Toa ushaidi tujifunzeUko sawa
Nina ushahidi..
Based on true story
.......Abraham Maslow......Ni watu wachache waliofikia level ya kutoona umuhimu wa kuheshimiwa. Wengi kwao ni hitaji muhimu la binadamu.
aiseeNi kweli tunadharaulika sana, hata kama una kitu ndani yako huonekani kama huna ela, unanyanyuliwa kwenye kikao kiti chako wanaweka Mbege jinsi huna maana
sio kweli.Uzuri wa pesa hata ukiongea pumba hakuna mtu anapinga
KabisaHakuna MTU ambaye yupo kwaajili yako zaidi yako mwenyewe. Hiyo ndio Kanuni namba moja ya Maisha au Kiumbe.
Mengine yote ni unafiki
Ndo maana Umekaa pekeyako hapo........uko sahihi kabisa mkuu, watu wanaweza kuja na exceptions nyingi lakini ukweli heshima ya kweli inaletwa na pesa.......binafsi Sina pesa na nazipokea dharau zote kwa mikono miwili maana dunia imeamua kuwa pesa ndo msingi wa heshima, urafiki, mapenzi, utii, upendo, etc.....
Pesa ni kwa faida yako wewe na familia yako , sasa Allah na mudy wana ingiaje hapo mzee!!!!!
Wengi umetaja ni wanawaogopa tu.Sio kweli waganga wa jadi wanaheshimiwa sana na washirikina angali wengi hali duni, viongozi wa dini wana heshima yao, ma sister wanaheshimika jamii nzima, madereva malori wanaheshimu sana rangi nyeupe traffic na makuli wanaopakia mizigo.. ume generalise mkuu ila sikupingi kwa namna moja
ππππππ€£π€£π€£π€£ππΏππΏπππΏππΏππΏPesa ni kwa faida yako wewe na familia yako , sasa Allah na mudy wana ingiaje hapo mzee!!!!!
Acha ulanzi na jua kaliππππππ€£π€£π€£π€£ππΏππΏπππΏππΏππΏ
Naona sasa hivi ni marafikiAcha ulanzi na jua kali
Sipo huko
.......ππhapana madam wangu, ingawa ukiwa huna hela, hata ukienda beach kubarizi kama hivyo watu wanadhani unataka kujiua majini.......Ndo maana Umekaa pekeyako hapo