Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Nyerere alikuwa ana matatizo ya akili. Nilikaa na Mzee Lawi Sijaona Nangwanda akasema enzi zao kuna wakati Nyerere alikuwa anafichwa kabisa asionekane kwa sababu alikuwa na circles zake.

Hata yule kaka mkubwa anayekuja hapa naye mara nyingine yuko poa, mara nyingine tia maji tia maji.

Wanaojua wanajua.
Huyo Mzee Lawi Sijaona Nangwanda yeye hakuwa na matatizo ya akili?
 
Nyerere alikuwa ana matatizo ya akili. Nilikaa na Mzee Lawi Sijaona Nangwanda akasema enzi zao kuna wakati Nyerere alikuwa anafichwa kabisa asionekane kwa sababu alikuwa na circles zake.

Hata yule kaka mkubwa anayekuja hapa naye mara nyingine yuko poa, mara nyingine tia maji tia maji.

Wanaojua wanajua.
Kwa hiyo uliamini? Lawi Sijaona?
 
Nakumbuka wabongo walikuwa wanasema kwa hali tuliyofikia tunahitaji Rais Dikteta. Maana kikwete walimwita Dhaifu, wakajibiwa sawasawa na maombi yao, Mh.Kikwete alikuwa anawaangalia tu
 
Mkuu,

Kama hujayajua matatizo yote ya akiki si rahisi kuelewa.

Therw is a thin line between genius and madness.

Katika sayansi kuna mifano mingi ya ma genius walikuwa na matatizo ya akiki.

Soma story ya mtu anaitwa Georg Cantor jamaa genius alikuwa anacheza na mahesabu ya infinity mpaka akawa kichaaa.
Hivi binadamu au mtanzania gani ambaye anaweza kusema yupo huru au hana matatizo ya akili?

Hivi nyie watu wengi wa JF mnaojiita Great Thinkers na msiyo na matatizo ya akili mmewasaidia nini watanzania ukiacha uchawa wenu na ukuwadi?
Mnapata wapi ujasiri wa kumzodoa hayati na kusema alikuwa na matatizo ya akili?
Kweli kichaa anawaona wengine ni vichaa isipokuwa yeye tu in Kanumba Voice. Ndo member wengi wa JF mlivyo, nyie ni vichaa ila hamjujui
 
We nae ni mjinga mmoja baba na yake na mama yake kama wangepewa nchi ndio ungehoji kuhusu wazazi wake.Kuhusu kusoma kwa mkopo sio kosa ni kwa mujinlbu wa sheria ya Tanzania ndio inaruhudu hivyo tena utalipa huo mkopo mjinga mmoja wewe.Wewe mtetee ila ukweli upo wazi.
Kwa mujibu wa sheria gani wewe? Kubembeleza kupata mkopo maana yake ni mzazi wako kushindwa majukumu ya kulea familia yake, hivyo anaomba msaada wa serikali. Kama utakiri wazazi wako walishindwa majukumu, basi ntakubaliana na wewe.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Mkuu hata vichaa ni watu haitakiwi kuwabagua,na pia ukichaa na una level 1 hadi 3
 
Hivi binadamu au mtanzania gani ambaye anaweza kusema yupo huru au hana matatizo ya akili?

Hivi nyie watu wengi wa JF mnaojiita Great Thinkers na msiyo na matatizo ya akili mmewasaidia nini watanzania ukiacha uchawa wenu na ukuwadi?
Mnapata wapi ujasiri wa kumzodoa hayati na kusema alikuwa na matatizo ya akili?
Kweli kichaa anawaona wengine ni vichaa isipokuwa yeye tu in Kanumba Voice. Ndo member wengi wa JF mlivyo, nyie ni vichaa ila hamjujui
Ndo silka ya binadamu hiyo.

Wengine ndo vichaa, ila mimi ninayewaita wengine vichaa, siyo kichaa!
 
Kuna watu huuhusisha ukichaa na u genius.

Mfano tunaambiwa Nyerere naye alikuwa kichaa.

Wanamahesabu magenius wengine nao tunaambiwa walikuwa na vichaa.

Kwa msingi huo Magufuli naye alikuwa genius kwa sababu alikuwa na kichaa.

Lakini hapo kwa Magufuli, watagoma kumuita yeye genius, kwa sababu hiyo ni sifa iliyo chanya.

Ila Nyerere alikuwa genius [which he wasn’t], kwa sababu alikuwa na kichaa!
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
MIaka 20 kama waziri na mbunge wa kuchaguliwa, kisha akapata digrii tatu pamoja na udaktari, kisha akagombea urais baada ya kuteuliwa na wazee kina Mwinyi
 
Usipoteze muda wako kutarajia kwamba utapata a sensible answer.Hawawezi kukujibu.Kukujibu inabidi waelewe swali.
You are expecting answers from morons. Wisdom is chasing them but they are always faster.
Hii ni fallacy tu. Wewe nd'o moron.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
What about Hitler what about putin? What about Sadam Hussain
 
Back
Top Bottom