Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua


Watu wa madrassa ni vichaa sana.. akili zao za kijinga sana.

Wao wanakwambia binadamu yoyote kazaliwa muislamu.. hata wewe na mimi ni waislamu.. ukiwaambia waweke ushahidi wanakupa haya za quran ndio zimesema hivo kwamba binadamu yeyote ni muislamu
 
Uliombwa ulete chain ya muhammad mpaka Kwa Ibrahim, embu tupe verses tukasome
Hakuna swali Hilo nililo ulizwa humu ndani, labda uulize wewe Sasa hivi. Nikiombwa niweke mababu wa tano wa Mtume nikaweka.

Hakuna Mkristo hata mmoja mwenye Chain tu inayofika kwa Yesu.
 
Sasa hii Chain mbona imekatika kijana ? Daudi alimzaa Suleyman unajua kitambo Cha Suleyman mpaka kuja kwa Yesu ni kipi ?
Koran haijasema wewe umejuaje ? Unasoma biblia kwa kujificha
 
Hizi stori ndiyo hatuzitaki humu ndani. Wekeni habari zenu kwa Chain, na nilishawaomba mniambie habari hizi mlizonukuliwa zimeandikwa na nani ?
 
Watu wa madrassa ni vichaa sana.. akili zao za kijinga sana.

Wao wanakwambia binadamu yoyote kazaliwa muislamu.. hata wewe na mimi ni waislamu.. ukiwaambia waweke ushahidi wanakupa haya za quran ndio zimesema hivo kwamba binadamu yeyote ni muislamu

Nilimuuliza kuwa ili mtu awe Muislam anatakiwa aweje? Bila Shaka anatakiwa kufuata nguzo kuu tano za uislam.

Nikamuuliza katika Manabii na mitume wote wa kiyahudi ni Mtume yupi alifuata nguzo kuu tano za uislam ili mitume HAO wawe Waislam. Mpaka sasa hakuna aliyetoa majibu ya kueleweka
 
Hakuna swali Hilo nililo ulizwa humu ndani, labda uulize wewe Sasa hivi. Nikiombwa niweke mababu wa tano wa Mtume nikaweka.

Hakuna Mkristo hata mmoja mwenye Chain tu inayofika kwa Yesu.
Umeshaulizwa uweke chain ya muhammad mpaka Kwa Ibrahim,
Ila ukumbuke Muhammad kazilia miaka 4 baada ya baba yake kufariki
 

Wakristo Elimu ya nasaba kadhalika hamna.

Kwahiyo huyu Saudi aliyeongelewa hapa ni Daudi gani ambaye amemzaa Yesu ?

Na huyu Yusufu mtoto wa Yakobo ambaye alimuona Mama yake Yesu ni nani ?
 

Adam , musa na ibrahim wanakuwa waislamu kivipi?

Nguzo za uislamu walikuwa wanazifanyia wapi?

Ama ndio ile kusema kila binadamu kazaliwa muislamu hata mimi pia ni muislamu bila ushahidi wowote
 
Haya maneno mengi, ukitaka kujadiliana na Mimi kwanza uonyesha misingi ya uandishi wa vitabu vyenu Kisha tujadili kilicho ndani.

Yeremia ni nani na kitabu Cha Yeremia kimeandikwa na nani ?
 
Mkuu mbona kichwa chako Kama kimebeba maji badala ya ubongo?

Kwa hiyo huyu Mohammed Dewj sio Mohammad Kwa sababu Hilo jina ametumia Mtume Muhammad WA miaka ya 570AD?

Jina moja linaweza tumiwa na watu wengi Acha kujidhalilisha humu
Kijana hapa tunajadili milichoandikwa kwenye Biblia. Niambie huyo Daudi ni daudi yupi na Yakobo no Yakobo yupi na Yusufu ni Yusufu yupi kwa mujibi wa Biblia ?
 
Umeshaulizwa uweke chain ya muhammad mpaka Kwa Ibrahim,
Ila ukumbuke Muhammad kazilia miaka 4 baada ya baba yake kufariki
Hili swali sijaulizwa labda liulize wewe Sasa hivi nikujibu.
 
Kwa mujibu wa Quran Ni kosa mtu kutumia jina la mtu mwingine?
Siyo kosa kabisa ila andiko lenu linaonyesha wazi kabisa wanao ongelewa hapo ni mitume na manabii wa Allah, ambao ni Yakobo, Yusufu na Daudi.

Sasa ili wewe uwe sahihi inabidi muandishi wa Habari hizo atuambie kwamba hao siyo wao na hapa kazi itakuwa imeisha.
 
Wakristo Elimu ya nasaba kadhalika hamna.

Kwahiyo huyu Saudi aliyeongelewa hapa ni Daudi gani ambaye amemzaa Yesu ?

Na huyu Yusufu mtoto wa Yakobo ambaye alimuona Mama yake Yesu ni nani ?

Yesu sio tuu mwana WA Daudi Bali pia ni mwana wa Adamu.
Soma hapa;

Luka 3:23
<br>Na Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa amepata umri wake kama miaka thelathini, akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu, wa Eli,

Luka 3:24
wa Mathati, wa Lawi, wa Melki, wa Yana, wa Yusufu,

Luka 3:25
wa Matathia, wa Amosi, wa Nahumu, wa Esli, wa Nagai,

Luka 3:26
wa Maathi, wa Matathia, wa Semei, wa Yusufu, wa Yuda,

Luka 3:27
wa Yoana, wa Resa, wa Zerubabeli, wa Shealtieli, wa Neri,

Luka 3:28
wa Melki, wa Adi, wa Kosamu, wa Elmadamu, wa Eri,

Luka 3:29
wa Yoshua, wa Eliezeri, wa Yorimu, wa Mathati, wa Lawi,

Luka 3:30
wa Simeoni, wa Yuda, wa Yusufu, wa Yonamu, wa Eliakimu,

Luka 3:31
wa Melea, wa Mena, wa Matatha, wa Nathani, wa Daudi,

Luka 3:32
wa Yese, wa Obedi, wa Boazi, wa Salmoni, wa Nashoni,

Luka 3:33
wa Aminadabu, wa Aramu, wa Hesroni, wa Peresi, wa Yuda,

Luka 3:34
wa Yakobo, wa Isaka, wa Ibrahimu, wa Tera, wa Nahori,

Luka 3:35
wa Serugi, wa Ragau, wa Pelegi, wa Eberi, wa Sala,

Luka 3:36
wa Kenani, wa Arfaksadi, wa Shemu, wa Nuhu, wa Lameki,

Luka 3:37
wa Methusela, wa Henoko, wa Yaredi, wa Mahalaleli, wa Kenani,

Luka 3:38
wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu.
 
Yesu ni mwana wa Adamu kwa maana si kwa uzao Bali ni kwa silika na jinsi, hata wewe ni mwana wa Adamu.

Sasa unapokuja kutaja ukoo ujue ni uzao, Sasa hapa kunatofauti kubwa, maana yake ili Sasa hayo yakubalike inabidi mkubali ya kuwa ukoo wa Yesu haujulikani, na hayo yalio andikwa ni uongo. Mnaweza kulikubali Hilo ?
 

Hao sio waarabu ili wawe manabii wa Allah.
Nabii wa Allah ni Muhammad, Kwa sababu Mungu wa waarabu anaitwa Allah.
Na Mungu WA Wayahudi anaitwa Yehova/Yahweh/Jehova au Kwa kiswahi ni NIKO AMBAYE NIKO.

Nilikupa Aya hapa, labda nirudie Kwa faida ya wengine maana wewe kichwa yako naona imejaa Moshi;
Soma;
Kutoka 3:13
Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n’nani? Niwaambie nini?

Kutoka 3:14
Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO; akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKOamenituma kwenu.

Soma tena;
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;

Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Allah hajawahi kuwa mungu wa Wayahudi, kihistoria na kiimani.
Allah hajawahi kufika Jerusalem, Rama, Bethlehem, Jordan,
Allah Maeneo yake ya kujidai ni Mecca na Madina.
Sasa Muhammad kufanya plagiarism ndio kesi iliyopo hapa,

Angetakiwa afunguliwe mshtaka Kwa wizi wa hakimiliki za visa na wahusika wa Kiyahudi.
Alichofanya ni UTAPELI
 
Ndio Mkuu.
Mwislamu msomi na sasa Ameijua Kweli na Kweli Imemuweka Huru.

Amekuwa Mwana wa Mungu.

Vizuri Sana.
Maana hawa mawikili wa uislam ni Kama vile wanalazimisha Stori za Quran ziwe ndio rejea kuu.

Yaani ni Kama Wasabato waamue kumfanya Ellen G White kuwa ndio ATI msingi wa rejea wakati Ellen ametolea visa kwenye Biblia alichofanya ni kufafanua tuu.

Bahati nzuri Ellen yeye amekiri wazi Kabisa na Akatoa acknowledgment Kwa Biblia lakini Muhammad hakutoa credit.

Na huo ndio utapeli wenyewe
 
Hahaha huu Uzi umebeba vitu vingi sana vya kujifunza ila mkuu maswali yako yako kilogic Sana'a yamekaa vzur inshort unaweza sema hiz nguzo tano za uislam zilianza kwa mtume Muhammad hao wengine walitumwa kwa wa2 specific tu ndio mana huon mitume iliyopita ilifata maana zama zao zmepita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…