Kama hana kazi asishiriki VICOBA, utalia

Ukiona kuna siri Kati ya mambo wanayofanya wanandoa ujue hapo ni utapeli tuu ndoa ilishajifia
Wanawake mna siri sana,kama mnatubambikia watoto kwenye ndoa tunawalea kuna kitu mnashindwa nyie
 
Watu kusomeshwa kwa vikoba na gongo hakuondoi ukweli kuwa Mwanamke anayecheza vikoba ni rahisi kwa 99% kuingia kwenye umalaya.
 
Wanawake mna siri sana,kama mnatubambikia watoto kwenye ndoa tunawalea kuna kitu mnashindwa nyie

Wewe nawe umebambikwa!? 🤣🤣🤣🤣
Acha hofu fuata taratibu sahihi kupata mwanamke sahihi na wewe pambana kuhakikisha unakuwa mume sahihi
 
Watu kusomeshwa kwa vikoba na gongo hakuondoi ukweli kuwa Mwanamke anayecheza vikoba ni rahisi kwa 99% kuingia kwenye umalaya.

Mwanamke kuwa Malaya ili asomeshe watoto na mwanaume kuulalamikia umalaya wake huku watoto wanasomeshwa nao huo ni uzembe mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…