Tetesi: Kama hili ni kweli, basi nakubaliana na Lissu kuhusu Dkt. Slaa

UPADRE hakuvuliwa aliondoka.

CCM hakuvuliwa aliondoka.

CHADEMA hakuvuliwa aliondoka.

NDOA ni ishu binafsi km vp kaolewe wewe.

UBALOZI hakuomba ila aliombwa na alishawaambia uchukueni hana shida nao.

Huyu haendeshwi kwa tumbo km ulivyo wewe ni mtu anaeamini ktk yale anayosimamia.
 
Bora kuangalia katuni kuliko kuangalia taarifa za habari na vipindi vingine vya tv zetu
 
Walijua Mungu wao Jiwe ataishi milele πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbowe ana cash hao wengine Wana empty words 😁😁

Mkono mtupu haulambwi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Sasa aliondoka upadre anashindwa kitu gani kurudi?
Kama aliondoka Chadema si arudi akachukuwe nafasi yake alikuwa nayo
Yaani ubalozi aliombwa 😜😜😜
 
Hivi Josephine,ndiye aliyesababisha Slaa wachane na Rose!?
 
Hakuna siku Dk Slaa aliniumiza kama siku ile pale Serena alipokwenda kuwaga mboga... Matokeo yake akarudia yaleyale ya zamani! Siku nilijua anaenda kummaliza Lowasa ! na CHADEMA!
Ni kweli kwenye Siasa hakuna Urafiki au Uadui wa kudumu.
! Ila alipokejeli hata kuumizwa Kwa Lissu au kufungwa Kwa Mbowe ...mhhhh hapana!
 
Dr Slaa ni project 101, CCM wanamtumia kuwasambaratisha wapinzani, walimtumia mwanzo na hawasiti kumtumia sasa. Mambo yote kuhusu Dr ni maigizo mpaka huko TEC yanaingia.

This is a plan. They want to destroy CDM wisely like what they did before kwa kumtumia Lowassa. CDM must be careful with this game.
 
Mimi ni Tomaso, I seriously doubt the authenticity ya hoja hii, kwasababu Dr. Slaa is a person of impeccable integrity, can't be that cheap!. This news is too good to be true!.
P
Si tu ni uongo Mr p but hakuna kitu kama hicho kuwepo kwa senior kama Dr slaa, unaweza kuniokota mm kwa ignorance yangu ya uhaba wa elimu ya technology but kwa Dr? A big No. Aje na hoja mpya
 
na huo ndio uamuzi sahihi dr aachwe awe mwanaharakati binafsi wa kupambana na serikali kudai haki anazoona serikali haitendi sawa
Kweli kabisa mkuu.
 
hivi slaa unamleta chadema kwa lipi?
 
Yani amkatae Dr Slaa amkubali Zito mmmhhh[emoji2957]
Hivi uliwahi kuyasikia maneno aliyoongea Dr Slaa wakati Lisu alipopigwa risasi?

Pia uliwahi kusikia aliyoongea wakati wa kesi ya uhaini ya Mbowe?

Kweli Zito anaweza kuwa sio mtu mzuri kwa viongozi wa Chadema including Mbowe na Lisu, lkn amekuwa makini sana pindi anapoongelea issue za viongozi hao.
 
Majinga ya kikundi cha matapeli na the wahuni hayana agenda kabisa ya kitaifa kila siku kudakia tu. Ni bora mara πŸ’― kuendelea na Dkt Samia siyo nyie wahuni na vibaraka wa ushoga maana viongozi wenu wote wameolewa na wana madume huko ulaya
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…