Unateseka Sana 😂😂 umeshindwa kupangua hojaUnaposema biblia unakusudia biblia ipi?
Queen James Version, King James Version, NIV, RSV, au ipi katika maelfu ya biblia tofauti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka Sana 😂😂 umeshindwa kupangua hojaUnaposema biblia unakusudia biblia ipi?
Queen James Version, King James Version, NIV, RSV, au ipi katika maelfu ya biblia tofauti?
Ukisema vigezo vyote ina maana akiishia kigezo cha kutoa shahada tu bado hajawa muislamu?
Huo unaoitwa msahafu... Ni jina tu wamelipagaza waswahili... Jina lake sahihi ni QUR-AAN.Msahafu umeandikwa wapi
Ili uwe muislamu na nguzo za uislamu hivyo ni vitu viwili.
Uislamu ni mfumo mzima wa maisha na Qur'an ndio muongozo wake, sasa ukisema kwamba ukitoa hivyo visa vya zamani kwenye Qur'an inafanya Qur'an kuwa haina cha maana hapo nitakushangaa.Quran ukitoa Aya ilizoiba kwenye maandiko ya kiyahudi haibaki na Jambo lolote la maana. Inakuwa kitabu cha kawaida kabisa
Swali ni kwa RobertUnateseka Sana 😂😂 umeshindwa kupangua hoja
Ni ninyi ndio mnaosema hivyo.Aliyesema ni Mimi?
Hoja zilizowasilishwa mahakamani unazijua?
Atoe credit kwa nani sasa hebu niambie?Kwa nini hajatoa Credit kama walivyofanya wenzake?
Au nikupe Aya za kina Yesu wakitoa Rejea?
Kafanya lake kvp mbona hapo hatuelewani? Qur'an imesahisha kuwa Yesu hakuwa Mungu kama ambavyo wakristo wanaamini na kudai hivyo na pia Yesu hakusulubiwa, wewe unasema et Muhammad kafanya hicho kisa ni chake kisa.Unapo chukua andiko lazima uweke acknowledgement, Muhammad yeye kafanya kuchukua na ku edit na kujifanya ni yake amefanya Plagiarism
Jipya alilo kuja nalo Muhammad ni mapepo kuwa ni waislamu
Hapa hamuwezi kuchomoka, kumbuka hapa tunaongelea ukoo wa Yesu. Sababu hao walio tajwa ni manabii na mitume.Yusuf si wako wengi kama ilivyo Muhammad wako wengi wanaoitwa Muhammad nimekuja gundua una upeo mdogo sana
Ajabu nin yusuph wako wengi ni jina tu hata Leo Kuna watu kibao wanaitwa yusuphu
Sio kuchomoka wewe ndo inaonekana mjinga sababu unabishana na written evidence, we endelea kupinga una uhuru na haki hiyo lakin huwezi bishana na ukweliHapa hamuwezi kuchomoka, kumbuka hapa tunaongelea ukoo wa Yesu. Sababu hao walio tajwa ni manabii na mitume.
Cha muhimu alitakiwa atoe acknowledgement, kaiba visa vingiKafanya lake kvp mbona hapo hatuelewani? Qur'an imesahisha kuwa Yesu hakuwa Mungu kama ambavyo wakristo wanaamini na kudai hivyo na pia Yesu hakusulubiwa, wewe unasema et Muhammad kafanya hicho kisa ni chake kisa.
Ni suala la wewe kuamua kuamini kilichoelezwa kwenye Biblia na kuachana na kilicho elezwa na Qur'an kwa sababu hauamini Qur'an ila kutaka kulazimisha umiliki wa hivyo visa na Muhammad hajatumia Biblia kama marejeo ya hivyo visa.
Hapo hakuna ushahidi sababu maandiko yenu hayajatoka kwa Yesu Moja kwa Moja ndiyo maana yanajichanganya sana.Sio kuchomoka wewe ndo inaonekana mjinga sababu unabishana na written evidence, we endelea kupinga una uhuru na haki hiyo lakin huwezi bishana na ukweli
Hiyo Biblia yenyewe ina matoleo tofauti tofauti kitendo hicho tu kimebadili sana maana ya baadhi ya Aya kuna tafsiri tofauti tofauti, sasa sijui nani alikwambia Qur'an ilitoa hivyo visa kwenye biblia?Amepotosha maana kabadili maandiko ya watu , yeye kayakuta anaanza kuleta edition
Mengine kachukua majina tu kapachika na majina ya wayahudi uwa Yana maana
Kachukua yakobo kampachika Israel wala haelezi ilikuwaje jina kubadilika
Kwani Quran imetoka kwa Muhammad ambaye hajui kusoma wala kuandikaHapo hakuna ushahidi sababu maandiko yenu hayajatoka kwa Yesu Moja kwa Moja ndiyo maana yanajichanganya sana.
Kingine siyo kilicho andikwa ni sahihi, ndiyo maana kuna Elimu na misingi ya kuhakiki habari.
Kwa hiyo tafsir walikuwa wanatafsir kutoka hewani? Yani hakuna sourceHiyo Biblia yenyewe ina matoleo tofauti tofauti kitendo hicho tu kimebadili sana maana ya baadhi ya Aya kuna tafsiri tofauti tofauti, sasa sijui nani alikwambia Qur'an ilitoa hivyo visa kwenye biblia?
Kwani haya majina ya Yesu na Jesus yamepatikana vp au yana maana ipi?
Kama anavyo zungumzia visa vya uhusiano wa Majini na Uislamu.Kwa hiyo tafsir walikuwa wanatafsir kutoka hewani? Yani hakuna source
Muhammad kaiba kazi za watu kafanya zake na ku edit kubadili
Yeye alitakiwa kuja na visa vya waarabu
Hata mimi naweza kupotosha kwa kusema nimezaliwa Tanzania kumbe nimezaliwa Uingereza, unalijua hilo?Mtu akisema Wewe umezaliwa Uingereza wakati umezaliwa Tanzania amepotosha au hajapotosha?
basi ndio hivyohivyo kwa biblia ,ambalo jina lake sahihi ni injiliHuo unaoitwa msahafu... Ni jina tu wamelipagaza waswahili... Jina lake sahihi ni QUR-AAN.
Na lipo kwenye Quran yenyewe... Rejea comment yangu kwa comments zilizopita au kufuata baada ya hii uliyoreply.