Kwa nini unifahamishe dini yenu? Dini ambayo anakula mwingine anatamani mwingine?Ni shida sana kujaribu kumfahamisha mtu ambae hafahamu dini yetu na ni vigumu zaidi ikiwa anaeuliza hataki kufahamishwa bali anataka kubishana.
Labda nikuukize wewe hujawahi kumuona mwanamke ukamtamani? Anaemla ni mwengine kwa nini unamtamani wewe? Lugha hii nadhani utaifahamu. Suali la kuzuia makanisa zanzibar ni bora ukumbuke kuwa Zanzibar nchi yetu na ni hiari yetu, tutaruhusu tukitakacho na tutazuia tusikatacho. Suali la ardhi na majenzi si la muungano kwa hivyo hamuwezi kutulazimisha tufanye tusilitakalo. Ni hiari yenu huko kwenu kuruhusu au kutoruhusu ijenzi wa misikiti. Zanzibar ni ndogo na hatuhitaji makanisa ni feki kusambaa kila kona ya bisiwa vyetu!Kwa nini unifahamishe dini yenu? Dini ambayo anakula mwingine anatamani mwingine?
Sihitaji kujua, nachosema nyie hamjazuiliwa kujenga misikiti kwenye wakristo wengi na pia wakristo hakuna walipomatazwa kujenga makanisa kwenye waislamu wengi
Kanisa la kihistoria lina faida kwao sababu kuleta watalii ambao wanaongeza pato ndo maana haya mengine wanaona hayana maanaZanzibar kuna makanisa mangapi? kanisa kubwa kabisa la kihistoria lipo zanzibar na halijabomolewa... Kwanini libomolewe hilo???
We nae unamiliki ubongoTatizo la waislamu majini yao hayapatani na jina la Yesu Kristo. Likitajwa wanaungua moto. Na ukumbuke waislamu wengi wanaishi na majini na wengi ndiyo chanzo cha vipato.
Si kwamba wakiujua ukweli wataacha imaniS
Hatuogopi competition ya imani, hatutaki kupotoshwa na hatutaki kupoteshewa watoto wetu. Ikiwa unasema kuwa tunaogopa kupotoshwa, then yes sawa na wala hatuoni aibu kwa hilo tunaogopa kupoteshewa familia zetu, tunaogopa adhabu ya Mola wetu siku tukirudi kwake.
Hapana wanaogopa kukaa jirani na mapadri. Wasije kubaka watoto wao. Maana nasikia ulawiti huko kwenu ni tendo takatifuTatizo la waislamu majini yao hayapatani na jina la Yesu Kristo. Likitajwa wanaungua moto. Na ukumbuke waislamu wengi wanaishi na majini na wengi ndiyo chanzo cha vipato.
Kutawaliwa na wa WazanzinnkNimeshuhudia taarifa na video mtandaoni ikionyesha kanisa dogo la TAG maeneo ya Zanzibar likivunjwa na greda kwa amri ya wakuu fulani wa serikali wa Zanzibar.
Sababu za kimsingi za hayo kutokea ni kukosekana kwa uvumilivu wa kidini kwa baadhi ya wakazi wa Zanzibar dhidi ya imani zingine, jambo ambalo linalindwa na watawala wa Zanzibar kwa miongo yote. Japokuwa wakuu wa serikali huko Zanzibar wamekuja na sababu nyingine duni na kijinga (wanadai wamevunja kanisa hilo kwa sababu za taarifa za kitisho cha hali ya hewa kuhusu mvua inayoweza kuleta mafuriko maeneo hayo!)
Tunapaswa kutambua haya.
1. Karibu mitaa yote ya Zanzibar kuna misikiti mikubwa au midogo.
2. Karibu misikiti yote ya Zanzibar ina vipaza sauti (horn speaker) zinazopiga adhana kila siku kutwa mara tano.
3. Karibu misikiti yote ya Zanzibar imejengwa kwenye makazi ya watu au jirani kabisa na makazi ya watu.
4. Mpaka sasa Zanzibar haina maeneo rasmi ya wazi yaliyotengwa mahususi kujenga nyumba za Ibada tu na kujulikana kwa watu wote.
5. Serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanzania kikatiba zote hazina dini na hazipaswi kufuata mlengo wa imani yoyote ya kidini zaidi ya kuheshimu na kulinda uhuru wa imani zote.
MAMBO MUHIMU YA KUTAFAKARI
-Kwanini kuwe na shida kila mara dhidi ya taasisi za kikristo zinapotaka kujenga makanisa, kuabudu kwa uhuru au kueneza imani yao maeneo ya Zanzibar?
-Kwanini Serikali ya mapinduzi Zanzibar na serikali ya muungano zinashindwa kulinda uhuru wa kuabudu kwa wakristo waliopo Zanzibar?
-Kwanini jamii za imani ya kikristo zionekane kama ni wavamizi, wapitaji na wageni waliokosa mwenyeji kila mara huko Zanzibar?
TAFAKARI
Ukiamshwa nusu saa muda wa saa kumi na moja asubuhi unaweza kulala tena?Hili Swala inabidi tuliendee bila kutumia hisia,nani hajui KERO ya makanisa ya kilokole yaliyotapakaa kila Kona ya nchi hii,kwa wakazi wa Dar,pale kawe Kuna makanisa kila Kona,yamefunga maspika makubwa,yaani yakiachia mziki mpaka mtaa wa saba masikio yanauma,Hawa wachungaji wa jasiliamali wao ni kuanzisha Kanisa kila Kona na mziki usiokoma.Adhana ya waislam hai haichukui hata nusu saa,wakati ibada za kilokole ni siku nzima kuanzia saa sita na kuendelea.yule taperi mfalme zumaridi aliyekamatwa mwanza ni kwa sababu ya KERO,angekuwa amekamatwa Zenj,ingekuwa story nyingine.
Kwa Zenj,na nchi nyingi zenye wakristo kama minority group,kuwa na Kanisa au kuabudu kwa uhuru ni shida kidogo,hili serikali inabidi iliweke vzr.sasa kuhusu hilo Kanisa huko Zenj,lilijengwa kwa vibali?au ndio kama huku Bongo,yanaanzishwa kama uyoga Ili kupiga sadaka
Kwa kifupi Wazanzibari ni wabaguzi sana huko kwao kwa wasio waislam!Nimeshuhudia taarifa na video mtandaoni ikionyesha kanisa dogo la TAG maeneo ya Zanzibar likivunjwa na greda kwa amri ya wakuu fulani wa serikali wa Zanzibar.
Sababu za kimsingi za hayo kutokea ni kukosekana kwa uvumilivu wa kidini kwa baadhi ya wakazi wa Zanzibar dhidi ya imani zingine, jambo ambalo linalindwa na watawala wa Zanzibar kwa miongo yote. Japokuwa wakuu wa serikali huko Zanzibar wamekuja na sababu nyingine duni na kijinga (wanadai wamevunja kanisa hilo kwa sababu za taarifa za kitisho cha hali ya hewa kuhusu mvua inayoweza kuleta mafuriko maeneo hayo!)
Tunapaswa kutambua haya.
1. Karibu mitaa yote ya Zanzibar kuna misikiti mikubwa au midogo.
2. Karibu misikiti yote ya Zanzibar ina vipaza sauti (horn speaker) zinazopiga adhana kila siku kutwa mara tano.
3. Karibu misikiti yote ya Zanzibar imejengwa kwenye makazi ya watu au jirani kabisa na makazi ya watu.
4. Mpaka sasa Zanzibar haina maeneo rasmi ya wazi yaliyotengwa mahususi kujenga nyumba za Ibada tu na kujulikana kwa watu wote.
5. Serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanzania kikatiba zote hazina dini na hazipaswi kufuata mlengo wa imani yoyote ya kidini zaidi ya kuheshimu na kulinda uhuru wa imani zote.
MAMBO MUHIMU YA KUTAFAKARI
-Kwanini kuwe na shida kila mara dhidi ya taasisi za kikristo zinapotaka kujenga makanisa, kuabudu kwa uhuru au kueneza imani yao maeneo ya Zanzibar?
-Kwanini Serikali ya mapinduzi Zanzibar na serikali ya muungano zinashindwa kulinda uhuru wa kuabudu kwa wakristo waliopo Zanzibar?
-Kwanini jamii za imani ya kikristo zionekane kama ni wavamizi, wapitaji na wageni waliokosa mwenyeji kila mara huko Zanzibar?
TAFAKARI
Umechambua vizuri sana, tatizo ni mihemuko tu, kumbe kuna double standards tena huko?Wazanzibari wameukataa huu uhayawani wa makanisa haya feki.
Inashangaza huku Bara mtaa mmoja kuna makanisa matano!
Makanisa ni mengi kuliko waumini,matokeo yake ni makelele tu mitaani.
Kingine majority ya Wazanzibari ni waislam na huu ni ukweli ulio wazi.Hatuwezi kulazimisha Wazanzibari waishi kinyume na Utamaduni wao.
Jambo linalonishangaza Zanzibar,Sheria hizi na tofauti za Utamaduni haziwabani WAZUNGU kufanya watakavyo.
Mwezi mtukufu ukiwa na Ngozi nyeusi huwezi kula mahala popote Zanzibar,hata hoteli za nyota tatu au nne nilizowahi kutembelea nilinyimwa hata kuuziwa soda tu!
Lakini wazungu wanapata ulabu bila wasiwasi!.This is tantamount to slavery!
Tupo kwenye “Nchi” yetu lakini unabaguliwa na Mzungu wanamtukuza!
Beach wazungu wanakaa uchi lakini mtaani Mwanamke aliyeumbika akivaa nguo wao wanayoiona sio sahihi wanampiga na kumdhalilisha!
Sielewi mantiki yake!!.
Wazanzibari wana mambo ya ajabu sana,inahitaji moyo kuishi nao vizuri,unahitaji kuwa zaidi ya bwege ili uende nao sawa.
Ni ngumu kujifanya bwege kama wewe sio bwege,hasa ukiwa katikati ya mabwege.Bora uwe bwege kwa wenye akili.
Cha msingi tuwaache na Maisha yao.
Hiyo Bar ya Mbawala imepona? Manake imekuwa ikitafutwa sana... na imeshawahi hadi kuchomwa moto.Hili kanisa/nyumba muda mrefu sana liliandikwa na manispaa "SIMAMISHA UJENZI" pamoja na nyumba nyengine mbili zilizovunjwa, ambazo zipo line moja.
Hii sehemu ni karibu na Bar ya Mbawala kwa wale wenyeji wa Amani Sebleni, eneo ambalo kiasili linakaa maji, ila baada ya mradi wa ZUSP (Zanzibar Urban Services Projects), maji yalijengewa njia na hivyo kupungua.
Wajanja wakauza viwanja eneo la maji, eneo zilipojengwa nyumba zilizovunjwa
Nikuulize hiyo misikiti hapo zanzibar kila mtaa ina vibali, pili umejikita kwenye kero za kelele kutoka nyumba za ibaada unaona solution ni kubomoa? Uhuru wa kuabudu na uheshimiwe regardless imani ya mtuHili Swala inabidi tuliendee bila kutumia hisia,nani hajui KERO ya makanisa ya kilokole yaliyotapakaa kila Kona ya nchi hii,kwa wakazi wa Dar,pale kawe Kuna makanisa kila Kona,yamefunga maspika makubwa,yaani yakiachia mziki mpaka mtaa wa saba masikio yanauma,Hawa wachungaji wa jasiliamali wao ni kuanzisha Kanisa kila Kona na mziki usiokoma.Adhana ya waislam hai haichukui hata nusu saa,wakati ibada za kilokole ni siku nzima kuanzia saa sita na kuendelea.yule taperi mfalme zumaridi aliyekamatwa mwanza ni kwa sababu ya KERO,angekuwa amekamatwa Zenj,ingekuwa story nyingine.
Kwa Zenj,na nchi nyingi zenye wakristo kama minority group,kuwa na Kanisa au kuabudu kwa uhuru ni shida kidogo,hili serikali inabidi iliweke vzr.sasa kuhusu hilo Kanisa huko Zenj,lilijengwa kwa vibali?au ndio kama huku Bongo,yanaanzishwa kama uyoga Ili kupiga sadaka
MFAHAMU MUISLAMU NA UISLAMU;-F
Hizi dini faida yake kubwa ni ukifaulu kuingia huko zilikoahidiwa!
Hapa duniani kumzuia mwemgine asieneze dini yake, huo ni upumbavu wa jinsi dini ilivyoegemea dunia kuliko kuleee ilikoelekezwa watu wake wafike!
Huu upuuzi unaletwa na ujinga mwingi usio malizwa na elimu dunia!
Mimi staki dini lako, kwa nini usiniache niwe na Uhuru wa dini yangu.??
Upuuzi mtupu
Siyo kanisa moja tu kuna makanisa zaidi ya manne makubwa kushinda msikiti yote iliyopo na inayojengwa na makanisa hayo yamekuwepo kwa miongo kadhaa hata uislam huu unaolelewa zanzibar umeyakuta hayo makanisa mkuu.Zanzibar kuna makanisa mangapi? kanisa kubwa kabisa la kihistoria lipo zanzibar na halijabomolewa... Kwanini libomolewe hilo???
Kwa hiyo walivyobomoa wameokoa resource? hizo resource ni kodi za wananchi. Mtu akijenga ghorofa akakaa peke yake ukiwa kama kiongozi utaenda bomoa?Aliyewaambia wazanzibari wanahitaji makanisa ni nani?
Wazanzibar 99% ni waislamu hata hiyo misikiti iliyopo sasa haitoshi..
Hivyo anayehitaji kujenga nyumba ya ibada Zenji ajenge Msikiti ili kuCover mahitaji sahihi.
Unajenga kanisa la Tsh mil 100 halafu waumini wawili hiyo ni wastage of resources..
Eboo..!
HATUONDOKI, tukiwaacha watakuwa rezy zaidi ya hapa so tunavyokuwepo hapa wanaiga mapambano yetu ya maisha nao wanabadirika, sema tu wana roho ya mbaya kwa baadhi.Waachieni kisiwa chao ondokeni huko