Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

SIKUELEWI UMEANDIKA NINI HAPA...
 
Kwenye kushushwa hapo mi ndo huwa mnanikata stim aisee.

Kushushwa aje yani, kwamba Mungu alikua anampa story za watu wa kale ambao sio jamii yake.

Kikubwa kila mtu afe na chake, tukutane tukiwa na miili mipya.
 
Huyu jamaa kalewa kanywa mbege eti biblia aliona wapi kwenu vitabu vya mungu Kuna bibliaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hapa hatujadili kama Quran au biblia kipi ni kitabu cha Mungu, hilo ni subjective huwezi kuprove au kidisprove ni jambo la kiimani..na huenda hata vyote visiwe vitabu vya Mungu.

ishu hapa ni je Quran au biblia ipi inaaminika kihistoria? ili uiamini Quran inabidi kwanza umuamini Muhamad (maana kila kitu kilitoka kwa Muhamad akisema kimetoka kwa jibril anayesema kinatoka kwa Allah)

Ukishamuamini Muhamad inakubidi sasa ndio uamini kila kitu kwenye Quran blindly maana ni masimulizi ambayo hata Muhamad msimuliaji hakuwepo.

Biblia ni masimulizi ya wahusika waliokuwepo kwenye tukio au hata kama hawakuwepo basi waliishi zama za hayo matukio..sio mtu anakusimulia habari za yesu miaka 600 imeshapita.

Paulo ana credibility kuliko Muhamad kwasababu

1. ameishi zama hizo hizo za yesu(sio miaka 5 baadae).
2. Amekutana na watu waliokuwa wanafunzi wa Yesu kina petro na wengine

Paulo ni mfano mmoja ila ni karibia vitabu vyote iko hivyo.
 
mtoa mada kama una lingine linakutatiza usisite kuliongezea tupo apa kukuhudumia nakupa Quiz kaa chini tuletee makosa ndani ya Qurani kama utayapata mitaomba unibatize niwe mkristo.
Makosa unataka makosa ya aje?
Kiuandishi, kihistoria, kisayansi, au kivipi?
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kwamba Paulo ni mtume, Muhammad ni mtume πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚inakujaje unamfananisha Paulo na Muhammad sema kama humjui.

Muhammad ni mtume wa mwenyewe mungu ndo maisha halisi sasa tunayosoma.

Paulo ni trash huwezi mfananisha na Muhammad kuwa na akili timamu.

Muhammad ni mtume je Paulo ni mtume? Maana nyie hata mbeya hapa mna mtume sijui mwamposa
 
Kwenye kushushwa hapo mi ndo huwa mnanikata stim aisee.

Kushushwa aje yani, kwamba Mungu alikua anampa story za watu wa kale ambao sio jamii yake.

Kikubwa kila mtu afe na chake, tukutane tukiwa na miili mipya.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Tunapeana elimu tu baadhi ya Aya zimekuja kutokana na matukio husika ili kutoa fatwaah kama utatuzi palipokuwa na mushkeri, ntakuambia mpaka leo kama unafuatilia biblia inafanyiwa marekebisho kwamba haijakamili ila qur an is a complete code of life na imeendana na matakwa ya binadamu almost ni Kama katiba.

biblia Ina weakness coz Kuna mkono wa paulo na sio kitabu cha mwenyewe ni masimulizi yaliandikwa kwa kupunguza na kuongeza mambo baadhi ya vitabu vya nyuma..

Qur an imekuja kusadifu yaliyopita yaani kukubaliana na kuyatukuza ..biblia imepunguza na kuongeza vitu vipya kwamba hakiwezi kuwa kitabu ni sawa na Lambert tu maana hata yeye anafanya citation kutokana vitabu MBALIMBALI .
 
We jamaa nilikuwa nakuelewa sana uandishi wako nikajua unaakili kumbe na we ni walewale tu... Achana na mambo ya dini ulikua unaenda vizuri ayo mambo ya bible na quran yameanza kujadiliwa miaka mingi huwezi kubadili chochote
Tokea thread ni za hovyo sana tokea kitambo huyo jinga
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mitume mingine ipo huku Namanyere inalima viazi..... Robert ameandika uharo leo eti Quran kitabu Cha Hearsay wakati mwenyewe ameandika Hearsay...πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mitume mingine ipo huku Namanyere inalima viazi..... Robert ameandika uharo leo eti Quran kitabu Cha Hearsay wakati mwenyewe ameandika Hearsay...πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kuna mmoja anatangazwa kule Facebook anaitwa mtume Tesha wa huko Kilimanjaro πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚watu Wana utani sana hii dunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…