Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Sijui unamiaka mingapi ila upeo wako ni mdogo sana ALLAH ni lugha ya kiarabu ELOI ni Sasa ya kiyunani Mungu ni lugha ya kiswahili God ni kizungu

Ishu sio miaka ishu ni Akili yako ipo chini.

Mungu Kiswahili
God kingereza
Eloi kiyunani


Sasa tunataka majina personal ya mungu wa waarabu au ndio huyo Allah?

Maana Mungu wa Ibrahim ni Yehova/Jehova/Yahwe.
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.
 
Ishu sio miaka ishu ni Akili yako ipo chini.

Mungu Kiswahili
God kingereza
Eloi kiyunani


Sasa tunataka majina personal ya mungu wa waarabu au ndio huyo Allah?

Maana Mungu wa Ibrahim ni Yehova/Jehova/Yahwe.
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.
Ishu sio miaka ishu ni Akili yako ipo chini.

Mungu Kiswahili
God kingereza
Eloi kiyunani


Sasa tunataka majina personal ya mungu wa waarabu au ndio huyo Allah?

Maana Mungu wa Ibrahim ni Yehova/Jehova/Yahwe.
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.
YEHOVA lugha Gani sasa
 
Ishu sio miaka ishu ni Akili yako ipo chini.

Mungu Kiswahili
God kingereza
Eloi kiyunani


Sasa tunataka majina personal ya mungu wa waarabu au ndio huyo Allah?

Maana Mungu wa Ibrahim ni Yehova/Jehova/Yahwe.
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.
Tatizo la hawa watu wamekariri vitu vingi sana ndo maana hata ku-reasoning ni tatizo
 
Sijui unamiaka mingapi ila upeo wako ni mdogo sana ALLAH ni lugha ya kiarabu ELOI ni lugha ya kiyunani Mungu ni lugha ya kiswahili God ni kizungu

Kwa hiyo Kwa akili yako Mungu WA wagiriki anaitwa Eloi?
😂😂😂
Mungu ni jina la Cheo sio personal name.

Ni Kama useme Rais na president hiyo inarejelea maana moja ya Cheo cha juu ya kiutawala.
Lakini ukisema Rais Samia Suluhu alafu ukasema Rais Uhuru Kenyatta unazungumzia watu wawili wenye vyeo vya Urais.

Ndio maana nikakusihi umuulize mwalimu wako wa dini akuambie neno Allah ndio inamaanisha Cheo au personal name ya mungu wa waaraby
 
Kuhusu Danieli ,nabii zake zimetimia kwa kustajaabisha


Hata Isack Newton alichunguza kitabu Cha Daniel ,na alikichambua kuliko hata Calculas


Kupitia kitabu Cha Daniel hata Alexander mkuu alipokisoma akasema hakika huu Unabii unanihusu Mimi


Kitabu Cha Daniel pekee huwez kufananisha hata robo na Quran nzima


Acha kabisa mzee ,

Ndio kitabu kinaonesha Historia nzima ya Ulimwengu Hadi MWISHO


Ndio kitabu kilitabiri Hadi Hizi G7, UMOJA WA MATAIFA, 666,

Ndio kitabu kilitabiri kwa usahihi Hadi mwaka Aliokufa na kusulubiwa Yesu

(Ukitaka ushahidi wa kutosha na kihistoria nakupa)


Ndio kitabu kina kitu kinaitwa DANIEL FEAST , ambayo Daniel alifunga Siku 10 akila Vegetables na maji ,Nyuso zikawa nzuri kuliko waliokula Haram Kule babeli

(Ingia Google andika DANIEL FEAST utapewa ratiba ilivyo halafu jaribu)


Mzee baba,Biblia Ni tamu Sana, hapo nakueleza Kuhusu Daniel book tu kidogo, sijagusia vitabu Kama Isaya ,Yeremia , Ezekiel Kuna madini hatari Sana humo


Unajua GOGU NA MAGOGU?

Unafahamu Unabii wa Ninawi ambao aliuzungumzia Nabii Nahumu ,ambao umedumu mpaka leo?


Acha kabisa , Nimeisoma Quran Sana maana nilikuwa muislamu mzuri tu, Uislamu una loophole kubwa Sana, Kabla ya Muhammad hakuna ushahidi wa ki archeolojia au kimaandishi kuliwahi kuwepo dini inaitwa uislamu au jengo linaitwa msikiti , Siku nilipouacha uislamu niliuacha mbele ya masheikh niliwauliza hili swali ,wakaleta bla blaa eti uislamu Ni unyenyekevu ,hivo manabii walikuwa wanyenyekevu hivo uislamu ulikuwepo toka adamu[emoji1787][emoji1787]

Niliishia kucheka tuView attachment 2404567View attachment 2404570View attachment 2404568View attachment 2404569
Hujajibu nilichokiuliza. Hizi unaletwa stori tena zinahitaji kuthibitishwa.

Habari za Daniel nani aliziandika mpaka kuwafikia nyinyi ?
 
MSILETE NGONJERA HAPA LETENI MAANDIKO KUWA DINI YA KWELI NI UKRISTO BAC KAMA HAUNA SUBIRI UELEWESHWE
 
Kwa hiyo Kwa akili yako Mungu WA wagiriki anaitwa Eloi?
😂😂😂
Mungu ni jina la Cheo sio personal name.

Ni Kama useme Rais na president hiyo inarejelea maana moja ya Cheo cha juu ya kiutawala.
Lakini ukisema Rais Samia Suluhu alafu ukasema Rais Uhuru Kenyatta unazungumzia watu wawili wenye vyeo vya Urais.

Ndio maana nikakusihi umuulize mwalimu wako wa dini akuambie neno Allah ndio inamaanisha Cheo au personal name ya mungu wa waaraby
Nani alikwambia Mungu ni Cheo ? Unajua maana ya jina na maana ya Mungu na maana ya Cheo ?
 
MKRISTO AKIONA HII MOYO UNAMUUMA SANA
قُلْ آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنْزِلَ عَلَيْنَا وَمَا أُنْزِلَ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَالنَّبِيُّونَ مِنْ رَبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.
 
Nakuuliza swali lingine unajibu vitu vingine.
Unastaajabisha sana.

Wazungu wanahusiana nini na Yesu Kristo?

Kwani Muhammadi hakuwahi kupopolewa mawe na Waarabu wenzake kule Madina hadi akang'oka meno ?

Vita vya Albadri Muhammadi alipigana na akina nani ?

Waarabu Wakristo wanamkubali Muhammadi kuwa ni Nabii wa kweli ?
Na kwanini ?

Kwahiyo Muhammadi ni Nabii wa Uwongo kwakuwa alipingwa kwa kupigwa mawe na Waarabu wenzake sio.

Uwezo wako wa kujadiri hoja ni wa kiwango cha chini sana.
Kijana kwanini inakuwa muongo kiasi hicho ? Umejibiwa swali vizuri sana.

Nyinyi habari za Yesu mmezipata Toka kwa ndugu zake Yesu ? Au mmeandikiwa na watu ambao hata kumuona hawajawahi kumuona na wala si nabii ? Ila mnawaamini. Mnatumia nini kufikiri ?

Leo hii si mnasoma Biblia na hamjui lugha ya Yesu wala Matini ya Injili ya Yesu hamna, lakini mnaamini. Hivi mnaakili nyinyi ?

Swali la msingi na ungeonekana una akili kidogo ungejadili ukweli wa kile alichokisema Mtume wa Allah. Kisha ukipinge kwa hoja.
 
Mfia dini umepanik pole sana..kurwani ni mawazo ya muhamad ya kuunga unga ili kujitengenezea dini yake.

Ndio mana leo hii hakuna mkristo ambaye anaifahamu kurwani wala kuiihitaji kuisoma..ila hakuna mwislamu ambaye hajasoma biblia ili kupata rejea ya visa na matukio ya kuunga unga yaliyosimuliwa na mudi.

#MaendeleoHayanaChama

Mfia dini umepanik pole sana..kurwani ni mawazo ya muhamad ya kuunga unga ili kujitengenezea dini yake.

Ndio mana leo hii hakuna mkristo ambaye anaifahamu kurwani wala kuiihitaji kuisoma..ila hakuna mwislamu ambaye hajasoma biblia ili kupata rejea ya visa na matukio ya kuunga unga yaliyosimuliwa na mudi.

#MaendeleoHayanaChama
Kweli wakristo hawaifahamu Qur'an na hawataki kuisoma na hiyo siku zote huwa inaleta changamoto kwenye mitazamo yao kuhusu Qur'an pamoja na kwenye majadiliano yenye kuhusishwa hivi vitabu viwili vya Biblia na Qur'an.
 
Kihebrania

YEHOVA lugha Gani sasa

Umesoma ukaelewa hizo Aya.
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;

Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Embu soma maneno yaliyokolezwa hapo.

Mungu anatambulisha jina lake Kwa Musa.
Ndio Cheo chake ni Mungu lakini jina lake anaitwa Nani?
Ndio anasema jina lake ni Yehova/Jehova/Yahwe.


MSILETE NGONJERA HAPA LETENI MAANDIKO KUWA DINI YA KWELI NI UKRISTO BAC KAMA HAUNA SUBIRI UELEWESHWE

Hivi unaelewa Uzi huu unahus nini?
Hatujadili kuhusu ni ipi dini ya kweli hapa.

Tunajadili vitabu viwili Yaani. biblia na Quran
 
Eti toka Adam,

Achen kudanganya watu
Hakuna Mtume wala nabii ambaye hakiwa Muislamu, wote walikuwa Waislamu.

Leo hii Yesu akija atawashangaa sana na Ukristo wenu hakuacha Ukristo Yesu.
 
kitu ambacho waafrika tutatumia karne nyingi kuchomoka ni kwenye ili janga la dini, tumekuwa brain washed mazima. waliozileta wenyew wanakula maisha kinoma,

wazungu, waarabu yan wanaishi kama wapo pepon. mwafrika akishika dini bas itamlazimu aishi kienyeji enyeji
Yaani tuna ujinga mwingi sana. Yaani kupoteza muda kubishania kipi ni cha kweli na kipi ni uongo ili hali hakuna aliyekuwepo kipindi hicho. Wenzao Qatar na UAE wako busy kuendeleza nchi zao sisi hata hela ya kula ni shida tunabishania dini. Hili nalo ni janga kama majanga mengine
 
Hakuna Mtume wala nabii ambaye hakiwa Muislamu, wote walikuwa Waislamu.

Leo hii Yesu akija atawashangaa sana na Ukristo wenu hakuacha Ukristo Yesu.
Uislamu uliokuja baada ya miaka 500 YESU kupaa
Kipindi YESU akiwa hai hakukua na dini inayoitwa uislamu Bali kulikuwa na dini ya uyahudi
 
Kijana kwanini inakuwa muongo kiasi hicho ? Umejibiwa swali vizuri sana.

Nyinyi habari za Yesu mmezipata Toka kwa ndugu zake Yesu ? Au mmeandikiwa na watu ambao hata kumuona hawajawahi kumuona na wala si nabii ? Ila mnawaamini. Mnatumia nini kufikiri ?

Leo hii si mnasoma Biblia na hamjui lugha ya Yesu wala Matini ya Injili ya Yesu hamna, lakini mnaamini. Hivi mnaakili nyinyi ?

Swali la msingi na ungeonekana una akili kidogo ungejadili ukweli wa kile alichokisema Mtume wa Allah. Kisha ukipinge kwa hoja.
Yohana mwanafunzi wa Yesu alikuwa ni mdogo wake Yesu Kristo.
Mama mmoja Mariamu.

Yohana Mbatizaji pia alikuwa ndugu yake Yesu.

Mitume 12 wa Yesu ni ndugu zake pia Waisraeli na Wayahudi wenzake.

Niambia wewe habari za Yesu umezipata kwa nani. Na wana uhusiano gani na Yesu.

Unasoma habari za Yesu kwenye Sura za Ng'ombe na Buibui, mwandishi hajulikani, kajificha kujitambulisha kama aliyemkaba muhamadi pangoni na unaziamini...!
Uko sawa kichwani kweli.
 
Back
Top Bottom