Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

Ukweli hasa umeandika pumba
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenisaidia sana kumpa jibu. Nilitaka kumpa jibu nikaona niache tu maana comment yake hakuhusisha ubongo wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Let's make good arguments here, mrusi ana kiwanda cha kutengeneza iPhone?

Refer your words up there
Iphone kampuni ya MRUSI ?!

Ama Huko Ilipo Popote Duniani Inakua Oparated Nanani


Mbna Unahoja Dhaifu!?

Ulitakiwa Uulize Kama RUSSIA Anakiwanda Chakutengenezea Cm !? Sio Kutengeneza Iphone

Kwan Duniani Iphone pekeake Ndio Cm ?!..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kweli mkuu, njaa itawamaliza Warusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ambao hamjaona move za Russia basi mjue hamjaniwekea muzi nzur na kali kali jaribun kutafuta mbona mtaelewa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saudia wauliziwa ndege zile F-35 ambazo Trump alikuwa anazipamba kuwa hata rada haiwezi kuziona lakini kule Yemeni zilidondoshwa na waasi
Hakuna ndege za F-35 nchini Saudi Arabia.

Ndege pekee za mapambano za Kimarekani zinazotumika na Air force ya Saudia ni F-15 Eagle ambazo ni non-stealth.
 
I knew you gonna answer like this.
Nakurudisha nyuma ulisema hivi

Urusi ana karibu viwanda vyote alivyonavyo Mmarekani.

Swali langu liko palepale Mrusi anakiwanda cha iPhone? Mchina anacho
 
Hivi kwa akili yako unaweza kuuziwa kitu cha hatari kama silaha ambayo iko genuine 100%? Kawaulize Saudia wauliziwa ndege zile F-35 ambazo Trump alikuwa anazipamba kuwa hata rada haiwezi kuziona lakini kule Yemeni zilidondoshwa na waasi
Nothing is genuine 100% change that so as i can continue arguing with your rubbish
 
Moja ya policy ya kuuza silaha nje ya Russia ni
1.Kutakua na silaha bora kushinda inayouzwa
2.Silaha inayouzwa ni controllable kwa upande wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ambao hamjaona move za Russia basi mjue hamjaniwekea muzi nzur na kali kali jaribun kutafuta mbona mtaelewa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu miliwahi kuona movie moja ya Russia,Binti mmoja wa Kirusi alikua Sniper aliua wanajeshi wengi Sana wa German,ilikua imetulia Sana jina lake silijui.
 
Ukweli hasa umeandika pumba

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipochokozwa ulikaa kimya,umeshindwa hata kumlaumu tu mchokozi wangu,amenidhihaki,amenidhalilisha,amenikashifu na kunifedhehesha umekaa kimya tu,umeshindwa hata kumuonya juu ya alivyonifanyia, nimejitetea unasema nimeandika pumba.Haya bana sijibu tena.Namuachia Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…