Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Sasa Hilo swali muulize Allah imekuwaje Adobe Stori za Wayahudi walivyosaidiwa na Mungu wao aitwaye Yehova akampa Muhammad badala ya kuandaa matukio yake
hahahaha kwaio miungu kaziyao nikuandaa matukio yao nakuyaleta kwetu?.nakama mungu wamuhamadi ameyajua matukio ya miungu yawatu wazamani huoni kua nimungu mwenye uwezo mkubwa sana?
 
Ndio utaulizwa mahakamani Mungu wa Wayahudi anaitwa Allah?
Maana Mungu WA Wayahudi ndiye aliyeshusha Torati, injili na zaburi.
hivi dunia,sayari nyingine na vilivomo ndani yake mmiliki wake ninani au alie viumba ninani? natamani unijibu
 
Ndio maana nikakuambia unasafari ndefu kama unafikiri wachina mungu wao ni Allah, au wahindi Mungu wao ni Jehovah.

Ni mtu pekee asiyeitumia akili yake vizuri anayeweza kufikiri Kwa namna hiyo
Masuala ya Mungu ni imani ndio maana kuna imani tofauti kuhusu Mungu na miungu, sasa wewe unafanya kuwa ni fact huo mtazamo au imani ya kwamba kila jamii ina mungu wake wa asili. Huko Asia kuna jamii zimechukua imani za Asili ya India huko.
 
Pia kutaulizwa huyo Mungu wa Wayahudi alishusha vp hiyo Torat,Zabur na Injili?

Kwani torati, zaburi na injili ni vitabu vya taifa gani?
Viliandikwa na kina Nani kutoka taifa gani?
Wahusika Wakuu ni kina Nani kutoka taifa gani?
Maeneo mengi yanayozungumziwa yapo taifa gani?

Ni mtu mjinga tuu asiyejua mambo madogo Kama hayo
 
Masuala ya Mungu ni imani ndio maana kuna imani tofauti kuhusu Mungu na miungu, sasa wewe unafanya kuwa ni fact huo mtazamo au imani ya kwamba kila jamii ina mungu wake wa asili. Huko Asia kuna jamii zimechukua imani za Asili ya India huko.

Ulifika Kidato cha nne?
Kama ulifika ulisoma Mada moja kwenye somo la uraia inayoitwa Culture?
Kama ulisoma hiyo Mada utaelewa kuwa kila jamii inautamaduni wake.
Na kinacholeta Utamaduni ni pamoja na miungu kuwa tofauti.

Sasa sijui unachobisha ni kitu gani.
Ndio maana nikakuambia elimu ni Jambo muhimu Sana kwenye maisha.

Miungu, ibada, Imani ni sehemu ya mambo ya kiutamaduni. Na yanafundishwa SHULENI. Sasa kitu gani hujui Mkuu?

Hujui Aspects of Cultures?
Moja wapo ni Religions, kwenye religion ndio kuna mambo ya miiko, miungu, n.k
 
hivi dunia,sayari nyingine na vilivomo ndani yake mmiliki wake ninani au alie viumba ninani? natamani unijibu

Hakuna ushahidi wowote wenye mantiki utaoletwa mahakamani unaothibitisha ni nan mmiliki wa hii DUNIA.

Kila mungu wa kila jamii anatamba kuwa yeye ndiye mmiliki.
Mbona hauelewi Jambo dogo Hilo.

Ukienda Kwa Waarabu wao wanaamini Allah ndiye mungu aliyeumba dunia.
Ukienda Kwa Wayahudi wanakuambia Yehova,
Ukienda Kwa wachina wanakuambia Buddha,
Ukienda Kwa Wahindi wekundu wanakuambia Omens ndiye kaumba.

Sasa kila mmoja anatakiwa athibitishe wa kike akisemacho. Kwa sababu miungu ipo mingi.
 
hahahaha kwaio miungu kaziyao nikuandaa matukio yao nakuyaleta kwetu?.nakama mungu wamuhamadi ameyajua matukio ya miungu yawatu wazamani huoni kua nimungu mwenye uwezo mkubwa sana?

Pengine wewe haujui hata Historia ya Muhammad kupewa utume.
Hapo Makka kulikuwepo Wakiristo wenye maandiko ya kiyahudi,
Huyo Muhammad Alichofanya ni kuibiaibia Stori za hao Wakristo wa wakati ule na kuziweka kwenye Quran.

Allah hawezi kuwa na uwezo Mkubwa Kwa kuiba Visa vya manabii wa kiyahudi, na pamoja na kuiba bado kavikosea Kwa kiasi kikubwa, na pia kashindwa kuvisimulia in details. Ndio maana Kwa mtu ambaye ameenda shule akaiacha akili yake kuwa huru Quran ataiona ni kitabu ambacho hakijitoshelezi.
 
Kuongea vitu ambavyo haviwezi kuwa wala kutokea nao ni aina nyingine ya mtu mjinga. Mtoa uzi hiyo mahakama hakimu angekuwa wa dini gani? Na kama umeongea tu kwanini uandike vitu ambavyo havina uhalisia hata kwa mbali!?
 
Kwani torati, zaburi na injili ni vitabu vya taifa gani?
Viliandikwa na kina Nani kutoka taifa gani?
Wahusika Wakuu ni kina Nani kutoka taifa gani?
Maeneo mengi yanayozungumziwa yapo taifa gani?

Ni mtu mjinga tuu asiyejua mambo madogo Kama hayo
Kwanini maneno mengi na si yote yawe yanahusu hilo taifa tu?

Wakati hivyo vitabu vinaandikwa na hao wahusika katika hiyo jamii watu walikuwa na imani zao tofauti tofauti hivyo madai ya kwamba kulikuwa na Mungu wa hilo taifa mwenye kuhusika na hivyo vitabu ilikuwa ni moja tu ya imani zilizokuwepo wakati huo na si kwamba taifa lote lilikuwa likimtambua na kuamini huyo Mungu wa hilo taifa.
 
Pengine wewe haujui hata Historia ya Muhammad kupewa utume.
Hapo Makka kulikuwepo Wakiristo wenye maandiko ya kiyahudi,
Huyo Muhammad Alichofanya ni kuibiaibia Stori za hao Wakristo wa wakati ule na kuziweka kwenye Quran.

Allah hawezi kuwa na uwezo Mkubwa Kwa kuiba Visa vya manabii wa kiyahudi, na pamoja na kuiba bado kavikosea Kwa kiasi kikubwa, na pia kashindwa kuvisimulia in details. Ndio maana Kwa mtu ambaye ameenda shule akaiacha akili yake kuwa huru Quran ataiona ni kitabu ambacho hakijitoshelezi.
Kwamba Mungu(Allah ambaye unakubali ni Mungu ila waaarabu) hawezi hana uwezo mkubwa wa kuiba visa vya wayahudi ila Muhammad(mtu) ndio kaweza kuiba hivyo visa kwahiyo ana uwezo mkubwa kuliko Mungu wa taifa lake?
 
Ulifika Kidato cha nne?
Kama ulifika ulisoma Mada moja kwenye somo la uraia inayoitwa Culture?
Kama ulisoma hiyo Mada utaelewa kuwa kila jamii inautamaduni wake.
Na kinacholeta Utamaduni ni pamoja na miungu kuwa tofauti.

Sasa sijui unachobisha ni kitu gani.
Ndio maana nikakuambia elimu ni Jambo muhimu Sana kwenye maisha.

Miungu, ibada, Imani ni sehemu ya mambo ya kiutamaduni. Na yanafundishwa SHULENI. Sasa kitu gani hujui Mkuu?

Hujui Aspects of Cultures?
Moja wapo ni Religions, kwenye religion ndio kuna mambo ya miiko, miungu, n.k
Hivi ulielewa kweli nilichoandika?
 
Unaandika meengii halafu ni uharo tu, hata Musa kaandika kitabu kwa mkono wake(kwa mujibu wako, sababu kwenye bible haionekani hivyo). Yesu kaandika kitabu gani kwa mkono wake!?

Zaidi ya vitabu vingi vya Imani ya kikristo kuandika na Paulo ambaye hakuwa na time na Yesu alipokua hai!?

Hujui chochote kuhusu Qur'an. Unasema vitabu vyote kwenye Qur'an kashushiwa Muhammad peka yake, Qur'an ni kitabu kimoja hivyo vingi umevitoa wapi!?

Ibrahim alikua dini gani!? Maana najua alikua muhamiaji pale Yerusalem, alikua mwarabu wa Iraq!?

Neno eloi Kama mtamkavyo kwa lugha ya Yesu ni ilahi ina maana ya mungu wangu ambapo kwa kiarabu ni illahiy
Umejitahidi kujibu ila hujaeleweka kabisa kama isivyo eleweka Quran
 
Kwani torati, zaburi na injili ni vitabu vya taifa gani?
Viliandikwa na kina Nani kutoka taifa gani?
Wahusika Wakuu ni kina Nani kutoka taifa gani?
Maeneo mengi yanayozungumziwa yapo taifa gani?

Ni mtu mjinga tuu asiyejua mambo madogo Kama hayo

Kumbe wewe ni karanga , hivi Torauti, injeel zaburi tokea lini vikawa vitabu vya taifa fulani ??
 
Muhammad hajawah kutumwa na Mungu lakin mkuu. leta aya kutoka Quran utudhibitishie.
Mimi nimewauliza sana hili Swali na wanakwepa kwepa tu.

Tunataka andiko linalosema Mungu akamwambia Muhammadi.

"Mimi Mungu jina langu ni Allah, nakutuma ukaseme hivi na hivi kwa watu flani"

Kama Mungu alivyo mwambia Musa hapa.

Kutoka 3:14
Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO; akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli MIMI NIKO amenituma kwenu.

Tunaona maneno tu hakika sisi tumekuteremshia qurani ya ajabu.

Nasi tunakutuma ukawe mtume

Hayo maneno hata mimi naweza kuyasema.
 
Kumbe wewe ni karanga , hivi Torauti, injeel zaburi tokea lini vikawa vitabu vya taifa fulani ??
Wewe zaidi ya kukopi na kupest kazi za wengine, huwezi kutoa hoja toka kichwani mwako.

Hebu soma hapa.

Kutoka 3:15 Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, Bwana, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.

(Sema, kuna Wamakonde hapo au Waarabu?)
 
Back
Top Bottom