Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Mzee usizunguke, leta namba,
Huko shule ulikosoma mwenzetu ndio mliambiwa kitu akosema raisi inabidi uamini tu kama quran/bible? Kwamba unashindwa kufanya checkup kujua kama ni kweli au lah? Wew sema mwaka gani gdp per Capital yetu ilishuka na ilishuka kwa kiasi gani?
Unaleta maneno ya kwenye kanga πŸ˜‚
 
Sina kiongozi, Sina tegemezi yoyote yule
Huo ndio mda wa ku save kama unaweza ku survive Kwa shilingi laki 2 zingine weka hakiba kila mwisho wa mwaka tafuta uwekeze. Kigoma huko ni pazuri sana nunua hata ardhi huko ni bei nafuu baada ya miaka kadhaa ukishakuwa na majukumu zitakusaidia.

Usioo save saa hizi ukaishia kupinda starejhe Kuna mahali utakwama ukiwa na majukumu
 
Gdp per capita unaweza uka google na kama unafuatilia bunge la budget lilopota walisema
Usiwe unapenda kutafuniwa
 
Ni dogo janja flani hivi ambaye stress za maisha zinamsumbua sana kwa hiyo anatafuta kila namna ya kujifariji ndo maana anaweza sema chini ya kipato cha million 5 wewe ni maskini ana tatizo la akili
Si Bure atakuwa anahitaji msaada wa wataalamu wa akili.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣Kazi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…