Mohamad kasema yeye ndio mwislam wa Kwanza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] baadaye waandishi wa Quran wakampiga chini wakasema Adam na Musa na Ibrahim Hao ndio waislam WA Kwanza . Mimi naungana na Mohamad yeye ndio mwislam wa Kwanza na Quran ndio mwongozo WA waislam [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Musa hakuwa mwislam WALA Adam WALA Ibrahim Ni mchongo WA watu fulani tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nipo kanisani nakemea majini Kwa Jina la Yesu
Watu wa madrassa ni vichaa sana.. akili zao za kijinga sana.
Wao wanakwambia binadamu yoyote kazaliwa muislamu.. hata wewe na mimi ni waislamu.. ukiwaambia waweke ushahidi wanakupa haya za quran ndio zimesema hivo kwamba binadamu yeyote ni muislamu