Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

SIFA ZA MUNGU

(a) Kutoka 33:17-20- Mungu haonekani:

“Bwana akamwambia Mussa nitafanya na neno hili ulilolinena kwa maana umepata neema mbele zangu nami na kujua jina lako, akasema nakusihi unioneshe utukufu wako . Akasema nitapitisha wema wangu wote mbele yako nami nitamfadhili yeye nitakayemfadhili ,nitamrehemu yeye nitakayemrehemu . Kisha akasema , Huwezi kuniona uso wangu , maana mwanadamu hataniona akaishi .

(b) Timotheo (1) 6:16 – Mungu haonekani wala hafi :

“Ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribia , Wala hakuna mwanadamu aliyemuona , Heshima na uwezo una yeye hata milele Amina.

(c) Yohana 5:37- Sauti ya Mungu haijasikika:

Naye Baba aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote ,wala sura yake hamkuiona .

(d) Yakobo 1:17- Mungu habadiliki:

“Kila kutoa kuliko kwema na kila kitolewacho kilicho kamili hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga, kwake hakuna kubadilika wala kivuli cha kugeuka geuka”

YESU ALIVYOPACHIKWA UUNGU

(a) Warumi 9:5
“Ambao mababu ni wao ,katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili . Ndiye aliye juu ya mambo yote . Mungu mwenye kuhimidiwa milele Amina.”

(b) Timotheo 3:16
“Na bila shaka siri ya utawa ni kuu, Mungu alidhihirishwa katika mwili , akajulikana kuwa na haki katika roho , Akaonekana na malaika akahubiriwa katika mataifa akaaminiwa katika ulimwengu , Akachukuliwa juu katika utukufu”

(c) Tito 2:13
Tukilitazamia tumaini lenye Baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na mwokozi wetu.

YESU ALIVYOUKANA UUNGU

(a) Luka 18:18

“Tena mtu mkubwa mmoja alimuuliza akasema , mwalimu mwema nifanye nini ili nipate kuurithi uzima wa milele? Yesu akamwambia mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja , naye ndiye Mungu”

(b) Yohana 17:3
“Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma”

(c) Yohana 14:28
“Mlisikia ya kwamba mimi naliwaambia naenda zangu tena naja kwenu kama mngalinipenda mngalifurahi kwasababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni Mkuu kuliko mimi”
Kiroja Muhammadi hakutahiriwa na hayupo katika(nasaba) asili ya koo za Nabii Ibrahimu.

Mwanzo 17:7 Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.

Mwanzo 17:10
Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.

Mwanzo 17:13
Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.
 
Wewe umesema vimetiwa mikono , kusema sio tatizo talk is cheap, unatakiwa ulete uthibitisho na uthibisho wa kusema andiko limetiwa mikono ni kuleta ambalo halijatiwa mikono na useme ni kina nani wametia mikono walikuaa lini na wapi
Mbona hata humu nimeeleza jinsi hiyo mikono ilivyoingia kwenye hayo maandiko, mfano nilizungumzia issue ya maandiko yanayodaiwa kuandika Musa na Joshua nimeonesha utata uliyomo kuwa kuna vitu vilivyoandikwa vimeonesha kuwa hata Joshua hakuwa muandishi bali kuna muandishi mwengine ambaye alikuja kuandika baadaye kabisa ambapo Joshua ameshafariki kitambo.
 
Naendelea kukukumbusha acha uzumbukuku rudi shule utoe hayo maujinga uliomezeshwa upate kuwa na fikra safi na zenye mashiko....ww endelea kukumbatia dini utakufa maskini na mbinguni huendi ng'ooo😁😁😁
Ndivyo alivyokuambia mungu wako ??
 
Tatizo nyie waarabu weusi na wamissionary wa kwa mtogole hamtaki ukweli kuwa dini hizi kama unakichwa panzi lazima uzikimbatie.....lakini kama medulla inafanya kazi vizuri dini ni biashara ya kiutawala!!!
Chochote kinaweza kuwa biashara chochote kile, tatizo unachagua kuona kwa upande unaoutaka halafu tambua dunia haijajigawa kwamba kuna watu wa dini na wasio na dini bali watu ni walewale tunasoma pamoja tunafanya kazi pamoja n.k wote wenye dini na wasio na dini.
 
Kiroja Muhammadi hakutahiriwa na hayupo katika(nasaba) asili ya koo za Nabii Ibrahimu.

Mwanzo 17:7 Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.

Mwanzo 17:10
Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.

Mwanzo 17:13
Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.


Muhammad SAW siMuisraeli

Yesu anasema :

Mt 15:24 SUV​

Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.



Kwa hivyo haya maneno ya Paulo yote ni uzushi na ni uongo ???????? Unakimbia hili swali

Collosians2

16 Kwa hiyo msimruhusu mtu awahukumu kuhusu chakula au kiny waji, au juu ya kuadhimisha sherehe za dini, sikukuu ya mwezi mpya au siku ya sabato. 17 Maana hizi zilikuwa ni kanuni za muda tu au vivuli vya yale mambo ambayo yangekuja; lakini hakika ya mambo yenyewe ni Kristo
 
Et waarabu uislamu ni asili yao tangu mwanzo! Mkuu waarabu walikuwa na imani zao za toka mababu zao, Muhammad kakuta watu wanaabudu miungu yao haikuwa rahisi waarabu kuacha imani za mababu zao na kufuata uislamu ambao wewe unasema ni asili yao toka mwanzo.
Zitaje hizo asili na imani za waarabu ni zipi???.
 
Mtume Muhammad alikuwa ni mtu mwerevu sana.

Mwenye kumbukumbu nzuri na uwezo wa kusimulia hadithi alizozijua kutokana na kusafiri safiri kwake miji tofauti kibiashara.

Akiwa safarini Alisikia hadithi nyingi za dini zilizokuwepo kipindi hiko kutoka kwa Mayahudi (walioishi Arabuni wakati huo) na za Kikristo (kutoka kwa safari zake za kwenda Syria ki biashara) na akaunganisha hadithi alizozisikia kutoka kwenye dini tofauti hadi kwenye dini mpya aliyoianzisha ya kiislamu yenye hoja ya Mungu mmoja na yeye mwenyewe kama Mtume.

(Ni kama story za utani za kumsema nyerere enzi zile akiona kitu kwenye tv anakuja kusema ameoteshwa kwamba Marekani kimetokea hiki.. sababu watu wengine hawana tv wanaamini kaoteshwa kweli)

Alifanikiwa kuitumia dini hii mpya kufikia malengo mawili, moja la muda mfupi na moja la muda mrefu.

Malengo yake ya muda mfupi yalikuwa ni ya kumfanya yeye kuwa Chief Man in Arabia jambo ambalo alifanikiwa kulipata hadi wakati wa kifo chake na, baada ya kifo chake, warithi wake walifanikiwa kufikia lengo lake la muda mrefu la kuwafanya waarabu waitawale dunia kwa kutumia advantage waliyonayo ya uislam na lugha ya kiarabu isambae dunia nzima na waarabu wawe watu muhimu kwenye jukwaa la kimataifa

Ukisoma vizuri quran story zilizopo kwenye quran zinazungumzia mazingira ambayo Mohammad aliyajua tu (kwa kufika ama kusikia story zake). Mazingira ya mbali hayapo kwenye quran Maana alikuwa hajawai kufika na hakuwai sikia story zake. Maana ni mbali na uarabuni

Mfano matunda yaliyotajwa , wanyama waliotajwa kwenye quran, ndege waliotajwa kwenye quran, vyakula na mengineyo ni vya mazingira ya middle east tu ambayo Mohammad aliyaona ama aliyasikia kwa watu jirani zake ( Mungu angeandika Quran asingefanya hili kosa maana anayajua mazingira ya dunia nzima na angeyaweka kwenye quran)

The Qur’an really speaks only of the animals found in the Arabian lands (midle east) , and only the plants and fruits that grow in that geography.”

Also Foods known in the ( midle east) Arabian lands such as figs, grapes, pomegranates, dates, olives, honey, onions, garlic, gherkin, etc. have also been used in various Qur’anic verses and examples for various topics…

Jiulize Why do animal, and fruit names not belonging to the arab land doesn’t indicated in the Qur’an?

Utapata jibu Prophet wrote these names which he saw in places he went and he heard story from other merchants .

Inshort prophet Mohammad had a dream

Nothing was going to stop him from making that dream come true…

He came up with Islam to gain political power and to unite his people under the rule of one goverment

Ukijiuliza swali hili

Why does the Quran not mention prophets in America, Australia, Asia, Northern Europe, China, Japan, or South Africa?

Jibu litakalokujia kichwani haraka haraka ni hili

Because the writers of the Qur'an would not have been aware if these lands. Islamic religion is invented in one small area of the world (arabs land) which is why quran, hadith, & sunnah text only mentions things happen in that area only
Wallah umewavuruga
 
Mtu aniambie Allah alikuwa anakaaje kisura??Na uislamu ulitoka wapi??Kama ambavyo Quran inasema!!😳
 
Muhammad SAW siMuisraeli

Yesu anasema :

Mt 15:24 SUV​

Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.



Kwa hivyo haya maneno ya Paulo yote ni uzushi na ni uongo ???????? Unakimbia hili swali

Collosians2

16 Kwa hiyo msimruhusu mtu awahukumu kuhusu chakula au kiny waji, au juu ya kuadhimisha sherehe za dini, sikukuu ya mwezi mpya au siku ya sabato. 17 Maana hizi zilikuwa ni kanuni za muda tu au vivuli vya yale mambo ambayo yangekuja; lakini hakika ya mambo yenyewe ni Kristo
Umepotea njia wewe rud
Muhammad SAW siMuisraeli

Yesu anasema :

Mt 15:24 SUV​

Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.



Kwa hivyo haya maneno ya Paulo yote ni uzushi na ni uongo ???????? Unakimbia hili swali

Collosians2

16 Kwa hiyo msimruhusu mtu awahukumu kuhusu chakula au kiny waji, au juu ya kuadhimisha sherehe za dini, sikukuu ya mwezi mpya au siku ya sabato. 17 Maana hizi zilikuwa ni kanuni za muda tu au vivuli vya yale mambo ambayo yangekuja; lakini hakika ya mambo yenyewe ni Kristo
Umepotea njia rudi nyuma
 
Kuna vitu inapishana na Quran
Kwa mfano Allah anatuambia kwenye Quran kuwa Yesu hakufa wala hakusulubiwa na Biblia inatuambia kuwa alisulubiwa akafa akafufuka.
Ndio mada tunajadili hapa
Muhammad alikuta vitabu vya biblia yeye aka copy na ku edit kwa Nini alifanya hivyo , na Kwa Nini kaiba story za wayahudi
 
Bado hujanielewa, nimekwambia Qur'an inasimama yenyewe tofauti na hicho kitabu kinachoitwa biblia ambacho watu walikaa na kukusanya maandiko tofauti tofauti hadi mengine wakayaacha na
Koran ilikusanywa na watu na maelefu yakachimwa moto wakakubaliana killpi waweke kipi wachome
 
Kwa kuwa sisi tunaamini
Yesu alikufa na kufufuka na kupaa mbinguni wenzetu wanaamini Yesu hakufa kabisa bali alipaa na atarudi tena kuua nguruwe wote na kuvunja misalaba baada ya hapo ataoa na atakufa kama viumbe wengine.
 
Vijana wa Tanzania hamnaga Jambo lolote la maana la kujadili zaidi ya Udini na Fikra Mfu tu na huu ndio mtaji wa Ccm kuhakikisha watu wanakuwa mazuzu
We endelea kunywa kahawa huku ukidanganywa na siasa za hao wahuni hapo kijiweni Kariakoo na Karume.
 
Wakorintho 1:25 NEN

Kwa maana upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, nao udhaifu wa Mungu una nguvu kuliko nguvu ya wanadamu.



Ivi nyie wakristo nani alowaroga
Yni bible yenu inamtukana uyo mungu wenu bila ya chenga

Dah aibu naona mimi huku
 
Umepotea njia wewe rud
Umepotea njia rudi nyuma


Wewe usiyepotea njia tuambie

Yesu anasema :

Mt 15:24 SUV​

Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.



Kwa hivyo haya maneno ya Paulo yote ni uzushi na ni uongo ???????? Unakimbia hili swali
Collosians2
16 Kwa hiyo msimruhusu mtu awahukumu kuhusu chakula au kiny waji, au juu ya kuadhimisha sherehe za dini, sikukuu ya mwezi mpya au siku ya sabato. 17 Maana hizi zilikuwa ni kanuni za muda tu au vivuli vya yale mambo ambayo yangekuja; lakini hakika ya mambo yenyewe ni Kristo
 
Koran ilikusanywa na watu na maelefu yakachimwa moto wakakubaliana killpi waweke kipi wachome


Haya maneno ya Paulo yote ni uzushi na ni uongo ???????? Unakimbia hili swali

Collosians2

16 Kwa hiyo msimruhusu mtu awahukumu kuhusu chakula au kiny waji, au juu ya kuadhimisha sherehe za dini, sikukuu ya mwezi mpya au siku ya sabato.

17 Maana hizi zilikuwa ni kanuni za muda tu au vivuli vya yale mambo ambayo yangekuja; lakini hakika ya mambo yenyewe ni Kristo
 
Back
Top Bottom