Mzawa Halisi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 642
- 375
Punguzeni Utani na Matabaka kwny Swala Nyeti kama hili.
Mbona mnakuwa kama mafarisayo Ulitaka unapomwombea Lisu kila mtu barabarani aone unaomba? Ndo Mungu angejibu au?,au kwa kuomba vile ungemshurutisha Mungu ajibu.?
Kwani ungemuombea ukiwa chumbani kwako Mungu asingeskia?
Mbona ulipozuiwa bado watu waliomba majumbani kwao Lisu hakufa,alipona Hata sasa anaishi!!!.
Kuna wengine wapenda maombi ya kinafiki,
Hupenda sala zao sikiwe na kila mtu.
Corona ni janga la dunia, huwezi ukalilinganisha na siasa za Tanzania.Mungu hapendi hata mtu mmoja apotee, maombi yanatakiwa kwa madhara ya mmoja na wengi vilevile
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupenda sanaTuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.
Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.
Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
Kama kuna kitu kimetuponza na kutulemaza WaTZ ni kuamini na kuafiki ile dhana na kauli mbiu ya “Zidumu Fikra za Mwenyekiti”! Matokeo yake tumetengeneza mfumo wa Uimla, utegemezi na kupoteza uthubutu wa kuwa na maarifa na mbadala za kuleta Maendeleo. Zaidi tumekuwa waoga zaidi! Upumbavu huu ndio unatukost kwenye corona
Kumbe lilikuwa janga?Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.
Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.
Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
Kama kuna kitu kimetuponza na kutulemaza WaTZ ni kuamini na kuafiki ile dhana na kauli mbiu ya “Zidumu Fikra za Mwenyekiti”! Matokeo yake tumetengeneza mfumo wa Uimla, utegemezi na kupoteza uthubutu wa kuwa na maarifa na mbadala za kuleta Maendeleo. Zaidi tumekuwa waoga zaidi! Upumbavu huu ndio unatukost kwenye corona
Thank God una kumbukumbu dah!Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.
Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.
Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
Kwa nn sasa hapa tuambiwe tuombe wakati sisi tunajua kuomba ni siri ya mtu na Mungu wakePunguzeni Utani na Matabaka kwny Swala Nyeti kama hili.
Mbona mnakuwa kama mafarisayo Ulitaka unapomwombea Lisu kila mtu barabarani aone unaomba? Ndo Mungu angejibu au?,au kwa kuomba vile ungemshurutisha Mungu ajibu.?
Kwani ungemuombea ukiwa chumbani kwako Mungu asingeskia?
Mbona ulipozuiwa bado watu waliomba majumbani kwao Lisu hakufa,alipona Hata sasa anaishi!!!.
Kuna wengine wapenda maombi ya kinafiki,
Hupenda sala zao sikiwe na kila mtu.
Kama sio unafiki unakwendaje mbele za Mungu na mikono inayovuja damu za watu eti ufanye maombi??
Tena mbaya zaidi hata waliokimbia nchi waliopona kuuwawa bado wapo, unaombaje eti kwa mfano??
Tusiwe Kaini alisema sio mlinzi wa Abili aliye muuwa!!
Mungu hataniwi kihivyo wala hadhihakiwi, tubuni kwanza mjitakase muombe rehema na msamehe na kusameheana ninyi kwa ninyi.
Bwn atasikia na atajibu!!
Mbarikiwe!!
[/QUOTE
Nafikiri kwenda mbele za mungu pia ni ishara nzuri (kukubali udhaifu) maana yeye huangalia moyo...
Siajabu akasikiliza maombi ya mdhambi kwa kuwa amemrudia ni sawa na mwana mpotevu alivyorudi kwa baba....uliona varangati la kaka mtu .
Mungu ni upendo
Week end huwa nzuri kwa tunalipa kodi nyingi za namna tofauti..
Chupa yangu ikiwa inakaribia kuisha hapa,mara nikakumbuka leo ni siku ya 3 kuliombea taifa.
Sija kaa sawa ITV wanarusha habar ya askari mkoani mbeya.
Nawaza ni askari hawa hawa waliokuwa wanakamata na kuzuia watu waliokuwa na nia ya kufanya maombi ili Tundu Lissu apone haraka.
Leo imekuwaje jinai ya kufanya maombi kufanywa kituo cha polisi,tena kukiwa na hamasa nchi nzima.
Mungu ni mwema daima. Tuendelee kumuomba hata pale tunapowekewa vikwazo na mawakala wa shetani.
Corona ipo,chukua tahadhari,endelea kumuomba Mungu atuepushe na maafa ya corona lakin pia wanasayansi waweze kuipatia tiba.
Sent using iphone pro max
Ndugu mbona umekurupuka na hata haujatathimini mleta mada alikuwa na ujumbe gani kwenye uzi wake.,,,Andika kama msomi Basi. Who is Lissu. Ulienda kanisani au msikitini kuomba. Sala. Ikagoma. Au hujui hata maana ya Sala. Tofautisha Lissu na Taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee kuna tofauti kati ya Kuvamiwa na majambazi na Covid 19!Week end huwa nzuri kwa tunalipa kodi nyingi za namna tofauti..
Chupa yangu ikiwa inakaribia kuisha hapa,mara nikakumbuka leo ni siku ya 3 kuliombea taifa.
Sija kaa sawa ITV wanarusha habar ya askari mkoani mbeya.
Nawaza ni askari hawa hawa waliokuwa wanakamata na kuzuia watu waliokuwa na nia ya kufanya maombi ili Tundu Lissu apone haraka.
Leo imekuwaje jinai ya kufanya maombi kufanywa kituo cha polisi,tena kukiwa na hamasa nchi nzima.
Mungu ni mwema daima. Tuendelee kumuomba hata pale tunapowekewa vikwazo na mawakala wa shetani.
Corona ipo,chukua tahadhari,endelea kumuomba Mungu atuepushe na maafa ya corona lakin pia wanasayansi waweze kuipatia tiba.
Sent using iphone pro max
Hana ujumbe wowote ni pumba tuNdugu mbona umekurupuka na hata haujatathimini mleta mada alikuwa na ujumbe gani kwenye uzi wake.,,,