Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu yupi, yule mtanzania anaishi Ubelgiji?Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Haya ngoja nikuelimishe mfumo wa majimbo China kichwa chako kilichokaa vibaya uelewe vizuriUtawala wa majimbo ni mzuri kwani pesa inayokusanywa sehemu husika huendeleza sehemu husika hata china wanatumia mfumo wa majimbo siyo wakuu wa mikoa RC mfumo uliopitwa na wakati na wa kishamba sana
Kwanini umeamua kujifananisha na loser?Tunapozungumzia ukongwe wa kiutawara tunaangalia na ukongwe wa kisiasa pia.
Kama hawajatawliwa na walijiongoza kifalme labda huyo bado ni tatizo kwa mifumo ya dunia ya leo.
Bado nauliza tena.
Tanzania tangu ipata uhuru ina Rais wa awamu ya 5.
Marekani wa 45.
Wa ethiopia ni raisi wa ngapi?
Na hata wale waliotaka kuwatawala walishindwa wasingekua na muongozo au mfumo wa kuwafundisha kujiongoza.
Lazima.wangefuata mfumo wa waingereza au wafaransa..
Majimbo yapo hata USA,Nigeria,south Africa,mbona huko hakuna majanga,matatizo ya Ethiopia sio kwa sababu ya kuwepo kwa majimbo,zipo sababu za kisiasa,Hilo jimbo linalo zua balaa,mbona wakati limeshikili sekta zote muhimu za kiutawala,kwa miaka 30,hakuwa na shida,alipoingia huyu waziri mkuu,wakapoteza ushawishi ktk serikali kuu,ndio wameanza chokochoko.Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Wacha nikukumbushe baadhi ya matukio ya kwetu na hao wamarekani ili ujue sisi uwezo wetu wa uwelewa ulivyo mdogo.Kwanini umeamua kujifananisha na looser?
Hujawahi kufika Ulaya nini...nani kakuambia Ulaya raha tu...s
Sio anatapata anasema ukweli ma CHADEMA ilifika hatua wakawa wanausemi wao eti Lissu ana akili sana. Kumuelewa Lissu unatakiwa uwe na akili kubwa sana haha dah. Sasa yuko wap. Nyie mnao muelewa hya tuambieni mbona kawasaliti sasa hv kaenda kula raha tu huko nje.
Fafanua maana ya mkoloni kwanza.Mbona wakati wa mkoloni Tanzania ilikuwa na majimbo kwa nini hayo hayakutokea, nyie vijana mmelishwa ujinga na CCM
Uzuri watanzania walishamjibu Lissu kwa njia ya kura!Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Aaah mwanamke upo?, Ulihadimika kweli kweli!!Hivi nyie watu hizi propaganda za kipuuzi mnamdanganya nazo nani siku hizi?
Mbona hutolei mfano serikali za majimbo za Marekani?
Ethiopia vita zao ni za enzi, nyie endeleeni kumdanganya Awafu mpate ugali.
Kwa hio na Tanzania tusubiri tuchinjane halafu kila jogoo aikimbilie kweke?kilichosababisha kuundwa majimbio nchi hizo unakijua?
Tuanzie kenya tu hapo walitwangana kwa ukabila wakauana kama kuku hadi Kikwete ndie akaenda kuwasuluhisha ndio wakaja na sera ya majimbo kila jogoo la kikabila liwike kwake
Afrika Kusini ndio usiseme wazungu na waafrika walitwangana ndani barabara haikuishia hapo makabila yakaanza kutwangana wao kwa wao ndio wakaunda serikali ya majimbo kila mtu awike kwake,BOTSWANA,NAMIBIA SAME KESI
Msumbiji hapo tatizo hilo hilo ukuienda Nigeria same case ,ukiernda Ghana same case
Marekani pia waligawana majimbo baada ya kutwangana hasa .Hata UBelgiji walipigana wenyewe kwa wenyewe kikabila wakaamua waunde majimbo kila jogoo awike kwake!!! Uingereza pia
Sisi ukabila Nyerere aliuwahi mapema kuumaliza mara tu tulipopata uhuru immeadiately wao walichelewa ndio maana baada ya kuchinjana ndio wakaunda serikali za majimbo ikiwemo Kenya ,Afrika kusini,Nigeria,Ghana,nk cHADEMA WANATAKA KULETA KITU KILICHOPITWA NA WAKATI HAYO WALITAKIWA WAYALETE ENZI ZA MACHIFU KILIMANJARO WAKIWEMO AKINA Msngi nK SASA hivi taifa liko UNITED lilishavuka huko ndio maana hata ukiitisha maandamano yanabumaKwa hio na Tanzania tusubiri tuchinjane halafu kila jogoo aikimbilie kweke?
Kwa hiyo wanandoa wanaouana unawashauri ambao bado kufunga ndoa wasithubutu kuoana, tatizo la kuishi Kigamboni masikio yako Kinondoni.Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
tuombe samahani watanzania Lisu sio mtanzania ni mbelgijiLissu yupi, yule mtanzania anaishi Ubelgiji?
Kweli ukabila ulikua umekufa ilibaki kuzikwa tu...Sisi ukabila Nyerere aliuwahi mapema kuumaliza mara tu tulipopata uhuru immeadiately wao walichelewa ndio maana baada ya kuchinjana ndio wakaunda serikali za majimbo ikiwemo Kenya ,Afrika kusini,Nigeria,Ghana,nk cHADEMA WANATAKA KULETA KITU KILICHOPITWA NA WAKATI HAYO WALITAKIWA WAYALETE ENZI ZA MACHIFU KILIMANJARO WAKIWEMO AKINA Msngi nK SASA hivi taifa liko UNITED lilishavuka huko ndio maana hata ukiitisha maandamano yanabuma
Hao darasa la saba ndiyo wenye nchi; kuwadharau ni kuonesha ujinga ulio nao. Ndiyo maana hao la saba wanajua namna ya kuwadhibiti na kuwanyima uongozi kwasababu hamueleweki.Mbona kwa Akina Nkurunziza hakuna majimbo na vita vya wa Hutu na wa Tutsi kila siku?
Namibia, Botswana, South Africa, Kenya etc kuna serikali za majimbo lakini hakuna shida?
Huu uzi wapelekee Darasa la saba ndio watakuelewa