Kama mpaka leo hujui shida za wananchi, wewe hufai kuongoza!

Kama mpaka leo hujui shida za wananchi, wewe hufai kuongoza!

Tumeshatoka huko. Huko ambako Rais anatenga muda wa kukutana na wananchi wachache na kuzungumza nao juu ya shida zao.

Kwa wakati huo, hizo shida za wananchi zilipata afueni? Jibu ni hapana.

Jana imetangazwa kwamba Bi. Kiguu na Njia [nasikia jana katua Nigeria huko]naye ataanza tena huo utaratibu.

Ukisikia kufilisika kifikra ndo huko sasa!

Wamekaa madarakani zaidi ya miaka 60 na bado tu hawazijui shida za wananchi.

Sasa kama hawazijui shida za wananchi, watawezaje kuleta maendeleo?

Halafu tunashangaa na kulalamika eti umeme shida, maji shida, n.k.

Majibu ya kwa nini tupo kwenye hali tuliyonayo, yapo wazi kabisa.

Jingine, iweje huyu Rais wetu asizijue shida za Watanzania?

Kwani yeye anaishi wapi? Kaishi wapi? Katokea wapi mpaka asizijue shida za watu?

Nchi ina maajabu hii!!!
Hili wazo sijui atakuwa kapewa na nani, siyo DAB kweli? Anyway ngoja tusubiri hiyo siku, ivi itakuwa ni online au face to face? Kutakuwa na ratiba ya mikoa au wa dar wataendelea kuwa na advantage kuliko wa kasulu?
 
Hili wazo sijui atakuwa kapewa na nani, siyo DAB kweli? Anyway ngoja tusubiri hiyo siku, ivi itakuwa ni online au face to face? Kutakuwa na ratiba ya mikoa au wa dar wataendelea kuwa na advantage kuliko wa kasulu?
Huu ni mchezo mchafu na inavyotizamwa ni kwamba watawajenga watu wao kueleza mashida ambayo waahapanga majawabu.
Mwambieni aende huko Mkoani hadi Wilayani ajionee watu wanavohangaikia maisha.
Acheni usanii!!
 
Yaani huyu Bibi anashindana na wale ma travel vloggers wa YouTube 😀.

Akitoka Nigeria sijui ataenda wapi….Ouagadougou?
Ouagadougou😅😅😅,
Miaka mingi sana mwalimu wangu kilaza aliuliza swali mji mkuu wa Nchi gani sijui.
Nikataja hilo jina kaingia kingi.
Nikapigiwa makofi sana tu darasani.
Nimegundua baadaae sana kwamba ule mji hauko kule nilitaja.
Leo umeutaja nimekumbuka hiki kisa.
Nilikua darasa la nne enzi hizo.
Mkuu Nyani umenikumbusha mbali sana.
Bi kidude aende popote shauri yake.
 
Huu ni mchezo mchafu na inavyotizamwa ni kwamba watawajenga watu wao kueleza mashida ambayo waahapanga majawabu.
Mwambieni aende huko Mkoani hadi Wilayani ajionee watu wanavohangaikia maisha.
Acheni usanii!!
Duh, hatari mkuu
 
Mie nadhani atadeal na watu Wenye ishu kubwa kubwa waloshindwa kupata utatuzi toka kwa wasaidizi wake
Tumpe nafasi ,tuone atakavyofanya na output itakayopatikana
huenda hata kina sie pangu pakavu tukapata nafasi ya kufika ikulu kuongea naye na tukaneemeka🤣🤣
Taratibu za Admin zinasema issue inaposhindikana hatua moja ina kuwa 'escalated' .
Kwa maana tayari hayo matatizo unayosema yangemfikia kupitia wasaidizi wake

Tatizo la Tanzania si matatizo ya mtu mmoja mmoja kama kuporwa kiwanja.
Ni matatizo ya kimfumo yanayokwamisha hatua za utatuzi na ufumbuzi

Ni matatizo yaliyoanza miaka 60 na sasa haionekani kama kuna suluhu, kinachofanyika ni kupoteza muda

Rais wa nchi anasimamia majukumu makubwa ya nchi ya kisera na kisekta ikiwemo shughuli za Kimataifa
Ikiwa haamini Mawaziri, RC, DC, RAS, DAS, Wakurugenzi hawawezi kumsaidia, tatizo ni yeye aliyewateua.
 
Basi wewe NYANI tukupe urais kama unaona una akili sana? Wewe ni mtu mpumbavu unayejifanya unajua kila kitu kumbe bwege mmoja mwenye hasira zinazotokana na upumbavu wake.
Huna hoja ndo maana umerukia viroja vya matusi!

Utakuwa umechomwa na nilichokiandika.
 
Ouagadougou😅😅😅,
Miaka mingi sana mwalimu wangu kilaza aliuliza swali mji mkuu wa Nchi gani sijui.
Nikataja hilo jina kaingia kingi.
Nikapigiwa makofi sana tu darasani.
Nimegundua baadaae sana kwamba ule mji hauko kule nilitaja.
Leo umeutaja nimekumbuka hiki kisa.
Nilikua darasa la nne enzi hizo.
Mkuu Nyani umenikumbusha mbali sana.
Bi kidude aende popote shauri yake.
Nakumbuka zamani [miaka 80 mwishoni au 90 mwanzoni hivi] kulikuwaga na wimbo unaitwa Ouagadougou 🤣.
 
Taratibu za Admin zinasema issue inaposhindikana hatua moja ina kuwa 'escalated' .
Kwa maana tayari hayo matatizo unayosema yangemfikia kupitia wasaidizi wake

Tatizo la Tanzania si matatizo ya mtu mmoja mmoja kama kuporwa kiwanja.
Ni matatizo ya kimfumo yanayokwamisha hatua za utatuzi na ufumbuzi

Ni matatizo yaliyoanza miaka 60 na sasa haionekani kama kuna suluhu, kinachofanyika ni kupoteza muda

Rais wa nchi anasimamia majukumu makubwa ya nchi ya kisera na kisekta ikiwemo shughuli za Kimataifa
Ikiwa haamini Mawaziri, RC, DC, RAS, DAS, Wakurugenzi hawawezi kumsaidia, tatizo ni yeye aliyewateua.
Ndo maana nasema kuna kufilisika kifikra!

Kama Rais Mwinyi [marehemu] alifanya hivyo na shida ziko palepale, kwa nini huyu naye afanye hivyo hivyo?

Kuna ile definition ya insanity……utajaza mwenyewe hapo 😀.
 
Naona anataka kumuenzi Mzee Ruksa! Wakati anaingia madarakani aliweka utaratibu wa kusikiliza kero za wananchi lakini zoezi lile halikufika mbali!
Maana alijikuta anasikiliza kero za wananchi wa Dar es Salaam tu.
Ni mpaka Nyerere alipomshauri kudelegate power kwa watendaji wake waweze kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua, zile kero ngumu ndiyo zipelekwe kwake!
 
1.) Aibu sana Rais anashindwa kuwa na team ya kumueleza matatizo ya wananchi.

2.) Ni aibu mmno rais kutafuta umaarufu Kwa kujidai anasikiliza shida zamtu mmoja mmoja.

3.) Ni matumizi mabaya ya kodi na muda rais kufatilia tatizo la mmoja-mmoja nakusahau yakitaifa.

4.) Rais kufundishwa/kumuiga makonda katika utendaji nifedheha mbaya sana.

Tutachelewa saaana kufika hii nchi imejaa ujinga na kiki zakilofa
Mkuu tatizo Mh Rais amezingukwa na watu wasiomsaidia chochote kwa maslahi ya umma. Wako pale kwa maslahi yao ndiyo maana wana hakikisha maslahi yao kwanza yatatimia. Tatizo kubwa jingine ni hao watu kukumbatiwa na kuachwa wafanye wayafanyayo!

Akaunti tu ya Ikulu pale Instagram ukisoma comments huhitaji tena kutangaza siku za kusikiliza kero za wananchi sijui mmoja mmoja.
 
Tumeshatoka huko. Huko ambako Rais anatenga muda wa kukutana na wananchi wachache na kuzungumza nao juu ya shida zao.

Kwa wakati huo, hizo shida za wananchi zilipata afueni? Jibu ni hapana.

Jana imetangazwa kwamba Bi. Kiguu na Njia [nasikia jana katua Nigeria huko]naye ataanza tena huo utaratibu.

Ukisikia kufilisika kifikra ndo huko sasa!

Wamekaa madarakani zaidi ya miaka 60 na bado tu hawazijui shida za wananchi.

Sasa kama hawazijui shida za wananchi, watawezaje kuleta maendeleo?

Halafu tunashangaa na kulalamika eti umeme shida, maji shida, n.k.

Majibu ya kwa nini tupo kwenye hali tuliyonayo, yapo wazi kabisa.

Jingine, iweje huyu Rais wetu asizijue shida za Watanzania?

Kwani yeye anaishi wapi? Kaishi wapi? Katokea wapi mpaka asizijue shida za watu?

Nchi ina maajabu hii!!!
Kumbe wewe ni bozong kiasi hicho. Shida zinakuja na kuondoka na zinabadilika. Hata shida za familia yako kumbe huwezi kuzitatua. Pole.
 
Ndo maana nasema kuna kufilisika kifikra!

Kama Rais Mwinyi [marehemu] alifanya hivyo na shida ziko palepale, kwa nini huyu naye afanye hivyo hivyo?

Kuna ile definition ya insanity……utajaza mwenyewe hapo 😀.

Hakuna aliye na ufahamu wa Management kweli! miaka 60.

Ndoa inafungwa na DC, Sheikh au Padri halafu Rais wa watu milioni 60 anakaa kusikiliza wanandoa wakigombania nyumba! Wanandoa wakigombani nani akae na watoto

Kuna Afisa Ardhi Wilaya, Mkoa, makao makuu , manaibu mawaziri, Waziri , Naibu Waziri mkuu, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais, eti wote hao hawawezi kutatua mgogoro wa kiwanja X kati ya mwekezaji na Wanakijiji au Bwana Fujo na Bi Kelele
Eti Rais akae mahali anatafuta suluhu! miaka 60 bado tunawaza hivyo

Napenda sana mfumo wa USA, kuna mahali Rais haingizi mkono huko katika States. Rais anabaki na majukumu mazito ya Federal. Mfumo wao unatatua matatizo.

Badala ya Rais kukaa na watu angekaa na Taasis vikiwemo vyama vya siasa ili kutafuta suluhu ya Mifumo.
 
Mie nadhani atadeal na watu Wenye ishu kubwa kubwa waloshindwa kupata utatuzi toka kwa wasaidizi wake
Tumpe nafasi ,tuone atakavyofanya na output itakayopatikana
huenda hata kina sie pangu pakavu tukapata nafasi ya kufika ikulu kuongea naye na tukaneemeka🤣🤣
Pale watajazana makada tupu na maswali yataandaliwa na Makonda
 
If you look at their mode of life and their lifestyle in general you can observe that BLACKS are born with the situation like an half-mad mentality and mindsets."
Jan Smuts, the First Prime Minister of Union of South Africa
 
Back
Top Bottom