Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Upo sahihi 100%
Nili mix kidogo ,nimerejea upo sahihi
 
QUR'AN ILIKOPI SEHEMU ALIPOFIKA PAULO KWENYE BAHARI MBILI ZIZILOKUTANA [YAANI BAHARI CHUMVI NA BAHARI ISIYO NA CHUMVI ]

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

SWALI LETE ANDIKO MIMI ALLAH NIMEUMBA BAHARI NDANI YA QUR-AN YENU KAMA HAMJAKOPI BIBLIA

[emoji818]Mwanzo 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁹ Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.

¹⁰ Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

MUNGU WETU ALIZIPA BAHARI MIPAKA YAKE USHAHIDI HUU HAPA KABLA YA MUHAMMAD KUZALIWA NA KABLA YA QUR-AN YENU KUANDIKWA

[emoji818]”Mithali 8:29 “Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;

[emoji818]Zaburi 24 (Biblia Takatifu)

¹ Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.

² Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari, Na juu ya mito ya maji aliithibitisha.

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

PAUL NDIYE WA KWANZA KUFIKA HAPO KABLA YA MUHAMMAD WENU KWENYE BAHARI CHUMVI NA BAHARI TAMU USHAHIDI HUU HAPA KASOMA MATENDO 27:1-44[emoji16][emoji16]

[emoji818]Matendo ya Mitume 27:41 “Lakini wakafikia mahali palipokutana bahari mbili, wakaiegesha merikebu, omo ikakwama ikakaa isitikiswe, bali tezi ilikuwa imefumuliwa kwa nguvu za mawimbi.

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

QURAN IMEKOPI BIBLIA NA IMEKOPI ALIPOFIKA PAULO KWENYE BAHARI MBILI ZIZILOKUTANA YAANI BAHARI CHUMVI NA BAHARI ISIYO NA CHUMVI USHAHIDI HUU HAPA

[emoji818]SWALI AYA IPI MIMI ALLAH NIMEUMBA BAHARI NDANI YA QUR-AN YENU KAMA SI KOPI YA KUTOKA KWA PAULO MATENDO 27:41

[emoji818]Quran 55:18-20

18. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

19. Anaziendesha bahari mbili zikutane;

20. Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane

[emoji818]Quran 25:53. Naye ndiye aliye zipeleka bahari mbili, hii tamu mno, na hii ya chumvi chungu. Na akaweka baina yao kinga na kizuizi kizuiacho

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]ASALAAM ALEIKUM
 
Ok haya mjibu hivyo huyo mwenzio halafu tuone.
HERUFI ZA MUNGU WENU WAISLAM NI IPI HAPA KAMA UMESOMA QURAN YOTE NA UNAJUA KIARAABU

Quran 1:1
بِسْمِ[emoji118] اللَّهِ[emoji117] الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ

(Quran 1: 1) KWA JINA LA [emoji117]MWENYEZI MUNGU[emoji118] MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

قُلْ هُوَ [emoji118]اللَّهُ [emoji117]أَحَدٌ

(Quran 112: 1) Sema: Yeye [emoji117]Mwenyezi Mungu[emoji118] ni wa pekee.

NJOO TENA HAPA[emoji3593][emoji3593][emoji3593][emoji3593]

TUPE HERUFI SAHIHI YA MUNGU WAKO UNAYEMWABUDU HAPA*

1[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
l-lahi
ٱللَّهِۙ
2[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
l-lahi
ٱللَّهِ
3[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
lillahi
لِلَّهِ
4[emoji810][emoji810][emoji810]
lillahi
لِلَّهِ
5[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
l-lahu
ٱللَّهُ
6[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
al-lahu
ٱللَّهُ
7[emoji810] [emoji810][emoji810][emoji810]
walillahi
وَلِلَّهِ
8[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
wal-lahu
وَٱللَّهُ
9[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
l-laha
ٱللَّهَ
10 [emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
l-laha
ٱللَّهَۚ

11[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
I-laha
الله
12[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

Allaahu
ُ الله
13 [emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

li-llaahi
لله
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

assalamualaikum Aleikumu
 
يَا أُخْتَ هَارُونَ مَا كَانَ أَبُوكِ امْرَأَ سَوْءٍ وَمَا كَانَتْ أُمُّكِ بَغِيًّا
Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.



Hapa mzee wa kukopi NA kupesti aliwadanganya waislam kuwa mariam ni Dada yake haruni NA hii ni kutokana na kukosa elimu hata ya darasa la saba
 
قُلْ مَا كُنتُ بِدْعًا مِّنَ الرُّسُلِ وَمَا أَدْرِي مَا يُفْعَلُ بِي وَلَا بِكُمْ ۖ إِنْ أَتَّبِعُ إِلَّا مَا يُوحَىٰ إِلَيَّ وَمَا أَنَا إِلَّا نَذِيرٌ مُّبِينٌ

(AL - AH'QAAF - 9)
Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.

Unaonaje umelipa nauli halafu basi au ndege au meli uliyopanda huko mnakoenda dereva hapajui?

Bila Shaka atawapoteza abiria wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yesu anasema tumwamini yeye kwasababu ameenda kutuandalia makao ili alipo yeye na Sisi tuwepo hapo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ukitaka majibu fungua thread, naona unahangaika tu.
Kwa hivyo hapo alikopia biblia ?
 

Huyu mkristo mwenzenu amekwenda mote anaelezealakini mnapenda ubishi hamtafuti ukweli

 

Mbona kama huelewi Kiswahili ndugu wakili.
Embu soma haya maandiko vizuri,

Maandiko yanasema Yehova ni mungu aliyemtokea Ibrahim, Isaka na Yakobo. Ila tofauti ni kuwa Kwa hao hakujitambulisha jina lake.
Soma;
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;

Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

kweli akili ni Mali.
Allah ni mungu wa waarabu, hawezi kuandika torati, injili, na zaburi ambayo ni vitabu vya Wayahudi ambao Mungu wao ni Yehova.

Na Yehova hawezi andika Quran kwani Quran ni kitabu cha Allah mungu wa waarabu.

Hoja iliyopo mezani kuwa iweje Allah aibe maandiko ya Yehova na kumpatia Muhammad? Alafu akayaita Quran?

Wapi hauelewi Mkuu.

Ni Sawa wachina waseme Budha kitabu chake ni Quran Jambo ambalo sio Kweli.

Unasema Mungu WA Ibrahimu Hakuwa Yehova wakati Aya hapo juu inajieleza kuwa Yehova aliwatokea Ibrahim, Isaka na Yakobo.

Soma na hapa maneno ya Yehova Mungu aliyemtokea Musa;
Kutoka 3:15
Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, BWANA, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.
 
Wakuu! Naomba mnisaidie App zuri ya kusoma Quran na Bible kwenye simu! Naomba mnisaidie… Hasa story za Muhammad. Asanteni kwa msaada wenu
 
Usijitoe ufahamu, mimi nimekwambia kwamba kwenye biblia Mungu ana majina mengi alikuwa akiyatumia ila wewe ukapinga na kusema jina la Mungu wa biblia ni moja tu ambalo ni Yehova/Jehova na wakati amejitambulisha kwa jina hilo wakati wa Musa. Kwahiyo tatizo hapo ni wewe kukataa hayo majina mengine ya Mungu katika biblia.

Ukisema kwamba Yehova ni Mungu wa wayahudi na Allah ni Mungu wa Waarabu basi nitakuuliza sie waafrika Mungu wetu ni yupi na sisi?
 
Wakuu! Naomba mnisaidie App zuri ya kusoma Quran na Bible kwenye simu! Naomba mnisaidie… Hasa story za Muhammad. Asanteni kwa msaada wenu
Kusoma Qur'an au unataka tafsiri ya Qur'an?
 
Maelezo yako yoooote yanamaanisha ukweli kwamba Muhammad Swalallahu alaayhi wa sallam amepewa wahai na sio kuwa ametamka kwa mapenzi yake na ndyo maana ameyongea mangi ya kweli aliyo yaona na asio yaona ila ameyaeleza kwa ukweli mtupu yaliokuwepo wakati wake na yaliyo pita kabla yake ila ameyaelezea kiukweli mtupu. Nikukumbushe tu kuwa huyo Muhammad unajitahidi kumponga hakuwa msomi hivyo yeye sio mtunzi wala mwana mashahiri jiulize aliyajuaje hayo?? Nakma hnahisi alikuwa msomi basi acha kuwafuata wasomi wa sayansi pekeyao anza na yeye Muhammad kwasababu atakuwa ni msomi mbobezi wa masuala ya dunia uungu imani vifo majanga nk.
 
Code:
Aliyeteremsha Torati, zaburi na Injili anaitwa Yehova/Yahwe/ Jehova Kwa Kiswahili "Niko ambaye Niko"

Alafu mungu wa Quran anaitwa Allah bado huoni kama kuna haja ya shauri kusikilizwa?
Allah = Kiarabu
God = Kiingereza
Elah = Aramic
El Elohim=Hebrew
YHVH ( י הו). = Jews
Ellil-Enlil = Sumerian
Mungu = Kiswahili

Kwa kila lugha kuna jina la Mungu kwa lugha hiyo linalo tamkwa kwa matamshi tofauti na lugha nyingine.
Nimekuwekea hapo juu mifano.
Kulazimisha kwako ujinga wa kupinga kwa makusudi,mimi hakuniathiri chochote.Ila ni wewe ndiye unayejiabisha kwa kuonesha wadau wanaopitia hapa empty head.
Yaani Mungu anavyohitwa na kutamkwa kwa Kihaya ndiyo ahitwe hivyo hivyo na kwa matamshi yaleyale na Wamasai!?

Code:
Hata soma jina la mungu kulingana na Biblia;
Kutoka 6:2 
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA; 
Kutoka 6:3 
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Ila hili alotamka Yesu halipo kwenye huo mkapu wa vitabu eee!?

Marko 15:34
34 Ilipofika saa tisa, Yesu akalia kwa sauti kuu “Eloi, Eloi lama Sabaktani?” Yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”

Wewe umekaririshwa Yehova unataka sote tuwe vilaza kama wewe!.
 
Code:
Na sio ajabu ukarikiri Rais Ruto na Kagame ni mtu mmoja.
Hapo ndio utajua kuwa elimu na utambuzi ni kitu muhimu

Ni kweli kabisa utambuzi wako na mdogo mno! Maana umeshindwa hata kutambua kuwa DUNIA NI MOJA TU NA HIVYO MMIRIKI WAKE NI MMOJA TU PIA.

[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Wewe unaleta comparison za kijinga ukifikiri sote tumeshikiwa akili kama wewe!.

DUNIA NI MOJA NA MUNGU NI MMOJA.


Code:
Na Kwa Uelewa wako nafikiri ninyi ndio mnaofikiri mungu wa waarabu ndio huyohuyo mungu wa wayahudi.
Yaani Yehova na Allah ni yuleyule 
Allah na Buddha ni Yule Yule.
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;


Marko 15:3

34 Ilipofika saa tisa, Yesu akalia kwa sauti kuu “Eloi, Eloi lama Sabaktani?” Yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”

Akili zako sasa zinakuambia kuwa Mungu wa Musa ni JEHOVA na Mungu wa Yesu ni ELOI sindiyo!?

EBU KACHUKUE KWANZA AKILI ZAKO ULIKOSHIKIWA NDIYO URUDI KUJADILIANA NA MIMI.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Nilikuambia unipe aya moja ambayo Mungu anajitambulisha Kwa Majina mengi hujaleta mpaka Sasa.
 
Code:
Na Yehova hawezi andika Quran kwani Quran ni kitabu cha Allah mungu wa waarabu.

Nijichekee tu maana watu vichwani wamebaki na makopo tu.

MWARABU NA BABA WA IMANI HUYO HAPO!
 

Kwa hiyo Allah ni Buddha?

Kusema mungu wangu Mungu wangu haimaanishi lolote mahakamani kwani haijamtaja ni Mungu yupi.
Lakini mahakama itaangalia anayesema Mungu wangu ni Nani, Kama ni yesu basi mahakama itajua anayerejelewa hapo ni mungu aitwaye Yehova
 

Kabla Muhammad hajapewa Wahai/ufunuo unajua Allah alikuwa anaabudiwa na waarabu?
 
Kesi closed [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…