Nani anang'aka? Hapa watu wanajadili ukweli wa historia. Wewe kama una ukweli zaidi, weka mchango wako hapa ili watu wauone.
Post #7 uliniona?
Maisha ya binadamu yalianzia Eden hakukuwa na binadamu pengine popote.
Ni mwenda wazimu pekee mwenye kutaka kushinikiza maisha popote kivyake vyake au na wapambe wake.
Na humo ndiko kung'aka kwenu kulipo.