Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Mungu wako anayestarehe weekend mbona hayumo ??
Kwahiyo kule Ahera kwenu, ile mito ya pombe na Bikra 72, mmewekewa ili mustarehe nyinyi tu waja wa Allah
Allah mwenyewe atakuwa anataabika tu juani sio.

Kiroja Muhamadi kakopi hii Aya bila kuweka Acknowledgement.

Ka plagiarize.


Kutoka 20:11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Surah Al-A'araf Ayah 54

إِنَّ رَبَّكُمُ ٱللَّهُ ٱلَّذِي خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ ثُمَّ ٱسۡتَوَىٰ عَلَى ٱلۡعَرۡشِۖ يُغۡشِي ٱلَّيۡلَ ٱلنَّهَارَ يَطۡلُبُهُۥ حَثِيثٗا وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَ وَٱلنُّجُومَ مُسَخَّرَٰتِۢ بِأَمۡرِهِۦٓۗ أَلَا لَهُ ٱلۡخَلۡقُ وَٱلۡأَمۡرُۗ تَبَارَكَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Kiti cha Enzi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni! Kuumba na amri ni zake. Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.

Muhammadi mwenyewe kajiita kuwa ni KIROJA.
Nammnukuu.

"Sema; mimi si Kiroja kipya katika mitume, sijui nitakachofanywa mimi wala mtakachofanywa nyinyi"
(Ile mito ya maziwa mmetapeliwa hapa anakili hajui chochote kitakacho wapata Ahera)

Nadhani maana ya Kiroja mnaijua.
 
Chanzo cha Afrika kuwa Maskini ni kuacha imani zetu za Asili na kuiga za kigeni.. umaskini wa fikra uli anzia hapo. Waarabu uislamu ni asili tangu mwanzo na wazungu hivyo hivyo.Ila waafrika asili yetu sio uislamu wala ukristo ndio maana kila kukicha ni kubishana DINI tulizo letewa..Tuna bishania Fiction identity..
Et waarabu uislamu ni asili yao tangu mwanzo! Mkuu waarabu walikuwa na imani zao za toka mababu zao, Muhammad kakuta watu wanaabudu miungu yao haikuwa rahisi waarabu kuacha imani za mababu zao na kufuata uislamu ambao wewe unasema ni asili yao toka mwanzo.
 
Isaac Newton yupo upande wa sayansi.Sayansi ina Facts na majibu ya maswali yake...Yesu ni Dini na dini ina mkanganyiko mkubwa unao leta sintofahamu baina ya waamini,Hadi kupelekea mabishano kama haya tunayofanya chanzo ni dini yenye contradiction nyingi.

Ulishawahi kuona nyuzi huku ziki bishana kati ya Albert Einstein na Isaac Newton nani bora?

Kwa nini kila siku ni Dini tu, Mara Biblia Vs Quran, Ukristo Vs Uislamu,Yesu Vs Muhammad???

Kwa nini dini kila siku na siyo sayansi?????
Kwamba kwenye sayansi hakuna mabishano?
 
Yani we jamaa! Ndio maana nasema biblia sio ya kulinganishwa na qur'an, na nimerudia sana kwamba qur'an ni zaidi ya hivyo visa vya wayahudi.

Qur'an inasimama yenyewe yeye kama yeye kwa kila kilichomo humo kinatambulika ni maneno ya Mungu, sasa biblia ni kitabu kilichokusanya maandiko na makorokoro mengine humo hivyo kuna mambo ya Mungu na yasiyo ya Mungu na ndio maana hivyo visa kwenye Qur'an unavyosema vimetolewa kwenye Biblia utaaona vingine vimepishana au kutofautiana na vile ilivyoelezwa kwenye biblia.

Quran haiwezi kusimama yenyewe bila Biblia mbona huelewi Mkuu.
Niambie Kwenye Quran hizi taarifa zipo?
i. Mitume wote nje ya Muhammad walizaliwa wapi na kufa wakiwa na miaka mingapi na walifia wapi?

ii. Kwa mujibu wa Quran eleza tawala zikizotawala dunia kabla ya kuzaliwa Mtume Muhammad

iii. Kwa mujibu wa Quran eleza, mungu wa mitume alikuwa Nani? Na hao mitume walikuwa Wayahudi, eleza mungu wa Wayahudi anaitwa Nani?

Quran haijitoshelezi hiyo ni moja ya hoja zilizowasilishwa mahakamani kuwa Quran haiwezi kutumika kama Rejea kuu.

Sasa nasubiri rejea kutoka kwenye Quran kujibu maswali yangu.
Alafu ukitaka za kwenye Biblia nitakupa.
 
Unatakiwa uwe na nakala Yako ambayo haijatiwa mikono tulinganishe na hii ilitiwa mikono

Kinyume Cha apo unajifurahisha tu
Kwahiyo bila mie kuwa na nakala yangu ndio hufanya kuwa ni uthibitisho wa kwamba kilichopo kwenye biblia ndio maandiko original?
 
Kwahiyo kule Ahera kwenu, ile mito ya pombe na Bikra 72, mmewekewa ili mustarehe nyinyi tu waja wa Allah
Allah mwenyewe atakuwa anataabika tu juani sio.

Kiroja Muhamadi kakopi hii Aya bila kuweka Acknowledgement.

Ka plagiarize.


Kutoka 20:11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Surah Al-A'araf Ayah 54

إِنَّ رَبَّكُمُ ٱللَّهُ ٱلَّذِي خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ ثُمَّ ٱسۡتَوَىٰ عَلَى ٱلۡعَرۡشِۖ يُغۡشِي ٱلَّيۡلَ ٱلنَّهَارَ يَطۡلُبُهُۥ حَثِيثٗا وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَ وَٱلنُّجُومَ مُسَخَّرَٰتِۢ بِأَمۡرِهِۦٓۗ أَلَا لَهُ ٱلۡخَلۡقُ وَٱلۡأَمۡرُۗ تَبَارَكَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Kiti cha Enzi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni! Kuumba na amri ni zake. Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.

Muhammadi mwenyewe kajiita kuwa ni KIROJA.
Nammnukuu.

"Sema; mimi si Kiroja kipya katika mitume, sijui nitakachofanywa mimi wala mtakachofanywa nyinyi"
(Ile mito ya maziwa mmetapeliwa hapa anakili hajui chochote kitakacho wapata Ahera)

Nadhani maana ya Kiroja mnaijua.


Bado tu unatuletea mungu wako aliyestarehe weekend ambaye pengine akinywa safari na nyama choma ?

hujaleta aya iliyokopiwa kutoka biblia
 
Kwahiyo kule Ahera kwenu, ile mito ya pombe na Bikra 72, mmewekewa ili mustarehe nyinyi tu waja wa Allah
Allah mwenyewe atakuwa anataabika tu juani sio.

Kiroja Muhamadi kakopi hii Aya bila kuweka Acknowledgement.

Ka plagiarize.


Kutoka 20:11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Surah Al-A'araf Ayah 54

إِنَّ رَبَّكُمُ ٱللَّهُ ٱلَّذِي خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ ثُمَّ ٱسۡتَوَىٰ عَلَى ٱلۡعَرۡشِۖ يُغۡشِي ٱلَّيۡلَ ٱلنَّهَارَ يَطۡلُبُهُۥ حَثِيثٗا وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَ وَٱلنُّجُومَ مُسَخَّرَٰتِۢ بِأَمۡرِهِۦٓۗ أَلَا لَهُ ٱلۡخَلۡقُ وَٱلۡأَمۡرُۗ تَبَارَكَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Kiti cha Enzi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni! Kuumba na amri ni zake. Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.

Muhammadi mwenyewe kajiita kuwa ni KIROJA.
Nammnukuu.

"Sema; mimi si Kiroja kipya katika mitume, sijui nitakachofanywa mimi wala mtakachofanywa nyinyi"
(Ile mito ya maziwa mmetapeliwa hapa anakili hajui chochote kitakacho wapata Ahera)

Nadhani maana ya Kiroja mnaijua.

SIFA ZA MUNGU

(a) Kutoka 33:17-20- Mungu haonekani:

“Bwana akamwambia Mussa nitafanya na neno hili ulilolinena kwa maana umepata neema mbele zangu nami na kujua jina lako, akasema nakusihi unioneshe utukufu wako . Akasema nitapitisha wema wangu wote mbele yako nami nitamfadhili yeye nitakayemfadhili ,nitamrehemu yeye nitakayemrehemu . Kisha akasema , Huwezi kuniona uso wangu , maana mwanadamu hataniona akaishi .

(b) Timotheo (1) 6:16 – Mungu haonekani wala hafi :

“Ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribia , Wala hakuna mwanadamu aliyemuona , Heshima na uwezo una yeye hata milele Amina.

(c) Yohana 5:37- Sauti ya Mungu haijasikika:

Naye Baba aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote ,wala sura yake hamkuiona .

(d) Yakobo 1:17- Mungu habadiliki:

“Kila kutoa kuliko kwema na kila kitolewacho kilicho kamili hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga, kwake hakuna kubadilika wala kivuli cha kugeuka geuka”

YESU ALIVYOPACHIKWA UUNGU

(a) Warumi 9:5
“Ambao mababu ni wao ,katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili . Ndiye aliye juu ya mambo yote . Mungu mwenye kuhimidiwa milele Amina.”

(b) Timotheo 3:16
“Na bila shaka siri ya utawa ni kuu, Mungu alidhihirishwa katika mwili , akajulikana kuwa na haki katika roho , Akaonekana na malaika akahubiriwa katika mataifa akaaminiwa katika ulimwengu , Akachukuliwa juu katika utukufu”

(c) Tito 2:13
Tukilitazamia tumaini lenye Baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na mwokozi wetu.

YESU ALIVYOUKANA UUNGU

(a) Luka 18:18

“Tena mtu mkubwa mmoja alimuuliza akasema , mwalimu mwema nifanye nini ili nipate kuurithi uzima wa milele? Yesu akamwambia mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja , naye ndiye Mungu”

(b) Yohana 17:3
“Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma”

(c) Yohana 14:28
“Mlisikia ya kwamba mimi naliwaambia naenda zangu tena naja kwenu kama mngalinipenda mngalifurahi kwasababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni Mkuu kuliko mimi”
 
Kupumbaza watu katika nini? Usieleze unavyoamini tu wewe au mitazamo kuhusu yako kuhusu dini bali njoo kuelezea uhalisia.
Tatizo nyie waarabu weusi na wamissionary wa kwa mtogole hamtaki ukweli kuwa dini hizi kama unakichwa panzi lazima uzikimbatie.....lakini kama medulla inafanya kazi vizuri dini ni biashara ya kiutawala!!!
 
Kupumbaza watu katika nini? Usieleze unavyoamini tu wewe au mitazamo kuhusu yako kuhusu dini bali njoo kuelezea uhalisia.
Tatizo nyie waarabu weusi na wamissionary wa kwa mtogole hamtaki ukweli kuwa dini hizi kama unakichwa panzi lazima uzikumbatie.....lakini kama medulla inafanya kazi vizuri dini ni biashara ya kiutawala!!!
 
Haha , Bibilia ni corrupted. Quran is the truth , 100% unchanged and it's the last revelation
 
Ndivyo alivyokuambia huyo mungu wako ??
Naendelea kukukumbusha acha uzumbukuku rudi shule utoe hayo maujinga uliomezeshwa upate kuwa na fikra safi na zenye mashiko....ww endelea kukumbatia dini utakufa maskini na mbinguni huendi ng'ooo😁😁😁
 
Kwahiyo bila mie kuwa na nakala yangu ndio hufanya kuwa ni uthibitisho wa kwamba kilichopo kwenye biblia ndio maandiko original?
Wewe umesema vimetiwa mikono , kusema sio tatizo talk is cheap, unatakiwa ulete uthibitisho na uthibisho wa kusema andiko limetiwa mikono ni kuleta ambalo halijatiwa mikono na useme ni kina nani wametia mikono walikuaa lini na wapi
 
Quran haiwezi kusimama yenyewe bila Biblia mbona huelewi Mkuu.
Niambie Kwenye Quran hizi taarifa zipo?
i. Mitume wote nje ya Muhammad walizaliwa wapi na kufa wakiwa na miaka mingapi na walifia wapi?

ii. Kwa mujibu wa Quran eleza tawala zikizotawala dunia kabla ya kuzaliwa Mtume Muhammad

iii. Kwa mujibu wa Quran eleza, mungu wa mitume alikuwa Nani? Na hao mitume walikuwa Wayahudi, eleza mungu wa Wayahudi anaitwa Nani?

Quran haijitoshelezi hiyo ni moja ya hoja zilizowasilishwa mahakamani kuwa Quran haiwezi kutumika kama Rejea kuu.

Sasa nasubiri rejea kutoka kwenye Quran kujibu maswali yangu.
Alafu ukitaka za kwenye Biblia nitakupa.
Bado hujanielewa, nimekwambia Qur'an inasimama yenyewe tofauti na hicho kitabu kinachoitwa biblia ambacho watu walikaa na kukusanya maandiko tofauti tofauti hadi mengine wakayaacha na wakakusanya makorokoro mengine na kuweka humo.
Qur'an haina shida na Torat,Zabur wala Injili inavitambua na imevitaja.

Kwahiyo unapotaja hiyo biblia ni vyema kukumbuka hayo.
 
Et waarabu uislamu ni asili yao tangu mwanzo! Mkuu waarabu walikuwa na imani zao za toka mababu zao, Muhammad kakuta watu wanaabudu miungu yao haikuwa rahisi waarabu kuacha imani za mababu zao na kufuata uislamu ambao wewe unasema ni asili yao toka mwanzo.
 

Attachments

  • Screenshot_20220521-114037_Gallery(1).jpg
    Screenshot_20220521-114037_Gallery(1).jpg
    65.9 KB · Views: 5
Back
Top Bottom