Umesema kweli Mkuu.Wabongo tunadharauliana sana, huenda ana kanafuu flani cha maisha na anahisi watu wengine ni choka mbaya.
Usimdharau usiyemjua
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Mkuu,nimependa kwa jinsi ulivyo nijibu kiungwana.Pia zaidi nimepata kitu kutokana na uchambuzi wako.Ok thanks...samahani kwa kuonekana nakubeza..I am sorry...inaonekana wewe ni mtu muungwana na unayetaka hoja za kuelimishana...I am sorry...kwa upande Fulani upo sahihi...middle East inaweza kufumuka Vita kubwa...kwa uelewa wangu s-400 zipo za export na za wao warusi...ninavyowafahamu warusi hawaeezi kuwapa Kila kitu kuhusu s 400 hao waturuki..halafu nadhani warusi wanna mpango mkubwa mno kuhusu Syria...nadhani mikakati yote ya Syria inaandaliwa na Russia...kwa Russia Syria ni life and death..ni suala la kiuchumi pia,.
Ukiona panya anamdhihaki paka ujue kuna shimo jirani. Urusi ya leo siyo ile ya USSR.Wewe una akili kuwashinda warusi?.Warusi wanajua kabisa unavyomizia mtu silaha basi kuna uwezekano mkubwa ikafika kwenye mikono sio salama maana kuna adui kuteka silaha,kuna mapinduzi ya kikeshi na mambo mengine mengi tu.kwa iyo mpaka wanauza basi washanjiandaa kwa mamboengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.
Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi mda sio mrefu.
S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.
hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya West.ni mafanikio makubwa kwa US.
Sasa hivi wana S500 mkuuKitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.
Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi mda sio mrefu.
S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.
hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya West.ni mafanikio makubwa kwa US.
Sisi ni dona kantri mkuu Mkomavu😂
Urusi ana silaha bila ya kuwa na pesa.Mtu wa design ni rahisi sana kugeuka jambazi kukaba watu kwa kutumia silaha zake ili aambulie chochote,rejea anachokifanya huko Cremea,UkraineMkiambiwa ukweli mnapanic
Mmarekani ana nn ambacho mrusi hana ama hatengenezi usitaje vingi taja kimoja tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.
Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi mda sio mrefu.
S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.
hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya West.ni mafanikio makubwa kwa US.
Sasa wewe rejelea anayo yafanya US Pale IRAQ SYRIA AFGHANISTANUrusi ana silaha bila ya kuwa na pesa.Mtu wa design ni rahisi sana kugeuka jambazi kukaba watu kwa kutumia silaha zake ili aambulie chochote,rejea anachokifanya huko Cremea,Ukraine
Dogo hujui kuhusu mambo ya missile, Russia anaziendesha hizo S400 hata kwa miaka 10 ijayo, Uturuki kaingia cha kike hafu usizani hayo Makombora wanayotengeneza yanaubora kama ambayo anatumia Urusi mwenyewe, mfano Hata USA zana anazowauzia wengine haziko first class kama anazotumia yeye,Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.
Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi mda sio mrefu.
S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.
hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya West.ni mafanikio makubwa kwa US.
MKUU Kwan Unahisi Wakati RUSSIA Anayauza Hayo Ma S Hakujua Kama TURKEY Ni Mwanachama Halali Wa NATO !?
Jamaa Walitazama Mpaka Kesho Kutwa Yao Kabla Yakufikia Maamuzi Yakuyauza Hayo Madude
Wafanye Watakavyoyafanya Wakiamuliwa Kuchapwa Wanachapwa Mpaka wanakaa Pembeni[emoji4][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Crimea kafanya nn ?!
Kwan yale si yalikua maamuzi ya wana Crimea ama hakupiga Kura ?!Sasa wewe rejelea anayo yafanya US Pale IRAQ SYRIA AFGHANISTAN
RUSSIA Walapesa Sio Tatizo Kwake Nandio Maana Hujawahi Msikia Akilia Lia Njaa Ama Kuomba Omba Kama Nchizadunia Yasaba Hzi.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umepata wapi hizo taarifa?Dogo hujui kuhusu mambo ya missile, Russia anaziendesha hizo S400 hata kwa miaka 10 ijayo, Uturuki kaingia cha kike hafu usizani hayo Makombora wanayotengeneza yanaubora kama ambayo anatumia Urusi mwenyewe, mfano Hata USA zana anazowauzia wengine haziko first class kama anazotumia yeye,
Let's make good arguments here, mrusi ana kiwanda cha kutengeneza iPhone?Urusi wana bidhaa nyingi sana Mkuu.Urusi ana karibu viwanda vyote alivyonavyo Mmarekani.
Hivi kwa akili yako unaweza kuuziwa kitu cha hatari kama silaha ambayo iko genuine 100%? Kawaulize Saudia wauliziwa ndege zile F-35 ambazo Trump alikuwa anazipamba kuwa hata rada haiwezi kuziona lakini kule Yemeni zilidondoshwa na waasiWewe umepata wapi hizo taarifa?
Have you ever served as Russian military personal?
Hujaeleweka yaani faida ipatikanayo au vipiFilm industry, music industry & entertainment industry kwa ujumla ya US Ni sawasawa na viwanda vyote vya Russia
Sent using Jamii Forums mobile app
HAPO UNAKUTA YUKO HOI BIN TAABANI HATA PESA YA KULA HANA MFUKONI LAKINI ETI ANACHAMBUA MAMBO YA URUSI