Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Wasitudangane ukweli tunaujuaNdio nashangaa, mpaka anagombea Urais hawakuona kirusi mpaka alipotaka kiti? Ajabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasitudangane ukweli tunaujuaNdio nashangaa, mpaka anagombea Urais hawakuona kirusi mpaka alipotaka kiti? Ajabu sana
Kauli za Boni Yai na Yericko Nyerere zinathibitisha ugunduzi wako. Hawa watu wanatokwa povu majukwaani kumbe ni kwasababu Mbowe anawashibisha kwa vyeo na fedha.Sema nilichogundua kwa muda wote huu ni kwamba; siasa kwa Tanzania, ni biashara! na pia ni ajira!
Kumwondoa Mbowe kuna faida nyingi kuliko hasara na faida moja wapo ni chama kuwa na sura ya kitaifa kuliko ukanda na ukabila.1. Mbowe alizingua kwa Zitto.
2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.
3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.
Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.
Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.
Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.
You cannot lie all people all the time.
Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.
Mkuu hapo namba 2 alizingua muda mbaya kabisa...alishamwandaa Dr. Slaa...naungana na wewe hapo kwenye No. 4 itakuwa vigumu mno kwa CDM kuhimili vishindo vya uzinguaji endapo Lissu hata kuwa Chairman.1. Mbowe alizingua kwa Zitto.
2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.
3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.
Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.
Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.
Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.
You cannot lie all people all the time.
Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.
Na tangu amuengue Dr. Slaa, Ari ya watanzania kujitokeza kukipwmbania chama ikapungua sana. Kabla ya hapo ilikuwa maandamano yakiitishwa na chadema nchi inatetemeka. Lkn hivi Sasa ni Mbowe na boni Yai tu ndiyo huwa wanafanya maigizo ya maandamano.Mkuu hapo namba 2 alizingua muda mbaya kabisa...alishamwandaa Dr. Slaa...naungana na wewe hapo kwenye
Kuna tatizo siasa ikiwa ni ajira?Sema nilichogundua kwa muda wote huu ni kwamba; siasa kwa Tanzania, ni biashara! na pia ni ajira!
Hili ni wazo zuri Sana linaloweza kuwaweka pamoja wafuasi wa Lissu na Mbowe ambao sasa wamegawanyika.Chama kipya ni kupoteza muda, wabanane mumo kwa mumo.
CHADEMA kipate mwenyekiti mpya ambae atakiweka njia sahihi na fikra mpya.
Freeman Mbowe awe mlezi wa chama.
Pia ipo nafasi ya kufanya mabadiliko ya katiba ya CHADEMA kwamba Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa chama na Tundu Lissu awe kiongozi wa chama ambae ndie atakuwa mgombea wa uraisi kupitia CHADEMA.
Utaratibu huu watumika katika nchi nyingi duniani chama kinakuwa na mwenyekiti na makamu wake lakini katika kuongoza chama khasa katika chaguzi ni kiongozi wa chama (Leader) ambae baadae chama kikishinda uchaguzi anakuwa ndie raisi akiingia na baraza lake kivuli la mawaziri alowaandaa.
Zote ni njia sahihi za kumpata kiongozi sahihi ambae kwa wakati huu ni Tundu Lissu.
Erythrocyte na Retired nini maoni yenu kuhusu hili1. Mbowe alizingua kwa Zitto.
2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.
3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.
Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.
Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.
Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.
You cannot lie all people all the time.
Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.
Matusi aliyoporomoshewa mzee wa Watu, akiwa amekipambania CDM toka 1995, na baadaye kwenye jimbo lake alipowaingiza viongozi wengi wa serikali za vijiji na Mwaka 2000 kukifanya CCM kupotea kabisa Karatu....mtu aliyekipigania Chama kwa kiwango hicho unamwondoa tu kirahisi....Na tangu amuengue Dr. Slaa, Ari ya watanzania kujitokeza kukipwmbania chama ikapungua sana. Kabla ya hapo ilikuwa maandamano yakiitishwa na chadema nchi inatetemeka. Lkn hivi Sasa ni Mbowe na boni Yai tu ndiyo huwa wanafanya maigizo ya maandamano.
Lkn kuonewa kwa Dr. Slaa na manung'uniko ya Dr. Slaa wakati anaondoka yaliwapa watu mwanga kuwa kumbe jasho la mtu ndani ya chadema halithaminiwi.
Mbowe kapoteza ushawishi, akae pembeni awapishe watu wengine, asishupaze shingo.Matusi aliyoporomoshewa mzee wa Watu, akiwa amekipambania CDM toka 1995, na baadaye kwenye jimbo lake alipowaingiza viongozi wengi wa serikali za vijiji na Mwaka 2000 kukifanya CCM kupotea kabisa Karatu....mtu aliyekipigania Chama kwa kiwango hicho unamwondoa tu kirahisi....
Sasa hivi uchaguzi wa serikali za mtaa umeporwa na wanyang'anyi tamko linalotoka ni kulaani tu..... kwa kweli tunahitaji mtu anayeweza kuwakemea hawa wahuni
Lissu akiwa Mwenyekiti wa chama hata mimi nitajiunga CHADEMAChama kipya ni kupoteza muda, wabanane mumo kwa mumo.
CHADEMA kipate mwenyekiti mpya ambae atakiweka njia sahihi na fikra mpya.
Freeman Mbowe awe mlezi wa chama.
Pia ipo nafasi ya kufanya mabadiliko ya katiba ya CHADEMA kwamba Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa chama na Tundu Lissu awe kiongozi wa chama ambae ndie atakuwa mgombea wa uraisi kupitia CHADEMA.
Utaratibu huu watumika katika nchi nyingi duniani chama kinakuwa na mwenyekiti na makamu wake lakini katika kuongoza chama khasa katika chaguzi ni kiongozi wa chama (Leader) ambae baadae chama kikishinda uchaguzi anakuwa ndie raisi akiingia na baraza lake kivuli la mawaziri alowaandaa.
Zote ni njia sahihi za kumpata kiongozi sahihi ambae kwa wakati huu ni Tundu Lissu.
Lissu katangaza kugombea, Mbowe kimya. Lissu amechukua fomu za kugombea, Mbowe kimya. Sijui amemkataza vipi kugombea kama unavyodai? Na kuna mwingine pia aliyetangaza nia, nae hakuzuiwa.Kabisa mkuu. Wanatia kinyaa kwenye demokrasia kwa kukataza watu wengine kugombea uenyekiti. Hiki bila shaka ni mradi wa familia ya Mbowe.
R.I.P Chacha Wangwe...1. Mbowe alizingua kwa Zitto.
2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.
3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.
Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.
Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.
Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.
You cannot lie all people all the time.
Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.
Kila anaeondoka chadema, humnyooshea kidole mwenyekiti, mbowe ajitafakari.1. Mbowe alizingua kwa Zitto.
2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa.
3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano.
Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king.
Sasa;-
4. Akizingua kwa Lisu, imekula kwake.
Kwasababu, watanzania wameamka na watamstukia akidanganya tena.
You cannot lie all people all the time.
Watanzania wanataka mabadiliko, CHADEMA mkizingua watayatafuta kwingine.
Naamini Mbowe anaweza kushinda sababu ya kwamba viongozi wa chadema at least 90% wamekua kisiasa au kuingia chadema kwa invitation na mentorship ya Mbowe including Lissu.