Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

HATUONDOKI, tukiwaacha watakuwa rezy zaidi ya hapa so tunavyokuwepo hapa wanaiga mapambano yetu ya maisha nao wanabadirika, sema tu wana roho ya mbaya kwa baadhi.
REZY!!!
 
Sahii kabisa,
Ndo Maana zbc Ni televisheni ya taifa.

ila kamwe hawawezi kurusha mahubiri ya kilokole Wala wakristo.

Utaona wanarusha wamawaidha ya kiislamu TU

Watanganyika tumeridhika na tunaheshimu maamuz yao.

Mtoa mada hana Nia nzur na mila na desturi za wanzibar, na yeye ndio anayeanzisha hizi chokochoko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zbc ipi unayozungumzia? Isijekuwa zbc2
 
Sasa basi huyo mungu wenu hana maana,yani unavunjaje jengo la mtu kisa kuogopa kupotoshwa watoto wenu, sasa na sisi wakristo tukiamu kuvunja misikiti iliyokaribu na makazi yetu itakuaje??sijui huwa mnafkiliaje nyie watu.
Mungu wenu si alipigwa hadi akadedi au una dhani tumesahau?
 
Kwanini jamii za imani ya kikristo zionekane kama ni wavamizi, wapitaji na wageni waliokosa mwenyeji kila mara huko Zanzibar?
Kwa sababu Zanzibar sio kwao, hayo Makanisa wakajenge kwao Tanganyika. Kuna mzanzibari aliejenga msikiti Tanganyika?
 
Ombeni vibali rasmi vya eneo la kanis muone kama mtakataliwa. Kwanini mkajenge makanisa uswahilini? Kwani hamna akili?
Kwa mujibu wa huyo mchungaji wa hilo Kanisa, anasema aliwahi kuomba eneo la kujenga kanisa kwa mamlaka husika kwa miaka mingi bila mafanikio (na kiuhalisia hayo maeneo kwa Zanzibar hayapo na hata yangekuwepo huenda taasisi za kanisa zisipewe)
 
Nimeshuhudia taarifa na video mtandaoni ikionyesha kanisa dogo la TAG maeneo ya Zanzibar likivunjwa na greda kwa amri ya wakuu fulani wa serikali wa Zanziba...

Hawa watu huwa hawajiamini na dini yao wanadhan kuwepo kwa dini nyingine kutasababisha watu wao kubadili dini!

Wanaogopa watu wao siku wakijua kweli kua Mungu wa kweli n yupi wataconvert.

mbona misikiti free tu ,,,Hamna anaewauliza
 
Kwa sababu Zanzibar sio kwao, hayo Makanisa wakajenge kwao Tanganyika. Kuna mzanzibari aliejenga msikiti Tanganyika?
Wewe ni mgeni hapa Tz?
Hii misikiti iliyojaa Ilala, temeke na Kinondoni hivi hujui wafadhili wakuu wake wa kuijenga ni wapemba kutoka Zanzibar?
Hivi kuna mkoa hapa Tanganyika ambao hauna msikiti uliojengwa na wapemba kutoka Zanzibar.

Kwa kifupi sana, suala la kujenga msikiti Tanganyika kwa mzanzibar sio tatizo na halijawahi kuwa tatizo. Hata mtanganyika kujenga msikiti Zanzibar sio tatizo.
 
Naona kuna tatizo hapa, masharti vigezo, desturi, imani na tamaduni haikuzingatiwa.

Unaweza kumiliki eneo lakini kuna masuala mtambuka ambayo mnunuzi hakuyazingatia akayaona ni mepesi, kumbe kuna mengine hayaandikwi lakini yanafuatwa na jamii husika wakaazi wenyeji wa mwanzo kabisa...

hii ni serikali siyo kikundi cha kiimani,

serikali haina dini sasa ukisema kwasababu mtu anadini ndo alazimishe watu tuishi kwa dini ya kiongozi n kukosea
 
Aliekwambia serekali haina dini nani ? Zanzibar wakaazi wake wa kiislamu lakini skuli zinafuata kalenda ya kikristo na wala hawajalalmika miaka yote wakati wao ndio majority...

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji2]yaan hili halijitambui kua lenyewe n liafrica kirabu cha muarabu….lenyewe chake kibantu!!…

Ivi tanzania mijitu yenye IQ ndogo hivi mnairuhusu ichafue hali ya hewa kwann
 
Hakuleta mambo ya kufungulia injili usiku na mchana na maspika juu kweli? 24/7 nyimbo na mahubiri watu wamepumzika majumbani.
 
Mtoa mada anatafuta TU chokochoko kwny mila,desturi na tamaduni za watu,

Wee umewahi kuskia wapi mzanzibar mkristo, achilia mbali mlokole wa TAG?[emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi kutofautisha kati ya Imani na utamaduni, imani ni jambo binafsi la moyoni la mtu, huwezi kulilazimsha na hauwezi kulizuia.

Kujenga kanisa Zanzibar hakuna uhusiano wowote na kuingilia au kuvuruga utamaduni wa watu wa Zanzibar zaidi ya kuharakisha maendeleo ya watu. Ukristo na wakristo wamekuwepo Zanzibar kwa zaidi ya karne na hakujakuwahi kuwa ni tatizo katika tamaduni za Zanzibar.

Hivi unajua ujio wa ukristo Zanzibar ndio ulihusika kuua biashara ya utumwa zanzibar na kuleta uhuru wa watu wa Zanzibar?

Hivi unajua katika uchaguzi mkuu wa 2020 hapa Zanzibar vyama vyote vya CCM na ACT (zamani CUF) vilijikita kwa hali na mali kusaka kura kutoka makundi ya taasisi za kikristo huenda kuliko taasisi za dini nyingine yoyote.

Hupaswi kudharau uwepo wa ukristo na wakristo hapa Zanzibar.
 
Imani zako usilete kwenye kiwanja cha mtu asiyoendana nayo... Nunua chako jenga hautobomolewa... Zanzibar makanisa nu mengi tu na no ubaguzi
 
S

Hatuogopi competition ya imani, hatutaki kupotoshwa na hatutaki kupoteshewa watoto wetu. Ikiwa unasema kuwa tunaogopa kupotoshwa, then yes sawa na wala hatuoni aibu kwa hilo tunaogopa kupoteshewa familia zetu, tunaogopa adhabu ya Mola wetu siku tukirudi kwake.
Mbona kuna misikiti Ulaya, Marekani, China na Israel ?!
 
Jamaa kaonyesha mikataba ya kununua ardhi/banda lakini haoneshi kibali cha ujenzi alichopewa na serikali
Yule mchungaji kasema hivi.

Alinunua ardhi yenye nyumba (banda) kisha akazungushia uzio wa ukuta halafu ndani ya hilo eneo akawa akisali yeye na waumini wenzake.

Alipoambiwa amejenga ukuta pasipo kibali akasema ni kweli kwa kuwa hakujua utaratibu na akaomba utaratibu ili aufute (hakupewa mpaka leo). Sasa kumvamia na kumbomolea haikuwa sahihi, mana waliobomoa wametoa sababu za kukwepa mafuriko!!
 
Back
Top Bottom