Kama mpaka leo hujui shida za wananchi, wewe hufai kuongoza!

Kama mpaka leo hujui shida za wananchi, wewe hufai kuongoza!

Tumeshatoka huko. Ambako Rais anatenga muda wa kukutana na wananchi wachache na kuzungumza nao juu ya shida zao.

Kwa wakati huo, hizo shida za wananchi zilipata afueni? Jibu ni hapana.

Jana imetangazwa kwamba Bi. Kiguu na Njia [nasikia jana katua Nigeria huko]naye ataanza tena huo utaratibu.

Ukisikia kufilisika kifikra ndo huko sasa!

Wamekaa madarakani zaidi ya miaka 60 na bado tu hawazijui shida za wananchi.

Sasa kama hawazijui shida za wananchi, watawezaje kuleta maendeleo?

Halafu tunashangaa na kulalamika eti umeme shida, maji shida, n.k.

Majibu ya kwa nini tupo kwenye hali tuliyonayo, yapo wazi kabisa.

Jingine, iweje huyu Rais wetu asizijue shida za Watanzania?

Kwani yeye anaishi wapi? Kaishi wapi? Katokea wapi mpaka asizijue shida za watu?

Nchi ina maajabu hii!!!
Shida si viongozi wetu, tatizo ni sisi wananchi kuwashabikia watu kama hawa. Makonda kama alivyokuwa mwendazake, anapitapita na kujifanya anatatua kero za watu. Je, kwa mtindo huo atafikia wangapi. Ni aibu kwa kiongozi kukaa na kulalamikia mifumo ya utoaji haki. Mara ngapi mahakama zetu zimelahumiwa?
 
Shida si viongozi wetu, tatizo ni sisi wananchi kuwashabikia watu kama hawa. Makonda kama alivyokuwa mwendazake, anapitapita na kujifanya anatatua kero za watu. Je, kwa mtindo huo atafikia wangapi. Ni aibu kwa kiongozi kukaa na kulalamikia mifumo ya utoaji haki. Mara ngapi mahakama zetu zimelahumiwa?
Makonda hajatatua shida zozote zile!

Basi tu nchi imejaa watu wapumbavu.

La sivyo angekuwa keshapopolewa na mawe huko apitako.
 
Tumeshatoka huko. Ambako Rais anatenga muda wa kukutana na wananchi wachache na kuzungumza nao juu ya shida zao.

Kwa wakati huo, hizo shida za wananchi zilipata afueni? Jibu ni hapana.

Jana imetangazwa kwamba Bi. Kiguu na Njia [nasikia jana katua Nigeria huko]naye ataanza tena huo utaratibu.

Ukisikia kufilisika kifikra ndo huko sasa!

Wamekaa madarakani zaidi ya miaka 60 na bado tu hawazijui shida za wananchi.

Sasa kama hawazijui shida za wananchi, watawezaje kuleta maendeleo?

Halafu tunashangaa na kulalamika eti umeme shida, maji shida, n.k.

Majibu ya kwa nini tupo kwenye hali tuliyonayo, yapo wazi kabisa.

Jingine, iweje huyu Rais wetu asizijue shida za Watanzania?

Kwani yeye anaishi wapi? Kaishi wapi? Katokea wapi mpaka asizijue shida za watu?

Nchi ina maajabu hii!!!
Zuzu yupo nigeria [emoji90][emoji90]
 
Tumeshatoka huko. Ambako Rais anatenga muda wa kukutana na wananchi wachache na kuzungumza nao juu ya shida zao.

Kwa wakati huo, hizo shida za wananchi zilipata afueni? Jibu ni hapana.

Jana imetangazwa kwamba Bi. Kiguu na Njia [nasikia jana katua Nigeria huko]naye ataanza tena huo utaratibu.

Ukisikia kufilisika kifikra ndo huko sasa!

Wamekaa madarakani zaidi ya miaka 60 na bado tu hawazijui shida za wananchi.

Sasa kama hawazijui shida za wananchi, watawezaje kuleta maendeleo?

Halafu tunashangaa na kulalamika eti umeme shida, maji shida, n.k.

Majibu ya kwa nini tupo kwenye hali tuliyonayo, yapo wazi kabisa.

Jingine, iweje huyu Rais wetu asizijue shida za Watanzania?

Kwani yeye anaishi wapi? Kaishi wapi? Katokea wapi mpaka asizijue shida za watu?

Nchi ina maajabu hii!!!
Tulishapigwa kitambo
 
Nchi hii shida zinajulikana.

Hakuna haja ya kutenga siku ili uzijue shida za watu.

Huo ni usanii tu. Ni kutaka kuonekana unafanya kazi ilhali hakuna chochote cha maana unachokifanya.
Huenda hana kazi ya kufanya kwahiyo anaona asiposikika kila siku watu watajua hafanyi kazi. Utaratibu wa rais kila siku kutengenezewa habari ulianzia kipindi cha mzee wa msoga, Mzee wa chato naye akaiga kama ambavyo machawa walivyoanza kusikikika katika kipindi chake na kuendelea hadi kwa kizimkazi Mkapa hakuwa na mpenda mambo madogo madogo kila siku kutaka kusikikika na kusifiwa.

Kwa kweli urais umekuwa mrahisi sana. Haifai rais kila siku kusikika tena kwenye mambo cheap sana.
 
Kuna watu wanaona hivi anavyosafiri sana ni sawa tu.
Mlipenda rais pimbi anayejifungia ndani kama mwali,
Nachukia watu wazima kujitoa ufahamu, matatizo ya watanzania yanajulikana kwa ujumla wake, umeme, maji, bei ndogo za mazao, Pembejeo kuwa juu na kadhalika,
TUFAHAMU MBALI NA HAYO,
Yapo matatizo ya mmoja mmoja miongoni mwetu ambayo ni sugu na yameshindikana kutatuliwa kutokana na kuwa complicated sasa haya ndiyo yanakwenda kupatiwa ufumbuzi, tukumbuke yapo matatizo ya kijumla Jumla na yale sugu ya watanzania mmoja mmoja.
# OVER!
---KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI---
 
Tumeshatoka huko. Huko ambako Rais anatenga muda wa kukutana na wananchi wachache na kuzungumza nao juu ya shida zao.

Kwa wakati huo, hizo shida za wananchi zilipata afueni? Jibu ni hapana.

Jana imetangazwa kwamba Bi. Kiguu na Njia [nasikia jana katua Nigeria huko]naye ataanza tena huo utaratibu.

Ukisikia kufilisika kifikra ndo huko sasa!

Wamekaa madarakani zaidi ya miaka 60 na bado tu hawazijui shida za wananchi.

Sasa kama hawazijui shida za wananchi, watawezaje kuleta maendeleo?

Halafu tunashangaa na kulalamika eti umeme shida, maji shida, n.k.

Majibu ya kwa nini tupo kwenye hali tuliyonayo, yapo wazi kabisa.

Jingine, iweje huyu Rais wetu asizijue shida za Watanzania?

Kwani yeye anaishi wapi? Kaishi wapi? Katokea wapi mpaka asizijue shida za watu?

Nchi ina maajabu hii!!!
Wakati Magufuli na wasaidizi wake wanawapanga watu kueleza shida kwenye mikutano yake barabarani nyie Wanyantuzu mlimsifu sana kuwa Rais anayesikiliza wanyonge na mkamuita mtetezi wa wanyonge. Sasa hivi Mama Samia anafanya the same thing mnaanza majungu.
Acheni unafiki



Mungu tu ndiye anayejua shida zako KABLA ya kuambiwa . Wengine wote tunapasa kusikiliza
 
Wakati Magufuli na wasaidizi wake wanawapanga watu kueleza shida kwenye mikutano yake barabarani nyie Wanyantuzu mlimsifu sana kuwa Rais anayesikiliza wanyonge na mkamuita mtetezi wa wanyonge. Sasa hivi Mama Samia anafanya the same thing mnaanza majungu.
Acheni unafiki



Mungu tu ndiye anayejua shida zako KABLA ya kuambiwa . Wengine wote tunapasa kusikiliza
Onyesha nilipomsifu Magufuli kuhusu hilo.
 
Mie nadhani atadeal na watu Wenye ishu kubwa kubwa waloshindwa kupata utatuzi toka kwa wasaidizi wake
Tumpe nafasi ,tuone atakavyofanya na output itakayopatikana
huenda hata kina sie pangu pakavu tukapata nafasi ya kufika ikulu kuongea naye na tukaneemeka[emoji1787][emoji1787]
Ni ofisi ndogo ya CCM siyo Ikulu
 
Shida si viongozi wetu, tatizo ni sisi wananchi kuwashabikia watu kama hawa. Makonda kama alivyokuwa mwendazake, anapitapita na kujifanya anatatua kero za watu. Je, kwa mtindo huo atafikia wangapi. Ni aibu kwa kiongozi kukaa na kulalamikia mifumo ya utoaji haki. Mara ngapi mahakama zetu zimelahumiwa?
Hapana mkuu kuna sehemu wanajua wametushika atufurukuti kupitia kura zetu.

Unafikiri huyu tupige kura na zihesabiwe kwa haki, atatoboa?
 
Back
Top Bottom