Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

HIKI SI NDIO KICHWA CHA UZI WAKO?

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua​


Na mimi nikaleta hoja ya kwanza kabisa ya Jina BIBLIA kwenye BIBLIA yenyewe wapi BIBLIA INAWEZA KUTHIBITISHA JINA LAKE LENYEWE? UKASEMA HUWEZI KUPATA?

SASA TUKIANZIA HAPO KWENYE JINA TU, KITABU GANI KIMEANGUKIA PUA?


Post yangu ya mwisho nairudia hapa... Post no. 421 nikijibu comment yako MFU.

Hizo ni blaa blaa tu bado...BASI NIPE HATA ANDIKO LA BIBLIA YA KIEBRANIA AU KIYUNANI ILIYOSEMA HIYO TAFSIRI YA BIBLIA KAMA ULIVYO ELEZA HAPO...

Kama huwezi pata JINA KITABU ndani ya KITABU CHENYEWE... KITABU GANI KIMEANGUKIA PUA HAPO?

Sasa jambo dogo kama hilo umeshindwa kulithibitisha hapa... Huu mjadala umeufungua kwa kujiaminisha nini...unaanzisha MVUA YA MAWE HALI WAISHI KWENYE NYUMBA YA VIOO.

KAWAIDA YA MUNGU HUWA NI MWENYE UWEZO WA KUJIELEZA YEYE MWENYEWE PAMOJA NA MATENDO YAKE... Nadhani hapa tunakubaliana...

SASA KAMA HAYO MANENO YA MUNGU MWENYEWE HAYAJITOSHELEZI KUJIELEZEA YENYEWE... BASI SIO MANENO YA MUNGU HAYO...

TUNACHOTAKA ANDIKO KWENYE BIBLIA IWE YESU IWE MUSA IWE YOHANA IWE MATHAYO WANAELEZA KUWA HII BIBLIA NI MKUSANYIKO WA VITABU VYA MUNGU...

KAMA HUWEZI KUPATA ANDIKO HILO... BASI HUU MJADALA WAKO UFUNGE... UMEKOSA UHALALI WA KUENDELEA KUJADILIWA... KWA SABABU BIBLIA HIYO UNAYOISIFIA IMEKOSA KUJIELEZA YENYEWE KWA MAANDIKO YAKE NA KUJITETEA NA KUJITHIBITISHA HATA JINA LAKE.


CASE CLOSED.


(WAISLAAM NENDENI MKADISCUSS MAMBO MENGINE KWENYE THREADS NYINGINE... HANA HOJA HUYU.)
Garasa huyo ROBERT HERIEL achana nae,hana hoja
 
Acha kuongea uongo kuhusu Quran wapi Quran imesema Muhammad ndio Muislam wa kwanza Duniani

Quran 4:163.
Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.


Quran 2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.


Kama wewe unapinga hao manabii hawakuwa waislam toa ushahidi wa mandiko walikuwa na dini gani?
Jinga Hili latoa manen0 pasi na ithibati
 
Jinga Hili latoa manen0 pasi na ithibati
Quran 2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.

Quran inasema Hawa manabii wote walikuwa waislam Sasa kama wewe sio mjinga toa ushahidi wa mandiko kama walikuwa na dini nyingine kinyume na uislam

Otherwise wewe ndio mjinga
 
Mfano mwingine namuongezea.
Nina kiduka changu cha spare za pikipiki nauza mwenyewe ila kwenyebango naandika [TUNAUZA SPARE ZA PIKI PIKI KWA JUMLA NA REJA REAJA]
hapo wamiliki wa hilo duka n wangapi?
Acheni kupotosha , Allah anaposema we anajiweka yeye na Malaika na ma horis , rejea aliposema akitaka mke anakula wa jamii yake
 
😂😂😂 Alie andika Koran alikuwa mjinga Sana , yupo surah ya 5 alafu anasema kakamilisha dini 😂😂😂🤣
Sawa Mwerevu mvaa rozari aka mungu wa miti
 
Ushawahi kujiuliza kwanini Mayahudi walikiamini kile alichokuwa anakisema Mtume ila tu hawakukifata ? Jibu walijua ya kuwa yule ni mkweli na muaminifu sababu Mayahudi walikuwa na Elimu juu ya vitabu vilivyoshushwa kwao ila tu walikuwa wapindishaji wa maandiko.
Walikuwa wanamcheka , na mpaka ikifikiwa wakamfuata Aisha wakamwambia amwambie anapindisha historia ya Jews na anachanganya majina
 
TUCHUNGE SANA MIDOMO YETU HAYA TUNAYOYAANDIKA IPO SIKU TUTAYAKUTA KWA MUUMBA WETU SISI SIO CHOCHOTE ILA NI VIUMBE DHAIFU SANA KWAHY USISEME KILE USI HOKUWA NA ELIMU NACHO USIJE UKAJUTIA MBELENI
Ungejibu tu Kwanini yupo surah ya Tano anasema amekamilisha dini , surah zaidi ya 100 mbele ni za nini, alieandika alikuwa mjinga au waliochakachua na kupanga surah walikuwa wajinga
 
Walikuwa wanamcheka , na mpaka ikifikiwa wakamfuata Aisha wakamwambia amwambie anapindisha historia ya Jews na anachanganya majina
Nakumbuka hii
Mwisho wakamwita Rainaa
Yaani mwongo na mpotoshaji mkubwa.

Walaqa Bin Naufal, Padri mtaafu wa Roman C. aliyekuwa anamwelekeza alimpotosha nadhani kwa makusudi kabisa.
 
Nakumbuka hii
Mwisho wakamwita Rainaa
Yaani mwongo na mpotoshaji mkubwa.

Walaqa Bin Naufal, Padri mtaafu wa Roman C. aliyekuwa anamwelekeza alimpotosha nadhani kwa makusudi kabisa.
Waraka alivyokufa Muhammad akawa chizi akawa anataka kwenda kujiua ,na Koran ikasimama kutoka , Muhammad alipata msongo wa mawazo atatoa wapi tena Koran

Badae akijiongeza akatafuta mkristo mwingine akawa anamsaidia
 
Apa unaonekana kabisa unabishana sio mtu wa fact.. nenda kapitie vitabu vyote alafu urudi kwa style hii utashindwa kuwaelewa watetezi wa pili,

Kwani injili haijabeba simulizi za watu kabla ya yesu? Na kama imebeba je ni nani alisimulia ? Na kulikua na maana gani yakusimulia ?

Ni lipi dhumuni la muandishi wa bible kuunganisha vitabu vya manabii tofauti tofauti kwanini asiandika injili tu ili kwenda sawa na generation yake?

Je wayahudi wa kipindi cha yesu walitumia kitabu gani kati ya torat na zaburi? au viliunganishwa vyote? Na kama viliunganishwa kiliitwa kitabu gani?

Wayahudi wa sasa wanaizungumzia vipi bible ?

Kama yesu alikuwa myahud inamaana alitaka kubadilisha taratibu na sheria za dini ya uyahud kwakuwachomekea injil na tunajua kabisa uyahudi ilikua dini ya kweli ya Mungu

Kama yesu hakuwa myahudi alikua dini gani? Na kwanini alipigwa vita na wayahud wakati jewesh walisimama na vitabu vya mungu tunavyovijua?

Im curious lengo langu nikujifunza


Tatizo icho kichwa cha uzi hakiendani na maswala ya kiimani kinaxalisha mabishano tunashindwa kujifunza mambo mengi

Kwa hiyo unadhani hii Quran iliyopo Muhammad aliitumia au ilikuwepo?
Quran yenyewe Sura zake zimekusanywa ndio kikatokea kitabu kinachoitwa Quran.

Sasa swali ulilouliza kuhusu nini lengo la mkusanyaji wa vitabu vilivyomo kwenye Biblia unatakiwa ueleze sababu za aliyekusanya Sura zilizounda Quran.

Maana mpaka Muhammad anaondoka hapakuwa na kitabu kinachoitwa Quran
 
Ushawahi kujiuliza kwanini Mayahudi walikiamini kile alichokuwa anakisema Mtume ila tu hawakukifata ? Jibu walijua ya kuwa yule ni mkweli na muaminifu sababu Mayahudi walikuwa na Elimu juu ya vitabu vilivyoshushwa kwao ila tu walikuwa wapindishaji wa maandiko.

Yaani mayahudi wakubali uongo wa Muhammad?
Embu kuwa serious kidogo.

Nitajie sehemu ambayo mayahudi walipindisha vitabu vyao?
 
Kwema Wakuu!

Kutokana na mjadala fulani uliokuwa unaendelea katika Jukwaa la Intelligence nimeona nianzishe uzi huu kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia kupima katika mizania ya kimahakama/kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.

Nani mkweli na nani muongo kati ya Biblia na Quran?

Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au Myahudi, bali nipo kujadili nani mkweli kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama, majaji mtakuwa ninyi wasomaji.

Mahakamani siyo kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa sheria, hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.

Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema kwa vile mambo haya yanagusa imani za watu jambo hilo linaweza kuwa gumu.

Zifuatazo ni hoja kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa rejea kuu zaidi ya Quran, kwa sababu;

1. Biblia kwa sehemu kubwa haina maneno ya 'Hearsay' wakati Quran kwa 90% maneno yake ni 'Hearsay'. Kimahakama maneno ya 'hearsay' hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu. Hoja hii ndiyo hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.

a) Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, Yona n.k.

Wakati msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo. Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita. Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.

Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, Mathayo na Yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu waliyoshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya. Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka kwa sababu yeye alisimuliwa.

Hata hivyo ulikuwa ni wakati ule ule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka. Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.

2. Waandishi wa Biblia walikuwepo maeneo tajwa kwenye Biblia, lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika maeneo anayoyasimulia. Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na Waisrael ambapo hajawahi kufika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.

Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman halafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman, wakati Suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.

Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia. Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.

3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa kwa manabii tofauti tofauti kwa nyakati tofauti tofauti, wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshushiwa Muhammad.

Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha Yakobo na Yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha Waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu. Na visa vyote hakuwepo!😀😀

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha Yona kaandika Yona mwenyewe, kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu (wanafunzi waliomshuhudia), kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.

Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi kwasababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni kama vile kitabu cha Mzee wetu Mwinyi au Mzee wetu Mengi.

Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay), kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa ukweli na ikachukuliwa kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.

4. Biblia imeandikwa na Wayahudi kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu kwa lugha ya Kiarabu lakini inasimulia habari za wasiyo Waarabu, inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.

Yaani mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo. Hivi ninyi mtanisikiliza mimi Mpare ninayesimulia habari za kale za Wasukuma au mtasikiliza Wasukuma wenyewe?

Muhammad Muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo halafu yeye anakwambia alizaliwa kwenye mtende halafu kuna mtu Myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye hori la ng'ombe.

Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni Myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza nani?

Haya Quran na hadithi za Kiyahudi kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji wa Daudi na mwanaye Suleiman, hajui Kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.

Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini, lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo majini. Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika vitabu vyake vilivyopo katika Biblia? Jibu utabaki nalo.

5. Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa Waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah, Mungu wa Waarabu wa kabila la Wakurdi wa zamani lakini cha ajabu huyo Allah, ati huyo Allah kuna sehemu anamuagiza kina Musa (Myahudi na dini yake Uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.

Hata hivi leo Mungu wa Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu wa waarabu hajabadilika ni yule yule Allah. Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa Muarabu.

Wahusika kuanzia kwa Yakobo mpaka kwa Yesu ni Wayahudi na dini yao ni Uyahudi na Mungu wao ni Yahweh, lakini Quran imepuyanga katika eneo hilo.

6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran, siyo ajabu Quran yenyewe ndiyo imenakili baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.

Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndiyo baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovinakili kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya Kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile.

Quran ambacho ingefanya ni kutoa nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na siyo kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo. Mbona Injili haujarudia visa? Quran haiwezi kuchukuliwa kama rejea kuu kuzidi Biblia kwa sababu nilizozitaja hapo juu.

Majaji mjadili kwa hoja.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Umesema kweli tena kweli kabisa.
Tatizo walowengi hapa ndani hawaelewi na hawataelewa ulichoandika.

Walowengi hao walokuja kwenye comment na kuzungumza ujuaji ni wale ambao kama ni muislam basi hata hyo Quran yenyewe hajui ni nin Ila akija hapa kwa kua yeye ni muislam basi atakuja kubwata hapa.

Watanzania hawajui na hawapendi kujifunza kikisemwa kitu cha kweli utasikia kelele ooh huyu hivi huyu vile.

Brother ROBERT HERIEL umeandika kweli mwenye kusoma na kuelewa aelewe bichwa nyumbu basi wasubil somo lijalo
 
Kijana kwanini inakuwa muongo kiasi hicho ? Umejibiwa swali vizuri sana.

Nyinyi habari za Yesu mmezipata Toka kwa ndugu zake Yesu ? Au mmeandikiwa na watu ambao hata kumuona hawajawahi kumuona na wala si nabii ? Ila mnawaamini. Mnatumia nini kufikiri ?

Leo hii si mnasoma Biblia na hamjui lugha ya Yesu wala Matini ya Injili ya Yesu hamna, lakini mnaamini. Hivi mnaakili nyinyi ?

Swali la msingi na ungeonekana una akili kidogo ungejadili ukweli wa kile alichokisema Mtume wa Allah. Kisha ukipinge kwa hoja.

Hivi muarabu ndio atakuwa na matini ya Injili ya Wayahudi?😂😂

Yesu alikuwa na wanafunzi hao ndio waliandika habari zake.
Sio Yesu tuu hata Mtume alikuwa na maswahaba na ndio walioandika hiyo Quran.

Hoja zilizopo pale juu hamjazijibu hata Moja, mnarukia matawi juujuu kama ngedere.
 
Safi kabisa, hapa naona umekuja ninapo pataka.

Naomba uthibitishe ukwel kuhusu habari za Yohana kwa Yesu, kwamba Yohana alikuwa Mwanafunzi wa Yesu.

Kisha unithibitishie ya kuwa Yesu na Yohana ni ndugu na utuambie hizi habari zimeandikwa na nani ?

Yesu hakuwa Myabudi sababu Uyahudi siyo kabila bali ni dini ya watu waliowainga manabii na mitume wa Allah, kama vile Musa na Yesu mwenyewe.

Yesu hawezi kuwa na mitume kwa maana ya wajumbe bali alikuwa na Wanafunzi, Mtume hawezi kuwa na mitume.

Habari za Yesu zimezipata Toka kwenye Qur'aan, uhusiano uliopo ni kuwa Yesu ni Mtume na Mtume Muhammad naye ni Mtume, wote waliagizwa na Mola muumba, Yesu akapewa Injili na Muhammad akapewa Qur'aan.

Nani amekwambia Muandishi hajulikani ? Sisi tunamjua na tuna cheni mpaka kufika kwenye Primary Source. Hili nyinyi hamna ndiyo maana Leo hii hakuna yeyote anayeweza kuthibitisha ya kuwa Injili ya Yohana ni kweli ameandika Yohana, au Injili ya Matayo ni kweli ameandika Matayo au ya Luka na Marko.

Sasa mlitakiwa myachunguze sana maandiko yenu, huwa nasema hivi kila siku laiti Wakristo mngekuwa na akili timamu Nina uhakika kabisa hakuna yeyote angesalia kuwa Mkristo.

Yesu Hakuwa Myahudi?😂😂😂

Unafikiri Wayahudi vitabu vyao wanaandika kama wanakimbizwa?
Yesu ukoo wake upo kwenye Biblia mpaka unatokea Kwa Adamu.

Unaweza Nipa ukoo WA Muhammad hata Kwa vizazi vitano kutoka Kwa Baba yake?
 
Muhammad kahadithiwa na nani? Kumbuka hata wewe hata wewe hayo unayoeleza kuhusu biblia ni hadithi hivyo hivyo kwa maana huwezi kuthibitisha kuwa hivyo unavyoeleza ndivyo kweli ipo hivyo hivyo ndio maana nasema cha kwanza ni imani.

Hapa tunachojadili ni ushahidi uliopo mahakamani ambao ni Biblia na Qura. Tunaangalia kitabu kipi kinafaa kuwa rejea kuu na kina ukweli Mkubwa.
Ndio maana mahakamani hakimu na mauaji kazi Yao ni kusikiliza na kuona ushahidi na kutoa maamuzi ingawaje wao hawakuwepo.

Sisi hivi leo ni majaji na mahakimu katika ushahidi uliopo WA vitabu hivyo viwili. Je kipi ni chakweli na kinafaa kuwa rejea kuu.
Ndio hoja iliyopo.

Mpaka sasa Mawakili na watetezi WA Quran hawajajibu hoja zilizotolewa naona wanarukaruka.
Ni Kama hawajawahi kusimama mahakamani.
 
Hii ndio biblia unayo hiamini?

Isaya 23:17
[17]Hata itakuwa mwisho wa miaka sabini, BWANA ataizuru nchi ya Tiro, naye atarudi apate ujira wake, atafanya ukahaba pamoja na falme zote za ulimwengu juu ya uso wa dunia.
 
Umesema kweli tena kweli kabisa.
Tatizo walowengi hapa ndani hawaelewi na hawataelewa ulichoandika.
Walowengi hao walokuja kweny comment na kuzungumza ujuaji ni wale ambao kama ni muislam basi hata hyo Quran yenyewe hajui ni nin Ila akija hapa kwa kua yeye ni muislam basi atakuja kubwata hapa.

Watanzania hawajui na hawapendi kujifunza kikisemwa kitu cha kweli utasikia kelele ooh huyu hivi huyu vile.

Brother ROBERT HERIEL umeandika kweli mwenye kusoma na kuelewa aelewe bichwa nyumbu basi wasubil somo lijalo

Mimi nasubiri mwenye hoja za maana
 
Una hoja tena nzito

Halafu Biblia ni kitabu chenye historia hata ya Ulimwengu wote

Mtu Kama Sir Isack Newton alichambua kitabu Cha Daniel vizuri Sana

Kupitia Biblia unakutana na Unabii wa Tawala za Alexander mkuu, vitu Kama hivi huwezi kukuta kwenye Quran

Kitu kingine ambacho nakipenda kwenye Biblia ,mfano kitabu Cha ufunuo kimetabiri kabisa Super power atakuwa U.S.A,

Miaka ya 80-90 ,watu walikuwa hawaamini Biblia inapotabiri mnyama wa 2 ambaye Ni U.S.A kuwa atakuwa Super power ,wakiangalia USOVIET USSR ilivyokuwa na nguvu .

Lakini Leo Nani atabisha U.S.A Sio Super power?

USSR ilisambaratishwa

Biblia ni kitabu kitamu Sana , Nimesoma Quran Sana tu ni kitabu hakieleweki, kinajichanganya, hakina Tumain lolote kwa mwanadamu

Nina shuhuda Zaidi ya 10000 za Biblia Ni kitabu Cha Mungu wakweli.

Aisee iacheni Biblia tu, Ni vile matapeli Kama mwamposa ,n.k wanaitumia vibaya kutapelia,

Lakini Biblia ina maajabu mengi sana
Hii ndio biblia unayo hiamini ?

Isaya 23:17
[17]Hata itakuwa mwisho wa miaka sabini, BWANA ataizuru nchi ya Tiro, naye atarudi apate ujira wake, atafanya ukahaba pamoja na falme zote za ulimwengu juu ya uso wa dunia.
 
Back
Top Bottom