Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Basi kama hivyo waislamu na wakristo wangefanana mambo yao kama ibada zao n.k maana si hakuna fundisho jipya alilokuja nalo Muhamnad kwamba yote kakopy ?

Nimejibu andiko jipya ni pamoja na fundisho la Majini.

Waislam hawawezi kufanana ibada zao Kwa sababu miungu yao ni tofauti.
Mungu WA Biblia ni Yehova/Yahweh
Mungu WA Quran ni Allah aliyekuwa mungu wa waarabu kabla ya uislam
 
Sijui kwanini mnabishana hili suala dogo sana, Muhammad kaja kipindi ambacho hivyo visa vyote vishatokea hivyo vinajulikana kwahiyo hakuwa akielezea kama kitu kipya kama ambavyo kuna kisa cha toka kuumbwa Adamu huko na hakuna aliyekuwepo iweje shida Muhammad kuelezea hivyo visa vyengine ndio ije hoja ya kwamba hakuwepo huko?

Unasema alikuwa haelezei Kama kitu kipya ilhali anasema Yesu alizaliwa mchana kwenye mtende ilhali inafahamika Yesu alizaliwa Usiku kwenye Hori la NG'OMBE.

Muhammad anasema Yesu hakusulubishwa ilhali Visa alivyovikuta vinasema alisulubishwa.

Huoni kimahakama Muhammad anapotosha? Au ni muongo
 
Kuelezea sio tatizo ni kweli imevielezea ila haina maana kuwa Qur'an ni mkusanyiko wa hivyo vitabu kama inavyosemwa kwa Biblia kuwa biblia ni mkusanyiko wa vitabu. Qur'an imeeleza vitu vingi sana.

Quran imeeleza vitu vingi lakini haviwezi kuwa ushahidi mahakamani. Kwa sababu haitoi taarifa sahihi na nyeti kuhusu matukio inayoelezea.

Mifano, unaweza niambia Kwa mujibu wa Quran Daudi alizaliwa wapi? Akaishi miaka mingapi na akafa wapi?

Au Issa alizaliwa wapi? Au Ibrahim alikufa akiwa na miaka mingapi, akazikwa wapi?

Kimahakama hayo ndio yataulizwa alafu Quran itabaki imeduwaa isiwe na chakujibu.

Quran haijui hata Neno mungu/Allah sio personal name inayoweza kumtambulisha ni mungu yupi au wakina Nani.

Lakini Biblia yenyewe ipo full kuwa Mungu wa waisrael ni Yehova, na kuna miungu mingi imetajwa kulingana na jamii husika za watu.
 
mpumbavu anaifananisha maneno ya mungu na mahakama, jaji kaaumbwa na mungu halafu jaji amhukumu mungu, ujinga wa hali ya juu, ni sawa mama akuzae halafu umbake
 
IMG_0364.jpg
 
Wewe ni mgalatia haumjui Mungu wa kweli na ndio maana katika post zako unataja miungu mingi mingi sijui Mungu wa Musa sijui Mungu wa wakristo ,sijui Mungu wa waislam

Ila tambua kuwa Mungu ni mmoja tu aliyeumba mbingu na nchi na ndio aliyemuumba Ibrahim, Yesu , wewe na mimi
Sasa je! Huyo Mungu wewe unamjua shida yako ndio ipo hapo

Hapo nabii Ibrahim na mwanawe Ismail wapo Saudi Arabia wanajenga msikiti wa makka

Kisha wakaomba Dua na mwisho kabisa wanamuomba Mungu alete mtume katika nchi ya Saud Arabia anayetokana na wao

Quran 2:127.
Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi.

128.
Ewe Mola Mlezi wetu! Tujaalie tuwe ni wenye kusilimu kwako, na pia miongoni mwa vizazi vyetu wawe umma ulio silimu kwako. Na utuonyeshe njia za ibada yetu na utusamehe. Bila shaka Wewe ndiye Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

129.
Ewe Mola Mlezi wetu! Waletee Mtume anaye tokana na wao, awasomee Aya zako, na awafundishe Kitabu na hikima na awatakase. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

Mkuu hivi uliwahi kwenda mahakamani?
Kwenye hizo Aya zako kuna sehemu pametajwa Saudia Arabia?

Muulize Mwalimu wako WA Dini, Ibrahimu hajawahi kukanyaga Ardhi ya Saudia Arabia.
Fuatilia hata Mitandaoni kama hauna Mwalimu.

Mambo ya kidini yapo kihistoria, Ibrahim Routes zake zote zimeorodheshwa kwenye visa vya kiyahudi, na hakuna route yoyote ya Saudia Arabia
 
In the Old Testament, in Psalms 84:5-6, 10, there is mention of the valley of Baca. This passage, in the King James Version (KJV), reads as follows
 
Aliandika kupitia maswaha aliokuwa anawasimulia.
Kwani hujui hata historia ya kitabu cha Quran?
Hakuna Aya iliyoshushwa haya moja.

Muhammad alikuwa akiwasimulia Maswahaba wale alafu wao waaandika, yaani alikuwa anasimulia kadiri alivyokuwa anakumbuka.
Zingatia, mpaka Muhammad anaondoka hapakuwa na kitabu kinachoitwa Quran, Ila maswahaba wake wao ndio walikusanya zile Aya na kuunda kitabu ambacho mnakitumia hivi leo.
Jamaa wewe yani umekariri kuwa Qur'an inaeleza visa vya zamani tu ndio maana unatoa hayo maelezo. Inaonesha umekuja kuanzisha mada bila ya kupitia vizuri yaliyomo kwenye Qur'an.
 
Nilimuuliza kuwa ili mtu awe Muislam anatakiwa aweje?
Bila Shaka anatakiwa kufuata nguzo kuu tano za uislam.
Nikamuuliza katika Manabii na mitume wote wa kiyahudi ni Mtume yupi alifuata nguzo kuu tano za uislam ili mitume HAO wawe Waislam. Mpaka sasa hakuna aliyetoa majibu ya kueleweka
Kwahiyo mkristo akiamua kufuata hizo nguzo tano ndio anakuwa muislamu?
 
Jamaa wewe yani umekariri kuwa Qur'an inaeleza visa vya zamani tu ndio maana unatoa hayo maelezo. Inaonesha umekuja kuanzisha mada bila ya kupitia vizuri yaliyomo kwenye Qur'an.

Quran ukitoa Aya ilizoiba kwenye maandiko ya kiyahudi haibaki na Jambo lolote la maana. Inakuwa kitabu cha kawaida kabisa
 
mpumbavu anaifananisha maneno ya mungu na mahakama, jaji kaaumbwa na mungu halafu jaji amhukumu mungu, ujinga wa hali ya juu, ni sawa mama akuzae halafu umbake

Maneno ya mungu yakiwa yameandikwa na wanadamu tunaweza kuyapeleka mahakamani kuyathibitisha Kama ni kweli au sio kweli ili yasipotoshe watu.

Quran na Biblia ni vitabu kama vilivyovitabu vingine vinavyotumiwa na wanadamu, kuvi- certifying ni kitu cha kawaida.
 
Back
Top Bottom