Yesu ni mwana wa Adamu kwa maana si kwa uzao Bali ni kwa silika na jinsi, hata wewe ni mwana wa Adamu.
Sasa unapokuja kutaja ukoo ujue ni uzao, Sasa hapa kunatofauti kubwa, maana yake ili Sasa hayo yakubalike inabidi mkubali ya kuwa ukoo wa Yesu haujulikani, na hayo yalio andikwa ni uongo. Mnaweza kulikubali Hilo ?
Ukoo wa YESU huu hapa
Luka 3:23
<br>Na Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa amepata umri wake kama miaka thelathini, akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu, wa Eli,
Luka 3:24
wa Mathati, wa Lawi, wa Melki, wa Yana, wa Yusufu,
Luka 3:25
wa Matathia, wa Amosi, wa Nahumu, wa Esli, wa Nagai,
Luka 3:26
wa Maathi, wa Matathia, wa Semei, wa Yusufu, wa Yuda,
Luka 3:27
wa Yoana, wa Resa, wa Zerubabeli, wa Shealtieli, wa Neri,
Luka 3:28
wa Melki, wa Adi, wa Kosamu, wa Elmadamu, wa Eri,
Luka 3:29
wa Yoshua, wa Eliezeri, wa Yorimu, wa Mathati, wa Lawi,
Luka 3:30
wa Simeoni, wa Yuda, wa Yusufu, wa Yonamu, wa Eliakimu,
Luka 3:31
wa Melea, wa Mena, wa Matatha, wa Nathani, wa Daudi,
Luka 3:32
wa Yese, wa Obedi, wa Boazi, wa Salmoni, wa Nashoni,
Luka 3:33
wa Aminadabu, wa Aramu, wa Hesroni, wa Peresi, wa Yuda,
Luka 3:34
wa Yakobo, wa Isaka, wa Ibrahimu, wa Tera, wa Nahori,
Luka 3:35
wa Serugi, wa Ragau, wa Pelegi, wa Eberi, wa Sala,
Luka 3:36
wa Kenani, wa Arfaksadi, wa Shemu, wa Nuhu, wa Lameki,
Luka 3:37
wa Methusela, wa Henoko, wa Yaredi, wa Mahalaleli, wa Kenani,
Luka 3:38
wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu.