Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Umetuletea habari za mungu wako aliyestarehe weekend labda kwa kunywa Safari au pilsner pamoja na nyama choma
Rudi kwenye mada , mna dhalilisha mpaka tupo page 100 hamjapangua hoja ata moja
 
Hakufanyi mapepo kuwa ni wakristo
Muhammad kaweka wazi mapepo mpaka Lucifer ni waislamu, embu bisha


Walimu ndio hawa wanaotufahamisha biblia iliandikwa na nani na ina makosa yepi


Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana LONDON:


Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa:


“Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.

Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.

Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu".

Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.

Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84
 
Rudi kwenye mada , mna dhalilisha mpaka tupo page 100 hamjapangua hoja ata moja


Maana ya Neno Uislamu Kilugha


Kilugha, Uislamu unamaanisha kujisalimisha, kunyenyekea na kutii.


Dini hii ndio inaitwa Uislamu kwa sababu ni dini yenye msingi wa kusalimu amri za Allah na kuzitii.


Utiifu Msingi wa ujumbe wa Yesu ulikuwa ni utiifu wa kutii matakwa ya Mungu, kwa kuwa huo ndio msingi wa dini uliofanywa sheria na Mwenyezi Mungu kwa mwanadamu tangu mwanzo.


Mungu anasema katika Sura ya Al-Imraan, sura ya tatu ya Quran, aya 19:

"إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللّهِ الإِسْلاَمُ ..."

"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu…"


Kwa kiarabu kutii matakwa ya Mungu kunaelezwa na neno ‘Uislamu’.


Katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 7:21, Yesu ananukuliwa akisema:


“Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.”


Katika maelezo haya, Yesu anaweka mkazo juu ya “matakwa ya Baba”, utiifu wa matakwa ya mwanadamu kwa matakwa ya Mungu.

Katika Yohana 5:30, imesimuliwa kuwa Yesu vilevile amesema:

“Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliy
enipeleka.”
 
Alafu dudu inasimama milele 😂😂😂
Kina Gavana wametunia copy paste zote ila wameshindwa mada
Wamlete tu mazinge awasaidie
 
Alafu dudu inasimama milele 😂😂😂
Kina Gavana wametunia copy paste zote ila wameshindwa mada
Wamlete tu mazinge awasaidie

Hujaleta hata aya moja kutoka biblia kuthibitisha hiyo plagiarism yako zaidi ya kutuletea mungu wako wako aliyechoka akastarehe wekend labda kwa kunywa bia ya safari au Pilsner na kutafuna nyama choma
 
Hujaleta haya aya moja kutoka biblia kuthibitisha hiyo plagiarism yako zaidi ya kutuletea mungu wako wako aliyechoka akastarehe wekend labda kwa kunywa bia ya safari au Pilsner na kutafuna nyama choma
Kwani Allah alivyo maliza kazi alikaa kwenye kiti kufanya Nini? Ana makalio kumbe !

Rudi kwenye mada jibu post number 1 muite na mazige
 
Kwani Allah alivyo maliza kazi alikaa kwenye kiti kufanya Nini? Ana makalio kumbe !

Rudi kwenye mada jibu post number 1 muite na mazige

MIZANI YA IMANI YA WAKRISTO

Bwana Yesu Kristo alieleza mizani na alama za imani kama ifuatavyo:

1. Mkiwa na imani ya punje ya haridali, mtauambia mlima huu, ondoka hapa nenda kule, nao utaondoka; wala halitakuwapo neno lisilowezekana kwenu. (Mathayo17:20; 21:21; Marko 11:22-23, 9:23, Luka 17:6, 12, 13)

2. Bwana akasema: “Kama mngekua na imani kiasi cha chembe ya haridali mngeuambia mkuyu huu, ng'oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii.” (Luka 17:7).

3. Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia mkiwa na imani , msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, ngo'ka ukatupwe baharini, litatendeka. na yoyote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea. (Mathayo 21:21-22)


4. Amin, Amin, nawaambieni, yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kukuliko hizo atafanya, kwani mimi naenda kwa Baba. (Yohana 14:12-13).

5. Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lolote nanyi mtatendewa. (Yohana 15:7).

6. Tena nawaambia, wawili wenu mtakapopatana duniani katika jambo lolote watakalo liomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni. (Mathayo 7:3-12)

7. Ombeni nanyi mtapewa.... (Mathayo 7:3-12).

Katika mizani hii ya imani ya Wakristo, tumejua kwamba Mkristo atatambulika kwa alama zilizotajwa hapo juu.

Tena hizi ni alama za imani ndogo sana ya chembe ya haridali. Lakini kama Mkristo atakuwa na imani kubwa ataweza kuonesha miujiza mikubwa zaidi.

Vilevile Mkristo mwenye imani ni yule ambaye ataweza kuonesha miujiza na hasa sawa na ya Bwana Yesu bali mikubwa zaidi kuliko yake. Sasa kwanza tutafute miujiza ya Bwana Yesu katika Biblia, tumeona baadhi yao kama ifuatavyo:

1. Kuponya wagonjwa (Mathayo 8:16, 9:22, na 15:21).

2. Kuponya walemavu (Mathayo 8:1-3).

3. Kuponya mabubu. (Mathayo 9:3-7; 12-22).

4. Kuponya mwenye kupooza upande mmoja (kiarusi) (Mathayo 8:5-13. 9:1-7, 12:22).

5. Kumponya mwenye kifafa. (Mathayo 17:14-19).

6. Kuponya mkono wenye ukoma. (Mathayo 12:15).

7. Kuponya mgongo uliopinda (Kibyongo) (Luka 13:10).

8. Kuwafufua wafu. (Mathayo 9:24).

9. Kugeuza maji kuwa pombe. (Yohana 2:1-9).

10. Chakula kidogo kitoshe watu elfu tano. (Mathayo 14:13-21).

11. Kutembea juu ya maji. (Mathayo 14:22-23).

12. Kuzuia tufani . ( Mathayo 8:23-33).

Hapa nimetoa baadhi ya mifano tu ya miujiza ya Bwana Yesu. Kama Wakristo hawawezi kuonesha miujiza ya aina hii au alama ya imani yao sawa na Biblia, basi mambo mawili yanathibitika.

A. Bwana Yesu pia hakuonesha mujiza wowote bali ni hadithi za kutungwa tu zisizo na ukweli ndani yake.

B. Siku hizi Mkristo yeyote hana imani sawa na chembe ya haridali, bali wote wameshapotea tayari na hawana alama au dalili yoyote ya imani.

Hali hizi zote mbili ni mbaya sana na za kutisha.

Na dawa yake ni moja tu kwamba waingie katika dini ya Mwenyezi Mungu, ISLAM, baada ya kutambua umoja wa Mungu na Mtume Muhammad s.a.w. bila hivyo wataendelea kufedheheka siku hadi siku.
 
Kauli mbiu , muite mazige
 
Kauli mbiu , muite mazige

TAMBIO:

Tunawapa Wakristo tambio (challenge) kwamba kama wanayo imani sawa na chembe ya haridali, watuoneshe miujiza iliyotajwa hapo juu.

Mkristo mmoja au wawili au wajumuike wote, tunataka kuona miujiza tu ya imani yao, hata Pope au Kasisi wao ajitokeze.
 
# mlete mazige
 
Wewe Gavana, una kibri kilicho pitiliza.
Unawabishia hata Allah na Muhammad na Quran.

Wewe ni Muislamu gani ?

Surah Yunus Ayah 94.

فَإِن كُنتَ فِي شَكّٖ مِّمَّآ أَنزَلۡنَآ إِلَيۡكَ فَسۡ‍َٔلِ ٱلَّذِينَ يَقۡرَءُونَ ٱلۡكِتَٰبَ مِن قَبۡلِكَۚ لَقَدۡ جَآءَكَ ٱلۡحَقُّ مِن رَّبِّكَ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ ٱلۡمُمۡتَرِينَ
Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.

Wewe ni wa kupuuzwa tu.
 
# mlete mazige

Huyu hapa


HAKUNA SABATO MSIDANGANYWE NA MSAGAJI


KWA kushikilia peke yake maelezo yaliyo katika Biblia, katika kitabu cha Kutoka 20:8-11; baadhi ya watu huamini kuwa baada ya siku sita za kuumba kwake vitu vyote, Mungu aliitenga siku iliyofuatia ya saba (sabato) kuwa ni siku tukufu (holiday) na ya ibada.

Aidha, itikadi ya kuadhimisha siku hiyo pia imebeba dhana kwamba Mungu alifanya kazi (ya kuumba) kwa muda wa siku sita na baada ya kuchoka kwa kazi hiyo siku ya saba akapumzika!

Kwa kigezo hicho ndio sasa inaaminiwa na baadhi ya Wakristo kuwa imekuwa ni amri kwa wanadamu wote kwamba kwa muda wa siku sita wafanye kazi na siku ya saba ambayo ndiyo Sabato (Jumamosi) wapumzike na wafanye ibada.

Kwa hali hiyo, kupitia makala hii tutathibitisha kwa maandiko kuwa:
• Nafasi ya kuiadhimisha Sabato kwa wakati tulionao sasa.
• Uhusiano wa Sabato na wasiokuwa Waisraeli.
•Dhana potofu iliyoambatanishwa na Sabato (ya Mungu kuchoka na kumpumzika).
• Siku ambayo wanadamu wanatakiwa wafanye ibada.

Hata hivyo, kabla atujazichambua nukta hizo, ni vyema hapa kwanza tukayarejea maandiko kadhaa yanayoelezea wazi amri ya kuiheshimu na kuishika siku ya Sabato.

Mwenyezi Mungu alisema:

"Ikumbukeni siku ya Sabato uitakase. Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibariki siku ya Sabato akaitakasa".
Kutoka 20:8-11

Tunachojifunza kufuatana na maandiko hayo juu ni kwamba, pamoja na kuandikwa maelezo ya "kustarehe kwake" siku ya saba baada ya kuumba kwake vitu vyote, amri ya kuitukuza sabato ilitolewa moja kwa moja na mwenyewe Mungu.

Maelezo mengine ya amri hiyo yamerejewa pia katika rejea (reference) za Kutoka 31:12-17 na Kumbukumbu la Torati 5:12-15.

Hilo halina mjadala. pamoja na hivyo, lakini...

Sabato haikuwahusu watu wengine isipokuwa Waisraeli peke yao.

Pamoja na kukiri amri ya kuishika sabato kwamba ilikuwa ni ya Mungu mwenyewe kama tulivyoona hapo juu, maandiko ya Biblia yanaeleza wazi kuwa amri hiyo haikuwa na uhusiano wowote na watu wa mataifa mengine, yasiyokuwa ya Israeli. Lakini iliwahusu tu Waisraeli na vizazi vyao peke yao. Ukweli huu unadhihirishwa na maandiko yafuatayo:

"BWANA akasema na Musa, na kumwambia, kisha nena wewe na wana wa Israeli, na kuwaambia, Hakika mtazishika sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na nyinyi katika vizazi vyenu vyote, ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi:

"Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika sabato, kuiangalia sana hiyo sabato katika vizazi vyao vyote, ni agano la milele. Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; kwani kwa siku sita BWANA alikufanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya saba na kupumzika".
Kutoka 31:12-13 na 16-17.

Kwa maandiko hayo, kinachodhihirika hapa ni kwamba hakuna watu wa mataifa mengine waliopewa amri ya kuishika sabato isipokuwa wana wa Israeli na vizazi vyao peke yao. Ambapo maandiko yanaeleza vile vile kwamba sababu ya msingi ya wana wa Israeli kupewa amri ya kuishika sabato ilikuwa ni ishara ya kuonyesha uhusiano wao mwema wa utiifu katika kuheshimu na kufuata amri za Mwenyezi Mungu.
 

Wasomao kitabu ni hawa viongozi wenu wa kanisa na wanasema maneno haya


Walimu ndio hawa wanaotufahamisha biblia iliandikwa na nani na ina makosa yepi

Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana LONDON:


Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa:


“Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.
Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.

Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu".

Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.

Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84
 
Ni vyema umeanza kujua ku acknowledge, kumbe toka mwanzo ulikuwa unaiba kazi zake

Sasa mlete humu ajibu hoja za post 1


HUyu hapa anakuambia

Kisha Mungu alitoa tahadhari kwa Muisraeli atakayevunja Sabato

Baada ya Mungu kuwaamuru wana wa Israeli kuishika sabato, ili kutilia mkazo amri hiyo, aliwatahadharisha kwa kutoa adhabu ya kuuawa kwa yeyote miongoni mwao atakayethubutu japo kwa mzaha kuinajisi (kuivunja) au kufanya kazi yoyote siku ya sabato. Mungu aliwaambia wana wa Israeli:

"Basi mtaishika hiyo sabato; kwa kuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia najisi hakika yake atauawa; kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi katika siku hiyo, nafsi yake itakataliwa mbali na watu wake. Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa BWANA; kila mtu atakayefanya kazi yoyote katika siku ya sabato, hakika yake atauawa".

Kutoka 31:14-15
 
Sawa
Sasa Rudi kwenye mada jibu post number 1
 
Ni vyema umeanza kujua ku acknowledge, kumbe toka mwanzo ulikuwa unaiba kazi zake

Sasa mlete humu ajibu hoja za post 1


ANAENDELEA KUKUONYA WEWE UINAYEMFUATA SAGAJI



Yesu alidhihirisha kuvunjwa kwa Sabato

Biblia inaonyesha maneno na matendo ya Bwana Yesu yalidhihirisha kwamba amri ya kuiheshimu na kuishika siku ya sabato ilikuwa haina nguvu tena kama ilivyokuwa hapo katika siku za kale. Na huu ni uthibitisho mwingine wa wazi kuwa sabato lkuwa imekwishavunjwa.

Maandiko yafuatayo yanayoweka bayana ukweli huu:

"Wakati ule Yesu alipita katika mashamba siku ya sabato; wanafunzi wake wakaona njaa, wakaanza kuvunja masuke, wakala. Na Mafarisayo walipoona, walimwambia, tazama! Wanafunzi wako wanafanya neno ambalo si halali kulifanya siku ya sabato. Akawaambia, Hamkusoma alivyotenda Daudi, alipokuwa na njaa, yeye na wenzake?

Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, akaila mikate ya wonyesho, ambayo si halali kwake kuila wala kwa wale wenziwe, ila kwa makuhani peke yao?

Wala hamkukusoma katika Torati, kwamba siku ya sabato makuhani hekaluni huinajisi sabato wasipate hatia? Lakini nawaambieni, kwamba hapa yupo aliye mkuu kuliko hekalu. Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia. Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato".

Mathayo 12:1-8

Tunachojifunza kutokana na maandiko hayo juu ni kwamba tofauti na mtu yule aliyeuliwa kwa kosa la kukusanya kuni siku ya sabato, Bwana Yesu pamoja na kutowakemea kwa kuvunja kwao masuke siku ya sabato, bado anawatetea wanafunzi wake kwa "kosa" hilo tena kwa kulijengea hoja tofauti. Kubwa zaidi anawadharau wale wote wanaowaona kuwa ni wakosaji wale wanaoivunja sabato, pale alipowaambia:

"... kama mngalijua maana yake maneno haya msingeliwalaumu wasio na hatia (waliovunja masuke siku ya sabato)".

Aidha, kauli ya Yesu hapa kwamba "Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato" haina maana nyingine zaidi ya kuonyesha kwamba yeye (Yesu) ndiye anayehusika zaidi na sabato kwa kuwa kwanza yu Muisraeli (Marko 2:27),

pili, ilikuwa kielelezo kwa wanadamu wengine, yeye ndiye anayestahiki zaidi kuwa mtu wa kwanza katika kutii amri za Mungu. Kwa maana hiyo, alijua vyema kwamba wakati ule sabato haikuwepo tena. Ndio maana kama tulivyokwishakuona hakuwachukulia hatua wanafunzi wake hatua inayostahiki walipovunja masuke siku ya sabato, kwa kuwa wakati ule kilikuwa tena si kipindi cha "sadaka" bali cha "rehema", kama mwenyewe (Yesu) alivyosema hapo juu.

Zaidi ya kutowachukulia hatua yoyote wanafunzi wake kama alivyoadhibiwa mtu yule wa kuni, Biblia pia inaonyesha kuwa Bwana Yesu aliruhusu siku ya sabato kufanya kazi, kama zile za kuokoa uhai wa viumbe, kama tunavyosoma maandiko yafuatayo:

"Akaondoka huko, akaingia katika sinagogi lao. Na tazama, yumo mtu mwenye mkono umepooza, wakamwuliza, wakisema, Ni halali kuponya mtu siku ya sabato? Wapate kumshitaki. Akawaambia, Ni mtu yupi miongoni mwenu mwenye kondoo mmoja, na yule kondoo ametumbukia shimoni siku ya sabato, asiyemshika akamwopoa? Je! Mtu ni bora kuliko kondoo mara ngapi? Basi ni halali kutenda wema siku ya sabato.Kisha akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako; akaonyoosha, ukapona, ukawa mzima kama wa pili".
Mathayo 12:9-12

Ukichunguza kwa makini mafundisho haya ya Bwana Yesu utagundua ukweli kwamba sabato ilikwishavunjwa, kwani kama anavyosema (Yesu) kuwa ni halali kutenda wema siku ya sabato, kukusanya kuni pia na katika mambo mema vile vile, lakini kwa vile zama hizo sabato ilikuwa bado haijavunjwa, mhusika aliadhibiwa kwa kuuawa.

La muhimu kuzingatia hapa ni kwamba "ruhusa" hiyo ya Bwana Yesu ya kufanya kazi siku ya sabato ameitoa wakati ambao yapo yale maandiko yanayoitaja wazi marufuku ya kufanya kazi yoyote siku ya sabato, pia yanatahadharisha Muisraeli atakayevunja sabato kwa kufanya kazi yoyote katika siku hiyo, isitoshe, yanamuelezea mtu yule aliyeuawa kwa kosa la kukusanya kuni tu siku ya sabato. Hii inaonyesha dhahiri kuwa alikuwa akionyesha kuwa amri ya kuishika sabato imekwishafutwa. (Isaya 1:13-14)
 
Tambua hamna biblia iliyoshushiwa yesu kama unayo leta iyo imechukua vitabu vya torat na zaburi, na quran ipo kwenye series ya vitabu vya mungu lazima isadifu yaliyopita na kuendeleza taratibu za imma huu.
Unahakika hicho ulicho andika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…