuendelew na illusions kuwa muendelee na uzinifu na mapenzi ya jinsia moja kwa sambi sote ni sa yesu
 
Hayo ni mafunzo ambayo Paulo amejaribu kufunza katika barua zake. Lakini imani aliyofunza Paulo ya Dhambi ya Asili ya kurithiwa inapingwa na vifungu vingine kutokana na Biblia.

Katika Kumbukumbu la Torati, kwa mfano (na hicho ni katika vitabu vitano vinavyohisabiwa kuwa ndiyo Torati inayoaminiwa na Mayahudi na Wakristo) Musa anasema:

Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuwawe kwa ajili ya baba zao; kila mtu na auawe kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.

Kumbukumbu 24.16

Hali kadhaalika tunasoma neno la Mungu katika kitabu cha Yeremia:

Siku zile, hawatasema tena, Baba za watu wamekula zabibu kali, na meno ya watoto wao yametiwa ganzi. Bali kila mtu atakufa kwa sababu ya uovu wake mwenyewe; kila mtu alaye zabibu kali, meno yake yatatiwa ganzi.
Yeremia 31.29-30

Tena Neno la Mungu linaendelea kusema katika kitabu cha Ezekieli kwa uwazi zaidi:

Lakini ninyi mwasema, Kwani yule mwana asiuchukue uovu wa baba yake? Yule mwana atakapofanya yaliyo halali na haki, na kuzishika amri zangu na kuzitenda, hakika ataishi. Roho itendayo dhambi, ndiyo itayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe; haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.
Ezekieli 18.19-20



Ni wazi kabisa kuwa nadhariya ya Paulo ya dhambi ya asili ya kurithiwa inagongana na neno la Mungu kama lilivyo katika Biblia. Na haya yametajwa na Mwenyezi Mungu katika Qur'ani:


Katika Injili pia upo ushahidi ya kuwa Yesu mwenyewe anapinga hiyo nadhariya ya imani ya Dhambi ya Asili, yaani wanaadamu wamerithi dhambi aliyotenda Adam:

Hata (yesu) alipokuwa akipita alimwona mtu, kipofu tangu kuzaliwa. Wanafunzi wake wakamwuliza wakisema, Rabi, ni yupi aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata azaliwe kipofu? Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi, wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake.

Yohana 9.1-3

Kinyume na mafunzo ya Kanisa linalojiita kwa jina lake, ya kwamba watoto wote waliozaliwa wamezaliwa katika dhambi, mwenyewe Yesu Kristo anathibitisha kuwa watoto hawana dhambi.

Tunaona hayo zaidi katika maneno haya yaliyotajwa katika Injili ya Mathayo:

Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao, akasema, Amin, nawaambia, Msipoongoka na kuwa kama vitoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.

Mathayo 18.2-3
Sijui kama hata unaelewa maana ya dhambi ya asili, Biblia inaongelea kifo sisi wanadamu baada ya dhambi ya Adam kifo kiliingia kwa wote achana na zile dhambi nyingine sijui baba kaiba au kazini then watoto wanahukumiwa kwasababu ya baba yao siyo hiyo. ni Dhambi ya asili sijui unaelewa?
Au Quran inasema kosa la Adam lilikuwa lipi embu tuweke sawa hapo.
 
Mpaka sasa hujajibu adamu alifanya Nini?

Allah alivyosema tokeni ni mpango au adhabu?
Ni mpango

(AL - BAQARA - 38)
Tukasema: Shukeni nyote ardhini; na kama ukikufikieni uwongofu utokao kwangu, basi watakao fuata uwongofu wangu huo haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.
 
Hiyo si shida ya Quran. Ni shida yako wenye.

Bahati mbaya mi si mwanahistoria. Lkn kama unataka maarifa uliza Kyle quota utapata majibu.

Mimi nawaona yesu na muhamad lengo lao halikuwa wao kusoma historia. Bali kuandika historia.

Kazi ilikuwa ni kumake it happen.

Tatizo letu sisi tunachukua dini kama kujua historia. Tuko ktk kundi la what's happen;

Mimi Uislam wangu ni ile wa make it happen. Na nasoma historia kujua jinsi gani walifanikiwa na gn hawakufanikiwa.

Kwa yesu ingawa hakufanikiwa kuwa khalifa kushika dola lkn alikukubali matokea ikiwemo kuwa tayari hata kudulubiwa.

Muhammad alifanikiwa kuwa kiongozi. Sasa Mimi na wewe tujiulize. Tuko tayari kuuondoa utawala uliopo wa kipagani. Pili tuko tayari kusalimu amri au kusulubiwa.

Au tuendelew na illusions kuwa muendelee na uzinifu na mapenzi ya jinsia moja kwa sambi sote ni sa yesu
Unaendelea kuto kujibu

Koran imeiba fisa vya wayahudi
Unakuta Kuna character anaitwa yakub Muhammad anasimulia mara ghafla anakuwa Israel na wala atuambii ilikuwaje akawa Israel na Israel maana yake nini?


Pia ujibu adamu alifanya Nini?
 
Ni mpango

(AL - BAQARA - 38)
Tukasema: Shukeni nyote ardhini; na kama ukikufikieni uwongofu utokao kwangu, basi watakao fuata uwongofu wangu huo haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.
Uwongofu gani kama hawakufanya chochote?
 
Sijui kama hata unaelewa maana ya dhambi ya asili, Biblia inaongelea kifo sisi wanadamu baada ya dhambi ya Adam kifo kiliingia kwa wote achana na zile dhambi nyingine sijui baba kaiba au kazini then watoto wanahukumiwa kwasababu ya baba yao siyo hiyo. ni Dhambi ya asili sijui unaelewa?
Au Quran inasema kosa la Adam lilikuwa lipi embu tuweke sawa hapo.

DHAMBI YA ASILI​

Katika Agano la Kale kitabu cha kwanza, kinachoitwa Mwanzo, imo hadithi ya kuumbwa mtu na kuanguka kwake. Hivyo ndivyo inavyosimuliwa alivyoanguka Adam kutokana na kukosa neema:

Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza. Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Mwanzo 2.15-17

Juu ya hivyo lakini Adam kwa kushawishiwa na mkewe, Hawa, aliasi amri ya Mungu na akala matunda ya mti wa ujuzi aliyokatazwa. Mungu akawalaani wote wawili:

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako; michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni; kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, na mavumbini utarudi.
Mwanzo 3.16-19

Kwa ajili ya dhambi yao hiyo, Kanisa linasema,

Adamu na Hawa wakakosa neema ya kutakaswa, haki ya kuwapo Mbinguni na vile vipawa vyao mahsusi; ndio ikawa waweza kufa, kuteseka, na kuwa na matamanio makubwa kutenda maovu na wakafukuzwa kutoka bustani ya Paradisio (Firdausi). Kwa sababu ya dhambi ya Adamu wanaadamu wote wakizaliwa wanakosa neema ya utakaso na wanarithi adhabu yake. Hii ndiyo inayoitwa dhambi ya asili.

Thiologia, yaani ilimu ya Ungu, ya Mtakatifu Paulo iliikuza hiyo imani ya Dhambi ya Asili kuthibitisha imani nyengine, yaani imani ya kuokoka kwa kifo cha Yesu msalabani.

Katika barua yake aliyowapelekea Warumi Paulo aliandika hivi:

Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi; maana kabla ya sheria dhambi ilikuwamo ulimwenguni, lakini dhambi haihesabiwi isipokuwapo sheria; walakini mauti ilitawala tangu Adamu mpaka Musa, nayo iliwatawala hata wao wasiofanya dhambi ifananayo na kosa la Adamu, aliye mfano wake yeye atakayekuja. Lakini karama ile haikuwa kama lile kosa; kwa maana ikiwa kwa kukosa kwake yule mmoja wengi walikufa, zaidi sana neema ya Mungu, na kipawa kilicho neema yake mwanadamu mmoja Yesu Kristo kimezidi kwa ajili ya wale wengi.

Warumi 5.12-15
 
Unajua unapuyanga tu, wanadamu wamemkosea Mungu kwa vipi kwanini wamkosee? embu jiulize kwanza hiyo je Mungu alituumba ili tuteseke na tufe au kwanini tuna kufa ?
Sasa kwa maana Adam alikataa kufata amri ya yesu?!?
Quran haijataja kosa
(AL - BAQARA 30 - )
 
Unaendelea kuto kujibu

Koran imeiba fisa vya wayahudi
Unakuta Kuna character anaitwa yakub Muhammad anasimulia mara ghafla anakuwa Israel na wala atuambii ilikuwaje akawa Israel na Israel maana yake nini?


Pia ujibu adamu alifanya Nini?

Quran , injili , Tourati , Zaburi ni vitabu vya Mungu.

Injili , Tourati , Zaburi vimechakachuliwa ili kuweka sawa mambo ndio ikashushwa Quran

Hivi vitabu tulivyo navyo yamo mabaki ya maneno ya Mungu , watu na mitume lakini haviko safi Quran ndio kipimo cha ukweli
 
Sijui kama hata unaelewa maana ya dhambi ya asili, Biblia inaongelea kifo sisi wanadamu baada ya dhambi ya Adam kifo kiliingia kwa wote achana na zile dhambi nyingine sijui baba kaiba au kazini then watoto wanahukumiwa kwasababu ya baba yao siyo hiyo. ni Dhambi ya asili sijui unaelewa?
Au Quran inasema kosa la Adam lilikuwa lipi embu tuweke sawa hapo.

Paulo anakusudia kusema kuwa wanaadamu wote, wameingia makosani kwa vile Adam alivyovunja amri ya Mwenyezi Mungu, ndio maana ya kufa kwao; mpaka kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo ndiko kumeleta uhai kwa wenye kumuamini kuwa yeye ni Mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa ajili ya kuwaokoa walimwengu kwa kuteswa na kutundikwa msalabani na kufa na kuingia Jahannam na kisha kufufuka na kupaa mbinguni.

Haya ni mafunzo ambayo Paulo amejaribu kufunza katika barua zake.
 
Uwongofu gani kama hawakufanya chochote?
Walifanya na wakasamehewa.

But hebu tutumie mantiki na mafunzo yenu. Kwamba mungu kabeba dhambi Adam aliyemuumba na kizazi chake. Na kwamba hata wewe huoni, unapimana wa wenzi na kwamba mungu wako keshabeba mzigo wako.

Sawa ushaokolewa na umeokoka.

Mimi nakuhakikishia mzigo huo ni wakwako na hakuna atakaekusaidia
 

DHAMBI YA ASILI​

Katika Agano la Kale kitabu cha kwanza, kinachoitwa Mwanzo, imo hadithi ya kuumbwa mtu na kuanguka kwake. Hivyo ndivyo inavyosimuliwa alivyoanguka Adam kutokana na kukosa neema:

Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza. Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Mwanzo 2.15-17

Juu ya hivyo lakini Adam kwa kushawishiwa na mkewe, Hawa, aliasi amri ya Mungu na akala matunda ya mti wa ujuzi aliyokatazwa. Mungu akawalaani wote wawili:

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako; michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni; kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, na mavumbini utarudi.
Mwanzo 3.16-19

Kwa ajili ya dhambi yao hiyo, Kanisa linasema,

Adamu na Hawa wakakosa neema ya kutakaswa, haki ya kuwapo Mbinguni na vile vipawa vyao mahsusi; ndio ikawa waweza kufa, kuteseka, na kuwa na matamanio makubwa kutenda maovu na wakafukuzwa kutoka bustani ya Paradisio (Firdausi). Kwa sababu ya dhambi ya Adamu wanaadamu wote wakizaliwa wanakosa neema ya utakaso na wanarithi adhabu yake. Hii ndiyo inayoitwa dhambi ya asili.

Thiologia, yaani ilimu ya Ungu, ya Mtakatifu Paulo iliikuza hiyo imani ya Dhambi ya Asili kuthibitisha imani nyengine, yaani imani ya kuokoka kwa kifo cha Yesu msalabani.

Katika barua yake aliyowapelekea Warumi Paulo aliandika hivi:

Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi; maana kabla ya sheria dhambi ilikuwamo ulimwenguni, lakini dhambi haihesabiwi isipokuwapo sheria; walakini mauti ilitawala tangu Adamu mpaka Musa, nayo iliwatawala hata wao wasiofanya dhambi ifananayo na kosa la Adamu, aliye mfano wake yeye atakayekuja. Lakini karama ile haikuwa kama lile kosa; kwa maana ikiwa kwa kukosa kwake yule mmoja wengi walikufa, zaidi sana neema ya Mungu, na kipawa kilicho neema yake mwanadamu mmoja Yesu Kristo kimezidi kwa ajili ya wale wengi.

Warumi 5.12-15
Angalia leo Mwanamke hazai kwa uchungu? Mwanaume hali kwa jasho? je hatufi? Adam aliambiwa 'ukila hilo tunda hakika utakufa' je mwanadamu hafi? Quran inasema ni kwa maana hiyo?
 
Angalia leo Mwanamke hazai kwa uchungu? Mwanaume hali kwa jasho? je hatufi? Adam aliambiwa 'ukila hilo tunda hakika utakufa' je mwanadamu hafi? Quran inasema ni kwa maana hiyo?

Kwani walipokula kuna yeyote alikufa hapo ???

Paulo anasema anakufa kila siku , ndio alikufa?? 1 Corinthians 15:31?
 
Paulo anakusudia kusema kuwa wanaadamu wote, wameingia makosani kwa vile Adam alivyovunja amri ya Mwenyezi Mungu, ndio maana ya kufa kwao; mpaka kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo ndiko kumeleta uhai kwa wenye kumuamini kuwa yeye ni Mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa ajili ya kuwaokoa walimwengu kwa kuteswa na kutundikwa msalabani na kufa na kuingia Jahannam na kisha kufufuka na kupaa mbinguni.

Haya ni mafunzo ambayo Paulo amejaribu kufunza katika barua zake.
Quran inasema nini juu ya kifo, kwanini mwanadamu anakufa? je Mungu alimuumba mwanamu ili afe?
 
Back
Top Bottom