Kb Ulayaulaya
JF-Expert Member
- Jan 5, 2023
- 727
- 1,059
Jamaa anajificha kwenye utajiri ni amani na Afya wakati hivyo hata mtoto mdogo anavyo, 😂Afya kila mtu anaweza kuwa nayo.
Lakini utajiri ni zawadi ya wateule wachache
Watu watazidi kuiba hukoAisee! Mtu mwenye wastani wa $24,000 kwa mwaka nchini Tanzania unamuita masikini? Kijana hebu acha kuwapa stress vijana wenzio.
Kitu cha kuvutia ni kuwa wew pia ni takataka,Khahahahahahaha.
Mawazo ya maskini bhana😂
Na ukae ukijua,kama unaishi kwenye Nchi ambayo Ina deni zaidi ya trillion 70 wewe ni mfugo uliokwisha uzwa.
Kwa maana,Kuna uwezekano wa mishahara yote watumishi wanalipwa Kwa fedha za mikopo kutoka IMF.
Nchi inakuwa Maskini,Takataka,Fukara iliyojaa watu wajinga kupitiliza wasiojielewa,kwao Bora Uzima😭😭😭.
Wasomi wasiojua ni Kwa nn wamesoma.
Jamaa anajificha kwenye utajiri ni amani na Afya wakati hivyo hata mtoto mdogo anavyo, 😂
Watu watazidi kuiba huko
[emoji1]
Ova
Khahahahahahaha.
Mawazo ya maskini bhana😂
Na ukae ukijua,kama unaishi kwenye Nchi ambayo Ina deni zaidi ya trillion 70 wewe ni mfugo uliokwisha uzwa.
Kwa maana,Kuna uwezekano wa mishahara yote watumishi wanalipwa Kwa fedha za mikopo kutoka IMF.
Nchi inakuwa Maskini,Takataka,Fukara iliyojaa watu wajinga kupitiliza wasiojielewa,kwao Bora Uzima😭😭😭.
Wasomi wasiojua ni Kwa nn wamesoma.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Very funny!
Kumbe wajumbe wa Bunge la Katiba walikuwa sahihi kunung"unikia posho ya sh 300,000/= kwa siku😃
kabisa!hakuna haja ya kujipa sonona wakati unaeza chagua life style kulingana na resources,mengine huja taratibu na wakat mwingne yasije kabisa hadi unakufa!!Na huko ndiko kitakufanya ufurahie maisha.
Unaweza ukawa na pesa nyingi lakini kutoridhika kukakufanya uwe mtumwa na usiwe na amani
kabisa!hakuna haja ya kujipa sonona wakati unaeza chagua life style kulingana na resources,mengine huja taratibu na wakat mwingne yasije kabisa hadi unakufa!!
Bro toka ujifunze lugha kwa rasi Simba, una tutambia Sana🤣😆🤓Msipende personal opinions zenu ziwe public declaration
DuhMilioni Tano tu Kwa mwenzi unalipaje bills na watoto wanakula na kuvaa nini walau million sitini unaweza ishi standard life.