Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Poa. Wewe nilishamalizana na wewe, nasubiri majibu ya maswali yangu mliyo kimbia, mtuletee Injili ya Yesu na mtuambie kwanini mnaamini kitabu ambacho hata lugha ya Yesu hamuijui na matini yake hamna. Siku ukiwa na akili walau ya kuliona hili nitafutie tujadili haya mambo.

Kwa hiyo Kwa akili yako waarabu ndio wanainjili ya Yesu?
Au Muhammad ndio anainjili ya Yesu?
Mtu ambaye hajawahi kufika Yerusalemu, mtu ambaye Hajawahi kuwaona mayahudi wa kipindi cha Yesu ndio anayoinjili ya Yesu.

Mtu ambaye hajui hata Yesu alizaliwa wakati gani na wapi ndio anayoinjili ya Yesu?

Kuwa serious kidogo.

Ni Sawa na wewe ATI uwe na matini za muhamadi OG kuliko Muislam aliyepo Mecca kwenye maktaba kuu za Waislam.
 
13 Nanyi pia katika huyo mmekwisha kulisikia neno la kweli, habari njema za wokovu wenu; tena mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa muhuri na Roho yule wa ahadi aliye Mtakatifu.
Waefeso 1:13

14 Ndiye aliye arabuni ya urithi wetu, ili kuleta ukombozi wa milki yake, kuwa sifa ya utukufu wake.
Waefeso 1:14

ENDELEENI KUMKANA NABII MUHAMMAD MAMBO HADHARANI SASA HUYOOO KUTOKA ARABUNI

Kwa hiyo wewe neno kuwa na maana zaidi ya Moja Hilo hulijui?

Arabuni Kwa lugha nyingine ni rehani/Guarantee au malipo ya awali.

Soma Bible ya kingereza home
Ephesians 1:14, NIV: who is a deposit guaranteeing our inheritance until the redemption of those who are God's possession--to the praise of his glory.

Ephesians 1:14, ESV: who is the guarantee of our inheritance until we acquire possession of it, to the praise of his glory.

Ephesians 1:14, KJV: Which is the earnest of our inheritance until the redemption of the purchased possession, unto the praise of his glory.

Ephesians 1:14, NASB: who is a first installment of our inheritance, in regard to the redemption of God’s own possession, to the praise of His glory.

Ephesians 1:14, NLT: The Spirit is God's guarantee that he will give us the inheritance he promised and that he has purchased us to be his own people. He did this so we would praise and glorify him.

Ephesians 1:14, CSB: The Holy Spirit is the down payment of our inheritance, until the redemption of the possession, to the praise of his glory.

Soma Aya zingine zinazotumia istilahi Arabuni 2Wakorintho 1:22 “naye ndiye aliyetutia muhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu”.
2Wakorintho 5:5 “Basi yeye aliyetufanya kwa ajili ya neno lilo hilo ni Mungu, aliyetupa arabuni ya Roho”.

Ni Sawa na neno Kifaru, kinaweza kuwa na maana zaidi ya Moja,kifaru mnyama, kifaru zana ya kuvuta.

Unaposema andiko lolote lazima uangalie muktadha/context ya neno husika lilivyotumika
 
Kwa hiyo Kwa akili yako waarabu ndio wanainjili ya Yesu?
Au Muhammad ndio anainjili ya Yesu?
Mtu ambaye hajawahi kufika Yerusalemu, mtu ambaye Hajawahi kuwaona mayahudi wa kipindi cha Yesu ndio anayoinjili ya Yesu.

Mtu ambaye hajui hata Yesu alizaliwa wakati gani na wapi ndio anayoinjili ya Yesu?

Kuwa serious kidogo.

Ni Sawa na wewe ATI uwe na matini za muhamadi OG kuliko Muislam aliyepo Mecca kwenye maktaba kuu za Waislam.
Wewe ROBERT HERIEL itakuwa una mtindio wa ubongo na ndio maana haulewi ila kwa Sasa wewe tunakufanya kama ubao ili wagalatia wenzako wenye akili wasome na waelewe

Mtume Muhammad alifunuliwa na Mungu muumba mbingu na aridhi kuwa Yesu amezaliwa chini ya Shina la mtende

Quran 19-23
Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!

24.
Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako Mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!

Quran:25.
Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu.


Sasa kama wewe unaona Quran imedanganya weka ushahidi wako unao onyesha sehemu alipozaliwa Yesu
 
Tutajie hapa hiyo Chain ya Ibrahiim mpaka kwa Yesu.

Kisha Kuna maswali nitakuuliza. Kisha nitakupa utajo wa Yesu ambao katika uzao ambao umetofautiana, Kisha uweke jibu ambalo sahihi. Shida wakristo si wasomaji.

Mathayo 1:1
<br>Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.

Mathayo 1:2
Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;

Mathayo 1:3
Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;

Mathayo 1:4
Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;

Mathayo 1:5
Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;

Mathayo 1:6
Yese akamzaa mfalme Daudi. <br>Daudi akamzaa Sulemani kwa yule mke wa Uria;

Mathayo 1:7
Sulemani akamzaa Rehoboamu; Rehoboamu akamzaa Abiya; Abiya akamzaa Asa;

Mathayo 1:8
Asa akamzaa Yehoshafati; Yehoshafati akamzaa Yoramu; Yoramu akamzaa Uzia;

Mathayo 1:9
Uzia akamzaa Yothamu; Yothamu akamzaa Ahazi; Ahazi akamzaa Hezekia;

Mathayo 1:10
Hezekia akamzaa Manase; Manase akamzaa Amoni; Amoni akamzaa Yosia;

Mathayo 1:11
Yosia akamzaa Yekonia na ndugu zake, wakati wa ule uhamisho wa Babeli.

Mathayo 1:12
Na baada ya ule uhamisho wa Babeli, Yekonia akamzaa Shealtieli; Shealtieli akamzaa Zerubabeli;

Mathayo 1:13
Zerubabeli akamzaa Abihudi; Abihudi akamzaa Eliakimu; Eliakimu akamzaa Azori;

Mathayo 1:14
Azori akamzaa Sadoki; Sadoki akamzaa Akimu; Akimu akamzaa Eliudi;

Mathayo 1:15
Eliudi akamzaa Eleazari; Eleazari akamzaa Matani; Matani akamzaa Yakobo;

Mathayo 1:16
Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.

Mathayo 1:17
Basi vizazi vyote tangu Ibrahimu hata Daudi ni vizazi kumi na vinne; na tangu Daudi hata ule uhamisho wa Babeli ni vizazi kumi na vinne; na tangu ule uhamisho wa Babeli hata Kristo ni vizazi kumi na vinne.
 
ULICHOKIMBIA NAKIJUA VIZURI SANA ILA KWANGU MM HUJAKIMBIA BADO
MTIRIRIKO WA KUTOA UFUNUO KATIKA MAENEO MBALIMBALI UPO TOA NA HII HALAF NIKUULIZE SWALI

Ufunuo juu ya Misri. Tazama, Bwana amepanda juu ya wingu jepesi, anafika Misri; na sanamu za Misri zinatikisika mbele zake, na moyo wa Misri unayeyuka ndani yake.

Isaya 19:1

Kwa hiyo wewe neno kuwa na maana zaidi ya Moja Hilo hulijui?

Arabuni Kwa lugha nyingine ni rehani/Guarantee au malipo ya awali.

Soma Bible ya kingereza home
Ephesians 1:14, NIV: who is a deposit guaranteeing our inheritance until the redemption of those who are God's possession--to the praise of his glory.

Ephesians 1:14, ESV: who is the guarantee of our inheritance until we acquire possession of it, to the praise of his glory.

Ephesians 1:14, KJV: Which is the earnest of our inheritance until the redemption of the purchased possession, unto the praise of his glory.

Ephesians 1:14, NASB: who is a first installment of our inheritance, in regard to the redemption of God’s own possession, to the praise of His glory.

Ephesians 1:14, NLT: The Spirit is God's guarantee that he will give us the inheritance he promised and that he has purchased us to be his own people. He did this so we would praise and glorify him.

Ephesians 1:14, CSB: The Holy Spirit is the down payment of our inheritance, until the redemption of the possession, to the praise of his glory.

Soma Aya zingine zinazotumia istilahi Arabuni 2Wakorintho 1:22 “naye ndiye aliyetutia muhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu”.
2Wakorintho 5:5 “Basi yeye aliyetufanya kwa ajili ya neno lilo hilo ni Mungu, aliyetupa arabuni ya Roho”.

Ni Sawa na neno Kifaru, kinaweza kuwa na maana zaidi ya Moja,kifaru mnyama, kifaru zana ya kuvuta.

Unaposema andiko lolote lazima uangalie muktadha/context ya neno husika lilivyotumika
 
Kwa hiyo wewe neno kuwa na maana zaidi ya Moja Hilo hulijui?

Arabuni Kwa lugha nyingine ni rehani/Guarantee au malipo ya awali.

Soma Bible ya kingereza home
Ephesians 1:14, NIV: who is a deposit guaranteeing our inheritance until the redemption of those who are God's possession--to the praise of his glory.

Ephesians 1:14, ESV: who is the guarantee of our inheritance until we acquire possession of it, to the praise of his glory.

Ephesians 1:14, KJV: Which is the earnest of our inheritance until the redemption of the purchased possession, unto the praise of his glory.

Ephesians 1:14, NASB: who is a first installment of our inheritance, in regard to the redemption of God’s own possession, to the praise of His glory.

Ephesians 1:14, NLT: The Spirit is God's guarantee that he will give us the inheritance he promised and that he has purchased us to be his own people. He did this so we would praise and glorify him.

Ephesians 1:14, CSB: The Holy Spirit is the down payment of our inheritance, until the redemption of the possession, to the praise of his glory.

Soma Aya zingine zinazotumia istilahi Arabuni 2Wakorintho 1:22 “naye ndiye aliyetutia muhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu”.
2Wakorintho 5:5 “Basi yeye aliyetufanya kwa ajili ya neno lilo hilo ni Mungu, aliyetupa arabuni ya Roho”.

Ni Sawa na neno Kifaru, kinaweza kuwa na maana zaidi ya Moja,kifaru mnyama, kifaru zana ya kuvuta.

Unaposema andiko lolote lazima uangalie muktadha/context ya neno husika lilivyotumika
 
Wewe ROBERT HERIEL itakuwa una mtindio wa ubongo na ndio maana haulewi ila kwa Sasa wewe tunakufanya kama ubao ili wagalatia wenzako wenye akili wasome na waelewe

Mtume Muhammad alifunuliwa na Mungu muumba mbingu na aridhi kuwa Yesu amezaliwa chini ya Shina la mtende

Quran 19-23
Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!

24.
Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako Mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!

Quran:25.
Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu.


Sasa kama wewe unaona Quran imedanganya weka ushahidi wako unao onyesha sehemu alipozaliwa Yesu

Hiyo taarifa ukiangalia ni yauongo Kwa sababu,
Haionyeshi Yesu alizaliwa Sehemu gani, hivyo unaweza sema Yesu alizaliwa hapa DAR es salaam,
Haionyeshi Kwa nini Yesu alizaliwa nje chini ya mtende?

Haya embu soma Biblia uone inavyoweza kutumika Mahakamani kwasababu inajibu in full details

1. Yesu alizaliwa wapi? Eneo
Jibu: Bethlehem ya uyahudi.

2. Alizaliwa wapi( labour yake)?
Jibu; kwenye Hori la ng'ombe

3. Alizaliwa muda gani?
Jibu; alizaliwa usiku

4. Kwa nini alizaliwa kwenye hori la ng'ombe kwani hakuna nyumba?
Jibu; Ilikuwa ni kipindi cha Sensa ya uyahudi hivyo wayahudi wengi walirudi kuhesabiwa mpaka wengine wakakosa nyumba za wageni. Mariam na Yusufu walikuwa sehemu ya waliokosa sehemu ya kukaa. Ndio maana Uchungu ulipomshika akazaliwa kwenye hori la ng'ombe.

5. Yesu alizaliwa wakati WA utawala wa Nani na Dola gani?
Jibu; Yesu alizaliwa nyakati za Dola la Tumi, n Mfalme wa eneo lile aliitwa Herode.

Hiyo ni Biblia ambayo mahakamani inaweza kusikilizwa, lakini Quran haina data hizo na sio kosa Kwa sababu mwandishi wake hakuwepo wakati huo na hapajui hata anapopasimulia.

Soma;
Luka 2:6
Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia,

Luka 2:7
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Luka 2:11
maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.

Luka 2:12
Na hii ndiyo ishara kwenu; mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelala katika hori ya kulia ng’ombe.

Mathayo 2:1
Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme Herode, tazama, mamajusi wa mashariki walifika Yerusalemu, wakisema,

Mathayo 2:2
Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.

Mathayo 2:3
Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye.

Mathayo 2:4
Akakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, akatafuta habari kwao, Kristo azaliwa wapi?

Mathayo 2:5
Nao wakamwambia, Katika Bethlehemu ya Uyahudi; kwa maana ndivyo ilivyoandikwa na nabii,

Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, <br>Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; <br>Kwa kuwa kwako atatoka mtawala <br>Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Mathayo 2:7
Kisha Herode akawaita wale mamajusi faraghani, akapata kwao hakika ya muda tangu ilipoonekana ile nyota.

Mathayo 2:8
Akawapeleka Bethlehemu, akasema, Shikeni njia, mkaulize sana mambo ya mtoto; na mkiisha kumwona, nileteeni habari, ili mimi nami niende nimsujudie.
 
USIPOTOSHE UMMA ARABUNI NI ENEO NA UKIANGALIA HAYO NI MAENEO TOFAUTI YALIYOFIKIWA NA UFUNUO LAKIN UKIIONA ARABUNI TU UNAPANDWA NA HASIRA
 

Attachments

  • Screenshot_20221104-102020.png
    Screenshot_20221104-102020.png
    22.3 KB · Views: 10
ULICHOKIMBIA NAKIJUA VIZURI SANA ILA KWANGU MM HUJAKIMBIA BADO
MTIRIRIKO WA KUTOA UFUNUO KATIKA MAENEO MBALIMBALI UPO TOA NA HII HALAF NIKUULIZE SWALI

Ufunuo juu ya Misri. Tazama, Bwana amepanda juu ya wingu jepesi, anafika Misri; na sanamu za Misri zinatikisika mbele zake, na moyo wa Misri unayeyuka ndani yake.

Isaya 19:1
Isaya 19:1
Ufunuo juu ya Misri. Tazama, BWANA amepanda juu ya wingu jepesi, anafika Misri; na sanamu za Misri zinatikisika mbele zake, na moyo wa Misri unayeyuka ndani yake.

Isaya 19:2
Nami nitawaamsha Wamisri juu ya Wamisri; nao watapigana, kila mtu na ndugu yake, na kila mtu na jirani yake, mji juu ya mji, na ufalme juu ya ufalme.

Isaya 19:3
Na roho ya Misri itamwagika kabisa katikati yake, nami nitayabatilisha mashauri yake, nao watakwenda kwa sanamu zao, na kwa waganga, na kwa wapiga ramli, na kwa wachawi.

Isaya 19:4
Nami nitawatoa hao Wamisri na kuwatia katika mikono ya bwana mgumu; na mfalme mkali atawatawala; asema Bwana, BWANA wa majeshi.

Isaya 19:5
Na maji ya baharini yatapunguka, na huo mto utakauka na kuwa pakavu.

Andiko linasema hivyo.
Wapi umekwama
 
DW


Sijakataa Ila nimekupa na Aya zingine zinazoelezea maana nyingine ya arabuni ni rehani/dhamana au bond.

Hiyo Isaya haimtabiri Nabii kutoka Arabuni Ila inaeleza Jambo jingine.
JAMBO GANI SASA KAELEZA
andiko linasemaje Sasa weka salakasi zako nizione
 
Wewe si umesema ya kuwa hakufika Makka ? Maana yake unajua ya kuwa hakufika Makka.

Mimi nimekwambua amefika na ndiyo ambaye amejenga ule Msikiti. Sasa kati yangu Mimi na wewe nani anatakiwa athibitishe ya kuwa hakufika Makka ?

"The burden of proof" inakuwa juu yako.
Ukisema Jambo Fulani lilitokea wewe ndio unatakiwa uthibitishe.
Mtu akisema umeiba, yeye ndiye anapaswa athibitishe umefanya tukio hilo.

Elimu yako tafadhali
 
Kwema Wakuu!

Kutokana na mjadala fulani uliokuwa unaendelea katika Jukwaa la Intelligence nimeona nianzishe uzi huu kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia kupima katika mizania ya kimahakama/kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.

Nani mkweli na nani muongo kati ya Biblia na Quran?

Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au Myahudi, bali nipo kujadili nani mkweli kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama, majaji mtakuwa ninyi wasomaji.

Mahakamani siyo kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa sheria, hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.

Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema kwa vile mambo haya yanagusa imani za watu jambo hilo linaweza kuwa gumu.

Zifuatazo ni hoja kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa rejea kuu zaidi ya Quran, kwa sababu;

1. Biblia kwa sehemu kubwa haina maneno ya 'Hearsay' wakati Quran kwa 90% maneno yake ni 'Hearsay'. Kimahakama maneno ya 'hearsay' hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu. Hoja hii ndiyo hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.

a) Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, Yona n.k.

Wakati msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo. Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita. Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.

Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, Mathayo na Yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu waliyoshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya. Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka kwa sababu yeye alisimuliwa.

Hata hivyo ulikuwa ni wakati ule ule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka. Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.

2. Waandishi wa Biblia walikuwepo maeneo tajwa kwenye Biblia, lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika maeneo anayoyasimulia. Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na Waisrael ambapo hajawahi kufika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.

Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman halafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman, wakati Suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.

Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia. Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.

3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa kwa manabii tofauti tofauti kwa nyakati tofauti tofauti, wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshushiwa Muhammad.

Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha Yakobo na Yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha Waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu. Na visa vyote hakuwepo!😀😀

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha Yona kaandika Yona mwenyewe, kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu (wanafunzi waliomshuhudia), kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.

Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi kwasababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni kama vile kitabu cha Mzee wetu Mwinyi au Mzee wetu Mengi.

Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay), kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa ukweli na ikachukuliwa kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.

4. Biblia imeandikwa na Wayahudi kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu kwa lugha ya Kiarabu lakini inasimulia habari za wasiyo Waarabu, inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.

Yaani mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo. Hivi ninyi mtanisikiliza mimi Mpare ninayesimulia habari za kale za Wasukuma au mtasikiliza Wasukuma wenyewe?

Muhammad Muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo halafu yeye anakwambia alizaliwa kwenye mtende halafu kuna mtu Myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye hori la ng'ombe.

Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni Myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza nani?

Haya Quran na hadithi za Kiyahudi kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji wa Daudi na mwanaye Suleiman, hajui Kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.

Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini, lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo majini. Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika vitabu vyake vilivyopo katika Biblia? Jibu utabaki nalo.

5. Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa Waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah, Mungu wa Waarabu wa kabila la Wakurdi wa zamani lakini cha ajabu huyo Allah, ati huyo Allah kuna sehemu anamuagiza kina Musa (Myahudi na dini yake Uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.

Hata hivi leo Mungu wa Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu wa waarabu hajabadilika ni yule yule Allah. Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa Muarabu.

Wahusika kuanzia kwa Yakobo mpaka kwa Yesu ni Wayahudi na dini yao ni Uyahudi na Mungu wao ni Yahweh, lakini Quran imepuyanga katika eneo hilo.

6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran, siyo ajabu Quran yenyewe ndiyo imenakili baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.

Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndiyo baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovinakili kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya Kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile.

Quran ambacho ingefanya ni kutoa nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na siyo kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo. Mbona Injili haujarudia visa? Quran haiwezi kuchukuliwa kama rejea kuu kuzidi Biblia kwa sababu nilizozitaja hapo juu.

Majaji mjadili kwa hoja.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa kwa manabii tofauti tofauti kwa nyakati tofauti tofauti, wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshushiwa Muhammad.

Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha Yakobo na Yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha Waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu. Na visa vyote hakuwepo!😀😀

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha Yona kaandika Yona mwenyewe, kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu (wanafunzi waliomshuhudia), kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.
 
"The burden of proof" inakuwa juu yako.
Ukisema Jambo Fulani lilitokea wewe ndio unatakiwa uthibitishe.
Mtu akisema umeiba, yeye ndiye anapaswa athibitishe umefanya tukio hilo.

Elimu yako tafadhali
Wewe ndio unabisha kuwa Arabuni haijapokea ufunuo thibitisha hoja Yako bac usikane bila sababu toa sababu tuione
 
Maneno yote katika QURAN ni maneno ya ALLAH

ALLAH alikuwa anamwambia Malaika JIBRIL then JIBRIL anamwambia nabii MUHAMMAD full stop

Sisi hatukatai hayo na hata mahakamani hatuna shida na Jambo Hilo.
Tunajua Allah ni mungu wa waarabu na Muhammad ni muarabu. Hivyo Allah kumuagiza mtu wa kiarabu sio Shida.

Tatizo linakuja Allah mungu wa waarabu kuiba nyaraka za mungu wa Wayahud aitwaye Yeshiva, akaiba na wahusika wakiyahudi na kujifanya ni wakwake.

Huoni huo ni wizi?
 
Una hoja za msingi sana ila mtu akisoma kimhemko hataelewa, aliyekufunulia hivi sio wewe na akili zako bali yule Roho Mtakatifu aliye ndani yako.
 
3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa kwa manabii tofauti tofauti kwa nyakati tofauti tofauti, wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshushiwa Muhammad.

Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha Yakobo na Yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha Waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu. Na visa vyote hakuwepo!😀😀

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha Yona kaandika Yona mwenyewe, kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu (wanafunzi waliomshuhudia), kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.
SASA SHIDA IPO PIA LENGO LA KUSIMULIWA NABII NINI
 
Back
Top Bottom