Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

Hayo mambo ya majimbo kwa Afrika bado sana. Tizama, Ethiopia, Nigeria na hata hawa majirani zetu wanafiki wanaowasaidia upinzani kutaka kuleta fujo kote wote hiyo siasa imeonesha madhaifu makubwa sana.

Angalia na huko China Jimbo la Hong Kong linawatesa sana Serikali kuu ya China. Hasa ukizingatia kuwa USA, UK nao wanatia mkono wao mweusi kuendeleza fujo huko.

Tuache HIZI mbwembwe uchwara za mtembezi , mtembeza bakuli na vibaraka wenzake ; Tanzania Tudumishe Umoja wetu na Utaifa wetu.


Rais wa Tanzanaia ni Mhe Dr. Magufuli


Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Mbariki Rais Dr. Magufuli
 
Ethiopia wana matatizo toka kitambo sababu za koo zao siyo majimbo - kama majimbo yangekuwa tatizo basi nchi ya Kenya, Rwanda, South Africa, Mazambique, Lesotho, na Angola kungekuwa na vita

Shida yako ni uelewa
Lakini kuna shabiki moja wa Saccos alikuwa anafananisha maendeleo ya Ethiopia na fly overs za nguvu na ndege kibao lakini watu wanakimbilia nchi zingine, hivyo Tz au Bongo tulikuwa tunaelekea huko, kumbe matatizo ya Ethiopia sio maendeleo ya vitu bali ni tatizo la asili au siku nyingi
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
ktk maisha toa mfano mmoja kujustfy umanishacho mfano ktk nchi znazofata mfumo huo znazofanikiwa na zinazoferi
 
Mkuu unapoandika uwe unajaribu kidogo kutulia na kushusha pressure.
Yanini utake facts angali ulichoandika hakieleweki?
#"Was"!
#"Maendekeo"!

watu hizi propaganda za kipuuzi mnamdanganya nazo nani siku hizi?

Mbona hutolei mfano serikali za majimbo za Marekani?

Ethiopia vita zao ni za enzi, nyie endeleeni kumdanganya Awafu mpate ugali.
IMEVUJAAA!!!!

Ujerumani na Marekani zapanga kuhujumu Tanzania

Taarifa kutoka ndani ya Balozi za nchi hizi mbili zimethibitisha kuwa kuna mipango inasukwa ya kuihujumu Tanzania. Mipango hiyo inaandaliwa na Marekani na Ujerumani kupitia Balozi zao nchini.

Taarifa zilizopo ni kwamba Dkt. DONALD J. WRIGHT (US Ambassador) na Bi. REGINA HESS (Germany Ambassador) walianza kutekeleza mipango hiyo baada kujionyesha wazi kwa kumsindikiza Airport aliyeshindwa Uchaguzi Mkuu Tanzania TUNDU ANTIPHAS LISSU

Maagizo yaliyotolewa kwa Mabalozi wa Nchi hizi mbili ni kwamba wahakikishe wanawasaidia Wagombea wote wa Upinzani ambao walishindwa Uchaguzi hususani wa CHADEMA ili waende kuishi Ujerumani pamoja na Familia zao.

Lengo ni kuwapa Mafunzo Maalum ya namna ya kuvuruga nchi ambayo yatahusishwa na Political Violence Vurugu za Kisiasa yatakayotolewa na Majasusi wa Marekani na Ujerumani.

Viongozi hao wa Upinzani wametakiwa kuzichukua na Familia zao kwani watakuwa wanalipwa kila mwezi USD 5000 sawa na (Tshs. 11,595,000/=) na kupewa makazi, ndio maana tumeona tayari LISSU ameondoka na familia yake na wengine wanaofuata ni LAZARO NYARANDU, ZITTO KABWE, GODBLESS LEMA.

Watakaobaki nchini wametakiwa kuendelea kukijenga Chama ili watakaomaliza mafunzo wakirudi waanze mikakati ya kuivuruga Tanzania kwa kuanzisha Political Violence (Vurugu za Kisiasa) katika Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Na ndio maana hatumsikii JOHN MNYIKA, JOHN HECHE, HALIMA MDEE, ESTER BULAYA na wengine wakilalamikia kutishiwa maisha kwa kuwa wao wametakiwa kubaki nchini ili kuendelea kulinda uhai wa Chama na wataendelea kulipwa kama wenzao watakaokuwa wanaishi Ujerumani.

Watanzania tujiandae kwa jaribio la Pili maana jaribio la kwanza la kutaka kutuvuruga kwenye Uchaguzi huu wameshindwa kutokana na Umoja wetu, na sasa wanekwenda kuongeza ujuzi wa jinsi ya kutugawa ili waendeshe vurugu na kufanikiwa azma ya MABEBERU kutaka nchi isitawalike ili wao wavune mali kirahisi.

UMOJA NDIO SILAHA YETU!
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
KILA sentensi mbili unamuweka LISSU....hivi amewafanyaje?ukiona hivi huu uchaguzi Kuna KITU amewafanya.....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kaeni kwa kutulia....
 
IMEVUJAAA!!!!

Ujerumani na Marekani zapanga kuhujumu Tanzania


Taarifa kutoka ndani ya Balozi za nchi hizi mbili zimethibitisha kuwa kuna mipango inasukwa ya kuihujumu Tanzania. Mipango hiyo inaandaliwa na Marekani na Ujerumani kupitia Balozi zao nchini.

Taarifa zilizopo ni kwamba Dkt. DONALD J. WRIGHT (US Ambassador) na Bi. REGINA HESS (Germany Ambassador) walianza kutekeleza mipango hiyo baada kujionyesha wazi kwa kumsindikiza Airport aliyeshindwa Uchaguzi Mkuu Tanzania TUNDU ANTIPHAS LISSU

Maagizo yaliyotolewa kwa Mabalozi wa Nchi hizi mbili ni kwamba wahakikishe wanawasaidia Wagombea wote wa Upinzani ambao walishindwa Uchaguzi hususani wa CHADEMA ili waende kuishi Ujerumani pamoja na Familia zao.

Lengo ni kuwapa Mafunzo Maalum ya namna ya kuvuruga nchi ambayo yatahusishwa na Political Violence Vurugu za Kisiasa yatakayotolewa na Majasusi wa Marekani na Ujerumani.

Viongozi hao wa Upinzani wametakiwa kuzichukua na Familia zao kwani watakuwa wanalipwa kila mwezi USD 5000 sawa na (Tshs. 11,595,000/=) na kupewa makazi, ndio maana tumeona tayari LISSU ameondoka na familia yake na wengine wanaofuata ni LAZARO NYARANDU, ZITTO KABWE, GODBLESS LEMA.

Watakaobaki nchini wametakiwa kuendelea kukijenga Chama ili watakaomaliza mafunzo wakirudi waanze mikakati ya kuivuruga Tanzania kwa kuanzisha Political Violence (Vurugu za Kisiasa) katika Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Na ndio maana hatumsikii JOHN MNYIKA, JOHN HECHE, HALIMA MDEE, ESTER BULAYA na wengine wakilalamikia kutishiwa maisha kwa kuwa wao wametakiwa kubaki nchini ili kuendelea kulinda uhai wa Chama na wataendelea kulipwa kama wenzao watakaokuwa wanaishi Ujerumani.

Watanzania tujiandae kwa jaribio la Pili maana jaribio la kwanza la kutaka kutuvuruga kwenye Uchaguzi huu wameshindwa kutokana na Umoja wetu, na sasa wanekwenda kuongeza ujuzi wa jinsi ya kutugawa ili waendeshe vurugu na kufanikiwa azma ya MABEBERU kutaka nchi isitawalike ili wao wavune mali kirahisi.

UMOJA NDIO SILAHA YETU!
Aisee,pole Sana.....HAYA MAKANDE YALOCHACHA ULIYOYAANDIKA KAMLISHE SLOW SLOW.....
 
Uzuri watanzania walishamjibu Lissu kwa njia ya kura!
Watanzania wapi wa wapi hao walimjibu Lisu kwa kura zipi? Maana hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu kawachagua CCM kwenye uchaguzi huu haramu wa kishetani
 
KILA sentensi mbili unamuweka mumeo LISSU....hivi amewafanyaje?ukiona hivi huu uchaguzi Kuna KITU amewafanya.....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kaeni kwa kutulia....
Eti na wewe ni mtetezi wa CCM mitandaoni? Bado unavuta Bangi gheto kwa cyprian Musiba? au umehamia kuvutia kwa Le mutuz?
 
Eti na wewe ni mtetezi wa CCM mitandaoni? Bado unavuta Bangi gheto kwa cyprian Musiba? au umehamia kuvutia kwa Le mutuz?
Nitake radhi MKUU....kunihusisha na CCM NI KOSA KUBWA SANA...ambalo sidhan Kama litasameheka....,ila ITATEGEMEA NIMEAMKAJE...
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.

serikali za Majimbo ziko maeneo memgi mfano South Afrika; Russia ; China ; USA etc
kuna misingi ya kuendesha hizo serikali na wa kwanza ni kuwa vyombo vyote vya usalama ni vya serikali kuu na ndio vinahusika hadi na usalama binafsi wa Magavana

serikalini ya mtaaa ( local ) hawaruhusiwi kumiliki askari na sana wanakua na Polisi au Mgambo ambao hata hapa kwenye halmashauri zetu wanao

Hakuna uwezekano wowote wa kupigana kama usalama ni jukumu la serikali kuu

mnajua hata issue ya Zanzibar kuwa na vikosi imekua mtihani sana kwenye vyombo vya muungano kama ikitokea rais wa zanzibar ni mkorofi na TPDF wamekua wakihakikisha wanadhibiti sana aina ya silaha ambazo vikosi zanzibar wanakuwa navyo na mara zote amari za vikosi zinasimamiwa na TPDF ili kuondoa uwezekekano wa vikosi kupambana na vya muungano
hiyo ni risk
 
Provinces of Burundi
  • Bubanza.
  • Bujumbura Mairie.
  • Bujumbura Rural.
  • Bururi.
  • Cankuzo.
  • Cibitoke.
  • Gitega.
  • Karuzi.
===========.====
Burundi majimbo yapo lkn chanzo cha migogoro yao hakihusiani na majimbo isipokuwa ukabila (hakuna jimbo lililosimama kupigana na jimbo lingine ila mtu kupigana na mtu mwingine).
Mbona hajaweka majimbo mengine kama: -
Kayanza,
Kirundo
Makamba
Muramvya,
Muyinga,
Mwaro,
Ngozi,
Rutana,
Ruyigi.

Ila umemwelewesha vizuri
 
Hakili za waafrika bado zina zina usokwe ndani yake.
Ndiomaana unaona mtu akipata wazifa fulani anaona wale wachini yake ote wajinga na kawana hakili kama yeye.
Hakili ni nini mkuu?
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Lisu mwenyewe...yuko katulia kwa mabeberu huko
 
Mbona kwa Akina Nkurunziza hakuna majimbo na vita vya wa Hutu na wa Tutsi kila siku?

Namibia, Botswana, South Africa, Kenya etc kuna serikali za majimbo lakini hakuna shida?

Huu uzi wapelekee Darasa la saba ndio watakuelewa
huoni kenyan wanavyopata tabu sana na haya majimbo kwa sababu ya ukosefu wa pesa za kutosha kuendesha jimbo vp kuhusu nakuru usituletee mifano ya kipuuz hata Amerika kaskazini kuna shida sembuse Burundi ambako civil war ni normal
 
we akili huna huoni kenyan wanavyopata tabu sana na haya majimbo kwa sababu ya ukosefu wa pesa za kutosha kuendesha jimbo vp kuhusu nakuru usituletee mifano ya kipuuz hata Amerika kaskazini kuna shida sembuse Burundi ambako civil war ni normal
Asante mkuu hay yalikua maoni yangu tu
Sidhani kama kulikua na tija kutumia lugha chafu kiasi hicho
 
Back
Top Bottom