UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Mahakama huwa inataka ushahidi.Kwani Biblia imeeleza kila kitu?
Mahakamani kinachoelezwa ni vitu vya muhimu na Quran haijaeleza vitu hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama huwa inataka ushahidi.Kwani Biblia imeeleza kila kitu?
Mahakamani kinachoelezwa ni vitu vya muhimu na Quran haijaeleza vitu hivyo
sasa geuza hayo maelezo yako yaweke kwenye biblia ndio hivyohivyo kwa maana injili ni injili sawa wewe popomaMsahafu ni neno lenye maana ya kitabu kikubwa, Quran ni Quran haiitwi msahafu ewe punguani mbumbumbu usiye na elimu
Maneno yenu ya kuzua zua mnayodanganya kanisani usiyalete hapa hapa lete maandikoUnasema alikuwa haelezei Kama kitu kipya ilhali anasema Yesu alizaliwa mchana kwenye mtende ilhali inafahamika Yesu alizaliwa Usiku kwenye Hori la NG'OMBE.
Muhammad anasema Yesu hakusulubishwa ilhali Visa alivyovikuta vinasema alisulubishwa.
Huoni kimahakama Muhammad anapotosha? Au ni muongo
Kaiba visa kutoka kwenye nini?Cha muhimu alitakiwa atoe acknowledgement, kaiba visa vingi
Unajifanya hujui character aliowatumia kawatoa wapi,Kaiba visa kutoka kwenye nini?
Haya hiyo source ipo wapi sasa hivi?Kwa hiyo tafsir walikuwa wanatafsir kutoka hewani? Yani hakuna source
Muhammad kaiba kazi za watu kafanya zake na ku edit kubadili
Yeye alitakiwa kuja na visa vya waarabu
Ndio uniambie katoa wapi hivyo visa? Kwamba ulitaka aseme katoa kwenye biblia?Unajifanya hujui character aliowatumia kawatoa wapi,
Character wake ni mapepo ndio kaleta kipya
Kwamba majini ni malaika?Kama anavyo zungumzia visa vya uhusiano wa Majini na Uislamu.
Hivyo ndivyo visa halisi vya Muhammadi
Ni waislamu, hili ndio jipya kaja naloKwamba majini ni malaika?
Suala la shahada linajulikana ila hapo kuna ishu ya nguzo tano kwa maana inatumika kama hoja ya kwamba hao mitume wa zamani hawakuwa waislamu kwa sababu hawakufuata hizo nguzo tano.Mbona unarudia rudia swali.
Umeuliza swali hili
Kwahiyo mkristo akiamua kufuata hizo nguzo tano ndio anakuwa muislamu?
Mimi nikakujibu kwa jibu hili
Ndio anakuwa muislamu. Maana vigezo vyote vya kuwa muislamu anakuwa amevifanya akianzia na kusema shahada.
Unauliza tena kuhusu shahada. Wakati nimeshasema kwamba mtu akisema shahada anakuwa muislamu. Maana shahada ndio nguzo ya kwanza ya uislamu
Kwani mtu akiwa ana silimu anasilimishwaje zaidi ya kuambiwa atamke shahada?
Pinga hoja kwa maneno yaliyonyooka sio kuzunguka zunguka
Kwa hiyo tafsir walikuwa wanatafsir kutoka hewani? Yani hakuna source
Muhammad kaiba kazi za watu kafanya zake na ku edit kubadili
Yeye alitakiwa kuja na visa vya waarabu
Sasa watoto wadogo wenye kuzaliwa kwenye familia ya kiislamu wanatambuliwa ni waislamu ni kwa sababu ya kutekeleza nguzo tano?Acha uongo huwezi kuwa muislamu bila kutamka shahada.. na shahada ni nguzo ya uislamu.
Unaanzia wapi kusema mtu unaweza kuwa muislamu bila kufata nguzo za uislamu
Ndio nauliza kwanza unazungumzia hawa majini ambao mnasema asili yao ni malaika au majini hawa viumbe asili yao ni moto?Ni waislamu, hili ndio jipya kaja nalo
Ndio kipya kaja nacho , vingine vingi alitakiwa atoe acknowledgementNdio nauliza kwanza unazungumzia hawa majini ambao mnasema asili yao ni malaika au majini hawa viumbe asili yao ni moto?
Kwa sababu Qur'an hazungumzia majini malaika.
Kwa Nini kaiba kazi za watu ? Anatajataja majina ila atoi maelezo ya kutoshaQuran 4:163.
Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.
Mtahangaika sana na ndio maana watu ambao hawamtaki mtume Muhammad Allah alikupeni option Moja tu mchukue kamba mjinyonge basi maana Hamuna pa kutokea
Hujajibu swali, unaposema majini unazungumzia majini wale malaika au majini gani?Ndio kipya kaja nacho , vingine vingi alitakiwa atoe acknowledgement
Majini kasome surah Yao ndani ya Koran utakuta kila kitu kuwahusuHujajibu swali, unaposema majini unazungumzia majini wale malaika au majini gani?
Vitabu 5 vya awali vya Biblia ni kweli vimeandikwa na Mussa hili halina mjadala.Unaandika meengii halafu ni uharo tu, hata Musa kaandika kitabu kwa mkono wake(kwa mujibu wako, sababu kwenye bible haionekani hivyo). Yesu kaandika kitabu gani kwa mkono wake!?
Zaidi ya vitabu vingi vya Imani ya kikristo kuandika na Paulo ambaye hakuwa na time na Yesu alipokua hai!?
Hujui chochote kuhusu Qur'an. Unasema vitabu vyote kwenye Qur'an kashushiwa Muhammad peka yake, Qur'an ni kitabu kimoja hivyo vingi umevitoa wapi!?
Ibrahim alikua dini gani!? Maana najua alikua muhamiaji pale Yerusalem, alikua mwarabu wa Iraq!?
Neno eloi Kama mtamkavyo kwa lugha ya Yesu ni ilahi ina maana ya mungu wangu ambapo kwa kiarabu ni illahiy
Kwahiyo biblia ndio injili? Kama ndio ilishuka kwa nani hiyo injili?basi ndio hivyohivyo kwa biblia ,ambalo jina lake sahihi ni injili
kushuka ndio kitu gani,hakuna kitu kinachoitwa kushuka hizo ni porojo tu ,injili imeandikwa na marko,mathayo na yohana ,ukisikia eti kitabu kimeshuka huo ni upuuzi wa ni mapoyoyo tu ndio yataamini huo ujingaKwahiyo biblia ndio injili? Kama ndio ilishuka kwa nani hiyo injili?