Kama mwanaume unaweza kukaa siku nzima bila kupokea meseji ya " mambo" basi jua kuna kitu kina miss kwenye maisha yako

Kama mwanaume unaweza kukaa siku nzima bila kupokea meseji ya " mambo" basi jua kuna kitu kina miss kwenye maisha yako

Mwanaume aliyekamilika lazima apokee meseji inayo sema " mamb" walau mara 4 kwa Siku kutoka kwa watoto wa kike.

Mimi kwa Siku napokea zaidi ya mara 7 kutoka kwa wasichana 7 tofauti. Na wewe sema " NAPOKEA" !!!
Haya pokea.

Nisipopokea msg kama hiyo naweza kuumwa walahi.
Hiyo ni sawa na kusema mwanaume aliyekamilika ni lazima atembee na vitoto vya shule kama vinne hizi.

Maana wanaopenda kuandika ''mamb'', mara nyingi ni watoto wa shule.

Acha kujisifia upumbavu utakuja kufungwa ndugu.
 
Mwanaume aliyekamilika lazima apokee meseji inayo sema " mamb" walau mara 4 kwa Siku kutoka kwa watoto wa kike.

Mimi kwa Siku napokea zaidi ya mara 7 kutoka kwa wasichana 7 tofauti. Na wewe sema " NAPOKEA" !!!
Haya pokea.

Nisipopokea msg kama hiyo naweza kuumwa walahi.
Inategemea na umri wako!Mimi sipokei hizo mwaka Sasa!
 
Back
Top Bottom