Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Wengine wana mabusha[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninakumbuka yule aliykanyaga quruan Kilosa alishughulikiwa haraka sana. Ila kubomolewa kwa kanisa si tatizo.

Makanisa yanapiga kelele ila yale mavipasa sauti ya msikitini siyo tatizo.

Iko siku kisasi kitalipwa.
Usilinganishe vipaza saut vya msikitini na Yale maspika yakilokole yanayowashwa full time, full volume kwny makazi ya watu[emoji3525]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lenu hamjastaarabika,
Hamuheshimu Mila na desturi za watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point[emoji4][emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point[emoji4][emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la waislamu majini yao hayapatani na jina la Yesu Kristo. Likitajwa wanaungua moto. Na ukumbuke waislamu wengi wanaishi na majini na wengi ndiyo chanzo cha vipato.
Rubbish
Wewe ni makerubi a. k. a zombie wa makuhani wauza maji, udongo, chumvi, keki, leso, mafuta ya uchawi wa Nigeria usietakiwa kutumia akili yako.
Ungekuwa Mwanza bila shaka ungekuwa zombie wa Mfalme Zumaridi
 
Hoja kwamba makanisa yasijengwe kwenye makazi ya watu haina mashiko maana waumini ni watu na sio rahisi kupeleka huduma mahali ambapo hakuna watu.

Wakijenga maporini huko kuna wanyama na sio watu.
 
Nyie jamaa ndugu zangu bhana mnafurahisha kweli, kwenu hamtaki mtu aje ila cha ajabu mkienda ugenini mnaforce wenyeji wafate Imani yenu!!! Sasa hapa nimeamini kwanini Myanmar wale mabudha waliamua kuwafurumusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…