Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #241
πBado uyajui maisha bwana mdogo Ukikua utaacha unaishi kwenye fantasy world
Kipindi cha magufuli tulipanda sahivi tumeshuka na hili tena hulijui pole sana
Brother huyo asikuumize kichwa kachoka kweli kweliHuo ujinga wako peleka huko oysterbay na Masaki.Mimi nashi kijijini nalima na kufuga na nina mapato ya tsh milioni tatu kila mwezi naabudiwa hapa kuliko mfalme.BEFORE YOU WRITE ANY THING FERIFY WHAT KIND OF AUDIENCE ARE YOU AIM AT.
Attached doc, inaonyesha ni jinsi huko shule ulienda kula makamasi,
Document toka world bank ya September 2023 inaonyesha bado tupo LMIC sasa wee nionyeshe lini tulitoka kwenye middle income mtu uliye enda shule
Utoto unakusumbuaπ
Kwako maisha ni nini?
Kwa hiyo mkuu wewe ukiwa na milioni tano kila mwezi Watu wakuweke kundi la matajiri?
Hauko serious
Utoto unamsumbuaBrother huyo asikuumize kichwa kachoka kweli kweli
Nambie gdp per Capital yetu ni ngapi? Nambie hio kututoa katutoa nani? Nionyeshe latest data toka world bank au IMF (ambao ndio wanapanga hayo makundi) kusapoti maneno yako, lastly nambie hio video ni ya mwaka gani?
View: https://m.youtube.com/watch?v=ONKw1Gu7HNA&pp=ygUyUmFpcyBzYW1pYSBrdWh1c3UgdGFuemFuaWEga3V0b2xld2EgdWNodW1pIHdhIGthdGk%3D
Angalia hapo rais wako anaongea nini ujione ulivyokua mjinga
Utoto unakusumbua
Kwenye zile familia zinazoshikilia uchumi wote hakuna ubin wa Heriel wala Mtibeli hivyo hata wewe ni fukara kama fukara wengine kwa muktadha wa bandiko lako.
Huo ujinga wako peleka huko oysterbay na Masaki.Mimi nashi kijijini nalima na kufuga na nina mapato ya tsh milioni tatu kila mwezi naabudiwa hapa kuliko mfalme.BEFORE YOU WRITE ANY THING FERIFY WHAT KIND OF AUDIENCE ARE YOU AIM AT.
Mimi ni kundi la Fukari pro max
Kama unalipwa chini ya 5M kumiliki gari DSM ni kujiongezea mzigo. Huu ushauri wa Gen Ulimwengu ulinifikirishaga sana.
Kwa muonakano huu unaweza muweka daraja gani?Wewe upo wapi katika hao mkuu? Tupate pa kuanzia kwanza.
Muda wa kuedit picha unautoa wapi?Wenye hela hawawezi weka avatar kama aliyoweka yeye.. hizo editing za picha zinapatikana infinix sijui [emoji1787]
Ni maskini mwenzetu, aje tupeleke CV kwa Boss la DP World
Kama humuamin Rais wako basi wewe unapenda ubishi wa kitoto na mimi siwezi endelea kubishana na wakati hio ilikua habari kubwaNambie gdp per Capital yetu ni ngapi? Nambie hio kututoa katutoa nani? Nionyeshe latest data toka world bank au IMF (ambao ndio wanapanga hayo makundi) kusapoti maneno yako, lastly nambie hio video ni ya mwaka gani?
Kwenye uchumi tunaleta namba sio maneno, sema mwaka fulani tulikuwa na per Capita fulani so tulikuwa tumeshuka, na sasa tunayo per Capital kiasi fulani ambayo ni lower income,
Ni dogo janja flani hivi ambaye stress za maisha zinamsumbua sana kwa hiyo anatafuta kila namna ya kujifariji ndo maana anaweza sema chini ya kipato cha million 5 wewe ni maskini ana tatizo la akiliKwa muonakano huu unaweza muweka daraja gani?View attachment 2922209
Huyu asikuumize kichwa ni choka mbaya sana. Nakubaliana na wale wanaosema anakaa Kwa shemeji.Utajiri una definition kubwa na wealth it's Infinity, sijui kama ulishawahi tengeneza hata. 2ml Kwa Mwezi wewe out formal system,
Wakati Niko namaliza chuo wenye mawazo kama Yako walikuwa wengi, Tena wlisema mshahara wa million 3 Kwa Mwezi ni mdogo sana siwezi Fanya kazi ila 99 percentage now wana less than 1,000,000 Gross salary per month na wengine hata kazi wamekosa.
My take; Vijana tuamke tuache kuishi maisha ya kimtandao go and make money you stop talking this non sense,
Kama umeajiliwa tuanze na wewe weka slip attach one slip or kama ni inform sector returns zako hapa,
Nje na hapa ni mawazo ya watoto wanao kaa Kwa shemeji.
Muulize Robert Heriel Mtibeli aliye edit picha la tekno πMuda wa kuedit picha unautoa wapi?
Una dhambi bro. Labda ni TBT b4 ajipateKwa muonakano huu unaweza muweka daraja gani?View attachment 2922209