Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #1,061
Kafanya yake kvp? Hebu fafanua yapi aliyoyafanya yake?
Basi kama hivyo waislamu na wakristo wangefanana mambo yao kama ibada zao n.k maana si hakuna fundisho jipya alilokuja nalo Muhamnad kwamba yote kakopy ?
Sijui kwanini mnabishana hili suala dogo sana, Muhammad kaja kipindi ambacho hivyo visa vyote vishatokea hivyo vinajulikana kwahiyo hakuwa akielezea kama kitu kipya kama ambavyo kuna kisa cha toka kuumbwa Adamu huko na hakuna aliyekuwepo iweje shida Muhammad kuelezea hivyo visa vyengine ndio ije hoja ya kwamba hakuwepo huko?
Kuelezea sio tatizo ni kweli imevielezea ila haina maana kuwa Qur'an ni mkusanyiko wa hivyo vitabu kama inavyosemwa kwa Biblia kuwa biblia ni mkusanyiko wa vitabu. Qur'an imeeleza vitu vingi sana.
Bible is not correct kwa 100% but is the most researched book...
Quran ndio kitabu cha ovyo cha hadithi/history duniani
Wewe ni mgalatia haumjui Mungu wa kweli na ndio maana katika post zako unataja miungu mingi mingi sijui Mungu wa Musa sijui Mungu wa wakristo ,sijui Mungu wa waislam
Ila tambua kuwa Mungu ni mmoja tu aliyeumba mbingu na nchi na ndio aliyemuumba Ibrahim, Yesu , wewe na mimi
Sasa je! Huyo Mungu wewe unamjua shida yako ndio ipo hapo
Hapo nabii Ibrahim na mwanawe Ismail wapo Saudi Arabia wanajenga msikiti wa makka
Kisha wakaomba Dua na mwisho kabisa wanamuomba Mungu alete mtume katika nchi ya Saud Arabia anayetokana na wao
Quran 2:127.
Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi.
128.
Ewe Mola Mlezi wetu! Tujaalie tuwe ni wenye kusilimu kwako, na pia miongoni mwa vizazi vyetu wawe umma ulio silimu kwako. Na utuonyeshe njia za ibada yetu na utusamehe. Bila shaka Wewe ndiye Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
129.
Ewe Mola Mlezi wetu! Waletee Mtume anaye tokana na wao, awasomee Aya zako, na awafundishe Kitabu na hikima na awatakase. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
Jamaa wewe yani umekariri kuwa Qur'an inaeleza visa vya zamani tu ndio maana unatoa hayo maelezo. Inaonesha umekuja kuanzisha mada bila ya kupitia vizuri yaliyomo kwenye Qur'an.Aliandika kupitia maswaha aliokuwa anawasimulia.
Kwani hujui hata historia ya kitabu cha Quran?
Hakuna Aya iliyoshushwa haya moja.
Muhammad alikuwa akiwasimulia Maswahaba wale alafu wao waaandika, yaani alikuwa anasimulia kadiri alivyokuwa anakumbuka.
Zingatia, mpaka Muhammad anaondoka hapakuwa na kitabu kinachoitwa Quran, Ila maswahaba wake wao ndio walikusanya zile Aya na kuunda kitabu ambacho mnakitumia hivi leo.
Kwahiyo mkristo akiamua kufuata hizo nguzo tano ndio anakuwa muislamu?Nilimuuliza kuwa ili mtu awe Muislam anatakiwa aweje?
Bila Shaka anatakiwa kufuata nguzo kuu tano za uislam.
Nikamuuliza katika Manabii na mitume wote wa kiyahudi ni Mtume yupi alifuata nguzo kuu tano za uislam ili mitume HAO wawe Waislam. Mpaka sasa hakuna aliyetoa majibu ya kueleweka
Kwahiyo mkristo akiamua kufuata hizo nguzo tano ndio anakuwa muislamu?
Kwahiyo mkristo akiamua kufuata hizo nguzo tano ndio anakuwa muislamu?
Jamaa wewe yani umekariri kuwa Qur'an inaeleza visa vya zamani tu ndio maana unatoa hayo maelezo. Inaonesha umekuja kuanzisha mada bila ya kupitia vizuri yaliyomo kwenye Qur'an.
mpumbavu anaifananisha maneno ya mungu na mahakama, jaji kaaumbwa na mungu halafu jaji amhukumu mungu, ujinga wa hali ya juu, ni sawa mama akuzae halafu umbake
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Quran ukitoa Aya ilizoiba kwenye maandiko ya kiyahudi haibaki na Jambo lolote la maana. Inakuwa kitabu cha kawaida kabisa