Kama ilipo Israel siyo Israel, Wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia walikuwa wanaishi wapi?

Kama ilipo Israel siyo Israel, Wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia walikuwa wanaishi wapi?

Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.

Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa hai
Itoshe kusema hawa wayahudi ndo hawa hawa tunaowasoma kwenye kila kitabu cha kale na Israel ndo hiyo hiyo tunayoisoma kwenye kila kitabu cha kale. Kwa sababu hawa wayahudi wa leo wanafanana kila kitu na wayahudi wa kale kuanzia lugha,majina yao, tabia zao hasa za kupenda vita, uwezo kiakili nk nk......pia hata mipaka ya Israel ndo hiyo hiyo tunayoisoma kwenye kila kitabu cha kale. sasa leo hii anatokea mtu anakwambia hawa sio wayahudi wenyewe au hii sio Israel yenyewe kwa ushahidi gani???
 
Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.

Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Hakuna nchi iliyoitwa israel kabla ya 1948.
 
nipelekeni kweny thread inayosimulia vzur huu mgogoro
 
Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.

Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Wayahudi wa sasa waliuliwa sana Ulaya walipokuwa wanaishi. USA wakawapeleka Palestina kwa nguvu. Athari inaonekana hivi sasa
 
Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.

Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Wayahudi walikuwepo hapo hapo mashariki ya kati ila Sasa je hao wayahudi wa kale walikuwa na asili ya Ulaya magharibi/ mashariki (wazungu) kama hawa wa sasa?

zitto junior
 
Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.

Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Ndani ya Biblia, hiyo ina majibu yote ya nchi yao hao watu.
Sijui kwa Quran.
Kwanza utaona mipaka yote ya nchi yao iliyoainishwa kwenye Biblia.

Na zamani hizo mipaka yao ilikuwa mara nyingi ilikuwa milima, mito na mabonde.

Utasoma milima iliyopo kwenye mipaka na iliyo kwenye nchi yao.

La mwisho utatafuta hayo majina ya miji yao ya kale na kujua kwa sasa miji hiyo inaitwa kwa majina gani.
Ilibadirishwa majina mwaka gani na nani aliyeyabadili na sababu za kuyabadili.
 
Hii ndio tofauti kubwa pekee ni sawa leo watokee wa Catholic waseme kwao ni Vatican sababu ndio nyumbani kwa wa Rome lakini sababu Vatican hapatoshi tuchukue Rome pia. Wayahahudi ni dini na wanaweza kuwepo popote kuna waarabu wengi tu na ni mayahudi hakuna shida. Hawa wazungu waliotoka sijui Poland na nchi za ulaya mashariki ndio shida kubwa. Netanyau halikuwa jina lake alitoka Poland baada ya wao kuhamia Israel na jina akabadilisha Nentanyau.
Tofaut
Na wapo mpaka leo.
Basi wapen nchi yao na waruhusun wamjengee Mungu wao hekalu
 
Back
Top Bottom