Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Quran haijui wapi dunia imetoka ilipo na wapi inapoenda. Wakati Biblia inaeleza wapi Dunia ilipotoka na wapi ilipo na inapokwenda.🤣🤣


1668451336041.png
 
Mpaka sasa hawajadili hoja wanaanzisha mijadala mipya nje ya shauri lililoko mahakamani


New King James Version Comparison Chart
Showing how the NKJV's text deviates from the KJV's preserved text.



New King James Version Omissions
NKJV omits the word "Lord" 66 times
NKJV omits the word "God" 51 times
NKJV omits the word "heaven" 50 times
NKJV omits the word "repent" 44 times
NKJV omits the word "blood" 23 times
NKJV omits the word "hell" 22 times
NKJV omits the word "JEHOVAH" entirely
NKJV omits the word "new testament" entirely
NKJV omits the word "damnation" entirely
NKJV omits the word "devils" entirely
NKJV ignored the KJV Greek Textus Receptus over 1200 times
NKJV replaced the KJV Hebrew (ben Chayyim) with the corrupt Stuttgart edition (ben Asher) Old Testament




NKJV Demotes Jesus Christ
NKJVKJV
Luke 13:8SirLord
Matthew 18:26before him saying, Masterand worshipped him saying, Lord
Matthew 20:20kneeling downworshipping him
Matthew 26:64right hand of the Powerright hand of power
Genesis 22:8God will provide for himself the lambGod will provide himself a lamb
John 8:35a sonthe Son
Colossians 2:2the mystery of God, both of the Father and of Christthe mystery of God, and of the Father, and of Christ (Trinity)
Matthew 8:19 et al.TeacherMaster
Matthew 19:16Good TeacherGood Master
Matthew 22:16TeacherMaster
Matthew 23:8One is your Teacher, the Christone is your Master, even Christ
Matthew 23:10And do not be called teachers, for One is your Teacher, the ChristNeither be ye called masters: for one is your Master, even Christ




NKJV Copies Jehovah Witness Version
NKJVKJV
Demotes Jesus Christ​
Acts 3:13His Servant Jesushis Son Jesus
Acts 3:26His Servant Jesushis Son Jesus
Acts 4:27holy Servant Jesusholy child Jesus
Acts 4:30 holy Servant Jesusholy child Jesus
Colossians 1:15the firstborn over all creationthe firstborn of every creature
Mark 2:15OMITTEDJesus
Hebrews 4:8JoshuaJesus
Acts 7:45JoshuaJesus
2 Thessalonians 3:5patience of Christpatient waiting for Christ
Demotes Trinity​
Acts 17:29Divine NatureGodhead
Philippians 4:20our God and FatherGod and our Father
Revelation 1:6his God and FatherGod and his Father
Colossians 3:17God the Father through HimGod and the Father by him
John 14:16HelperComforter
John 14:26HelperComforter
John 15:26HelperComforter
John 16:7HelperComforter
Works/Progressive Salvation​
1 Corinthians 11:1Imitate Christfollowers...of Christ
Romans 3:3faithfulnessfaith
Romans 11:30disobedientnot believed
Romans 11:32disobedientunbelief
1 Corinthians 1:18are being savedare saved
2 Corinthians 2:15are being savedare saved
Ephesians 2:8have been savedare...saved




NKJV Supports New Age Ideas
NKJVKJV
Works Salvation​
Matthew 7:14difficult is the waynarrow is the way
Galatians 5:22faithfulnessfaith
1 John 5:13may continue to believemay believe
Ecclesiastes 5:20God keeps him busyGod answereth him
Progressive Ages​
Matthew 12:32age to comeworld to come
Matthew 13:39 et al.end of the ageend of the world
Acts 15:18from eternityfrom the beginning of the world
1 Corinthians 15:45Adam became a living beingAdam was made a living soul
Pantheism, Androgyny, Gender Equity​
Luke 7:19, 20the Coming Onehe that should come
Matthew 11:3the Coming Onehe that should come
John 7:18 et al.the Onehe, his
John 4:24God is spiritGod is a spirit
2 Corinthians 2:10presenceperson
Genesis 2:18helper comparable to himhelp meet for him
Self-Esteem ("The devil made me do it.")​
Philippians 3:21lowly bodiesvile bodies
1 John 5:19whole world lies under the sway of the wicked onewhole world lieth in wickedness
Luke 11:4deliver us from the evil onedeliver us from evil
Matthew 5:37the evil oneof evil
2 Corinthians 1:12boastrejoicing
Religious Tolerance - One World Religion​
Acts 24:14sectheresy
Acts 17:22very religioustoo superstitious
Psalms 19:1nationsheathen
Acts 8:9astonishedbewitched
Acts 25:19religionsuperstition
2 Corinthians 10:5casting down argumentscasting down imaginations
Titus 3:10Reject a divisive manan heretic...reject
Relative/Subjective Standards​
Matthew 5:32 et al.sexual immoralityfornication
1 Corinthians 6:9homosexual (catamites only)effeminate
omit allperverted personssodomite
2 Timothy 3:17completeperfect
New Age Name Game/Jargon​
Matthew 23:10 et al.the ChristChrist
Psalms 109:6omitSatan
Romans 6:24 et al.slaveservant
omit 22xhadeshell
omit 81xdemon(s)devil(s)
Mark of the Beast​
Revelation 13:16 et al.a mark on their handa mark in their hand
1 Samuel 13:21the charge...was a pim (positive identification microchip)they had a file...for the coulters




NKJV Uses Harder Words than KJV
NKJV Hard WordKJV Easy Word
2 Corinthians 3:12we use great boldness of speechwe use great plainness of speech
Amos 5:21savorsmell
2 Corinthians 5:2habitationhouse
Ecclesiastes 2:3gratifygive
Isaiah 28:1, 4verdantfat
Isaiah 34:6overflowingfat
Isaiah 13:12mortalman
Deuteronomy 28:50elderlyold
Judges 19:29limbbones
Job 2:10adversityevil
1 Samuel 16:14distressingevil
Jeremiah 19:3catastropheevil
2 Kings 22:16calamityevil
Ecclesiastes 12:1difficultevil
Ecclesiastes 8:5harmfulevil
Ezekiel 5:16terribleevil

 
Hawa jamaa baada ya kujibu mada wana amua kufanya fujo.
Wakiongozwa na KingFujo Gavana,

Mada imewashinda.
 
Umezunguka koote kwenye nomino na mifano kibao ila hujajibu hoja za msingi hapa.

1. Yahweh ni title yenye maana ya "The Lord" inakusudia Mungu na si kwamba Yahweh ni Personal name ya Mungu.

2. "NIKO AMBAYE NIKO" huu ni usemi tu ila wewe unadai kwamba hiyo ni tafsiri ya neno Yahweh, ndipo nimekuuliza umepata wapi hiyo tafsiri ya kwamba Yahweh tafsiri yake ni NIKO AMBAYE NIKO ??

Vitu vyengine vipo wazi kabisa Yehova lingekuwa ni personal name ya Mungu lingejulikana toka kwa Adam huko ila sio et toka Adam huko jina la Mungu halijulikani halafu lije kujulikana wakati wa Musa, halafu ukihoji kwanini iwe hivyo mtu anakujibu et jina la Mungu halitajwi tajwi hovyo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Quran haijui wapi dunia imetoka ilipo na wapi inapoenda. Wakati Biblia inaeleza wapi Dunia ilipotoka na wapi ilipo na inapokwenda.[emoji1787][emoji1787]
Wewe endelea kuvaa nepi hadi utakapo kua ndiyo uje
huku.
Unaijua the BIG BANG wewe?.

Quran 21:30
"Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were joined entity, and we separate them and made from water living thing.Will they, then, not believe (that We created all this)?"


أَوَلَمْ يَرَ الَّذِينَ كَفَرُوا أَنَّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ كَانَتَا رَتْقًا فَفَتَقْنَاهُمَا ۖ وَجَعَلْنَا مِنَ الْمَاءِ كُلَّ شَيْءٍ حَيٍّ ۖ أَفَلَا يُؤْمِنُونَ

(AL - ANBIYAA - 30)
Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukajaalia kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini?
 
Quran haijui wapi dunia imetoka ilipo na wapi inapoenda. Wakati Biblia inaeleza wapi Dunia ilipotoka na wapi ilipo na inapokwenda.🤣🤣
Kumbuka tu kwanza kwamba ukizungumzia Qur'an ni kwamba unazungumzia kitabu kimoja chenye kusimama chenyewe na si mkusanyiko wa maandiko ya Mayahudi na mengineyo.
 
JINGA LA WAJINGA:Tulishamalizana na wewe,kama unahoja weka hapa tukupe tuition.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umemalizana na mimi kivipi ?
Kwani mimi ndio niliye ileta mada ?

Ni bora kuto kujua kuwa unajua kuliko kuto kujua kuwa hujui.
 
Umemalizana na mimi kivipi ?
Kwani mimi ndio niliye ileta mada ?

Ni bora kuto kujua kuwa unajua kuliko kuto kujua kuwa hujui.
Mleta mada anashindanisha kitabu kimoja kwa vitabu vingi, halafu kibaya zaidi haamini katika hivyo vitabu kabisa anachukulia kama vitabu vya historia tu.
 
Msingi wa swali lako ni upi kwanza? Kisha swali gani hilo la tarehe ya kuzaliwa ya Yesu au?

Unalikumbuka swali lenyewe mpaka uulize msingi wake?
Maana naona Kama kuna Jambo halipo Sawa katika mfumo wako WA utambuzi.

Hakuna hoja hata Moja kwenye shauri lililoko mahakamani ambalo imejibiwa,
Mambo mnayoyaanzisha nilitegemea yangekuwa sehemu ya majibu ya hoja zilizowasilishwa lakini sivyo zaidi mnazungumzia ishu msizo na Uelewa nazo.

Ndio maana hata mahakamani kuna swali la kujitambulisha kuanzia majina na elimu ya mtu ili kujua atakayeongea anauelewa kiwango gani.

Naomba unijibu Kama mtu aliyesoma elimu za juu.
Na Kama hujafika elimu za juu basi omba kupewa elimu, hivyo kazi yako itakuwa kuelimishwa Kwanza na sio kutoa hoja au kujibu hoja.

Ili uwe Wakili itakupasa uwe unaelimu ya kutosha kuanzia Elimu ya sheria, lugha, historia, Saikolojia n.k.

Wewe Kama wakili WA Quran umeonyesha udhaifu na Uelewa duni katika Maeneo niliyotaja hapo juu.

i. Huna Uelewa wowote wa mambo ya Lugha ndio maana hata hujui masuala ya isimu ya lugha, semantiki, Aina za maneno, hujui proper name ikiwemo personal name ya mtu na kazi yake.
Hivyo ndio maana ukashindwa kujibu hoja ya Yehova na Allah ni miungu WAWILI tofauti.

ii. Huna maarifa yoyote kuhusu mambo ya sheria hasa ishu za Plagiarism na Forgery.
Na pengine hujui ni Kwa nini mtu akichukua Kauli au kazi ya mtu lazima atoe recognition au acknowledgement.
Sio ajabu ukashindwa kujua ni namna gani Quran imefanya plagiarism na Forgery kutoka maandiko ya kiyahudi.

iii. Huna elimu ya masuala ya Historia ya Dunia.
Sio ajabu hujui Historia ya Allah kabla ya uwepo wa Quran,
Hujui historia ya kabila alilotoka Muhammad na tamaduni zao. Hivyo huwezi eleza na kuelewa lolote kuhusu namna kabila la Muhammad lilivyoathiri Quran

iv. Huna Taaluma ya masuala ya Saikolojia.
Hivyo huwezijua Saikolojia ya watu kipindi cha Zama za Giza "Dark age" ambapo Quran ndipo iliandikwa.

Kwa hoja hizi nachelea kusema, mada hii imekuzidi uwezo.
Ningekushauri umlete Mwalimu wako ambaye angalau anaelimu ya kutosha ya mambo niliyoyataja hapo juu ili atakapokuja ajadili hoja kama mtu mwenye akili na msomi.

Hivyo Mimi sitajadiliana na wewe, mpaka pale utapoanza kuzijadili hoja za Uzi huu moja baada ya nyingine. Na sio kuanzisha mijadala mipya ambayo hauna Elimu nayo.
 
Mpaka sasa hawajadili hoja wanaanzisha mijadala mipya nje ya shauri lililoko mahakamani
Hakuna hoja ambayo haijajibiwa katika andiko lako isipokuwa hii no 1 ninayo imalizia hapa,

LUKA 1

1Mheshimiwa Theofilo: Watu wengi wamejitahidi kuandika juu ya mambo yale yaliyotendeka kati yetu. 2Waliyaandika kama tulivyoelezwa na wale walioyaona mambo hayo kwa macho yao tangu mwanzo, na waliotangaza ujumbe huo.


LUKA 1

1Mheshimiwa Theofilo: Watu wengi wamejitahidi kuandika juu ya mambo yale yaliyotendeka kati yetu.
2Waliyaandika kama tulivyoelezwa na wale walioyaona mambo hayo kwa macho yao tangu mwanzo, na waliotangaza ujumbe huo.3Inafaa nami pia, Mheshimiwa, baada ya kuchunguza kwa makini mambo yote tangu mwanzo, nikuandikie kwa mpango,


Vipo hapo,siyo hearsay?.
 
Unalikumbuka swali lenyewe mpaka uulize msingi wake?
Maana naona Kama kuna Jambo halipo Sawa katika mfumo wako WA utambuzi.

Hakuna hoja hata Moja kwenye shauri lililoko mahakamani ambalo imejibiwa,
Mambo mnayoyaanzisha nilitegemea yangekuwa sehemu ya majibu ya hoja zilizowasilishwa lakini sivyo zaidi mnazungumzia ishu msizo na Uelewa nazo.

Ndio maana hata mahakamani kuna swali la kujitambulisha kuanzia majina na elimu ya mtu ili kujua atakayeongea anauelewa kiwango gani.

Naomba unijibu Kama mtu aliyesoma elimu za juu.
Na Kama hujafika elimu za juu basi omba kupewa elimu, hivyo kazi yako itakuwa kuelimishwa Kwanza na sio kutoa hoja au kujibu hoja.

Ili uwe Wakili itakupasa uwe unaelimu ya kutosha kuanzia Elimu ya sheria, lugha, historia, Saikolojia n.k.

Wewe Kama wakili WA Quran umeonyesha udhaifu na Uelewa duni katika Maeneo niliyotaja hapo juu.

i. Huna Uelewa wowote wa mambo ya Lugha ndio maana hata hujui masuala ya isimu ya lugha, semantiki, Aina za maneno, hujui proper name ikiwemo personal name ya mtu na kazi yake.
Hivyo ndio maana ukashindwa kujibu hoja ya Yehova na Allah ni miungu WAWILI tofauti.

ii. Huna maarifa yoyote kuhusu mambo ya sheria hasa ishu za Plagiarism na Forgery.
Na pengine hujui ni Kwa nini mtu akichukua Kauli au kazi ya mtu lazima atoe recognition au acknowledgement.
Sio ajabu ukashindwa kujua ni namna gani Quran imefanya plagiarism na Forgery kutoka maandiko ya kiyahudi.

iii. Huna elimu ya masuala ya Historia ya Dunia.
Sio ajabu hujui Historia ya Allah kabla ya uwepo wa Quran,
Hujui historia ya kabila alilotoka Muhammad na tamaduni zao. Hivyo huwezi eleza na kuelewa lolote kuhusu namna kabila la Muhammad lilivyoathiri Quran

iv. Huna Taaluma ya masuala ya Saikolojia.
Hivyo huwezijua Saikolojia ya watu kipindi cha Zama za Giza "Dark age" ambapo Quran ndipo iliandikwa.

Kwa hoja hizi nachelea kusema, mada hii imekuzidi uwezo.
Ningekushauri umlete Mwalimu wako ambaye angalau anaelimu ya kutosha ya mambo niliyoyataja hapo juu ili atakapokuja ajadili hoja kama mtu mwenye akili na msomi.

Hivyo Mimi sitajadiliana na wewe, mpaka pale utapoanza kuzijadili hoja za Uzi huu moja baada ya nyingine. Na sio kuanzisha mijadala mipya ambayo hauna Elimu nayo.
Hoja zote zimejibiwa,hakuna hata hoja moja iliyobaki.
Kama hipo hoja ambayo haijajibiwa,iweke hapa.
 
Unalikumbuka swali lenyewe mpaka uulize msingi wake?
Maana naona Kama kuna Jambo halipo Sawa katika mfumo wako WA utambuzi.

Hakuna hoja hata Moja kwenye shauri lililoko mahakamani ambalo imejibiwa,
Mambo mnayoyaanzisha nilitegemea yangekuwa sehemu ya majibu ya hoja zilizowasilishwa lakini sivyo zaidi mnazungumzia ishu msizo na Uelewa nazo.

Ndio maana hata mahakamani kuna swali la kujitambulisha kuanzia majina na elimu ya mtu ili kujua atakayeongea anauelewa kiwango gani.

Naomba unijibu Kama mtu aliyesoma elimu za juu.
Na Kama hujafika elimu za juu basi omba kupewa elimu, hivyo kazi yako itakuwa kuelimishwa Kwanza na sio kutoa hoja au kujibu hoja.

Ili uwe Wakili itakupasa uwe unaelimu ya kutosha kuanzia Elimu ya sheria, lugha, historia, Saikolojia n.k.

Wewe Kama wakili WA Quran umeonyesha udhaifu na Uelewa duni katika Maeneo niliyotaja hapo juu.

i. Huna Uelewa wowote wa mambo ya Lugha ndio maana hata hujui masuala ya isimu ya lugha, semantiki, Aina za maneno, hujui proper name ikiwemo personal name ya mtu na kazi yake.
Hivyo ndio maana ukashindwa kujibu hoja ya Yehova na Allah ni miungu WAWILI tofauti.

ii. Huna maarifa yoyote kuhusu mambo ya sheria hasa ishu za Plagiarism na Forgery.
Na pengine hujui ni Kwa nini mtu akichukua Kauli au kazi ya mtu lazima atoe recognition au acknowledgement.
Sio ajabu ukashindwa kujua ni namna gani Quran imefanya plagiarism na Forgery kutoka maandiko ya kiyahudi.

iii. Huna elimu ya masuala ya Historia ya Dunia.
Sio ajabu hujui Historia ya Allah kabla ya uwepo wa Quran,
Hujui historia ya kabila alilotoka Muhammad na tamaduni zao. Hivyo huwezi eleza na kuelewa lolote kuhusu namna kabila la Muhammad lilivyoathiri Quran

iv. Huna Taaluma ya masuala ya Saikolojia.
Hivyo huwezijua Saikolojia ya watu kipindi cha Zama za Giza "Dark age" ambapo Quran ndipo iliandikwa.

Kwa hoja hizi nachelea kusema, mada hii imekuzidi uwezo.
Ningekushauri umlete Mwalimu wako ambaye angalau anaelimu ya kutosha ya mambo niliyoyataja hapo juu ili atakapokuja ajadili hoja kama mtu mwenye akili na msomi.

Hivyo Mimi sitajadiliana na wewe, mpaka pale utapoanza kuzijadili hoja za Uzi huu moja baada ya nyingine. Na sio kuanzisha mijadala mipya ambayo hauna Elimu nayo.
Nani kaanzisha mada mpya? Mada ya mwisho tuliyokuwa tunajadili ni kuhusu wewe kupinga Allah kuwa si Mungu wa vitabu vya Torat,Zaburi na Injili na kwamba Allah ni Mungu wa waarabu tu, na kwamba Yehova ndio jina la halisi la Mungu wa Wayahudi hana kitabu cha Qur'an.

Sikia mimi sipo hapa kushindana elimu na wewe, usitumie nguvu kunishambulia mimi binafsi utake nionekane sina elimu na wewe kwamba una elimu kubwa. Mimi hata sishindani na wewe kwa elimu mimi elimu yangu ni ndogo hivyo wala usijisumbuwe katika hilo kutaka kulitumia kama silaha ya kushinda mjadala.

Uzuri humu tuliyojadili kati yangu nisio na elimu na wewe mwenye elimu zote ni kwamba wengine watasoma na kila mmoja ana uelewa wake.

Asubuhi njema.
 
Nani kaanzisha mada mpya? Mada ya mwisho tuliyokuwa tunajadili ni kuhusu wewe kupinga Allah kuwa si Mungu wa vitabu vya Torat,Zaburi na Injili na kwamba Allah ni Mungu wa waarabu tu, na kwamba Yehova ndio jina la halisi la Mungu wa Wayahudi hana kitabu cha Qur'an.

Sikia mimi sipo hapa kushindana elimu na wewe, usitumie nguvu kunishambulia mimi binafsi utake nionekane sina elimu na wewe kwamba una elimu kubwa. Mimi hata sishindani na wewe kwa elimu mimi elimu yangu ni ndogo hivyo wala usijisumbuwe katika hilo kutaka kulitumia kama silaha ya kushinda mjadala.

Uzuri humu tuliyojadili kati yangu nisio na elimu na wewe mwenye elimu zote ni kwamba wengine watasoma na kila mmoja ana uelewa wake.

Asubuhi njema.

Jibu maswali haya;

1. Torati imeandikwa na nani?
2. Huyo aliyeandika Torati ni taifa gani?
3. Mungu WA taifa Hilo anaitwa Nani?

4. Aliyeandika Zaburi ni Nani?
5. Huyo aliyeandika Zaburi ni taifa gani?
6. Mungu wa taifa Hilo anaitwa Nani?

7. Aliyeleta Injili ni Nani?
8. Huyo aliyeleta injili ni taifa gani?
9. Mungu WA taifa Hilo anaitwa Nani?

10. Aliyeleta Quran ni Nani?
11. Huyo aliyeleta Quran ni taifa gani?
12. Mungu wa taifa hilo anaitwa Nani?

Ukishajibu maswali hayo utaelewa kuwa ulichokuwa unabishania kilikuwa nje ya uwezo wako wakufikiri.
 
Jibu maswali haya;

1. Torati imeandikwa na nani?
2. Huyo aliyeandika Torati ni taifa gani?
3. Mungu WA taifa Hilo anaitwa Nani?

4. Aliyeandika Zaburi ni Nani?
5. Huyo aliyeandika Zaburi ni taifa gani?
6. Mungu wa taifa Hilo anaitwa Nani?

7. Aliyeleta Injili ni Nani?
8. Huyo aliyeleta injili ni taifa gani?
9. Mungu WA taifa Hilo anaitwa Nani?

10. Aliyeleta Quran ni Nani?
11. Huyo aliyeleta Quran ni taifa gani?
12. Mungu wa taifa hilo anaitwa Nani?

Ukishajibu maswali hayo utaelewa kuwa ulichokuwa unabishania kilikuwa nje ya uwezo wako wakufikiri.
Haina haja ya kujibu nishaelewa kwamba kila taifa lina Mungu wake, hiyo ndio point ya msingi.
Asante sana kwa kunipa elimu hiyo msomi nilikuwa sijui.
 
Haina haja ya kujibu nishaelewa kwamba kila taifa lina Mungu wake, hiyo ndio point ya msingi.
Asante sana kwa kunipa elimu hiyo msomi nilikuwa sijui.

Kila taifa lilikuwa na Mungu wake na sio kila taifa tuu Bali kila kabila.
Sasa Jambo dogo Kama hilo ulikuwa haulijui?

Kwa hiyo Kwa Uelewa wako Waarabu walimvyomleta Allah huku Afrika unafikiri hawakukuta Waafrika tukiwa tunaabudu miungu yetu?
Au unafikiri tulikuwa tunamuabudu Allah au Yehova?

Elewa kuwa, Hata hapa Tanzania kila kabila lilikuwa na mungu wake.

Na tofauti ya miungu ndio huzaa tofauti za Mila na desturi na miiko.

Elewa kuwa kila taifa au kila kabila wanaamini mungu wao ndio aliumba dunia,
Elewa kuwa kila taifa linaloamini katika mungu wao huamini miungu mingine kuiabudu ni upagani na ukafiri.

Elewa kuwa Biblia na Quran sio kwamba zilipoletwa Afrika basi Waafrika walizikubali Kwa hiyari isipokuwa walipigwa wakateswa na wengine kuuawa mpaka wakazikubali hizo dini, hiyo miungu ya kigeni pamoja na vitabu vyao hizo Quran na Biblia.

Kwa hiyo kamwe usijesema Allah au Yehova ndio mungu wa Dunia au mungu wa wote. Anayesema hivyo yeyote asiye muarabu au myahudi kuna mahala atakuwa Hana Uelewa na mambo ya kihistoria na Kidini.

Ndio maana hapa tunapojadili vitabu hivyo, tunajadili katika muktadha wa kimahakama baina ya vitabu hivyo kuwa Nani kamuibia mwenzake materials kwani hizo jamii ni mbili tofauti zenye miungu miwili tofauti, zenye tamaduni tofauti na historia tofauti.

Bado tuu hujaelewa mantiki ya andiko hili.
 
Jamaa kaleta madai na tuhuma zake halafu anataka kujadiliwe kwanini hayo anayotuhumu yamefanyika na sio kutaka kuhakiki ukweli wa anayo tuhumu. Mfano kaja anadai Qur'an imeiba maandiko kutoka kwenye biblia hivyo anataka ajibiwe kwanini Qur'an iibe maandiko kwenye biblia na hataki kuwlezwa tofauti na hayo madai yake ndio maana hata ukimjibu ila tofauti na kumwambia kwanini Qur'an iibe maandiko basi hatambui kama umemjibu kabisa.
 
Back
Top Bottom