Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Nenda kasome kisa Cha Ibrahim wa Koran Allah alipo sacrifice kondoo Ali sacrifice kwa nani

Kwani kondoo ndio mungu ??


Mnasema kwamba “MUNGU AMEMTOA” mwanawe wa pekee ili kutuokoa sisi”.
Je, Mungu alimtoa Yesu kumpa nani wakati yeye Mungu ndiye mmiliki wa ulimwengu wote?
 
Kwani kondoo ndio mungu ??


Mnasema kwamba “MUNGU AMEMTOA” mwanawe wa pekee ili kutuokoa sisi”.
Je, Mungu alimtoa Yesu kumpa nani wakati yeye Mungu ndiye mmiliki wa ulimwengu wote?
Umeshasoma nilichokwambia?
 
Umeshasoma nilichokwambia?

Ningalikuuliza ?? Kwani Ibrahim aliyemchinja kondoo ni mungu ??

Jibu swali? usianze kuleta figisu



Mnasema kwamba “MUNGU AMEMTOA” mwanawe wa pekee ili kutuokoa sisi”.


Je, Mungu alimtoa Yesu kumpa nani wakati yeye Mungu ndiye mmiliki wa ulimwengu wote?
 
Adam alifukuzwa kwa mujibu wa Koran

Sasa Toba ilikubaliwa ni ipi?
Hebu twenda taratibu si kwa nia ya kubishana Bali kuelimishana.

Hii ndio Quran wewe umeielewaje. Mimi nimeona kapata toba. Nini mantiki ya swali lako

(AL - BAQARA - 36)
Lakini Shet'ani aliwatelezesha hao wawili na akawatoa katika waliyo kuwamo, na tukasema: Shukeni, nanyi ni maadui nyinyi kwa nyinyi. Katika ardhi yatakuwa makaazi yenu na starehe kwa muda.


(AL - BAQARA - 37)
Kisha Adam akapokea maneno kwa Mola wake Mlezi, na Mola wake Mlezi alimkubalia toba yake; hakika Yeye ndiye Mwingi wa kukubali toba na Mwenye kurehemu.


(AL - BAQARA - 38)
Tukasema: Shukeni nyote; na kama ukikufikieni uwongofu utokao kwangu, basi watakao fuata uwongofu wangu huo haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.


(AL - BAQARA - 39)
Na wenye kukufuru na kuzikanusha ishara zetu, hao ndio watakao kuwa watu wa Motoni, humo watadumu.
 
Nenda kasome kisa Cha Ibrahim wa Koran Allah alipo sacrifice kondoo Ali sacrifice kwa nani


The SIX trials of Jesus?


6-trials-sm.jpg






1. Night "trial" by the Sanhedrin (Mark)


2. Morning "trial" by the Sanhedrin (Mark, Matthew, Luke)


3. "Trial" by Pilate (Mark, Matthew, Luke, John)


4. Night "trial" by Annas (John)


5. "Trial" by Herod Antipas (Luke)


6. Second "trial" by Pilate, after Jesus was sent back by Herod (Luke)


All between nightfall and noon the following day!


To add dramatic tension, the trial sequence was interwoven with a different sort of trial, that of Peter's "denial of Jesus" and also with the farcical Barabbas "Passover pardon" episode.


More theatre.
 
Hebu twenda taratibu si kwa nia ya kubishana Bali kuelimishana.

Hii ndio Quran wewe umeielewaje. Mimi nimeona kapata toba. Nini mantiki ya swali lako

(AL - BAQARA - 36)
Lakini Shet'ani aliwatelezesha hao wawili na akawatoa katika waliyo kuwamo, na tukasema: Shukeni, nanyi ni maadui nyinyi kwa nyinyi. Katika ardhi yatakuwa makaazi yenu na starehe kwa muda.


(AL - BAQARA - 37)
Kisha Adam akapokea maneno kwa Mola wake Mlezi, na Mola wake Mlezi alimkubalia toba yake; hakika Yeye ndiye Mwingi wa kukubali toba na Mwenye kurehemu.


(AL - BAQARA - 38)
Tukasema: Shukeni nyote; na kama ukikufikieni uwongofu utokao kwangu, basi watakao fuata uwongofu wangu huo haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.


(AL - BAQARA - 39)
Na wenye kukufuru na kuzikanusha ishara zetu, hao ndio watakao kuwa watu wa Motoni, humo watadumu.
Ndio nimekuuliza Toba kukubalika ni kufukuzwa ?
 
Wela na Aya ya Koran , hiyo nchi ya Palestine ya kale iliitwaje?

Je tukienda uku ulipo sema tutakuta kumbukumbu yake Isa
Sikia ndugu; historia hii nimeipata kwa wachungaji wenu. Mimi ni msikilizaji mzuri wa Dr Myles Manroe.

Pitia link hii utajifumza mengi ya kweli. Mwishone ndipo anaongea illusion

 
Sikia ndugu; historia hii nimeipata kwa wachungaji wenu. Mimi ni msikilizaji mzuri wa Dr Myles Manroe.

Pitia link hii utajifumza mengi ya kweli. Mwishone ndipo anaongea illusion


Umesha Anza ma copy paste
Jibu wewe kama wewe na weka rejea ya koran
 
Umesha Anza ma copy paste
Jibu wewe kama wewe na weka rejea ya koran

Mwari ameanza kulalama......😛


Kwani wewe unatafuta nini , si ukweli kwa ushahidi au ubishi ??



The KEY question

Mark

But he was silent and made no answer. Again the high priest asked him, "Are you the Christ, the Son of the Blessed?"

And Jesus said, "I am; and you will see the Son of man seated at the right hand of Power, and coming with the clouds of heaven."

And the high priest tore his garments, and said, "Why do we still need witnesses? You have heard his blasphemy. What is your decision?"

And they all condemned him as deserving death. And some began to spit on him, and to cover his face, and to strike him, saying to him, "Prophesy!"

And the guards received him with blows.

are-you-the-christ.jpg




Matthew

But Jesus was silent. And the high priest said to him, "I adjure you by the living God, tell us if you are the Christ, the Son of God."

Jesus said to him, "You have said so. But I tell you, hereafter you will see the Son of man seated at the right hand of Power, and coming on the clouds of heaven."

Then the high priest tore his robes, and said, "He has uttered blasphemy. Why do we still need witnesses? You have now heard his blasphemy. What is your judgment?"

They answered, "He deserves death." Then they spat in his face, and struck him; and some slapped him, saying, "Prophesy to us, you Christ! Who is it that struck you?"



blindfolded.jpg



Peek-a-boo



Luke

When day came, the assembly of the elders of the people, both chief priests and scribes, gathered together, and they brought him to their council.
They said, "If you are the Messiah, tell us."


He replied, "If I tell you, you will not believe; and if I question you, you will not answer. But from now on the Son of Man will be seated at the right hand of the power of God."


All of them asked, "Are you, then, the Son of God?"


He said to them, "You say that I am."


Then they said, "What further testimony do we need? We have heard it ourselves from his own lips!"



John


Pilate said to them, "Take him yourselves and crucify him; I find no case against him."


The Jews answered him, "We have a law, and according to that law he ought to die because he has claimed to be the Son of God."


Not only was there no such law but blasphemy required stoning not crucifixion!



stone-jesus.jpg
 
Wandamu wote tunamkosea mungu; muhimu ni toba. Kosa la Adam siwezi kulirithi wala kulibeba Mimi, Makosa yangu hawezi beba baba yangu hata biblia imeweka wazi jambo hilo.

Lazima tuelewa kwanini mumgu baada ya kuumba vitu vyote alikuja kumuumba Adam. Ni kwa sababu tuje kutumikia yeye. Kutumikia yeye ndio ibada kwa kiarabu. Na kwamba viumbe vyote vingine vimewekwa chini yetu na sisi ni viongozi kwako.
Hapo ndiyo uone tofauti ya Biblia na Quran , Biblia inasema dhambi ya asili ilianzia kwa Adam na kupitia hiyo wanadamu wote walipungukiwa na utukufu wa Mungu kwahiyo ilipaswa tukio lingine lifanyike kumpatanisha mwanadamu na Mungu wake. Hapo Quan imepita kimya
 
JIBU HILI SWALI USIKIMBIE


Mnasema kwamba “MUNGU AMEMTOA” mwanawe wa pekee ili kutuokoa sisi”.


Je, Mungu alimtoa Yesu kumpa nani wakati yeye Mungu ndiye mmiliki wa ulimwengu wote?
Nilitaka tu niwathibitishie Allah ni muongo , anadanganya alafu anakaa ma mia ya miaka anakuja anatapa alidanganya 😂😂😂
 
Hapo ndiyo uone tofauti ya Biblia na Quran , Biblia inasema dhambi ya asili ilianzia kwa Adam na kupitia hiyo wanadamu wote walipungukiwa na utukufu wa Mungu kwahiyo ilipaswa tukio lingine lifanyike kumpatanisha mwanadamu na Mungu wake. Hapo Quan imepita kimya


Kwa ushahidi please
 
Nilitaka tu niwathibitishie Allah ni muongo , anadanganya alafu anakaa ma mia ya miaka anakuja anatapa alidanganya 😂😂😂

Ssasa jibu hili swali

IBU HILI SWALI USIKIMBIE


Mnasema kwamba “MUNGU AMEMTOA” mwanawe wa pekee ili kutuokoa sisi”.


Je, Mungu alimtoa Yesu kumpa nani wakati yeye Mungu ndiye mmiliki wa ulimwengu wote?
 
Ndio nimekuuliza Toba kukubalika ni kufukuzwa ?
Ndugu; ukisoma kuanzia aya ya 30 ya sura hiyo tutaona ya kwamba damu kuletwa duniani ilikuwa ni mpamgo wa mungu na sio laana.

(AL - BAQARA - 30)
Na pale Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi), wakasema: Utaweka humo atakaye fanya uharibifu humo na kumwaga damu, hali sisi tunakutakasa kwa sifa zako na tunakutaja kwa utakatifu wako? Akasema: Hakika Mimi nayajua msiyo yajua.
 
Wandamu wote tunamkosea mungu; muhimu ni toba. Kosa la Adam siwezi kulirithi wala kulibeba Mimi, Makosa yangu hawezi beba baba yangu hata biblia imeweka wazi jambo hilo.

Lazima tuelewa kwanini mumgu baada ya kuumba vitu vyote alikuja kumuumba Adam. Ni kwa sababu tuje kutumikia yeye. Kutumikia yeye ndio ibada kwa kiarabu. Na kwamba viumbe vyote vingine vimewekwa chini yetu na sisi ni viongozi kwako.

Au unataka kusema Adam alikataa kufata amri ya yesu
Unajua unapuyanga tu, wanadamu wamemkosea Mungu kwa vipi kwanini wamkosee? embu jiulize kwanza hiyo je Mungu alituumba ili tuteseke na tufe au kwanini tuna kufa ?
 
Hebu twenda taratibu si kwa nia ya kubishana Bali kuelimishana.
Una maswali ya Isa hujajibu ?
Nilikuuliza Alie danganya kwa kuwafanishia na walio ona wakaandika walicho ona kwa macho Yao ushahidi wa yupi unakubalika mahakamani?
 
Umesha Anza ma copy paste
Jibu wewe kama wewe na weka rejea ya koran
Sikia ndugu

Uislam ni imani ya watu intelligence.

Intelligence manake ni kuikubaliana na hoja zilizo authentic. Badala ya kuelendea kubishana tu.

Sasa vitabu vya mungu si hadithi ya willy gamba. Kwamba kitaanza kueleza wasifu wa mtume. Wasifu na historia utazipata kwenye vitabu vya historia. Then unaichuja historia hiyo kwa vipimo kuthibitisha ni authentic.

Sasa Leo ninyi mkiulizwa Mungu alikiwa Mzungu au Mwarabu au Mwafrika. Jibu kwa kitumia authentic reference kama unayo

Na je ukiwekewa sanamu ya yesu muafrika utamkubali ?!??
 
Sikia ndugu

Uislam ni imani ya watu intelligence.

Intelligence manake ni kuikubaliana na hoja zilizo authentic. Badala ya kuelendea kubishana tu.

Sasa vitabu vya mungu si hadithi ya willy gamba. Kwamba kitaanza kueleza wasifu wa mtume. Wasifu na historia utazipata kwenye vitabu vya historia. Then unaichuja historia hiyo kwa vipimo kuthibitisha ni authentic.

Sasa Leo ninyi mkiulizwa Mungu alikiwa Mzungu au Mwarabu au Mwafrika. Jibu kwa kitumia authentic reference kama unayo

Na je ukiwekewa sanamu ya yesu muafrika utamkubali ?!??
Rudi ujibu maswali yangu ,
Koran ni kama ka kipeperushi hakana majibu ya maswali
Niliwauliza ndugu zako mpaka Leo hakuna jibu wametoa

Koran imeiba fisa vya wayahudi
Unakuta Kuna character anaitwa yakub Muhammad anasimulia mara ghafla anakuwa Israel na wala atuambii ilikuwaje akawa Israel na Israel maana yake nini?
 
Back
Top Bottom