Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Asiyejitambua au anayekataa mtoto?Anakimbiwa yule asiejitambua
Nilijua kaanzisha biasha zake kubwa za mkaa..!! Kumbe ka..!!Glenn,
Hujawahi kuona mwanaume anajuta baada ya kumpoteza mwanamke fulani?
Mwanaume kuacha mwanmke bora ni jambo la kawaida sana. Kuna mmama ni msukuma, mume wake yeye ni ulevi, watoto hawana mashati ya shule, hawana viatu, mke anaenda kuchoma mkaa porini kuwatafutia watoto wale.
Mke amefubaa sababu hakuwahi hata kupata mafuta, siku alipomkaba na waya akitaka kumuua akakimbizwa hospitali, mwanamke alipopona alirudi na kufunga virago vyake.
sasahiv ukiambiwa ni yule mwanamke aliyekuwa anatengeneza matanuru ya kuchoma mkaa watoto wale na waende shule unakataa.
Kaolewa na mwwanume mwenye pesa msukuma mwenzake.
Hata mwanamke kumkimbia mwanaume sahihi ni kawaida pia vilevile.
So idadi ya watoto wote waliokataliwa duniani nzima wote sio wa kweli eh?Hakuna BABA anaye amini mtoto kua ni wake na hakuna BABA anaye kwepa mtoto wake wa kweli,acha makasiriko ya udhaifu wako
Mkuu,Nilijua kaanzisha biasha zake kubwa za mkaa..!! Kumbe ka..!!
Wanawake hua wakiachwa wanakuaga na makasiriko kama wewe hivi...🤣Kama mwanume anaweza kumkataa mtoto wake bila huruma Basi ni sahihi pia mwanamke kumkimbia mwanaume akifukuzwa kazi Au akikosa kipato tena bila huruma.
Usikimbilie polisi, tupe mifano kama mimi nilivyoweka mifano ya watu ninao wajuaBinadamu huwa hodari sana kujudge mambo ambayo yeye mwenyewe hayajamfika
Subiri dada zako Au mtoto wako wa kike yampate Ndio uje tushauriane
Malaya au kahaba siku zote anahitaji hela ili uishi naye. Wapo kila sehemu mpaka kwenye ndoa siku hiziKama mwanume anaweza kumkataa mtoto wake bila huruma Basi ni sahihi pia mwanamke kumkimbia mwanaume akifukuzwa kazi Au akikosa kipato tena bila huruma.
Hata jamaa mwenye mtoto aliyezaa na wewe aliona mbali sanaKweli kabisa, hakuna kuvumilia ujinga.
Kwakweli ningemuacha.Hata jamaa mwenye mtoto aliyezaa na wewe aliona mbali sana
Hongera zake kwa kuepuka kikombe kile maana ungemuacha tu
Acha ubabaishaji, tunajua zaidi ya kujuaSo idadi ya watoto wote waliokataliwa duniani nzima wote sio wa kweli eh?
Ngoja yamkute binti yako mtarajiwa Ndio tutaelewana vizuri
Usifannye hivo jaman wenye mapenzi ya kwel wapoNa sisi hatuwazi kuwakimbia mkifulia wakati huo tumewachuna hadi mmebaki na boxer tu
Nilikuwa sijui kuwa una hekima kiasi hiki. Nipe lipa namba ya jikoni na counter kisha kula unachotaka nitumie bili nitalipa huku kama Kaka yako kwa mujibu wa katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania.Anaweza lakini ni sahihi?
Unafanya kitu kwasababu ya faida/hasara sio kisa unaweza
Lini utayaelewa haya mambo we jamaa!!?Kama mwanume anaweza kumkataa mtoto wake bila huruma Basi ni sahihi pia mwanamke kumkimbia mwanaume akifukuzwa kazi Au akikosa kipato tena bila huruma.
Basi na mama yako mzazi kahaba pia maana anategemea hela za mumeweMalaya au kahaba siku zote anahitaji hela ili uishi naye. Wapo kila sehemu mpaka kwenye ndoa siku hizi
Kwa maneno yako sishangai
Usikimbilie polisi, tupe mifano kama mimi nilivyoweka mifano ya watu ninao wajua
Ni kweli baba yako kaniacha nimekua na makasiriko 😂😂Wanawake hua wakiachwa wanakuaga na makasiriko kama wewe hivi...🤣
Na karne wanaume asilimia 90 wanakwepa majukumu wanataka wahudumiwe na wanawakeKarne hii ukiweka mwanamke ndani chance za kukukimbia ukitetereka kiuchumi ni 90%, unadhani umeoa mke kumbe unafuga kahaba ndani. Hapa ndipo nadharia ya Ndoa ni utapeli inadhihirika
Wote kwa pamojaAsiyejitambua au anayekataa mtoto?
Usikimbilie polisi, tupe mifano kama mimi nilivyoweka mifano ya watu ninao wajua
nilizaa na ww?Hata jamaa mwenye mtoto aliyezaa na wewe aliona mbali sana
Hongera zake kwa kuepuka kikombe kile maana ungemuacha tu
Umetoka nje ya madaLini utayaelewa haya mambo we jamaa!!?
Kila moto anamjua mama yake Bali baba Huwa anaonyeshwa!
Ukiona man anagoma kubeba jukumu ujue Kuna jambo haelewi coz mwenye Siri ya mtoto ni mama!!
Hivi kama ukijua Dem wako anagongwa na mwingine akikwambia ana ujauzito wako utakubalije Kwa asilimia mia!!?
Wenye Busara Huwa tunaamua kulea hata kama una mashaka na hayo mashaka yankuja kuwankweli!!!
Ebu ntolee upuuzi wakoUsifannye hivo jaman wenye mapenzi ya kwel wapo