Kama mpaka leo hujui shida za wananchi, wewe hufai kuongoza!


Aanze na rpt ya CAG.
 
Mama anaishi kwenye "bubble", aidha kasahau shida alizopitia akiwa raia wa kawaida au MARAHA YAMEZIDI!
Kifupi, uongozi umemzidia uwezo kiakili, kifikra na uongozaji. Hana timu nzuri ya kumshauri, aliyonayo ni MACHAWA YALIYOJAA FUNZA KICHWANI!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…