Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
viumbe si vingi malaika, majini, binadamu, wanyama, mimea..Cheo kwa kiumbe gani?
Hata kweny biology si unasoma viumbe hai ana visivyo hai ...Wote ni viumbe binadamu ni cheo huwezi kumlinganisha na mnyama tayar binadamu ni kiongozi wa vitu vyote duniani.
Malaika ni viumbe wanaabudu na wala hawamuhaswi Mungu na pia ndo hao wanatii kila watakaloambiwa na Mungu