Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Wafundisheni taratibu kwani hata Allah aliwasisitizia sana kuwa walimu wenu ni Wayahudi na Wakristo.
Sema tu wana vichwa vigumu sana hawa watu.

Surah Yunus Ayah 94

فَإِن كُنتَ فِي شَكّٖ مِّمَّآ أَنزَلۡنَآ إِلَيۡكَ فَسۡ‍َٔلِ ٱلَّذِينَ يَقۡرَءُونَ ٱلۡكِتَٰبَ مِن قَبۡلِكَۚ لَقَدۡ جَآءَكَ ٱلۡحَقُّ مِن رَّبِّكَ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ ٱلۡمُمۡتَرِينَ
Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.

Acheni kuliabudu Jiwe Jeusi Aswadi ni mzimu wa wapagani huo.

Mambo ya Walawi 26:1 Msifanye sanamu yo yote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jiwe lo lote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.
 
Waislamu mmeangukia pua

Katika 2 Nyakati, Jehoiachin alielezwa kuwa alikuwa na miaka minane wakati alipoanza kutawala,

huku katika 2 Wafalme anaelezwa kuwa alikuwa na miaka kumi na nane
 
Wafundisheni taratibu kwani hata Allah aliwasisitizia sana kuwa walimu wenu ni Wayahudi na Wakristo.
Sema tu wana vichwa vigumu sana hawa watu.

Surah Yunus Ayah 94

فَإِن كُنتَ فِي شَكّٖ مِّمَّآ أَنزَلۡنَآ إِلَيۡكَ فَسۡ‍َٔلِ ٱلَّذِينَ يَقۡرَءُونَ ٱلۡكِتَٰبَ مِن قَبۡلِكَۚ لَقَدۡ جَآءَكَ ٱلۡحَقُّ مِن رَّبِّكَ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ ٱلۡمُمۡتَرِينَ
Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.

Walimu ndio hawa wanaotufahamisha biblia iliandikwa na nani na ina makosa yepi

Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana LONDON:

Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa:

“Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.

Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.

Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu".

Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.

Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84
 
Walimu ndio hawa wanaotufahamisha biblia iliandikwa na nani na ina makosa yepi

Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana LONDON:

Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa:

“Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.

Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.

Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu".

Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.

Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84
Kama Unathubutu kumbishia Allah wako mimi nikuambie nini uelewe.
 
Kupingana


Ushahidi wa kuonyesha kutokuwa na uhakika wa mambo mengi yaliyomo katika Biblia, pia unaweza kupatikana katika kupingana kwingi kwa maandiko ya Agano la Kale na Agano Jipya.

Ifuatayo ni mifano michache tu:


Agano la Kale

1. Watunzi wa Samweli na Mambo ya Nyakati wanasimulia kisa kimoja kuhusu Mtume Daudi kufanya sensa ya Wayahudi.

Hata hivyo, katika 2 Samweli, inaeleza kuwa Mtume Daudi alitenda hilo kwa maelekezo ya Mungu, huku

1 Mambo ya Nyakati, Daudi alitenda hilo kwa maelekezo ya Shetani
korani inaposema mtume ndiye muislam wa kwanza, kisha inasema Adam ,Musa na akina Ayubu walikuwa waislam
unaitolea ufafanuzi upi
 
Kupingana


Ushahidi wa kuonyesha kutokuwa na uhakika wa mambo mengi yaliyomo katika Biblia, pia unaweza kupatikana katika kupingana kwingi kwa maandiko ya Agano la Kale na Agano Jipya.

Ifuatayo ni mifano michache tu:


Agano la Kale

1. Watunzi wa Samweli na Mambo ya Nyakati wanasimulia kisa kimoja kuhusu Mtume Daudi kufanya sensa ya Wayahudi.

Hata hivyo, katika 2 Samweli, inaeleza kuwa Mtume Daudi alitenda hilo kwa maelekezo ya Mungu, huku

1 Mambo ya Nyakati, Daudi alitenda hilo kwa maelekezo ya Shetani
Waislamu mmeangukia pua
 
Katika kuelezea urefu wa baa la tauni lililotabiriwa na Gad, mtunzi wa 2 Samweli, analiorodhesha tukio hilo kuwa lilikuwa la miaka saba, huku mtunzi wa 1 Nyakati analiorodhesha kuwa lilikuwa la miaka mitatu
Waislamu mmeangukia pua
 
Walimu ndio hawa wanaotufahamisha biblia iliandikwa na nani na ina makosa yepi

Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana LONDON:

Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa:

“Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.

Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.

Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu".

Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.

Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84
Akili yako yote na ubishi wako wote huo ilimradi tu ufanikishe kulisujudia Jiwe Jeusi la Makka. Na kutufu.
Shetani Iblis amekuzugeni.
 
korani inaposema mtume ndiye muislam wa kwanza, kisha inasema Adam ,Musa na akina Ayubu walikuwa waislam
unaitolea ufafanuzi upi


korani inaposema mtume ndiye muislam wa kwanza, kisha inasema Adam ,Musa na akina Ayubu walikuwa waislam
unaitolea ufafanuzi upi

Waislamu mmeangukia pua


Maana ya Neno Uislamu Kilugha


Kilugha, Uislamu unamaanisha kujisalimisha, kunyenyekea na kutii.

Dini hii ndio inaitwa Uislamu kwa sababu ni dini yenye msingi wa kusalimu amri za Allah na kuzitii.


Utiifu Msingi wa ujumbe wa Yesu ulikuwa ni utiifu wa kutii matakwa ya Mungu, kwa kuwa huo ndio msingi wa dini uliofanywa sheria na Mwenyezi Mungu kwa mwanadamu tangu mwanzo.

Mungu anasema katika Sura ya Al-Imraan, sura ya tatu ya Quran, aya 19:

"إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللّهِ الإِسْلاَمُ ..."

"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu…"


Kwa kiarabu kutii matakwa ya Mungu kunaelezwa na neno ‘Uislamu’.

Katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 7:21, Yesu ananukuliwa akisema:

“Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.”

Katika maelezo haya, Yesu anaweka mkazo juu ya “matakwa ya Baba”, utiifu wa matakwa ya mwanadamu kwa matakwa ya Mungu.

Katika Yohana 5:30, imesimuliwa kuwa Yesu vilevile amesema:

“Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.”
 
Maana ya Neno Uislamu Kilugha


Kilugha, Uislamu unamaanisha kujisalimisha, kunyenyekea na kutii.

Dini hii ndio inaitwa Uislamu kwa sababu ni dini yenye msingi wa kusalimu amri za Allah na kuzitii.


Utiifu Msingi wa ujumbe wa Yesu ulikuwa ni utiifu wa kutii matakwa ya Mungu, kwa kuwa huo ndio msingi wa dini uliofanywa sheria na Mwenyezi Mungu kwa mwanadamu tangu mwanzo.

Mungu anasema katika Sura ya Al-Imraan, sura ya tatu ya Quran, aya 19:

"إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللّهِ الإِسْلاَمُ ..."

"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu…"


Kwa kiarabu kutii matakwa ya Mungu kunaelezwa na neno ‘Uislamu’.

Katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 7:21, Yesu ananukuliwa akisema:

“Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.”

Katika maelezo haya, Yesu anaweka mkazo juu ya “matakwa ya Baba”, utiifu wa matakwa ya mwanadamu kwa matakwa ya Mungu.

Katika Yohana 5:30, imesimuliwa kuwa Yesu vilevile amesema:

“Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.”
Kwenye mada hii waislamu mme angukia pua
 
Kwenye mada hii waislamu mme angukia pua


Walimu ndio hawa wanaotufahamisha biblia iliandikwa na nani na ina makosa yepi



Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana LONDON:


Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa:


“Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.
Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.
Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu".

Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.

Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84
 
Walimu ndio hawa wanaotufahamisha biblia iliandikwa na nani na ina makosa yepi



Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana LONDON:


Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa:


“Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.
Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.
Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu".

Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.

Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84
Kwenye mada hii waislamu mme angukia pua
 
Maana ya Neno Uislamu Kilugha


Kilugha, Uislamu unamaanisha kujisalimisha, kunyenyekea na kutii.

Dini hii ndio inaitwa Uislamu kwa sababu ni dini yenye msingi wa kusalimu amri za Allah na kuzitii.


Utiifu Msingi wa ujumbe wa Yesu ulikuwa ni utiifu wa kutii matakwa ya Mungu, kwa kuwa huo ndio msingi wa dini uliofanywa sheria na Mwenyezi Mungu kwa mwanadamu tangu mwanzo.

Mungu anasema katika Sura ya Al-Imraan, sura ya tatu ya Quran, aya 19:

"إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللّهِ الإِسْلاَمُ ..."

"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu…"

Kwa kiarabu kutii matakwa ya Mungu kunaelezwa na neno ‘Uislamu’.

Katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 7:21, Yesu ananukuliwa akisema:

“Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.”

Katika maelezo haya, Yesu anaweka mkazo juu ya “matakwa ya Baba”, utiifu wa matakwa ya mwanadamu kwa matakwa ya Mungu.

Katika Yohana 5:30, imesimuliwa kuwa Yesu vilevile amesema:

“Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.”
Unamaanisha watu walioishi kabla ya Mtume hawakuwa na dini? Kumbuka uislam kaunzisha mtume Mohamed miaka 570 baada ya Yesu na yeye mtume ndiye muislam wa kwanza , hili nalo unahitaji aya
 
Kwenye mada hii waislamu mme angukia pua


Walimu ndio hawa wanaotufahamisha biblia iliandikwa na nani na ina makosa yepi



Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana LONDON:


Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa:


“Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.


Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.


Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu".


Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.


Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84
 
Unamaanisha watu walioishi kabla ya Mtume hawakuwa na dini? Kumbuka uislam kaunzisha mtume Mohamed miaka 570 baada ya Yesu na yeye mtume ndiye muislam wa kwanza , hili nalo unahitaji aya


Soma bila jaziba nilichokuandikia, , utaelewa maana ya uislamu, na Bwana yesu alisema kitu gani,

nakuwekea tena hapa chini

Maana ya Neno Uislamu Kilugha


Kilugha, Uislamu unamaanisha kujisalimisha, kunyenyekea na kutii.


Dini hii ndio inaitwa Uislamu kwa sababu ni dini yenye msingi wa kusalimu amri za Allah na kuzitii.


Msingi wa ujumbe wa Yesu ulikuwa ni utiifu wa kutii matakwa ya Mungu, kwa kuwa huo ndio msingi wa dini uliofanywa sheria na Mwenyezi Mungu kwa mwanadamu tangu mwanzo.


Mungu anasema katika Sura ya Al-Imraan, sura ya tatu ya Quran, aya 19:


"إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللّهِ الإِسْلاَمُ ..."


"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu…"



Kwa kiarabu kutii matakwa ya Mungu kunaelezwa na neno ‘Uislamu’.


Katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 7:21, Yesu ananukuliwa akisema:


“Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.”



Katika maelezo haya, Yesu anaweka mkazo juu ya “matakwa ya Baba”, utiifu wa matakwa ya mwanadamu kwa matakwa ya Mungu.


Katika Yohana 5:30, imesimuliwa kuwa Yesu vilevile amesema:


“Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.”
 
Apo kwenye jiwe pedophile Muhammad alikuwa anaenda kuangalia pisi zikizunguka zikiwa uchi, 😂😂, aka improve kidogo akasema mvae sanda bila nguo za ndani
Hiyo ni uongo😂😂😂Tafuta elimu elimu kwanza Masai bado unashinda matako wazi.
 
Sijui sana kuhusu korani na Uhislamu.

Ila biblia ni kitaby kimoja ambacho kimejiyosheleza katika kutoa muongozo wa maisha ya mwanadamu pamoja na ulimwengu.

Biblia imekava kila aspect ya maisha ya mwanadamu. Kuanzia Elimu/Maarifa, Biashara, familia, Mapenzi, technologia na vitu vingi. Na hii inanifanya niamini iliandikwa beyond human thoughts.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
😂😂 Mpaka sasa mabalee ya saudia yanaenda kupiga chabo pisi zikiwa na ka mtandio tu bila chupi
20221030_190224.jpg



😂😂😂
 
Unamaanisha watu walioishi kabla ya Mtume hawakuwa na dini? Kumbuka uislam kaunzisha mtume Mohamed miaka 570 baada ya Yesu na yeye mtume ndiye muislam wa kwanza , hili nalo unahitaji aya


Sheria ya Mungu inawakilisha mwongozo kwa wanadamu katika pande zote za maisha.

Inafafanua zuri na baya kwa wanadamu na kuwapa wanadamu mfumo kamili unaosimamia mambo yao yote.

Muumba pekee ndiye ajuaye vizuri kipi kina manufaa kwa viumbe wake na kipi hakina.

Kwa hiyo, sheria ya Mungu inaamuru na kukataza matendo na vitu mbali mbali ili kuikinga roho ya mwanadamu, mwili wa mwanadamu, na jamii ya wanadamu isidhurike. Ili wanadamu watimize uwezo wa kuishi kwa wema, wanahitaji kumwabudu Mungu kwa kutii amri Zake.

Hii ndio iliyokuwa dini iliyoletwa katika ujumbe wa Yesu; kutii matakwa ya Mungu mmoja wa kweli kwa kutii amri zake.

Yesu aliwasisitizia wafuasi zake kuwa kazi yake haikuwa kutangua Sheria (Taurati) iliyopokelewa na Nabii Musa. Akiwa kama Mitume iliyokuja baada ya Musa iliyoimarisha sheria, Yesu alifanya hivyo hivyo.

Sura ya al-Maaidah, aya ya 46 ya Quran inaashiria kuwa Yesu ameimarisha Sheria ya Taurati katika ujumbe wake.

"وَقَفَّيْنَا عَلَى آثَارِهِم بِعَيسَى ابْنِ مَرْيَمَ مُصَ�دِّقًا لِّمَ�ا بَ�يْنَ يَدَيْ�هِ مِ�نَ التَّ�وْرَاةِ وَآتَيْنَ�اهُ الإِنجِيلَ فِيهِ هُدًى وَنُورٌ وَمُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ..."

"Na tukawafuatishia hao Isa bin Maryamu kuyahakikisha yaliyokuwa kabla yake katika Taurati, na tukampa Injili iliyomo ndani yake uwongofu, na nuru na inayosadikisha yaliyokuwa kabla yake katika Taurati…"

Katika Mathayo 5:17-18, Yesu ameeleza:

“Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.”

Hata hivyo, Paulo, aliyedai kuwa ni mwanafunzi wa Yesu, kimsingi ametengua sheria.

Katika waraka wake kwa Warumi, sura 7:6, ameeleza,

“Bali sasa tumefunguliwa katika Torati, tumeifia hali ile iliyotupinga, ili sisi tupate kutumika katika hali mpya ya roho, si katika hali ya zamani ya andiko.
 
Back
Top Bottom