Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #141
What is Poverty? Is a failure or unable to meet Basic needs, eg, Food, clothes and shelter.
Kwa definition Yako ya umaskini unachanganya needs vs wants.
Utakuwa Bado uko Kwa dada ukianza maisha utajua ukweli.
Khahahaha,mkuu.Kwa hio mzee tusiwe na pesa kisa nchi inadaiwa ?
Nchi ikidaiwa kama unahela ni rahisi kuhamisha biashara zako,
Na mpaka ifike point ya nchi kushindwa kujiendesha sio leo wala kesho,
Mikopo ikizidi tunawapigia magot IMF wanatupa sheria mbili tatu za kupitisha tunaendelea na maisha,
So mim naona issue ya maden ya nch yasiingie hapa, hayo adeal nayo Mwigulu na Samia
Utajiri una definition kubwa na wealth it's Infinity, sijui kama ulishawahi tengeneza hata. 2ml Kwa Mwezi wewe out formal system,Maskini aliyechangamka.
Kwa uelewa wako ukiingiza kila mwezi milioni tano wewe ni tajiri?
Ingawaje umaskini kwa upande mwingine ni mtazamo. Mtu anaweza kuwa Maskini wa kipato lakini akawa anajiona tajiri(mental illness) alafu yupo mwenye kipato cha milioni 100 alafu anajiona maskini(hana shukrani).
Ijumaa Kareem
Dah hzi comments zako mkuu ni shidaKama wewe ni maskini njoo bandarini na CV yako, natafuta makuli.
Sijasema haliwez kukugusa,Khahahaha,mkuu.
Uko siliasi kweli na kusema deni la Taifa haliwezi kukugusa!.
Pole yako
Chali angu punguza mahubiri sehemu isiyohitaji mahubiri. Kuhusu ugonjwa unaweza kumpata yeyote bila kujali tajiri wala maskini. Kuna maskini wangapi wanakufa kwa kukosa pesa ya kugharamia matibabu? Halafu kama maskini wana furaha kwa kula chochote kwanini Life Expectancies za Afrika ni ndogo kuliko kwa mabeberu? Kumtaja Yesu kwenye ishu za umaskini hujamtendea haki. Yesu alikuwa hapendi kabisa umaskini na wala kwenye ishu zake alikuwa hahusishi maskini. Wale wanafunzi wake wote aliwachukua kutoka makazini mwao na sio kwamba walikuaa labda vijana wa vijiweni jobless akawabeba afanye nao kazi. Kwa mfano Petro alikuwa mvuvi professional. Hata Mungu mwenyewe alikuwa akiwawezesha manabii zake kiuchumi. Hakuna nabii wa Mungu maskini. Mungu ni wa wote haijalishi tajiri wala maskini. Ni kujifariji kipuuzi kudhani kwamba Mungu hajihusishi na matajiri.Kuna vitu vingi sana mdogo wangu Mtibeli havijui tokana na umri wake. Hii Dunia ni "very complicated", kuna matajiri ila hawawezi kula chakula kwani wagonjwa na hata huo mlo mmoja haupiti wala haruhusiwi kula, anaona bora asingekuwa hata na 100 ila anakula na kuwa mwenye furaha. Kuna maskini anakula chochote na mwenye furaha na amani. Kuna mwenye miguu hawezi kutembea na kuna ambaye hana miguu ila anatembea.
Refer kwa Pogba anakiri ni bora alivyokuwa maskini alikuwa na furaha na amani kuliko sasa ni tajiri ila hana furaha wala amani.
Kwa umri wangu na baada ya kujipata kiuchumi, nakiri hakuna kitu bora kuliko kuwa na afya njema na kumjua Mungu wa kweli na Yesu Kristo aliyemtuma. Haya yote ni kujilisha upepo. Dunia inasumbua wanadamu hususani sisi Wanaume katika vitu vitatu. Utajiri(Mali za duniani), Umiliki(Utawala) na Mpenzi(Wanawake). Katika hilo Suleiman pamoja na utajiri na ufalme wake pamoja na kuwa na wanawake wengi, anakiri ni upuuzi mtupu na kujilisha upepo. Mkikua mtaelewa.
Utajiri una definition kubwa na wealth it's Infinity, sijui kama ulishawahi tengeneza hata. 2ml Kwa Mwezi wewe out formal system,
Wakati Niko namaliza chuo wenye mawazo kama Yako walikuwa wengi, Tena wlisema mshahara wa million 3 Kwa Mwezi ni mdogo sana siwezi Fanya kazi ila 99 percentage now wana less than 1,000,000 Gross salary per month na wengine hata kazi wamekosa.
My take; Vijana tuamke tuache kuishi maisha ya kimtandao go and make money you stop talking this non sense,
Kama umeajiliwa tuanze na wewe weka slip attach one slip or kama ni inform sector returns zako hapa,
Nje na hapa ni mawazo ya watoto wanao kaa Kwa shemeji.
Get that monkey out of you; nakuchallange attach salary slip Yako au TRA returns then tuendelee kuongea otherwise unakaa Kwa shemeji,Sasa kijana ataamkaje ikiwa hajui kuwa chini ya milioni tano bado upo kundi la maskini.
Ninyi ndio mkipata milioni tatu kila mwezi mnajiona madoni lakini kimsingi ninyi ni maskini bado.
Get that monkey out of you; nakuchallange attach salary slip Yako au TRA returns then tuendelee kuongea otherwise unakaa Kwa shemeji,
Manake unaongea unazani pesa ni maembe utachuma tu.
Sio tajiri na sio masikini. Middle class.Maskini aliyechangamka.
Kwa uelewa wako ukiingiza kila mwezi milioni tano wewe ni tajiri?
Siko kwenye formal sector,navuna kitaa ila nakusadia tu ukweli pesa sio maembe amka ukatafute wanao hustle wanajua.Salary slip ili uthibitishe nini Mkuu?
Yaani kwa vile unalipwa hicho kimilioni umeitwa maskini ndio unapiga mayowe hapa
Siko kwenye formal sector,navuna kitaa ila nakusadia tu ukweli pesa sio maembe amka ukatafute wanao hustle wanajua.
Hizi ndo mentality unapata opportunity huna mbele wa nyuma unaambiwa utalipwa laki 2 Kwa Mwezi unaona Bora uendelee kukaa Kwa shemeji.
Stories za kahawa na kuota magorofa na V8 Kwa mwaka 1 zinaharibu mentality za vijana. # No easy money may be ukawe shoga
Sio tajiri na sio masikini. Middle class.
Huna familia.?Nadunda na laki 5 yangu kwa mwezi na sijawahi kukopa.
Tzsh 5,000,000 per month, it's Tzs 60 million per year,unawezaje kusema ni masikini ,lower income, lower/upper middle income, higher income...... Benchmark standard huzijui umekuja na personal opinion tu sio Global standard.
Utoto unakusumbua ukikua utaachaPole mkuu. Ni kweli