Speculations zote hizi za nini? Taratibu za kuteua na kutangaza wabunge wa viti maalumu zinafahamika.
Ina maana CHADEMA hawajawahi kufanya mawasiliano yoyote rasmi na NEC baada ya Mdee na wenzake kutangazwa (au kuapishwa) kuwa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA?
Yaani nimetokea kuwachukia sana hao wanawake, hivi unawezaje kudhalilisha chama kilichokupa jina mpaka unaenda mahakamani na unajua kabisa ume forge!!Hakuna uwezekano wa wao kubaki tena CDM bila kujali kitakachotokea kwenye hii kesi. Wale wanaotegemea siasa moja kwa moja watahamia vyama vingine hasa CCM ili kuendelea kupata ulaji. Na wengine nadhani itakuwa ni mwisho wa siasa kwao, au hata kama watabaki kwenye siasa watakuwa wamepoteza ushawishi.
Sahihi kabisa, na vile sasa hivi siasa zinaamuliwa na vyombo vya dola na sio wananchi, hao wabunge wanafanya watakalo bila hofu kwani wana Backup ya vyombo vya dola. Kila siku nasema kwa hapa tulipofikia machafuko tu ndio yatafanya turudishe mambo kwenye mstari.Yaani nimetokea kuwachukia sana hao wanawake, hivi unawezaje kudhalilisha chama kilichokupa jina mpaka unaenda mahakamani na unajua kabisa ume forge!!
Kuna wakati siasa za kibabe kma za Odinga zinahitajika.... Yaani mnawang'oa kwa maandamano mpaka wanatoroka nchi. Wanaudhi sana.
Wake zao hao hakina mbowe....mimi nawaambia kila sikuHeshima sana wanajamvi,
Ikiwa Mdee na genge lake waligushi nyaraka na hatimaye wakafanikiwa kuwa wabunge !.
Ni kwanini mpaka leo chadema hawajawafunguliwa Mdee na wenzake kesi ya kugushi !.
Ikiwa Wakili Msomi Kibatala na wenzake walijua kama mapingamizi yao yangesababisha kesi ya Mdee kutupwa lakini hapo hapo walikuwa na nafasi ya kufanya marekebisho na kesi kuanza upya. Hawakuona walikuwa wanatoa nafasi ya kesi kuchukua muda mrefu zaidi ?.
Nadhani kuna shida hapa lakini hatuambiwi ukweli.
Ngongo kwasasa Kigali.
..Cdm wamewahi kuwasiliana na Nec kuwaomba nyaraka zilizotumika kuwapeleka kina Halima bungeni, lakini hawakupewa ushirikiano.
..Ndio maana ninahusi kwamba hakuna nyaraka za uteuzi, na huenda kina Halima walikwenda moja kwa moja bungeni kwa MAAGIZO toka mamlaka fulani.
Kama hawakupeleka majina wanao uwezo wa kuwashitaki NEC. After that they can subpoena all relevant documents. Kama kulikuwa na udanganyifu, huo udanganyifu utafichuka mahakamani.
CHADEMA hawajawahi kufanya mawasiliano yoyote rasmi na NEC baada ya Mdee, et al kutangazwa na NEC kuwa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA?
Mkuu, i am focus on “kesi ya kughushi”. Ninajibu tu mleta mada anayesema Chadema ingefungua kesi ya kugushi! Hata kama swali lako lina msingi, bila shaka mawasiliano hayakuwa ni kuhusu kuoneshwa ushahidi wa barua yao. Kama NEC waliionesha hiyo barua basi Chadema hawakuwa na msingi wa kudai kuwa wabunge hawa hawakuteuliwa na chama na hivyo waondolewe, hasa baada ya kupewa adhabu ya kufukuzwa kwa kukiuka utaratibu!!
Huenda unajua kuhusu mawasiliano kati ya NEC na Chadema. Unaweza kusaidia kuondoa maswali mengi. Kuhusu swali lako, mawasiliano ya Chadema hufanywa na katibu mkuu (kipindi husika alikuwa Dr. Mashinji). Aliyekuja kusema utaratibu ulikiukwa ni Mnyika baada ya Dr. Mashinji kujiuzulu na kuhamia CCM.
..mpaka sasa hivi hakuna aliyethibitisha kwamba Nec wamehusika ktk uteuzi wa Halima na wenzake.
Mkuu, i am focus on “kesi ya kughushi”. Ninajibu tu mleta mada anayesema Chadema ingefungua kesi ya kugushi! Hata kama swali lako lina msingi, bila shaka mawasiliano hayakuwa ni kuhusu kuoneshwa ushahidi wa barua yao. Kama NEC waliionesha hiyo barua basi Chadema hawakuwa na msingi wa kudai kuwa wabunge hawa hawakuteuliwa na chama na hivyo waondolewe, hasa baada ya kupewa adhabu ya kufukuzwa kwa kukiuka utaratibu!!
Huenda unajua kuhusu mawasiliano kati ya NEC na Chadema. Unaweza kusaidia kuondoa maswali mengi. Kuhusu swali lako, mawasiliano ya Chadema hufanywa na katibu mkuu (kipindi husika alikuwa Dr. Mashinji). Aliyekuja kusema utaratibu ulikiukwa ni Mnyika baada ya Dr. Mashinji kujiuzulu na kuhamia CCM.
Hivi wewe ukiwa na exclusive powers za kuteua mtu wa kujaza nafasi ya mbunge wa viti maalumu, huna wajibu wa kupaza sauti ya kanusho ikitokea mtu fulani, ambaye hukumteua, akaapishwa kuwa mbunge wa viti maalumu?
..uchaguzi ulivurugwa kila mahali, na katika kila hatua, chini ya uangalizi wa Nec.
..kwa msingi huo, sio ajabu Nec kukalia kimya madudu yanayohusiana na ubunge wa kina Halima.
Heshima sana wanajamvi,
Ikiwa Mdee na genge lake waligushi nyaraka na hatimaye wakafanikiwa kuwa wabunge !.
Ni kwanini mpaka leo chadema hawajawafunguliwa Mdee na wenzake kesi ya kugushi !.
Ikiwa Wakili Msomi Kibatala na wenzake walijua kama mapingamizi yao yangesababisha kesi ya Mdee kutupwa lakini hapo hapo walikuwa na nafasi ya kufanya marekebisho na kesi kuanza upya. Hawakuona walikuwa wanatoa nafasi ya kesi kuchukua muda mrefu zaidi ?.
Nadhani kuna shida hapa lakini hatuambiwi ukweli.
Ngongo kwasasa Kigali.
Hivi wewe ukiwa na exclusive powers za kuteua mtu wa kujaza nafasi ya mbunge wa viti maalumu, huna wajibu wa kupaza sauti ya kanusho ikitokea mtu fulani, ambaye hukumteua, akaapishwa kuwa mbunge wa viti maalumu?
Yaani watu wengine zero. Yaani wamewafukuza kwasababu ya kugushi halafu wawe wenyewe ndiyo wamewapitisha sasa kwa akili ya kawaida unaona hiyo sawa.
Wangefungua kesi kama wangekuwa na copy y barua lakini ofisi ya msajili hawaitoi kwasababu wenyewe ndiyo wamegushi.
Ukiwashitaki NEC watawezaje kusema hawahusiki ilhali hawajawahi kuwakana hao wabunge?
Ukiwashitaki NEC watawezaje kusema hawahusiki ilhali hawajawahi kuwakana hao wabunge?
Wakati wa Magufuli hizo taasisi zilikuwa na nguvu hiyo? Kama NEC ilithubutu kusema wapiga kura waliojiandikisha kupiga kura ni 29m, yaani nusu ya watanzania wote tunaofikia 60m, hapo ulitegemea watoe kanusho gani? Kilichofanyika kwa akina Halima Mdee kuingia bungeni, ni ushahidi tosha kuhusu ubovu wa katiba yetu kuhusu madaraka ya rais.
..unawashtaki Nec kwa ushahidi gani kuwa wamehusika?
Uko sahihi kinadharia, je unawashitaki NEC kwa mahakama zipi? Nawapongeza CDM kwa kutokupoteza muda wao kwenda kufungua kesi kwenye mahakama zilizojazwa siasa chafu.