Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

8860003675.jpg
 
ivyo ni vipindi viwili tofauti unataka kufananisha siasa za miaka ya 60 na za sasa,

Kweli ni tofauti zamani tulikua na wanaume wa haja kwenye mambo yahusuyo siasa, siku hizi tuna wachumia tumbo na walalamikaje tuu.
Tena ukiwa na pesa kama Lowasa wanajiuza kiulaiiiini
 
Kwahiyo unataka watu wakifanya maovu wageuze makanisa chimbo la kujificha? Kama police imefuata taratibu kanisa lina wajibu kwa kutoa ushirikiano

Watuhumiwa wanaweza kukamatwa sehemu yoyote ile na vyombo vya usalama. Uwe kanisani au mskitini haizuii serikali kufanya kazi.

Msichonganishe kanisa na waumini wake wala na serikali
Kweli kabisa mama D
 
Kina Mandela, Nkurumah, Nyerere, Chief Mkwawa wangekua wanawaza kama wewe sijui ingekuaje

siasa za dunia zimebadilika ila wewe bado unataka tubaki na mitazamo ya kuna chief Mkwawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
siasa za dunia zimebadilika ila wewe bado unataka tubaki na mitazamo ya kuna chief Mkwawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kabisaaa dunia imebadilika sana.

Na tofauti kubwa zamani tulikua na wanaume wa haja kwenye mambo yahusuyo siasa, siku hizi tuna wachumia tumbo na walalamikaje tuu.

Tena ukiwa na pesa kama Lowasa wanajiuza kiulaiiiini
 
Wamejisahau mno! Wakumbushe wenzio kuwa siasa zibakie kuwa siasa. Shukrani

Kanisa haliwezi kupingana na serikali kwa kukumbatia wahalifu

Tena kikundi cha wahalifu wenyewe wana historia ya kutumia viwembe na mipango ya kulipua vitua vya mafufta.

Sio makanisani peke yake, Watakamatwa tuu hata wajifiche miskitini. Wacha kazi iendelee
 
Kweli ni tofauti zamani tulikua na wanaume wa haja kwenye mambo yahusuyo siasa, siku hizi tuna wachumia tumbo na walalamikaje tuu.
Tena ukiwa na pesa kama Lowasa wanajiuza kiulaiiiini

toka kwenye bokx ulilojifungia utauona ukweli punguza mahaba ya ki chama na acha kuegemea upande mmoja,
 
toka kwenye bokx ulilojifungia utauona ukweli punguza mahaba ya ki chama na acha kuegemea upande mmoja,


Aliye kwenye box ni wewe ambaye chama chako kinafanya biashara ya kujiuza na wewe umefungwa macho kuliona hilo
 
Aliye kwenye box ni wewe ambaye chama chako kinafanya biashara ya kujiuza na wewe umefungwa macho kuliona hilo

kwani kuna makosa mtu kutoka chama kimoja kuenda chengine au umeamua kujitoa faham, mwaka 2019 kulitokea wimbi kubwa kutoka vyama vya upinzani na kuenda kuunga mkono juhudi za JPM hilo kwako wewe unaona sawa ila mtu kutoka ccm kwenda upinzani ndo tatizo, achane siasa chafu
 
kwani kuna makosa mtu kutoka chama kimoja kuenda chengine au umeamua kujitoa faham, mwaka 2019 kulitokea wimbi kubwa kutoka vyama vya upinzani na kuenda kuunga mkono juhudi za JPM hilo kwako wewe unaona sawa ila mtu kutoka ccm kwenda upinzani ndo tatizo, achane siasa chafu
Safi kabisa!
Mtu kuhama chama sio tatizo kabisaaaaa.

Ila kweli chadema ndio mliamua mtufanyie hivi watanzania!!??? Kweli!!!

Chadema 2005 - 2014
20210724_195112.jpg


images (9).jpeg


Watanzania sio wajinga vile mjue tuu
 
kwani kuna makosa mtu kutoka chama kimoja kuenda chengine au umeamua kujitoa faham, mwaka 2019 kulitokea wimbi kubwa kutoka vyama vya upinzani na kuenda kuunga mkono juhudi za JPM hilo kwako wewe unaona sawa ila mtu kutoka ccm kwenda upinzani ndo tatizo, achane siasa chafu
Anafanya makusudi tu! Basi ilimradi tu na yeye kaandika
 
Mtu kuhama chama sio tatizo kabisaaaaa.

Ila kweli chadema ndio mliamua mtufanyie hivi watanzania!!??? Kweli!!!

Chadema 2005 - 2014
View attachment 1894224

View attachment 1894225

Watanzania sio wajinga vile mjue tuu

Kuna siku katiba itabadilika na tutafukuwa makaburi yote ya zamani, mzee lowassa ni kama( Simon mkerene) alikubali kubeba msalaba usio wake kwaajili ya kulinda chama cha ccm na mamlaka kuu isianguke, ila mda utafika ambapo hakuna jiwe litakalo baki juu ya jiwe,
 
Kuna siku katiba itabadilika na tutafukuwa makaburi yote ya zamani, mzee lowassa ni kama( Simon mkerene) alikubali kubeba msalaba usio wake kwaajili ya kulinda chama cha ccm na mamlaka kuu isianguke, ila mda utafika ambapo hakuna jiwe litakalo baki juu ya jiwe,

Katiba ndio iliwafanya mumuuzie Lowasa chama chenu?!
 
Back
Top Bottom